Category Archives: Love

SMS ZA MAPENZI ZENYE UJUMBE MTAMU KWA MPENZI WAKO

hakika kama ni mume MUNGU kanipatia,kuwa nawe najiona
kama malkia ,nakupenda mpz na daima nitaenzi penzi
lako.
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
Nina habari nzuri nataka kukuambia kuna mgeni leo kaja
kunitembelea,nguo nyekundu amevalia yaani!utamu wako kwa
sasa siwezi kukupatia
kwa maana mgeni kashakuharibia
nakupenda dear
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•

Gusa hapa>> USOME JAMBO ZURI ZAIDI KWAAJILI YAKO

Ni yangu mazoea kila cku cm yako
kuipokea kama si meseji
kunitumia
leo naumia kila napo fikiria nini
kimetokea hadi
mawasiliano yetu
yameanza kupotea,sawa tu.naamini hali
ya kawida itarejea
na
majonzi moyoni yatanipotea
nakupenda mpz
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•

Gusa hapa jiunge>> SMS TAMU ZA MAPENZI ZITAFUTE HAPA (MPYA)

Nimezunguka pande zote za Tanzania macho
nikiyaangaza
kumsaka mrembo
wakumkabidhi wangu moyo wenye upendo
ndani yake na kulila
TUNDA lake
kwa nafasi huku nikimpa mahaba ya dhati na sikuwahi kuhisi
kama wewe ndiye
ulie uteka moyo wangu.
nakupenda laaziz
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•

Raha ya ucngz ni ucngz . . . .”tamu”ya penzi ni ndoto .
Na furaha ya ndoto ni yule umpendaye kwa dhati,nitafurahi
nikiwa mimi,
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•

SMS TAMU ZA MAPENZI

upendo ni jibu kwamba kila mmoja anataka. . .
upendo ni lugha ,
kwamba kila mmoja anaongea,
upendo hauwez kununuliwa,
na isiyo kadirika na ya bure,upendo kama uchawi safi,ni
siri ya maisha matamu
nakupenda mpenzi
*°·.¸¸.° °·.¸¸.°*

Gusa hapa>> TAFUTA HAPA SMS ZA MAPENZI ZA MWEZI HUU (MPYA)

“Mimi sitaki kuwa kila kitu kwa kila mtu, lakini napenda
kuwa kitu kwa mtu.na mtu mwenyewe ni wewe”
nakupenda laazizi
“Kama mimi nilikuwa na maua kila wakati
mawazo yangu
yangekuwa juu yako,nisingefikiri wa kumpa mwingine kabla
yako je wewe ungekuwepo nayo
ungempa nani kwanza? ”
*°·.¸¸.° °·.¸¸.°*

ningependa nikuambie neno ambalo halina gharama na
likutumiwa vibaya halina maana wala thamani. neno hilo
haliandikiki kwenye karatasi wala hata halitamkiki ila tu
Linatokea Bila kujua na halina sababu.neno hilo mi
mwenyewe silijui ila ndo linatufanya tuwe pamoja Japo tupo
Kasi Na Kusi. Nakupenda sana Dear Figganigga
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•

Gusa hapa>> MPAGAWISHE MPENZI WAKO KWA SMS TAMU SANA ZA MAPENZI ZIPATIKANAZO HAPA

naukunjua moyo wangu huishi milele maishani ,nafungua
nafsi nikupende wewe pekee,nafunga milango ya moyo wangu
ili
kutokupokea ugeni wowote wa moyo zaidi yako
mpenzi.nakupenda sana laazizi
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
sipo tayari kuukabidhi moyo wangu kwa mwingine zaidi
yako,wewe ni wa pekee maishani mwangu mwenye kujua hisia
moyoni mwangu
mpenzi nipende daima pendo lako nitalienzi, nakupenda
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
mapenzi si pombe lkn yanalewesha, wala si kidonda lakini
yanatonesha,wala si maradhi lakini yanaumiza, wala si
njaa lakini yanakondesha ,mapenzi ni uvumilivu kwa
unaempenda
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
mapenzi ni safari=unifanye nauli ya moyo, mapenzi ni
maradhi=unifanye daktari ni kutibu maradhi yako,mapenzi ni
kiu=niwe maji jangwani,mapenzi ni chakula=nikulishe
maishani mwako na uwe asali moyoni mwangu
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
wengi hupenda fanta kwa ladha yake,wengine hupenda
pilipili kwa muwasho wake,wengine hupenda asali kwa utamu
wake ila mimi nakupenda wewe kwa upendo wako.
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
nimetuma ndege wangu auzunguke ”moyo” wako kwa ” upendo
” auguse ”uso” wako kwa ”faraja” na mwisho
akunong’oneze sikioni taratibu kuwa nakupenda.
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
mapenzi ni utoto,deka ulie nitakubembeleza,mapenzi ni
zawadi tabasamu nibusu niambie kiasi gani unanpenda,naweza
kusema asilimia kubwa jina lako limezunguka kuta wa moyo
wangu.kamwe jina lako haliwezi kufutika.nakupenda sana Figganigga
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
teke la kuku halimuumzi mwanaye sawa na dhati ya mapenzi
haiumzi moyo wa ampendaye,tugombane sasa hivi tupatane
badaye,najua hakuna wasiogombana ,kama wapo siku
wakigombana wataachana.
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•

Gusa hapa>> MAMBO YATAKAYOFANYA PENZI LENU LIDUMU, HAYA HAPA

Furaha yangu ni kuwa nawe kwani u zaid ya mboni
yangu,najisifu kuwa nawe maishani mwangu naamini itatokea
kutokuwa mbali nawe mpz wangu,unisahaulishe machungu na
karaha za huu ulimwengu .nakupenda dia
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•

>>———>>> Mshale huu unamtafuta mtu muhimu sana ktk
maisha yangu na kama umekutana nao
usiukwepe uache
uchome Moyo wako gharama
za matibabu juu yangu.
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
sioni zawadi ya kukupatia kwa mapenzi
unayonipatia,
moyoni nimekuridhia wewe pekee penzi langu daima
kukupatia nakupenda
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•

Gusa hapa>> WANAKUTUMIA SMS MPYA ZA MAPENZI KILA SIKU BURE, USIACHE KUIJUA HII

SMS MZURI ZA MAHABA KWAAJILI YA MPENZI WAKO

Mahaba unayonipa natamani niwe nawe mpaka
kufa,
kila siku zinavyozidi kupita
najuta kwanini nilichelewa penzi kukupa,
nakupenda na nitakupenda hadi kufa!
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•

Hivi ni lini penzi utanipa, nimechoka na ahadi
unazonipa kila kunapokucha,
tambua kwako nimefika na siku utakayonipa
zawadi nzuri nitakupa na hutanisahau
hadi kufa.
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·

GUSA HAPA>>> SOMA SIMULIZI YA UTAMU YA KIKUBWA YA MAPENZI (SUKARI YA DADA)

Nisamehe la azizi ukweli mbona uko wazi,
yule si wangu mpenzi ila ni rafiki yangu
kipenzi, yangu mapenzi ni wewe pekee nayekupa mpenzi,
katika hii dunia ni wewe
pekee penzi nayekupatia!
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•

Uko wapi wangu malkia, mwenzio hamu nasikia nawe
ndiye ujuwaye hamu kunitoa,
tafadhali dear upatapo msg hii tambua nyumbani
nakusubiria! Luv u
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
Hakika raha wajua kunipatia, fimbo wajua kuitumia sharti
mtoto wakike nabaki
nagugumia kwa raha unayonipatia ambayo wengi
wanaililia , plz utamu wangu
nitunzie!
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
Nashukuru kwa miguno uliyonipatia na kiuno kunikatia,
utamu niliousikia
nilitamani kulia hatima ilipowadia , nakupenda
dia usije utamu wangu mwingine
kumpatia! Luv u
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•

GUSA HAPA>>> SOMA SIMULIZI YA UTAMU YA KIKUBWA YA MAPENZI (SUKARI YA DADA)
Wikiendi ndiyo imeisha, majukumu hatunabudi kuyatimiza dear,
kuwa nawe muda mrefu
nimefurahia nakujihisi malkia katika hii dunia kuwa
nawe najivunia. Luv u
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
Wangu Malkia nashukuru kwa mahaba uliyonipatia,
nikikumbuka miguno na viuno ulivyonipatia na
raha niliyojisikia, nahisi kuna mwingine unampatia,
please dear penzi langu usije wengine kuwapatia! Nakupenda.
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•

GUSA HAPA>>> SOMA SIMULIZI YA UTAMU YA KIKUBWA YA MAPENZI (SUKARI YA DADA)

Nashukuru kwa ya

ko dozi hakika katika
mapenzi wewe ni mkufunzi,
wajua bakora kuitumia, mpenzi usije ukawa na
mwingine
unayempatia, hakika nikijua nitaumia kama
sikujiuam. Nnakupenda!
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
Nimeamini wewew ni mtalam wajua kunitoa hamu,
unipapasapo huhisi kupoteza fahamu, maneno yako
matamu hunizidisha hamu, hakika
wajua kunikamua, luv u.
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
Hakika nimepata tabibu, maradhi yangu wajua
kujyatibu,
napenda jinsi unavyonitibu,
huna papara yaani ni taratibu,
mpenzi usijemuonyesha mwingine hizo
zako zabibu,
maswahibu yakatayonisibu hakuna
atakayeweza kuyatibu, nakupenda.
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
Usiku wa jana ulikuwa wa aina yake, ulinipa mambo
matamu yasiyo ya kawaida,
ulinifurahisha sana mpenzi wangu,
ulidhihirisha kuwa wewe ni kidume
uliyeubwa kwa ajili yangu..
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
Nakumbuka siku utamu ulityonipa maneno
matamu kedekede hukusita kunipa na
ahadi kibao masikioni mwangu zilisikika,
hakika roho yangu haikusita kuamini
kwako nimefika, nashangaa
leo utamu hutaki nipa!
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
Wikiend ndiyo siku niliyokuwa nikiisubiria mimi
nawe mpenzi tupate tulia, mahaba na
maneno matamu ndio zawadi
niliyokuandalia. Kumbuka yetu
miadi na jali wakati!
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
.
unayempatia, hakika nikijua nitaumia
kama sikujiuam. Nnakupenda!
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
Nimeamini wewew ni mtalam wajua kunitoa hamu,
unipapasapo huhisi kupoteza fahamu,
maneno yako matamu hunizidisha
hamu, hakika wajua kunikamua,
luv u.
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
Kuwa nawe najivunia, mtoto mapenzi wayajua,
kiuno, sauti yako tamu mithili ya
chiriki wajua hasa kuitumia, mua wangu
wajua kuukamua, ukiniacha jua nitaumia,
nakupenda usije niacha nitajiua!
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
usiku unapoingia najawa na furaha unajua kwanini?
unaponigusa nahisi tumeumbwa wawili,
mchana nakumisi sana unapokuwa kazini,
wikiendi natamani isiishe kwani unanipa
raha ambazo siwezi kuzipata popote. . .
Naomba raha hizi usimpe mwingine. . .
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
kila ninapoona macho yako nafurahia uwepo
wako,nikiona tabasamu lako,nasikia homa ya
moyo,nikiona chozi lako la furaha
,moyo wangu unakuwa
huru kwako,nakupenda sana mpenzi
wangu na
wewe ndiye valentine wangu. . .
Pokea busu mwaaaah
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
pumzi yako kwangu ni burudani ya ajabu,
nakupenda sana busu lako maridhawa
shavuni mwangu.wewe ndiye furaha
katika maisha yangu.labda ulikuwa
hufahamu,nimekuficha moyoni
mwangu mpenzi!
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
darling jana umenikuna. . . .umenikuna c kdogo
. . . .nililia ukanibembela,niliponyamaza
ukaniliza tena,lkn fahamu kulia
kwangu c maumivu bali utamu wako.
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
Nashukuru wangu laaziz kwa uwepo wako,
naamin meng kunitimizia na kukata kiu la
penzi langu kwa wako uhodari.
Krbu mpz nikate kiu yangu.
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
hakiyanani mpz unanidatisha ukitembea unatingisha,
mwenzio unanipagawisha
kwako nimefika
na hii namaanisha
nakupenda
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
Mahaba unayonipa hakika nafarijika,
mpenzi niliyemtaka hakika nimekupata,
kiu yangu wajua kuikata, kuwa
nawe hakika
nimeukata kwani wajua kunipa
bata! Luv u, mwaah
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•

Gusa hapa>> USOME JAMBO ZURI ZAIDI KWAAJILI YAKO

MAMBO YANAYOWEZA KUKUSAIDIA KUACHA PULI/PUNYETO/KUJICHUA

(i) Badilisha utaratibu wa kulala, lala kifudifudi, badala ya chali

(ii) Acha kuangalia mikanda ya kikubwa ukiwa peke yako.

(iii) Kaa mbali na simulizi zinazohamasisha mapenzi, mazungumzo ya aina hiyo na kampani za watu wanaopenda kusimulia mambo ya faragha.

Gusa hapa>> USOME JAMBO ZURI ZAIDI KWAAJILI YAKO

(iv) Acha mazoea ya kujishika sehemu zako za siri.

(v) Fanya mazoezi ya viungo angalau robo saa tu kwa siku.

(vi) Juu ya yote haya, FUTA kabisa mawazo ya jambo hilo. AMUA kwa dhati ya moyo wako, tambua na ogopa athari ambazo unaweza kuzipata, kisha ACHA KABISA mchezo huo ili kulinda heshima yako na kujipa furaha katika maisha

Gusa hapa>> USOME JAMBO ZURI ZAIDI KWAAJILI YAKO

JINSI YA KUFANYA MWANAUME AVUTIWE NA WEWE NA AKUAPROACH

1 Onyesha upande wako wa furaha.
Wakati umeenda sehemu ambayo umemwona mwanaume unayemzimia, ni bora uonyeshe ule upande wako wa furaha. Cheka na wenzako, furahia nk. Akikuona tu atakuappoach.

2 Fanya kujigongesha mbele ya umpendaye. Wakati mupopamoja tembea ule upande wake halafu ujigonganishe nayeye kisha sema “Oh, samahani. Pole – huwa najisahau mara nyingi ninapozungukwa na wanaume wakupendeza.” Halafu jitambulishe.

3. Mtese kidogo. Mfano: Wakati anakwambia jina lake kwa mara ya kwanza, jifanye hujaliskia sema, “Wasema?” ili apate kuegemea karibu yako aweze kujiridia kwa mara nyingine. Halafu sema, “Nini?” huku ukitabasamu. Utakuwa umeyaanzisha maongezi yenu na ucheshi.

Gusa hapa>> USOME JAMBO ZURI ZAIDI KWAAJILI YAKO

4. Fanya mazoezi ya kumchokoza na kumteka. Ingiza mbinu yako uliyobobea ya kusuka mara moja au nyingine, kama vile wahudumu wa kike hotelini. Amini usiamini hili litaongeza confidence yako wakati unapoongea na mtu unayempenda.

5. Mwache akuone unamchungulia.
Kama na yeye atakuangalia, tabasamu. Ukifanya ivyo utampa hamu ya kukuaproach.

6. Kuwa interested. Wakati anapoongea na wewe hakikisha kuwa unaonyesha interest yako kwa kumuuliza maswali ili na yeye apate nafasi ya kujibu na hii atahisi mupo pamoja.

7. Chunguza vitu anavyovipenda Angalia nguo zake. Muulize timu anayoipenda, mchezaji, gemu nk kutokana na mavazi yake. Bila shaka atagundua kuwa umemnotice.

8. Jipulize marashi kwa shingo yako.
Hii bila shaka mwanaume unayemzimia atagundua tu.

9. Tabirika wakati mwingine. Ule wakati ambao umejigongesha maksudi mbele ya mwanaume, hakikisha kuomba radhi kwako unakuzidisha kiasi cha kuwa atagundua unajaribu kufanya maksudi.

Gusa hapa>> USOME JAMBO ZURI ZAIDI KWAAJILI YAKO

10. Andika jumbe katika Instagram yake. “Hii picha inachekesha. Hivi ulikuwa unafanya nini hapa?” Wakijibu sema’ “Unapaswa kuniambia ana kwa ana. 🙂 Wataka hii wikendi tumeet ama?”
11. Usimjibu. Jaribu kuitumia hii mbinu. Wakati ambapo anakutext, usijibu kila swali ambalo atakuwa akikuuliza. Acha maswali mengine yakielea. Hapa utakuwa unampa wakati wa kukufukuzia zaidi kutaka kukuelewa.

12. Facebook sinema, vipindi ama gemu ambazo unataka kuziona. Kama yuko interested na moja wapo ya hizo basi atapata kisababu cha kutaka mkutane.

13. Pitisha karatasi iliyoandikwa kwa mkono katika party ambayo inasema, “Nilikuwa nakusalimia!” Ipitishe kwa mfuko wake – hii inafanya maajabu zaidi kuliko text za simu.

14. Msuke kabla hujamuona. Mtext umwaambie, “Unapaswa kuvalia ile tsheti ya blue leo usiku – inayafanya macho yako yapendeze.”

15. Mtie wasiwasi. Hivi ndivyo vya kufanya: Mara ya kwanza umpendaye anapokutext, mjibu, “Wewe ni nani?” Atakapojieleza,sema, “ntakosaje kukutambua? :)” Unamvutia.

16.Wakati anaonyesha dalili za kukutongoza usikubaliane na yeye hapo hapo. Msumbue na umpatie wakati mgumu mpaka ile siku utaona imefikia wakati wa kumkubali.

17. Wakati ambao unataka kumuwish gudbye, fanya kumsogelea kana kwamba unataka kumbusu lakini nenda hadi kwa sikio lake na umwamnie’ “Usiku mwema.”

Gusa hapa>> USOME JAMBO ZURI ZAIDI KWAAJILI YAKO

SMS ZA KUOMBA MSAMAHA KWA MPENZI WAKO

Mpenzi wangu naomba unisamehe, nakupenda sana dear na ni kweli kuna wakati nakukosea, lakini amini nakupenda. Sijawahi kujuta na sitajuta kamwe kuwa na wewe! Naamini nitaendelea kuwa mwaminifu kwako, sio leo tu, bali siku zote za penzi letu!


Gusa ujiunge hapa>> SMS ZOTE MPYA ZITAFUTE HAPA(SMS 300)
Tukae kimya sheteni apite, naamini haikuwa akili yangu bali ni ushawishi wa sheteni ambaye siku zote amekazania kuharibu penzi letu!


Wewe kwangu ni kila kitu, sipendi kuyaona machozi yako mpenzi wangu! Sogea nikufute na unirudishe tena mikononi mwako, nakupenda sana dear!


Wewe ni taa kwangu imulikayo gizani, nakupenda sana mpenzi wangu wa moyo, utakuwa wangu siku dear! Kosa nililofanya ni kwa bahati mbaya, naomba unisamehe na ninaahidi kutorudia tena katika penzi letu!


Tega sikio dear, nakupenda sana, ukweli wa ile sms uliyoifuma kwenye simu yangu, haikuwa yangu bali mtumaji alikosea kwa bahati mbaya! Nipo tayari tumpigie tukiwa pamoja tumuulize, kweli niamini dear! Naomba usiniache maana maisha yangu bila wewe ni sawa na giza nene!


Mimi kwako ni kipofu, nishike mkono tuvuke barabara, magari ni mengi na yanapita kwa kasi, siwezi kuona zaidi ya kusikia yakiunguruma, honi za magari siwezi kupima umbali wake, usiniache katikati ya barabara nitagongwa na kufa mara moja! Njoo niokoe nitagongwa mpenzi wangu! Forgive me dear…

Gusa hapa kujiunga>>JIFUNZE MUFANYA MWANAMKE YOYOTE AKUELEWE, TAFUTA HAPA


Japo umeniuzi sina budi kukupa hizi pongezi, sijui umejifunza wapi mapenzi, hakika kwako mi ni mfungwa wa mapenzi! Nakupenza mpenzi nitunziye langu penzi!


maneno million haliwez kulirudisha pendo lako najua kwasababu nimejaribu,pia machozi million haliwez kulirudisha najua kwasababu nimelia.


Najua nimekukosea baby, lakini fahamu kwamba
haikuwa nia yangu kukupotezea furaha yako, nipe
nafasi nyingine moyoni mwako!
Nipe nafasi nyingine maishani mwako!
Nisamehe mpenzi wangu!

Gusa hapa>> USOME JAMBO ZURI ZAIDI KWAAJILI YAKO


Najua una majonzi kwa kuwa uliyempenda
kakumwaga machozi kwa kukuacha ungali
walihitaji penzi lake, nimekuja mwokozi
kukufuta machozi kwakukupa la dhati
penzi. Nakupenda mpenzi amini sitalimwaga lako
chozi, na daima nitakuenzi.


JINSI RAHISI YA KUMTONGOZA MWANAMKE UMPENDAE

Kama umekua ukimpenda mwanamke na hujui jinsi ya kumutongoza leo nakueleza jinsi ya kufanya hivyo kirahisi kabisa.kikubwa ni kujiamini tu kisha fuata Yafuatayo;

1: Ukimwita mwanamke njiani au mahali popote kitu cha kwanza inatakiwa uwe nadhifu(msafi) halafu mpe salamu, usikrupuke tu kisha muulze jina lake hatakama nijina la kawaida tu mwambie jina lako zuri (Kama atakua hayupo sawa basi tumia ucheshi kidogo ili kumuweka sawa)

Gusa hapa kujiunga>> TONGOZA KWA SMS HIZI TU LAZIMA AKUBALI… TAFUTA HAPA

2; Maongezi yenu ya kiwa Mazuri usiogope kumwambia unachojiskia moyoni mwako. kunanjia nying za kuweza kumueleza kile unacho jiskia ila usiwambie moja kwa moja badalayake muundie sentensi kama hii “moyo wangu wa upendo umejaa mapenz ya dhati juu yako najiskia kukupenda nataman niwe na wewe daima katika maisha yangu” hii inamfanya afikilie kitugani unamaanisha ivyo mawazo yake yatakua tayari yameingiwa na ulichokisema hatakama atataka kumfaf kumfafanulia zaidi fanya kumwambia lakini mambo mengine utayoongea yawe ni yenye kumfanya afikilie.

3; Baada ya hapo utakua umetua mzingo kwake.Ila kitukikubwa katika kumutongoza mwanaume ni kujiamini na kuondoa woga babisa. Kama unasumbuliwa na woga katika kutongoza fanya kugusa hapa ili ujifunze njinsi ya kuondoa woga katika kutongoza.

MANENO MATAMU YA KUMWAMBIA MAPENZI WAKO

Wanaume na wanawake wote hujawa na furaha wanaposikia maneno mazuri kutoka kwa wapenzi wao. Maneno mazuri ya mapenzi huleta hisia ambazo husaidia kuimarisha uhusiano na kuongeza ukaribu kwa wapenzi. Hivyo, kumpatia maneno mazuri mwenza wako ni jambo la msingi na sio ujinga.

Katika makala hii tunaenda kukupa maneno Matamu ya kumwambia mpenzi wako. Hii ni kukurahisishia unapopata muda mzuri wa kumwambia mpenzi wako maneno Matamu au Mazuri.
Wakati mzuri wa kumwambia mpenzi wako maneno Matamu ya upendo ni wakati wowote unapojisikia kumsogeza karibu zaidi. Iwe ni asubuhi kabla ya kuanza siku, wakati wa mazungumzo ya kawaida, au hata nyakati za faragha mkiwa pamoja, maneno matamu hufanya kazi ya kuimarisha uhusiano wenu na kuongeza kiwango cha hisia za upendo. Hata ujumbe mfupi wa simu ukiwa na maneno haya unaweza kubadilisha siku ya mpenzi wako kuwa nzuri.

Mbali na kuimarisha mahusiano, wataalamu wa masuala ya mapenzi wanasema kwamba maneno matamu yanaweza kusaidia kupunguza migogoro midogo midogo kati ya wapendanao. Ni njia rahisi ya kusema “nakuthamini” bila hata kulazimika kutumia nguvu nyingi. Kwa hiyo, usisite kuyatumia maneno haya kwa mpenzi wako na uone jinsi uhusiano wenu utakavyonoga na kushamiri zaidi.

Maneno Matamu Ya Kumwambia Mapenzi Wako(Mwanamke au Mwanaume)

1.Wewe ni mzuri na ni mrembo naogopa hata kukugusa naona kama nitakuchafua.


2.Unapotabasamu huzuni kwangu hupotea , ghafla nakuwa mtu wa furaha.

MANENO MATAMU YA KUMWAMWAMBIA MPENZI WAKO 2022>> GUSA HAPA KUJIUNGA


3.Ungeweza kupata mwanaume yeyote duniani , lakini umenichagua mimi.


4.jinsi ulivyo wewe ndivyo nipendavyo.


5.Tabasamu lako zuri linanifanya niyeyuke.


6.Unaponiaga napata shida kukuruhusu uende.


7.Umenielewa vizuri, ni kama unasoma mawazo yangu


8.Ninapokushika nashisi kulegea kwenye magoti.


9.Wewe ni rafiki yangu, najifunza vitu vingi kwako,ndiye mtu ambae nimekuchagua, ndio mpenzi wa maisha yangu. ni wangu pekee, wewe ndio kila kitu kwangu.


10.Siamini , maana jinsi ulivyo amazing, lakini upo na mimi.


11.kila nikiangalia muda naona kama hautoshi kukupenda , natamani niwe na wewe milele. yaani wasife.


12.Umenifanya niamini kuwa zipo nafsi zinazoungana, zinazokutana pamoja.


13.Usiku nikiwa naangalia nyota na kuzilinganisha kila moja ili kuelewa ni kwa nininakupenda,nilifanya vizuri hatimae nikazikimbia.


14.Kukutana nawe ni kitu ambacho hakijawahi kutokea.


15.Unapoonyesha kunipenda, huwa nazidiwa na hisia , hapo hupotea kabisaaa.


16.Kabla ya kulala ni lazima kwanza nikupigie simu ndio nitapata usingizi.


17.Naweza kuwa nawe maisha yote, lakini bado nahisi kama haitatosha kukupenda.


18.Napata furaha nikiwa na wewe.


19. Napenda kutumia muda na wewe.

Gusa hapa kujiunga>>> MANENO YENYE HISIA KALI YA KUMWAMWAMBIA MPENZI WAKO


20.Napenda ngozi yako laini, ninapoigusa.


21.Natamani maishsa yangu yote nikuone ukiwa na furaha.


22.Usibadilike nakupenda jinsi ulivyo.


23.Nikiwa na wewe nafurahi kama mtoto.


24.Napenda nywele zako.


25.Napenda nikukumbatie

ninapokuaga.

Gusa hapa>> USOME JAMBO ZURI ZAIDI KWAAJILI YAKO


26.Natamani kukubusu kila sehemu ya mwili wako.


27.Naanza siku na wewe ndani ya mawazo yangu, na ninamaliza siku na wewe kwenye ndoto zangu.


28. ukiwa na mimi huwa natamani kusimamisha muda, maana muda unakwenda haraka.


29.Nikisikia sauti yako asubuhi , siku nzima ni mtu wa furaha.


30.Nakupenda sana mpenzi zangu.


Ni hayo tu katika kurasa hii ilo jaa Maneno Matamu ya kumwambia mpenzi wako. Endelea kuwa karibu na The bestgalaxy kwa mambo mengine mazuri zaidi.