JINSI RAHISI YA KUMTONGOZA MWANAMKE UMPENDAE

Kama umekua ukimpenda mwanamke na hujui jinsi ya kumutongoza leo nakueleza jinsi ya kufanya hivyo kirahisi kabisa.kikubwa ni kujiamini tu kisha fuata Yafuatayo;

1: Ukimwita mwanamke njiani au mahali popote kitu cha kwanza inatakiwa uwe nadhifu(msafi) halafu mpe salamu, usikrupuke tu kisha muulze jina lake hatakama nijina la kawaida tu mwambie jina lako zuri (Kama atakua hayupo sawa basi tumia ucheshi kidogo ili kumuweka sawa)

Gusa hapa kujiunga>> TONGOZA KWA SMS HIZI TU LAZIMA AKUBALI… TAFUTA HAPA

2; Maongezi yenu ya kiwa Mazuri usiogope kumwambia unachojiskia moyoni mwako. kunanjia nying za kuweza kumueleza kile unacho jiskia ila usiwambie moja kwa moja badalayake muundie sentensi kama hii “moyo wangu wa upendo umejaa mapenz ya dhati juu yako najiskia kukupenda nataman niwe na wewe daima katika maisha yangu” hii inamfanya afikilie kitugani unamaanisha ivyo mawazo yake yatakua tayari yameingiwa na ulichokisema hatakama atataka kumfaf kumfafanulia zaidi fanya kumwambia lakini mambo mengine utayoongea yawe ni yenye kumfanya afikilie.

3; Baada ya hapo utakua umetua mzingo kwake.Ila kitukikubwa katika kumutongoza mwanaume ni kujiamini na kuondoa woga babisa. Kama unasumbuliwa na woga katika kutongoza fanya kugusa hapa ili ujifunze njinsi ya kuondoa woga katika kutongoza.