Utataka Tena Au (Simulizi ya Maandishi)

Nilihamia Dar es Salaam kutafuta maisha, nikitegemea msaada wa kaka yangu ambaye hakuwa ameoa. Nilipokaa kwake, sikutilia sana mkazo kujenga maisha yangu. Badala yake, niliweka nguvu kwenye starehe za usiku, yani nikifanya kumbi za burudani kuwa sehemu yangu ya nisioweza kukoswa.

Huko kwenye kumbi, nilikutana na Merry. Mwanamke wa kuvutia, mwenye mwili wa mzuri sana. Uhusiano wetu ulianza kama biashara. Yani nilimpa pesa, naye alinipa penzi. Lakini kadri tulivyozidi kuzoeana, pesa zikawa si muhimu tena. Tulianza kufurahia penzi letu bila malipo, lakini tulikua tunakutana tu katika kumbi za starehe. Hakukuwa na mipango ya zaidi ya starehe.

Baada ya muda, niliona kuwa maisha yangu hayakuwa na mwelekeo ninao uelewa. Nilirudi kijijini kujaribu kujijenga upya. Nilijihusisha na kilimo na nikapata pesa za kutosha. Nikiwa kijijini, nilisikia kwamba kaka yangu ameoa na sasa anaishi na mkewe. Habari hizo zilinipa furaha na msukumo wa kurudi mjini ili kuanza maisha yangu binafsi.

Nilipofika mjini, nilipanga nyumba yangu na kuanza kujitegemea. Kabla ya kumtembelea kaka, niliendelea na starehe zangu maana ndio kitu nilichukua nakupenda sana hapo mjini. Nakumbuka nilipofika tu, Nikawasiliana na Merry ili tukutane kwe starehe tufanye mambo yetu. Lakini Merry aliniambia kuwa ameacha mambo ya zamani na hafiki tena kwenye kumbi za starehe kwakua ameolewa. Nilisikitika, lakini nikajitahidi sana mkushawi ili nipate tu penzi lake mara moja au turudi kwenye penzi letu kabisa. Baada ya mazungumzo marefu, alikubali na akasema atanifuata nyumbani kwangu tu na sio kwenye kumbi za starare tena.
Nilimuelekeza sehemu ambayo anatakiwa aje alafu alipokuaja, nikachukua hapo na kumpeleka ndani kwangu. Alikua ameva nguo nyeusi alafu fupi kiasi cha kuonesha sehemu za juu kidogo ya miguu. Muonekano wake ulikua unavutia sana na mapigo yangu ya moyo yalikua yanaongezeka kwa tamaa tulipoingia ndani. Ni kawaida yake kunichemsha Damu kiivyo maana ni mwanamke mwenye umbo zuri la kuvutia Kila mwanaume.

Nakumbuka tulikaa dakika chache tukiongea mule ndani mwangu kisha tukaanza kufanya kilichotukutanisha. Sauti za Merry za kuimba “Aahh mmh aissh aishii” ndizo zilitawala humo ndani huku tukiwa tunacheza hiyo nyimbo kwa kunesanesa.
Alilala na mimi usiku mzima ili kunifurahisha. Raha za kucheza mziki zilizidi mpaka alipokua anaondoka asubuhi, nilimshawishi aje tena akipata muda na akakubari.

Uhusiano wetu wa kimapenzi uliendelea kwa siku kadhaa tukiwa tunafurahia sana. Lakini moja, niliona ni vyema kumtembelea kaka yangu baada ya kukaa bila kuonana toka niingie hapo mjini. Nilipofika kwake, nilipigwa na mshangao wa ghafla kwasababu nilimkuta Merry akiwa ndiye mke wa kaka yangu!

Macho yetu yalikutana kwa sekunde chache tukaona aibu, lakini tuliweka sura za kutojali kama hatujawahi kuonana. Aibu ilitawala mioyo yetu, lakini hakuna aliyeweza kusema neno. Kila mmoja wetu alijua kwamba siri hiyo haikustahili kufichuliwa. Tangu siku hiyo, ni kama tulikubaliana kuwa kimya na kuacha kila kitu kilichotokea nyuma yetu.
Kuna muda nilikua nawaza “Huyu mke wa kaka huenda sio mtu mzuri… Alikua anawezaje kulala na mimi usiku wakati kaolewa?” Lakini nilikua nikifikilia tena kwa Mimi ndio niliepambana sana kumshawishi aje kunipa penzi wakati ananiambia ameolewa, naamua kuendelea kuwa kimya tu.
Mwisho nilianza maisha mapya, nikijifunza kuwa baadhi ya siri ni lazima zibaki kuwa siri, hasa zinapogusa heshima na furaha ya wengine.

MWISHO

Leave a comment