Category Archives: Love

SUKARI YA DADA 03 🔞

Baada tu ya kumaliza kugonga nikasika sauti ya mama ambae nilihisi kuwa ndie mama mwenye nyumba akimfokea biti yake ndani “ivi wewe inamaana, huo mlango unaogongwa huusikii au?!.. huo upumbavu wako ndiomaana kila siku nakwambia tafuta mume uniondokee we hutaki! na huo uzuri wako, utazeekea hapa hapa mbwa wee! kafungue mlango huko!” Alafu baada ya sekunde chache, mlango ukafunguliwa na dada mmoja mzuri sana mwenye asili ya kizungu akiwa kavaaa blauzi na kibukta cha maua kilichokua kifupi mno yaani uvaaji wake tu ulinionesha kuwa ni mtoto wakike alielelewa malezi ya kizungu na yenye kudekezwa ndani yake.
Aliniambia “Kariiiibu” akiwa anamaana niingie ndani nami nilimwambia “Asante sana” huku nikiingia na nilipoingia tu niliskia sauti ya kunichangamkia ya mama mwenye nyumba aliekua amekaa kwenye kiti huku amepakata Laptop “Anha karibu baba, we ndio yule kijana wa kazi ehee!?”
Nilimjibu”Ndio mama, shikamoo”
Akasema “Marahaba, karibu.. karibu ukae” kisha akamwambia kwa ukali yule binti yake wakike ambae muda huo alikua yupo karibu yangu “Unazubaa zubaa nini!?!. Hebu mpokee kaka ako begi, peleka ndani kwenye chumba chake!” Yule dada alinipokea begi langu na kuanza kutembea kidogo kidogo kuelekea katika vyumba kwa mwendo wa kulazimishwa lakini bado mamaake alimsindikiza kwa maneno “Yaani Suzy ukiona mimi nakutesa rudi kwa baba ako Uingereza ambae amekuruhusu kitoto kidogo uache shule kule, uje kufungua maduka ya nguo huku!! Ona sasa biashara zinavyokuchanganya… na nilisha kwambia, kwakua umekimbilia kumiliki vitu vikubwa basi malizia tu na kutolewa maana staki Utomboy wako hapa!!!”
Yaani ndani ya dakika chache nilipoingia kwenye nyumba hiyo nilianza kupata picha ya maisha ya familia hiyo kutokana na maneno aliokua akiyatoa mama mwenye nyumba na nilishtuka kidogo kusikia neno Tomboy maana wanawake ambao huitwa jina hilo huwa hawajihusishi sana na wanaume na ilikua ni ngumu kuamini kuwa pamoja na uzuri wote alionao Suzy alikua hana na haitaji mwanaume.


Baada ya mama kuongea maneno hayo tulianza kuongea mambo ambayo yalinileta pale… Aliniambia kulikua na mfanyakazi ambae alikuawa anafanya kazi kabla yangu lakini alimfukuza kutokana na kesi ya wizi hivyo asingependa kuniona nikirudia makosa na pia alinipa sheria kuwa nikiwa humo ndani sipaswi kutumia simu kabisa, nilikubaliana na yote alioniambia na tulipo malizia tu kuongea akawa anajitokeza Suzy toka alikokua ameenda. Mama alipomuona Suzy karudi alimwambia “Enhe Suzi hebu kabla hajapumzika mzungushe zingushe kaka ako sehemu ambazo alikua anafanya kazi yule mwizi. Mimi nataka kwenda kwenye kikao sasaivi maana naona wenzangu wananitumia ujumbe kwa njia ya email kuwa nahitajika haraka ila usisahau kumpa chakula” Suz Alijibu “Ok mamy” alafu akaniambia “Twende basi.. nifuate nikakuoneshe” huku akiufungua mlango na kuelekea nje mimi pia nilifanya kama alivyoniambia, nikatokannje na nikawa nikonyuma yake tukitembea kuelekea sehemu ambazo alikua ananipeleka. Kila hatua aliokua akiipiga Suzy ilikua ni mtihani mkubwa sana kwangu maana alikua akitembea, mzigo wake wa nyuma ulikua unajipiga piga kwa kupishana pishana ukiachilia mbali kibukta kifupi alicho kivaa ambacho kilikua kifupi kulikopaja zake na kufanya paja zote kua nje yaani kiukweli alinona mno na alikua anafanya akili yangu ihame lakini yeye alikua haelewi lolote na mbaya zaidi ni kwamba alijiachia mno kwakua huo ndio uvaaji wake wa mara kwa mara akiwa nyumbani pia mama yake inaonekana alikua hamuwaziii kabisa kuhusu mavazi.


Tukatembea mpaka tukafika katika bustani kubwa ya maua na tulipo fika nilishtuka kidogo kusikia Suzy aliniambia “Sasa bigi.. hii ndio bustani ambayo utakua unaishughulikia na kuhakikisha majani hayakui zaidi ya hapa maana bi mkubwa huwa hapendi majani yazidi hapa”
Nilijibu “Sawa” lakini kiukweli uongeaji wake ulikua ni wakujiamini kama mwanaume mpaka nikajiuliza kimoyo moyo “Mh Sawa amenichanganya lakini nitamuingiaje huyu?” lakini nilijipa moyo huwenda Penzi linaweza mbadilisha…

INAENDELEA…

Unataka tukutumie simulizi nzima kwa njia ya WhatsApp? GUSA HAPA

SUKARI YA DADA 02 🔞

Nilijiweka Sawa kisha nikasogelea chumba cha bafu ambacho kilikua kinasikika kelele za maji yakitiririka mwilini mwa Tausi lakini ghafla kabla sijaingia ndani yake niliskia kishindo kizito sana ndani ya bafu “Mbuuh!!” kikiambatana na “Mamaaaah!!!”. Nilishtuka sana na nikaamua kuufungua mlango kwa nguvu ilikujua nini kilichomtokea Tausi. Nilimkuta Tausi akiwa amelala chini tena kalalia Sura akiwa hana nguo yoyote katika mwili wake na maji yakiendelea kumwagika chini na kuchanganyikana na damu iliokua ikimwagika kutoka maeneo ya kichwa chake. Nilimfuata haraka kisha nikamnyanyua na kumpeleka moja kwa moja katika kitanda. Alikua amelegea mno kama mtu alielala usingizi mzito alafu alikua na mchubuko mdogo uliokua ukitoka damu nyingi kiasi katika sehemu ya paji la uso. Kutokana na mazingira, nilishindwa hata kuomba msaada maana ilikua ni usiku wa kama saa 8 ivii na pia nilikua na hofu kubwa ya binti huyo kupoteza maisha na mimi kuingia matatizoni.
Nilifungua begi langu na kuchomoa moja ya T-shirt zangu nyeupe pendwa na nikaitumia kuukandamiza mchubuko wake kwa sekunde kadhaa ili kufanya damu zisiendelee kutoka. Mungu alisaidia, damu ilikata kabisa lakini dalili za kuamka zilikua hakuna kabisa ingawa nilikua nikimshtua mara kwa mara kwa sauti ya chini “Tau.. Tausi.. amka basii.. amka rafiki yangu! Tau mama! nionee huruma.. amka basi” huku moyo wangu ukidunda mithiri ya mlio wa Generator na jasho likinishuka mno…

Nilikua nasikiaga tu kuwa Usiku ni mfupi sana kama mtu uko kwenye matatizo lakini siku hiyo niliamini kwakua nilikuta saa1 asubuhi imefika kwa haraka sana na bado Tausi hajaamka.. Niliendelea kujifungia kwenye chumba hicho huku nikiwa na hofu kama mtu aliekojoa ugenini lakini baada ya muda niliskia mlango ukigongwa “Ngo, ngo, ngo” nilishtuka na hofu iliongezeka mpaka nikaanza kutetemeka huku mlango ukiedelea kugongwa “Ngo,ngo,ngo”.

Dah nilifikilia jinsi ya kufanya nikaona kufungua mlango inaweza kuwa ni uamuzi mbaya kwangu kwasababu hata mtu asipoona kinachoendelea ndani, akiiona sura yangu tu atagundua ninamatatizo makubwa hivyo niliamua kumfokea kwa sauti kali na ya juu yule mtu aliekua anagonga mlango “Unagonga!.. Unagonga!… Unagongagonga milango asubuhi yote hii, watu tunakula raha zetu wewe unaleta usumbufu.. Tatizo NinI!?!??!? Ehee!?!??” Baada tu ya kufoka hivyo niliskia sauti ya kikohozi kidogo ikitoka karibu yangu “khooh!” nilipoangalia vizuri nilikuta ni Tausi ndie alikua akikohoa baada ya kurudishwa fahamu na makelele yangu. Baada ya kuona hivyo sikuwa na muda tena wa kusikiliza majibu ya mtu wa mlangoni mpaka akaondoka mwenyewe. Nilimchangamkia Tausi ili kujua anaendeleaje, anajiskia vipi na anahitaji nini na kwa wakati huo aliniambia anahisi njaa.. bila kupoteza muda nilitoka nje nakumtafutia chakula cha haraka kisha nikarudi kumpatia. Alikula na nikaendelea kuongea nae mambo mengi sana ili kuirudisha kumbukumbu yake na muda huo ndio niliutumia kumuazima simu yake kisha nikawasiliana na wenyeji wangu ili waje kunichukua kwenye Guest hiyo. Tausi alinishukuru kwa kuokoa maisha yake na alinipatia namba yake ya simu nikaiandika katika karatasi ili niweze kuonana nae kwa mara nyingine kisha akaondoka na kuniacha nikisubiri mwenyeji wangu kuja kunichukua.

Baada ya muda mfupi nilichukuliwa na deleva wa pikipiki alietumwa na wenyeji wangu kisha nikashushwa kwenye mjengo wa kifahari ambao ninaenda kufanya kazi ndani yake. Mjengo ulikua na wigo mkubwa sana na nilipoingia nilipita kwenye bustani kubwa sana ya maua kabla ya kuifikia nyumba yenyewe. Nilifika kwenye mlango na kuugonga mara kadha “Ngo ngo ngo” “Ngo ngo ngo” baada tu ya kumaliza kugonga nikasikia sauti ya mama ambae nilihisi kuwa ndie mama mwenye nyumba akimfokea biti yake ndani “Ivi wewe inamaana, huo mlango unaogongwa huusikii au?!.. huo upumbavu wako ndiomaana kila siku nakwambia tafuta mume uniondokee we hutaki! na huo uzuri wako, utazeekea hapa hapa mbwa wee! kafungue mlango huko!”

INAENDELEA…

Unataka tukutumie simulizi nzima kwa njia ya WhatsApp? GUSA HAPA

SUKARI YA DADA 01 🔞

Usiku uliotulia nilikua nipo kitandani nikiiwaza safari ambayo nilikua nimeisha jiandaa kuianza pindi kutakapo kucha. Safari hii ilikua ni yakwenda Dar es salaam kwaajili ya kufanya kazi katika Jumba moja la kifahari baada ya matokeo yangu kuwa mabaya na kushindwa kuingia kidato cha tano ili kuendelea na masomo. Pia binafsi sikupenda kuendelea maana nlikua sielewi kabisa vitu vinavyoendelea Darasani kutokana na kichwa kuwa na mambo mengi ikiwemo mambo ya ugomvi katika familia yetu. Baadae usingizi ulinichukua kisha nikashtushwa na Alam ya simu yangu nilioitega iniamshe ili niwahi gari kabla halijaondoka maana magari ya hapa iringa huwa yanajali sana muda kiasi ambacho ukichelewa dakika chache tu, unaweza achwa. Nilijiandaa, nikalibeba begi langu la nguo na wallet iliojaa pesa kwaajili ya matumizi yoyote yatakayojitokeza kisha nikaenda kupanda gari na safari ikaanza.

Wakati gari ikiendelea kwenda nilikua nikiliwaza jiji la Dar maana hiyo ilikua ni safari yangu ya kwanza na nilikua nikipewa Simulizi nyingi kuhusu jiji hilo ila sikua na hofu saaana maana namba ya simu ya wenyeji wangu nilipewa ili niwapigie nikifika kwaajili ya kunichukua na kunipeleka moja kwa moja katika nyumba yao.
Baada ya masaa mengi sana na vipindi vichache vya usingizi,gari iliingia Dar mida ya usiku sana. Nilitoka kwenye gari na begi langu mkononi nikiwa ninalishika kisawa sawa ili lisinyakuliwe na vibaka maana nilikua nikiskia kuwa wageni hukaribishwa Dar kwa namna ya pekee sana hahaha. Ulikua ni usiku lakini watu walikua wengi mno na kila mtu yuko busy na shughuli zake. kwa umakini mkubwa, nilinyooka katika sehemu ya duka ambayo nilihisi ni salama kisha nikachomoa simu yangu na kuipigia namba ya mwenyeji wangu.. lakini ghafla wakati nikiiweka simu sikioni kuna mtu aliipitia simu yangu kwa kasi ya ajabu na kwakua tukio lilikua la ghafla, nilibaki nimeduwa tu nikimuangalia aliechukua simu yangu akijichanganya katikati ya watu mpaka akatokomea.

Niliangalia kulia na kushoto nikaona hakuna mtu anaejishughulisha na tukio langu la kuibiwa simu. Nikaamua kukubaliana na uhalisia na wala sikua na hofu juu ya kukutana na wenyeji wangu kwakua namba zao nilikua nimezihifadhi pia katika kikaratasi kilichopo kwenye begi langu hivyo changamoto iliokuepo ilikua ni simu tu lakini muda huo ulikua si rahisi kupata simu ya kuwasiliana nao kwakua ulikua ni usiku sana na hatua pekee niliochukua ni kutafuta chumba katika nyumba za wageni maana pesa nilikua nazo za kutosha. Nilibahatika kupata chumba katika Guest moja bomba sana nikaamua kuingia humo ili nipate kupumzika.

Kutokana na uchovu wa safari, sikupoteza muda.. nilifunga mlango na kujitupa kitandani kama mzigo “Bwaah” lakini punde si punde nikasikia mlango wa chumba hicho ukigongwa “Ngo,ngo,ngo!!” “Ngo,ngo,ngo”. Niliamka kwa hasira mno maana nilona kama ni usumbufu vile lakini hasira zote ziliniisha nilipofungua mlango na kukutana na mrembo mweupee, mzuri, mwenye shepu la hatari na macho ya kulegea akisema “Samahani wangu.. naitwa Tausi, nlikua nataka kukufahamisha kuwa kama uko pekeako tunaweza kujumuika pamoja mpaka hasubui”
“Mh kujumuika? Kujumuika kivipi mbona sijakuelewa dada angu”

Duh… ilibidi niulize anamaana gani japo nilifahamu alichokua akizungumzia lakini ukweli ni kwamba nilipanga kutojihusisha nawanawake wamitindo hiyo lakini nilishindwa kujizuia aliponijibu…
“Yaani namaanisha kama utahitaji tulale wote.. nipo kwaajili yako na nitakupa kila kitu unacho hitaji” huku akivutia kwa juu kinguo chake kifupi ili nione paja zilizo nona.
“Sawa lakini..”
“Lakini nini wangu?”
“Okay.. okay.. ingia ndani.. ingia ndani.. karibu” nilijibu kwa kigugumizi sana maana muda huo nilikua ni kama nimetekwa na akili na nimetolewa kwenye msimamo wangu kwa uzuri wake..
“Asante.. mambo vipi lakini?”
“Safi tu, mzima?”
“Mi mzima tu wangu”
Nikamwambia jina akaingia ndani na katika chumba changu kulikua kumetawaliwa na kitanda pamoja na kiti kimoja tu ambacho alikitumia kuweka mkoba wake kisha akaanza kuvipunguza vitu katika mwili wake kwa kuanza hereni na mkufu wa gold ulikua ukiking’arisha kifua chake kilicho na vitunda vilivyosimama kama mshale. Nikiwa nimekaa kitandani niliendelea kumshuhudia Tausi akizidondosha nguo zake moja baada ya nyingine mpaka akabaki na nguo ya kwanza tena ilikua ni kama kikamba tu katika mwili wake… Alikua amejaza mzigo nyuma kuliko sehemu zake zote. Baada ya kupunguza vitu katika mwili wake, alinigeukia na kuniambia “Nahitaji kuoga kwanza wangu.. nafikiri tutaenda wotee”
“Mh nafikiri unge.. unge.. ungeeenda tu hat.. hata usijari” niliongea kwa kigugumizi kutokana na hamu ilionizidi kiasi kwamba hata mate yalikua magumu kuyameza.
“Hapana wangu.. twende bafuni, usiogape kwasababu Mimi nipo hapa kwasababu yako”
“Dah… Okay.. bas.. basi tangulia nakuja”
“Sawa”alijibu huku akielekea kwenye bafu ambalo lilikua ndani ya chumba hicho hicho. Alipoingia tu bafuni sikutaka kupoteza muda, nlichomoa nguo zote nikabaki na nguo ya ndani tu huku nikiwa tayari nimejitutumua mpaka mishipa ya kichwa imesimama tayari kwa kuilamba Sukari ya Tausi. Nilijiweka Sawa kisha nikasogelea chumba cha bafu ambacho kilikua kinasikika kelele za maji ya kitiririka mwilini mwa Tausi lakini ghafla kabla sijaingia ndani yake niliskia kishindo kizito sana ndani ya bafu “Mbuuh!!” kikiambatana na “Mamaaaah!!!”.

INAENDELEA…

Gusa kitufe hiki chini kusoma sehemu inayofuata.

Unataka tukutumie simulizi nzima kwa njia ya WhatsApp? GUSA HAPA

JINSI KUMPANDISHA HISIA ZA KUFANYA MAPENZI MWANAMKE MUKIWA KARIBU

Kama unahitaji kumpandisha hisia / nyege mwanamke uliekaribu nae yaani ya weza kuwa uponae ndani na unahitaji kufanya naemapenzi basi tumia mbinu hizi kumfanya apandwe na hamu ya kufanya mapenzi na wewe.

1. Amsha Hisia zake

Njia za kuamsha hamu ya kufanya mpenzi ya mwanamke au Hatua za kufuata kuamsha hisia za mwanamke ni kama ifuatavyo
Andaa mazingira
Andaa mazingira ya kuamsha hisia zake, fanya kitu kitakachowasogeza karibu na kuamsha hisia zake Kwenye akili yake kabla ya kugusa mwili. Mfano, weka mziki au muvi nzuri n.k. Kisha tengeneza mazingira ya kuwa karibu kimwili na kugusana.

Gusa hapa>> USOME JAMBO ZURI ZAIDI KWAAJILI YAKO

Kaa kwa kubanana naye
Unapokuwa na mwanamke ambaye umemzimia, tafuta kisababu cha kukaa na yeye karibu. Toa simu muangalie pamoja videos kama vile za kuchekesha, ama unaweza kuchukua kitabu/gazeti umuonyeshe habari ambazo anapenda ilimradi tuu muwe karibu.
Usimwonyeshe/usiongee wazi kile unachotaka
Usijaribu kutumia lugha ya kutongoza ama utamfanya aanze kukushuku. Tayari anajua kuwa miguso ya mikono yako ya mara kwa mara inaashiria kitu fulani. Kile unachotakiwa kufanya ni kuivuruga akili yake kwa kuleta mada ambayo itamvutia huku ukiendelea gusa mwili wake

2. Anza kutumia lugha ya kumsuka
Wakati mtakuwa mnaendelea unaweza kutumia maneno ya kumsuka lakini yawe ya kichini chini. Mfano unaweza kumwambia “Unanukia utamu”, “nimependa kitambaa cha nguo yako”,”nishawahi kukuambia kuwa macho yako yanapendeza? Nimependa vile yanang’aa nikiwa karibu yako.” Maneno kama haya unaweza kumrushia mwanamke huyu bila hata yeye kusongea mbali na wewe. Mwanzo atakuwa anapenda kuyaskia.
Isome miondoko yake
Ukianza kumuona anazungumza polepole na kukusongelea karibu yako, ishara kuu ni kuwa yupo tayari. Kwa hiyo kufikia hapa unaweza kurudia hatua za kumsuka, kumgusa na kujaribu kufikia viungo vyake vingine vya mwili ilimradi nyote wawili mnafurahia.

Baada ya kuonesha kukubali endelea na mambo haya;

Mbusu
Baada ya kuandaa mudi au mazingira na kuamsha hisia zake sasa tafuta namna ya kumbusu. Mbusu taratibu kwa namna ambayo haitamshtua na kumfanya aogope au akatae.

Mhikeshike
Wakati wa kumbusu mshike mwili wake ili kuamsha hisia zake. Anza na mikono kiasha rudi kichwani Kwenye nywele zake na kisha maliza sehemu nyingine za kuamsha hisia zake
Usimlazimishe bali mbembeleze
Kama hataki usimlazimishe bali mbembeleze au muache mpaka wakati mwingine atakapokuwa tayari.

HII NDIO JINSI YA KUFANYA MAPENZI KWAKUTUMIA SIMU TU

Unachotakiwa kufanya ni kuwa tayari kwa ajili hiyo nikiwa na maana mazingira, muda wa kutosha pia kutumia sauti yako, pumzi, maneno na “imagination” vilivyo na mambo yatakuwa bomba kama kweli vile.
……..sote tunajua kuwa wanaume na ego zao huwa wanapenda kuwa in control na hivyo hupenda kuongoza linapokuja swala la kufanya mapenzi hata wanapokuwa simuni.
Sasa hapa nitajaribu kukupa mfano wa kufanya mapenzi kwa njia ya simu….kumbuka tu kuwa hii ni sanaa na unapaswa kujifunza kila siku ili kuongeza ujuzi na vionjo sio unashupalia come on baby….come on baby.

Gusa ujiunge hapa>> TAFUTA HAPA SMS ZA KUMPANDISHA NYEGE MWANAMKE MPAKA MUANZE KUCHATI KUHUSU MAPENZI

Kitu unachotakiwa kutilia maanani ni kujua anapenda kufanyiwa nini au kusikia maneno gani kutoka kwako ambayo yatamnyegesha…….mfano mimi napenda kuambiwa kile unachokifanya.
D-Hey sweetie…..mambo yako? Leo nina hamu kweli ya kutombwa na wewe……
J-Oh yeah…..
D-Anha….
J-Unatakaje
D-Vyovyote….
D-Baby, imagine niko chumbani nimeinama bila nguo natandika kitanda……
D-Unakuja nyuma yangu na kunikumbatia na bakora yako inagusa makalio yangu……ooh baby I like that….
D-Unanishika kiuno unakwenda taratibu na kuyashika matiti yangu…..sasa unaweka midomo yako na kujaribu kunyonya chuchu…..aawww….isssshh it feels so good…..
D-Sasa unanibusu midomo yangu……nakushuka maeneo ya shingo….. huku ukinipapasa taratibu……nashindwa kujizuia najiangusha kitandani…..
Hapo sasa “J” ambae ni mwanaume ndio unachukua hatamu nakuendeleza game……
Mwanamke unatakiwa kujiachia kutokana na raha unayoipata wakati huo huwa nzuri sana kama nyote wawili mtabadilishana sauti za utamu au raha mnayoipata nikiwa na maana kama vile mnafanyana physically.
Mf: aaah yess aaah baby tamu….nifanye kwa nguvu….(hapo vipi) hapo hapo….inaumaaaaah…(pole mpenzi)…nahisi kichwa kilivyo moto….

Gusa jiunge hapa>> PATA UJUMBE MTAMU WA KUMFANYA MPENZI WAKO AHISI BARIDI YA GHAFLA NA AKUHITAJI, TAFUTA HAPA

JINSI YA KUMRUDISHA MPENZI ALIEKUACHA (EX WAKO)

1. Kata Njia Zote Za Mawasiliano Naye

ILi kumrudisha mpenzi wako Kwanza anatakiwa ajue ni kwa kiasi gani anakumiss na njia pekee ya kufanya hivyo ni kukata mawasiliano naye hii itasaidia kumpa muda wa kufikiria ni umuhimu gani unao Kwenye maisha yake.

Gusa hapa>> USOME JAMBO ZURI ZAIDI KWAAJILI YAKO

2. Jaribu Kuwa Bize na Mambo Yako

Muda wowote Mahusiano yakiisha kila mmoja anataka kujua ex wake anafanya nini na kama anaendelea na maisha hivyo ni muhimu kujikita katika mambo yako binafsi hii itakukosesha muda wa kuanza kumuwaza na kumtafuta Ex wako na endapo ataona unafanya mambo yako ya maendelo basi atavutiwa zaidi.

3. Muonyeshe Anachokikosa Kutoka kwako

Kama unataka kumrudisha Ex wako jaribu kumkumbusha sababu za kukupenda Mwanzoni ni muhimu kujua sababu za kuachana na kutumia zile sababu kujiboresha zaidi na kujionyesha kuwa umekuwa na kubadilika na kuwa endapo atakupa nafasi basi utakuwa tayari

Gusa hapa>> USOME JAMBO ZURI ZAIDI KWAAJILI YAKO

JINSI YA KUMSAHAU MAPENZI ALIEKUACHA

1) USILIBEBE KAMA VILE NI TATIZO KUBWA SANA. lichukulie kama tatizo la kawa ida ili uipe akili yako nafasi ya ku relax na kupata maarifa mapya.

2)WAWEKE WAZI MARAFIKI ZAKO NA WAKE. unapokuwa wazi kuongea unakuwa unatoa ile sumu ya uchungu moyoni, na wanaweza wakakupa faraja. Lakini ukikaa nalo moyoni unaweza ukafa siku si zako kwa presha!

Gusa hapa>> USOME JAMBO ZURI ZAIDI KWAAJILI YAKO

3)USIPENDE KUTEMBELEA AU KUFANYA VITU AMBAVYO MLIKUWA MNAFANYA PAMOJA ENZI HIZO. hiyo inaweza ikakuzidishia maumivu na kumkumbuka.

4)USIANZISHE MAHUSIANO MAPYA HARAKA HARAKA. jizuie kuanzisha mahusiano mapya haraka kama vile njia ya kumsahau coz unaweza ukajikuta unapata mtu ambae atakuumiza tena ukazidi kujiona una mkosi.

5) USIMWAMBIE MPENZI WAKO MPYA MABAYA YA MPENZI WAKO WA ZAMANI. Usimwambie mabaya ya mwenzie anaweza akajiona yeye ndio malaika na hivyo akakunyanyasa kwa kukumbushia aliyokuwa anakufanyia mwenzie. Mwelezee mazuri ya mwenzie ili atamani kukutendea mazuri zaidi.

Gusa hapa>> USOME JAMBO ZURI ZAIDI KWAAJILI YAKO

SEHEMU ZA MWILI WA MWANAMKE ZA KUZICHEZEA ILI KUPAGAWISHA

Kumfurahisha mpenzi wako ni sanaa inayohitaji uelewa na umakini wa hali ya juu. Wanawake wengi hupenda mapenzi ya upole na yanayochochea hisia zao kwa namna ya kipekee. Mwanaume anayejua kucheza na hisia za mwanamke wake, huweza kumfanya ahisi kupendwa, kuthaminiwa na hata kupagawa kwa furaha isiyoelezeka. Hii hufanya uhusiano wao kuwa wa karibu zaidi na wenye mvuto wa kipekee.

Wanaume wengi hujikita zaidi kwenye sehemu kubwa za mwili wa mwanamke bila kujua kuwa kuna maeneo maalum yanayoweza kumfanya ajisikie vizuri zaidi. katika makala hii, tumeorodhesha sehemu ambazo ni maranyingi humfanya afurahi zaidi. Kama ulikua unahitaji kujua juu ya hili, basi twende pamoja hapa chini.

Sehemu ambazo humfurahisha zaidi mwanaumke

1. Kichwani; juu ya kichwa cha binadamu kuna mishipa mingi ya damu na ile ya fahamu hivyo maeneo haya yakishikwa homoni kama oxytocin na serotoinin huachiwa mwilini na kuleta msisimko mkubwa.

2. Sikio; sikio ni sehemu yenye mishipa ya fahamu inayoenda kwenye ubongo, mara nyingi sikio watu hua wanalipuuza sana na kuzani halihusiki lakini naomba nikwambie ni moja ya sehemu inayoweza kumfanya mtu achanganyikiwe.

Maneno matamu ya kumwambia mpenzi wako BONYEZA HAPA>>>

3. Ulimi ; ulimi ni sehemu ya mwili ambayo ina mishipa mingi mara mia moja zaidi kuliko ile mishipa ya fahamu ya viganja vyetu. msisimko wa ulimi unasababishwa kumwagika kwa homoni ambazo zinatuletea furaha ya mioyo yetu.

4. Shingo; hii ni sehemu ya mwili yenye ngozi laini sana ambayo inasisimka hata kwa kuipumulia tu na pua. ni moja ya sehemu nzuri sana kunyonya, kulamba na kubusu.

5. Chuchu; wanaume wengi wanatumia sehemu hii kama sehemu kuu kumsisimua mwanamke, ni kweli kabisa tafiti zinaonyesha kwamba sehemu ya ubongo ambayo husisimuka chuchu za mwanamke zikiguswa ni sehemu hiyohiyo ambayo inasisimka kinembe na uke vikiguswa. kwa hiyo ni moja ya sehemu muhimu sana.

6. Kiuno au mgongo wa chini; kama umechunguza ni kwamba wanawake wengi husisimka sana wakiguswa viuno vyao ghafla hata wakati wa kukumbatiwa tu. hii ni sababu ya mishipa ya fahamu inayoenda hadi kwenye sehemu zake nyeti hupita huko.

7. Tumbo; tumbo ni sehemu ambayo watu wengi hawaitilii manani sana lakini misuli ya tumbo imeungana na uke moja kwa moja ndio maana baadhi ya wanawake hufika kileleni kwa kufanya mazoezi ya tumbo kitaalamu kama core exercises..

Jinsi ya kupata mchumba mtandaoni BONYEZA HAPA>>>

8. Katikati ya mapaja; hii ni sehemu yenye msisimuko mkubwa kwenye mwili wa mwanamke, watu wanaondesha magari wanajua siri hii kwani wakimpakia mwanamke wanatumia njia hii kumsisimua kwa kuweka mkono mmoja kwenye mapaja yake.

9. Nyayo za miguu; nyayo za miguu zikiguswa hata kwa mtu ambaye sio wa kike zina msisimko sana kama wa kutekenywa hivi na sina msisimko mkubwa kuliko sehemu nyingi nilizotaja.

10. Kinembe [critoris]; hii ni sehemu ya mwanamke ambayo kazi yake ni kuleta msisimko tu na raha kwa mwanamke..eneo hili linazaidi ya mishipa ya fahamu 8000, ni eneo dogo sana lakini shughuli yake sio ndogo. naweza kusema ndio eneo lenye msisimko mkali kuliko yote niliyotaja hapo juu na likiguswa tu mwanamke analoana kabisa.

Gusa ujiunge hapa>> TAFUTA HAPA VITU VYA KUMPAGAWISHA MPAKA AWEANALIA AKIWAZA KUWA UTAMUACHA

DALILI 11 ZA MWANAMKE ANAEKUPENDA ILA ANAOGOPA KUKUAMBIA UKWELI

Zifuatazo ni dalili 11 za mwanamke anaekupenda lakini anaogopa kukuambia.

1. KUKUTEGA ILIKUJUA THAMANI YAKE KWAKO
Hufanya mambo ambayo yatamfanya kuona kama unampenda na kumthamini au la mfano wa mambo hayo ni kama kujifanya anaumwa na kauangalia respond yako kwake ni kiasi gani unamjali na kiasi gani utahangaika kwa ajili yake.

2.HUWA ANAPENDA KUKUGUSA SEHEMU YAKO YA MWILI.
Haoni aibu kugusa sehemu ya mwili wako. Msichana anayependa haoni aibu kukushika mkono ama kukutomasa au hata kukumbatia.Kwa kufanya hivyo hujua kuwa kwa asilimia kubwa hisia za kushikana kwenu kutamrahishishia kazi ya kuwa na wewe.

3. KUCHEKA TENA MUDA MWINGINE KWA NGUVU
Kucheka kwa nguvu hata kwa kitu kisicho chekesha endapo wewe umezungumza. Mara nyingi ataonesha uso wa furaha hata kama si furaha ya kweli.

4. ANAKUA NA WIVU
Hujisikia wivu anapokuona na wasichana wengine. Ukiwa unachart nao na ukiwaita majina ya kimahaba. Hapendi na hupenda yale afanyiwe yeye tu hata kama sio mpenzi wako.

Gusa hapa>> USOME JAMBO ZURI ZAIDI KWAAJILI YAKO

5.HUKUMBUKA MATUKIO MUHIMU YOTE KUHUSU WEWE
Anakumbuka siku zako muhimu. Hukumbuka kama vile siku yako ya kuzaliwa hatoweza kuisahau kufanya ipite bila kukutakia heri ya siku ya kuzaliwa kama sivyo ukifauli mtihani au chochote katika maisha yako atakuwa mbele kukupongeza.

6. HUPENDA KUANGALIANANA WEWE MUDA MWINGI
Eye contact hupendelea sana kukuangalia machon muda wote ambao mtakuwa mkizungumza pamoja akidhani kuwa utamuelewa ni kiasi gani anakupenda kupitia vile anavyokuangalia. Ila wengine huona aibu kuwatazama wavulana wanaowapenda hivyo huweka jicho la wizi na kukuvizia.

Gusa hapa>> USOME JAMBO ZURI ZAIDI KWAAJILI YAKO

8. HUPENDA KUKAANA WEWE MUDA MWINGI NA KUKUJUAZAIDI
Hupenda kukaa muda mwingi na wewe. Hawezi kupoteza hata sekunde ukimuhitaji kwa mazungumzo. Anajisikia furaha kukaa na wewe muda mrefu bila kuchoka. Anaweza akaacha kila kitu anachokifanya ili ajumuike na wewe na akikaa na wewe hupendelea sana mwanzoni kukujua wewe zaidi na hukujengea mazingira ya wewe uwemuwazi ili umwambie mengi kuhusu wewe na pia akiwa na wewe atakuwa muwazi zaidi hadi mavazi aliyovaa hupenda sana kujua yako na kukuambia yake na hupenda kujua ni mavazi gani yeye akivaa anakuvutia zaidi na atajitahidi kuwa anavaa ya style hiyo kukufurahisha.

9.YUPO TAYARI KUSACRIFICE
Kama msichana anakupenda yupo tayari kusacrifice. Ni kitu ambacho hakuna mtu ambaye anaweza akafanya kwa mtu mwingine. Utamuona vipi huyo msichana alivyo kwako na kwa wengine. Yaani yupo tayari akose lakini wewe upate na kwa mwingine anaweza akamwambia hana alichoombwa lakini akakupa wewe kama pesa na vitu vingine.

10. HUPENDA KUTATUA MIKWARUZANO YENU KWA AMANI
Mikwaruzano ikitokea katika urafiki wenu hayupo tayari kukupoteza kabla hajakwambia nakupenda.Kwa kuwa anakupenda endapo ikitokea mikwaruzano basi atafanya juu chini kuyaweka mambo sawa ili asikukose.

Gusa hapa>> USOME JAMBO ZURI ZAIDI KWAAJILI YAKO

11. HUPENDA KUKUNUNULIAZAWADI ZA MITEGO
Mwanamke anaekupenda hupenda kujua mengi sana kuhusu wewe na hapo inamsaiia kukununulia zawadi za mitego kama boxer , na mara nyingi hupenda rangi nyeupe, au kukununulia perfume , sabuni ya kuoge ya manukato,soksi, vest, bukta, saa,raba, t-shirt. Na kama mkitoka wote mkaenda shopping ataakutega kwa kukuonyesha vitu na wewe ukionekana umependa kitu hatonunua siku hiyo ila atanunua siku inayofuata na kukuletea kama suprise.