Tag Archives: Swahili

Ukiona dalili hizi Jua Account yako ya Facebook imedukuliwa na si salama (hacked)

Account za mitandao ya kijamii huwa zinawindwa na kudukuliwa na hackers. Katika Facebook muda mwingine unawezakua unatumia account iliodukuliwa na haujui kuwa imedukuliwa. Madhara ya kutumia account ya Facebook iliodukuliwa ni kwamba hacker anaweza itumia account yako ya Facebook kufanya uhalifu kwa watu Wengine na hao watu wakajua wewe ndiye umewafanyia hivyo. Kwaiyo ni muhimu kujua hali ya account yako ya Facebook ili kuepukana na mambo kama hayo.

WhatsApp yako inatatizo? Jifunze jinsi ya kutatua hapa>>>>

Kwenye audio nimezungunzia jinsi unavyoweza tambua kama account yako ya Facebook imedukuliwa/hakiwa na hackers. Kama imekufungua wewe basi usiache kuwa kuwajulisha na watu wako wengine wa karibu juu ya hili ili waweke account zao salama sisijetumika kukutapeli na vitu vingine kama hivyo. Unaweza gusa kitufe cha kijani hapo chini kuwasamazia watu ujumbe huu kwenye WhatsApp.

Kuangalia vifaa vilivyotumika kuingia kwenye Akaunti yako ya Facebook

  • Ingia kwenye account yako ya Facebook na uguse vimistari vitatu(menu)
  • Baada ya hapo chagua “Settings” ingia kwenye “Security and Login
  • Ukisha fanya hivyo utatupwa kwenye ukulasa ambao unakipengele kilichoandiwa “Where you Logged in“. Kwenye kipengele hiki unakutana na list ya vifaa ulivyotumia kuingilia kwenye account yako ya na taalifa nyingine kuhusiana uingiaji.

Mazoezi ya mwili ambayo husaidia katika Mapenzi

Mazoezi ni kitu muhimu sana katika maisha ya mwanadamu kwa sababu huuweka mwili vizuri na huuepusha na baadhi ya magonjwa pia. Mazoezi pia yamethibitika kusaidia katika kuuweka mwili mwili vizuri katika upande wa tendo la kujamiiana/kufanya mapenzi kwa jinsia zote mbili. Lakini unatakiwa kujua kuwa si mazoezi yote huwa na faida katika upende wa kufanya mapenzi bali ni mazoezi ya Kigel ndio huwa na faida katika upande huu.


Kigel ni aina ya mazoezi rasmi yalioandaliwa kwaajili ya kuimarisha misuli ya nyonga na viungo vilivyopo chini kwa mwanaume na mwanamke. Mazoezi haya husaidia viungo vilivyopo chini ya nyonga kuboresha mawalisiliano, kuboresha udhibiti wa kibofu cha mkojo na pia huimarisha uwezo wa kufanya tendo/mapenzi

Ukiona dalili hizi Jua Account yako ya Facebook  imedukuliwa na si salama GUSA HAPA>>>>

Jinsi ya kufanya mazoezi ya kigel
Kitu kizuri kuhusu mazoezi haya ni hayahitaji gharama zaidi ya muda wako maana unaweza yafanya hata ukiwa nyumbani. Mazoezi haya hufanywa na wanaume au wanawake. Tafuta sehemu yenye hewa safi na nafasi ya kutosha pia iweinaruhusu wewe kulala chini (chini pawe pasafi au weka kitambaa), inaweza kuwa ni chumbani, sebleni na ikiwezekena nenda katika vyumba maalumu vya kufanyia mazoezi. Baada ya hapo unaweza fanya mazoezi yafuatayo;

Zoezi la kwanza;

Lala chali katika sakafu ilionyooka, kunja magoti kisha pandisha kiuno juu kabisa kama picha iliopo juu inavyoonesha. Baada ya kufanya hayo anza kupandisha kiuno hicho na kukishusha. Endelea kufanya hivyo kwa muda usiopungua dakika tano.

Zoezi la pili;



Jilaze katika sakafu ukiwa umenyooka na umeangalia chini, kisha unyanyue mwili wako kwa kutumia miguu yako na mikono yako kama jinsi picha inavyoonesha. Kaa kwa kuganda kama ulivyo na hakikisha wiliwako unanyooka kama rula kutoka miguuni hadi kichwani. Endelea kukaa kwa muda usiopungua dakika tano.

Zoezi la tatu;

Lala chali ukiwa umeinyoosha miguu alafu nyanyua mikono na miguu juu kisha kunja magoti miguu ikiwa bado ipo hewani. Anza kuushusha mguu wa upande mmoja wakati huohuo hukishusha mkono wa upende tofauti na uliopo mguu kisha rudisha tena mguu na mkono juu. Rudia kitendo hicho kwa mguu na mkono mwingine. Endelea kurudia rudia tena tendo hilo kama picha inavyooneshwa katika picha inavyooneshwa hapo juu kwa muda usiopungua dakika tano.

Maneno ambayo hutakiwi kuyasema kwa mwenza wako GUSA HAPA>>>

Hayo ni baadhi tu ya mazoezi ya kigel ambayo unaweza fanya kila siku ili kuuweka mwili wako uwe vizuri katika tendo la kujamiiana. Sasa tuangalie baadhi ya faida ambazo mtu anaefanya mazoezi haya huzipata.


Faida kwa mwanaume

  • Huongeza uwezo wa kujizui kumaliza tendo kwa haraka
  • Huimarisha misuli katika sehemu zake
  • Huongeza uwezo wa kubana mkojo

Faida kwa mwanamke

  • Huimarisha misuri ya nyonga na kuifanya iwe fanisi
  • Huongeza hamu ya kufanya mapenzi
  • Hufanya mzunguko wa damu ufanyike vizuri katika sehemu zake.

Natumaini mpaka hapa umejifunza kitu na nakusihi endelea kuwa na The Bestgalaxy hakikisha upo na sisi kila wakati ili uendele kupata vitu vizuri.

Ujumbe mzuri kwa mpenzi wako katika kipindi cha Krismasi

Kipindi cha mwisho wa mwaka ni kipindi kizuri sana cha wapenzi kutumia muda wao pamoja. Sasa kama unampenzi basi katika ukaribu wenu wa kipindi hiki unaweza kumtumia mpenzi wako ujumbe mzuri utakao mfurahisha na kujiona wa peke katika maisha yake. Hapa tume kuandalia jumbe nzuri unazoweza mtumia mpenzi wako katika kipindi cha Krismasi. jumbe hizo ni zifuatazo;


~~~~Tulikutana, tukapambana ili tubaki pamoja, tukashinda na tulikua na nguvu katika changamoto zote tulizokabiliana nazo mpaka kufika hapa. Nafikili penzi letu litazidi kuwa imara zaidi. Nimependa kutumia Christmas hii kukukumbusha kuwa, nakupenda sana mpenzi wangu.~~~~

~~~~~~Penzi lako ni zawadi bora ambayo ninaweza kuifurahia zaidi! Krismasi njema, mpenzi!~~~~

~~~~Siku zinakwenda, masaa yana kwenda mimi bado nipo na wewe. Unaona naishi kwa furaha, naona kuishi ni raha lakini tambua sababubu kubwa ni wewe. Tafadhari usije sahau kuwa nakupenda na moyo wangu umetekwa na wewe.~~~~~~

~~~~~Krismasi inakuja mara moja kwa mwaka, lakini tafadhali jua kwamba ninakuenzi kila siku, bila kujali umbali kati yetu. Christmas njema mapenzi wangu.~~~~~

~~~~Nakutakia Christmas njema mme/mke wangu… Nakupenda Sana na ningependa popote ulipo utambue una nusu ya moyo wangu na nusu niliobakinayo yote inakupenda wewe.~~~~

~~~~Penzi letu ni changa bado lakini upendo wangu kwako upo zaidi ya unavyoweza kufikilika, nakupenda Sana na nafurahi kila nikikuona mbele ya macho yangu hakika umeteka hisia zangu. Nakutakia furaha msimu huu wa sikukuu na nitafurahi zaidi tukitumia wote siku ya Christmas.~~~

~~~~~Wewe ni ua zuuri lililoota katika bustani ya moyo wangu, tena ni ua pekee la thamani, linalonipa furaha katika maisha yangu. Nakupenda Sana na najivunia kuwa na wewe malaika wangu. Kuwa na furaha tele katika msimu huu wa sikukuu, kipenzi changu!~~~~~~

~~~~~Hakuna raha kama kupendwa na wewe na sijawahiona karaha kuwa na we. Kama moyo wangu ungekuwa wazi, ungejiona ukiwa peke yako na ukobusy kunipa furaha. Nakupenda Sana na nakutakia furaha katika msimu huu!~~~~~

~~~~Katika Christmas hii nitapenda niwe na furaha, na nikae na mtu ninaempenda na anipae furaha. Vyote hivyo vitakamilika endapo tutatumia siku hiyo pamoja maana utanipa furaha na vile vile nitakuwa na wewe nikupendae na unapae furaha. Mpenzi, tutakua wote si ndio?~~~~

~~~~~Wanasema furaha haiwezi kupimwa kwa maneno halisi, Ni kweli. Tambua kuwa Krismasi hii inatukumbusha kwamba upendo, furaha, na nia njema ndio vitu halisi vinavyoinua maisha yetu. Asante kwa furaha unayoniletea tangu nilipokutana na wewe, mpenzi wangu.~~~~~

SMS za kumtakia mpenzi wako usiku mwema

Kutuma sms au ujumbe wenye maneno mazuri kwa mpenzi wako, ni kitu muhimu sana katika mapenzi. Unapotuma ujumbe/message moja kwa moja unakua umeonesha kumjali na pia kumkumbusha kuwa yeye ni wamuhimu kwako. Leo nakupa sms ambazo unaweza zituma kwa mpenzi wako kwaajili ya kumtakia usiku mwema na akajisikia vizuri. Chagua ujumbe unaoendana na hali ya mahusiano yako Kwa sasa hapa chini na umtumie. Lakini kumbuka kuwa sio pazima umtumie ujume kama ulivyo andikwa hapa. Unaweza ubadilisha badilisha.

Ukiona dalili hizi Jua Account yako ya Facebook  imedukuliwa na si salama GUSA HAPA>>>>

SMS za mapenzi za kumtakia usiku mwema mpenzi wako

# 1: Natamani usiku wa kwanza ambao tutakua pamoja. Natumai unafikiria juu yetu kama mimi. Daima kumbuka kuwa nakupenda mpaka mwisho wa wakati. Ulale vizuri mpenzi.

# 2: Mpenzi wangu mtamu, nadhani siku yako imekuwa nzuri kama wewe. Lala na upumzike vizuri, ili uweze kuamka mchanga na mwenye nguvu kwa siku ya kesho. Usiku mwema.

# 3: Maneno hayawezi kuelezea jinsi ninavyokupenda na kukuthamini. Tumekuwa na moja ya siku bora za maisha yetu na ni maombi yangu tutakuwa na siku kama hizo kwa maisha yetu yote. Usiku mwema, mwanamke mzuri

# 4:Natumai leo imekuwa nzuri kwako. Nimekuwa nikifikia niwezaje pata furaha usiku huu. Nikakumbuka kuwa kumtakia usiku mwema mpenzi aliekatika moyo wangu hunipa kutanipa furaha. Usiku mwema.

Maneno ambayo hutakiwi kuyasema kwa mwenza wako GUSA HAPA>>>

# 5: Usiku mwema, mpenzi wangu. Natumai umelala vizuri na una ndoto bora. Nakupenda sana. Siwezi kusubiri kukuona asubuhi.

# 6: Hello, sweetie. Nilitaka kukujulisha kuwa nimekuwa nikifikiria juu yako siku nzima. Kuwa na usiku mzuri na ndoto za kupendeza. Nakupenda.

# 7: Ni ngumu sana kuwa mbali na wewe. Nimekukumbuka sana. Napatashida kusubiri siku nikakayokuwa nawe nyumbani na kukuona tena. Usiku mwema.

# 8: Usiku Mwema, mpenzi. Lala vizuri na ndoto zako zote ziwe nzuri. Kumbuka jinsi ninavyokupenda. Natarajia kukuona kesho.

Mambo ya kushangaza usioyajua kuhusu Wanawake na Wanaume BONYEZA HAPA>>>

# 9: Pole na kazi… Usiku wa leo natamani ningekuwa nawe. Lala vizuri mpenzi wangu na uwe na ndoto tamu, Nakupenda.

Magemu ya Mpira ya kucheza kwenye simu

Mpira wa miguu ni mchezo maarufu zaidi duniani. Hapa tutajadili kuhusu magemu ya mchezo huu maarufu.
Katika ulimwengu huu, mbali na kutazama mechi ya moja kwa moja za mpira wa miguu, kuna watu wengi wanaopenda kucheza magemu ya mpira au Kandanda. Kuna ambao wanapenda kucheza magemu kupitia vifaa vya kucheza magemu kama vile, Playstation . Na watu wengine hutumia simu kucheza magemu ya mpira wa miguu.

Unaweza pia kuwa mmoja wa watu wanaotumia simu kwenye michezo ya mpira wa miguu ndio maana uko hapa. Ikiwa wewe ni mmoja wao basi hapa ni sahemu nzuri kwako. Tunakupa orodha ya gemu 5 bora za Mpira unazoweza kucheza kwenye simu (Android)
Bila kupoteza muda wako, sasa twende moja kwa moja kwenye orodha ya magemu bora ya mpira au soka kwa simu ya Android.

Download na kuangalia movie zote bure kwenye simu GUSA HAPA>>

Magemu bora ya mpira kwa simu ya Android

1. FIFA Mobile.

FIFA Mobile ni mojawapo ya magemu bora ya Soka ya Android kwa mashabiki wa soka. Gemu hili limetolewa na EA. Huchezwa Kwa kutumia Data, yaani huitaji internet.
Katika gemu hili unaweza kujenga timu yako ya ndoto na kuanza safari ya soka. Na unaweza kuijenga kwa kusajili superstars unaopenda katika soka.
Linakuruhusu kucheza au kushindana na watu wengine mtandaoni.

Battle Of Agents: Gemu kuchezwa na watu wawili au zaidi bila data/internet  GUSA HAPA>>>

2. eFootball.

Gemu hili hapo awali ulilitwa “PES” lakini sasa ni “eFootball“. Kwa hivyo, ikiwa wewe ni moja ya watu ambao tayari umecheza magemu ya PES, basi hii pia ni PES lakini PES imebadilishwa jina kuwa eFootball.
Kwenye orodha hii ya mgemu bora ya mpira ya simu za Android, tunaongeza gemu hili kwasababu ni gemu nzuri. Muonekano kwenye gemu hili ni mzuri.
Ili kucheza gemu la eFootball kwenye simu ya Android unahitaji kutumia intaneti. Kwa maneno mengine tunaweza kusema gemu hili hutumika Data japo ni bure kupakua na kucheza.
Simu yako lazima iwe na zaidi ya 2G RAM, Android 7 na 3.3GB ya nafasi ili kuwa na gemu la eFootball bila matatizo. Pia ikiwa na CPU 1.5 GHz au zaidi itaifanya ifanye kazi vizuri zaidi.

3. Dream league Soccer.

Dream league Soccer (DLS) ni gemu lingine la mpira au soka linaliweza kucheza kwenye simu simu. Gemu hili lilitolewa na First Touch games limited. Katika gemu hili unaweza kuunda timu yako ya ndoto na kusaini wachezaji wako unaowakubali wa mpira wa miguu kwenye timu yako.
Internet huitajika ili kucheza gemu hili kwa sababu ni DSL ni gemu linalihitaji data kulicheza. Lakini kulipakua na kuicheza ni bure ingawa ukihitaji, unaweza kununua baadhi ya vitu ndani ya gemu kwa pesa halisi.

Fanya haya kabla simu yako haijaibiwa ili kuipata ikiibiwa GUSA HAPA>>>

4. Total Football.

Total Football ni gemu lililotolewa mwaka 2022 (Beta). Gemu hili huchezwa Kwa kutumia Data/internet japo ukiwa Haina data unaweza kunavitu unaweza kuvifanya kwenye gemu na vikakufurahisha. Studio Vega Private Limited ndio wamelitoa gemu hili.
Kwenye gemu hili unaweza kuunda timu yako, kusaini wanasoka mashuhuri kisha kuipeleka timu yako kileleni. Jumla ya mchezo wa Kandanda ni mzuri sana na ni bure kuucheza na Kupakua kwenye simu ya Android.

5. Pro League Soccer.

Ikiwa unataka gemu zuri la Android ambao haliwezi hata kuchukua nafasi kubwa ya simu, gemu hili ni kwa ajili yako. Pro League Soccer ni gemu la simu la mpira was miguu ambalo ni dogo kuliko tulioyataja juu. Unaweza kuona gemu hili ni tofauti na magemu kama vile FIFA au eFootball lakini inafurahisha sana kulicheza. Linakuruhusu kuandika majina ya wachezaji na hata kutengeneza Jezi unavyotaka.
Mojawapo ya jambo zuri ni kwamba, gemu la hili linaweza kuchezwa bila internet.

Hivi ndivyo tunamaliza orodha hii. Lakini kumbuka kuwa kuna zaidi ya magemu ma 5 bora ya mpira kwa simu za Android ingawa tume orodhesha magemu matano pekee.

Ikiwa unataka kujua zaidi kuhusu magemu ya simu na vitu vingine basi usisahau kutembelea tovuti hii kila siku. Daima tuko hapa kukufahamisha mambo mengi.

WhatsApp yako inatatizo? Jifunze jinsi ya kutatua hapa>>>>

SUKARI YA DADA (mwanzo-mwisho)

SIMULIZI YA SUKARI YA DADA

SUKARI YA DADA ni simulizi inayomuhusu Kijana ambae alienda Dar es salaam kwaajili ya kufanya kazi za ndani baada kutofanya vizuri kidato cha nne. Kwenda huko ilikua ni njia pekee alioiona itamsaidia maishani kwa wakati huo lakini katika kuelekea anapohitaji, anakutana na changamoto nyingi sana kutokana na ujana. Imesomwa na maelufu ya watu mpaka sasa.

Inavipande 17 vinavyo burudisha na kuelimisha unaposoma mwanzo hadi mwisho. Lakini  unapomaliza kuisoma simulizi hii mpaka mwisho, unaweza soma simulizi nyingine mbili ambazo ni UTAMU WA JUMLA na MZIGO WA WAKUBWA.

Kiufupi SUKARI YA DADA, UTAMU WA JUMLA na MZIGO WA WAKUBWA ni Simulizi tofauti ila zinauhusiano unaokupa picha moja nzuri sana ukiwa kama msomaji. Yani ukisoma zote 3 unapata picha ya simulizi moja kubwa sana yenye vipande 41.

Baadhi ya watu husema ni simulizi zilizoandikwa kiufundi na maajabu. Sijui wewe ukizisoma utazipa jina gani ila Ukihitaji kupata simulizi hizi, unaweza kuwasiliana nasi tukakutumia kwa njia ya WhatsApp. Gusa kitufe hapa chini kuwasiliana na sisi kwa njia ya WhatsApp. Au piga 0715233405 muda wowote kwa mahitaji ya simulizi au maelezo.

Unapata zote kwa Tsh 2500 TU!

Unaweza pata ukiwa Tanzania na hata nje ya Tanzania. Haziruhusiwi kusomwa na watu wenye umri chani ya miaka 18. Hii ni kwasababu  zimekusanya lugha na mafundisho kwaajili ya walio kwenye kigezo cha umri huo.

Simulizi Bora za kusoma katika The Bestgalaxy BONYEZA HAPA>>>

Unataka kuzijua simulizi hizi zaidi?

Miongoni mwa simulizi zinazopendwa kusomwa kwa sasa ni Sukari Ya Dada, Utamu Wa Jumla, na Mzigo Wa Wakubwa. Hadithi hizi tatu, zilizochapishwa kupitia The Bestgalaxy, zinafuatilia maisha ya vijana waliokumbwa na changamoto mbalimbali za maisha na mapenzi.

Kilicho cha kipekee kuhusu simulizi hizi ni kwamba zinahusiana. Wahusika wanaweza kuonekana zaidi ya mara moja katika hadithi tofauti. Kwa mfano, mhusika mmoja katika Sukari Ya Dada anaweza kutajwa au kuhusika pia katika Utamu Wa Jumla au Mzigo Wa Wakubwa. Hadithi moja inaendelea pale nyingine ilipoishia, au huonyesha upande mwingine wa maisha ya baadhi ya wahusika wale wale.

Kwa hiyo, hizi si hadithi tatu tofauti tu โ€“ ni sehemu za simulizi moja kubwa inayoonyesha maisha ya vijana wa sasa kwenye mazingira yenye changamoto nyingi.

1. Sukari Ya Dada: Ndoto za Mjini na Maisha Halisi

Simulizi ya Sukari Ya Dada inamfuata kijana aliyehamia Dar es Salaam baada ya kushindwa mitihani ya kidato cha nne. Akiwa hana elimu ya kutosha wala msaada wa kifamilia, anajikuta akifanya kazi za ndani. Hapo ndipo anapoanza kukumbana na vishawishi na maisha ya mapenzi ambayo hatimaye yanamfanya kutambua mambo mengi kuhusu dunia na watu. Hadithi hii inaangazia namna vijana wengi wa kike na kiume wanavyoingia mijini wakiwa na matumaini makubwa lakini wakikumbana na uhalisia wenye changamoto nyingi.

2. Utamu Wa Jumla: Mapenzi, maisha na  Mafanikio

Hadithi hii ni mwendelezo wa maisha ya baadhi ya wahusika kutoka Sukari Ya Dada. Inamfuatilia kijana kutoka Tabora anayejiunga na chuo jijini Dar es Salaam kusoma biashara. Urafiki wake na Jimmy, mwanafunzi mwenza, aliefungua mlango wa maisha ya starehe, wanawake, na biashara zisizo rasmi wakiwa chuo. Hii ni simulizi inayoangazia mambo mbalimbali ambayo kijana ambae ni msomi wa kisasa ameyapitia katika kujitambua kwakeupande wa mahusiano na maisha.

3. Mzigo Wa Wakubwa: Majukumu

Mzigo Wa Wakubwa inahusiana moja kwa moja na simulizi za awali, Sukari Ya Dada na Utamu Wa Jumla. Hadithi hii inamuhusu kijana mwinginetoka Tanga anaeinjia mjini na kufunzwa mengi kuhusu maisha na mahusiano. Inatoa pia sehemu za maisha ya wahusika kutoka simulizi hizo nyingine, inapitia mambo mbali mbali kuhusu maisha yao, hatua zao na changamoto wanazokutana nazo katika upande wa mahusiano na mapenzi.


Hitimisho:


Kwa mashabiki wa fasihi simulizi, Sukari Ya Dada, Utamu Wa Jumla, na Mzigo Wa Wakubwa ni kazi ambazo hazifai kupuuzwa. Zinabeba burudani na mwanga juu maisha ya kweli ya vijana wa leo. Ni hadithi za kujifunza, kufikiria, na kuburudika.


The Bestgalaxy: Jinsi ya kuweka app yetu kwenye simu yako, tupate kirahisi!

Mahali hapa watu wajanja hujifunza vitu mbali mbali kuhusu teknolojia, mapezi na maisha kiujumla. Nikukumbushe tu kuwa unaweza swali, maoni au ujumbe wako kwenye WhatsApp Kwa kugusa HAPA>>>

Mbali hayo pia unaweza jiunga nasi kwenye WhatsApp tukawa tunataalifu kwa njia ya WhatsApp kuhusu vitu vitu vipya tunavyovitoa kwaajili yako. Ukitaka kujiunga na huduma hii, save Namba hii: 0622 586 399 Kwenye simu yako Kisha itumie ujumbe “Niunge na The Bestgalaxy kwenye Whatsapp”

Njia rahisi ya kuipata website hii ni kuiweka kama app kwenye simu yako. Unaiweka vipi? Fuata maelekezo yafuatayo:

Nenda kwenye Ukurasa wetu wa kwanza kabisa Kwa kugusa HAPA>>> Kisha kutakua kama picha inavyoonekana hapa chini๐Ÿ‘‡

Gusa vidoti vitatu vilipo upande wa juu wa app yako. Kama jinsi inavyoonesha picha hii๐Ÿ‘‡

Baada ya kugusa zitakuja chaguzi nyingiii. We gusa sehemu ilioandikwa “Add to home screen” kama inavyoonesha picha hii ๐Ÿ‘‡

Baada ya kufanya hivyo, gusa Nemo “Add” kama picha inavyoonekana hapa chini ๐Ÿ‘‡

Ukisha gusa add app yetu itakua katika simu yako kama unavyoona hapa chini ๐Ÿ‘‡

Kwa kufanya hivyo utakua unauwezo wa kutembelea mahali hapa kirahisi kabisa. Usisahau kuwasiliana nasi na kutujuza mambo gani unahitaji zaidi toka kwetu.

Unaweza soma maelezo zaidi kuhusu the bestgalaxy hapa>>>>

Soma Stori 2 Fupi za Vichekisho (Vunjambavu)

KIKUNDI CHA WATALII kilitembelea mto wa kufugia mamba na walikuwa wakielea kwenye meli ndogo katikati ya mamba wenye njaa. Ikasikika sauti ya mmiliki wa eneo hilo ikisema: “Atakaye ruka kwenye maji na kuogelea kutoka nje atazawadiwa dola milioni 10”. Kila mtu kimya, ghafla mwanaume mmoja akajirusha majini. Alikimbizwa na mamba kwa bahati nzuri alitoka salama. Akatangazwa mshindi. Wakati anarudi hotelini na mkewe akamwambia mkewe “Aisee sijajirusha mwenyewe majini, kuna mtu alinisukuma nikapambana niokoe maisha yangu”. Mke wake akatabasamu na kusema “Ni mie ndio nilikusukuma”. Wewe ungemfanyaje kama ni mkeo? Anyway, “Nyuma ya kila mwanaume mwenye mafanikio kuna mwanamke anayemsukuma kufikia mafanikio”.๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ

UMEMUAGA mkeo unaenda kazini, ukapita kwa mchepuko wako, wakati unajimwaya-mwaya na mchepuko, mume wa mchepuko akagonga mlango, ikabidi ufichwe uvunguni mwa kitanda.
Wakati bado upo uvunguni ka mchepuko kakamuaga mume wake kwamba, kanaenda saloon, mume wa ka-mchepuko naye akaona ndo muda wa kuita mchepuko wake, akauita ukaja, wakajimwayamwaya kwa sana muda huo wee bado upo uvunguni. Mara mchepuko wako akarudi kutoka saloon, akagonga mlango, ikabidi mume wa mchepuko wako aufiche uvunguni mchepuko wake.
Kucheki hivi kumbe mchepuko wenyewe ndo mke wako uliyemuaga unaenda kazini, kwa hiyo wewe na mke wako wote mkawa mmefichwa uvunguni…Ukisikia vita ya tatu ya dunia, ndo hii sasa.

Jinsi ya kutumia internet BURE kwenye simu yako

Kama unavyojua kuwa Kwa sasa vifurushi vya internet vimepanda sana ukilinganisha na kipindi cha nyuma. Lakini habari njema ni kwamba, unaweza kutumia internet BURE kabisa bila hata Bando. Hii ni kweli japo baadhi ya watu huwa hawaani kitu hiki… Lakini ukweli nikwamba kutumia internet BURE inawezekana.

Kunanjia nyingi sana ambazo mtu unaweza zitumia kupata internet BURE kwenye simu yako. Leo nataka kushea na wewe njia ambayo nimeitumia kupata internet BURE kabisa na inafanya kazi 100% kama unatumia laini ya Tigo… Lakini hii ni for education purpose… Hebu angalia picha hii inayokuja onesha nikiangalia YouTube bure bila bado..

Pata BAND0 kubwa la internet Kwa Bei rahisi GUSA HAPA>>>

Kwanini bando lako la wiki la internet huisha ndani ya siku Moja/mbili? GUSA HAPA>>

Sasa kama unahitaji app ni BURE kabisa. Unachotakiwa takiwa kufanya ni kuipakua(Download) kwenye simu yako Kisha install kwenye simu. Baada ya hapo utatakiwa kuifungua ukiwa na bando la internet alafu itaingiza data zake Kwa muda wa sekunde chache tu. Ikisha Ingiza data zake utatakiwa kuweka laini ya Tigo ambayo Haina Bando. Ukishafanya hivyo ifungue tena iyo app na uguse kitufe kichoandikwa “Connect”. Baada ya kuconnect utaanza kutumia internet bila bando. Jaribu kwenda YouTube au Google kucheki kama Iko sawa.

Kama uataka kujifuza mambo mengi kuhusu simu yako na mambo ya teknolojia, usiache kutembelea website hii… Tutakujuza vitu vingi kuhusu Technology.

Mtu akiku “Block” WhatsApp unaweza fanya hivi kuchati nae GUSA HAPA>>>

NJIA HII INAWEZA KUTOFANYA KAZI KWA SASA!

Movies za kutafsiliwa GUSA HAPA>>>>

Download na Kuangalia movies zote mpya bure kwenye simu yako

Je, wewe ni mpenzi wa movies? Kama wewe ni mpenzi wa movies, basi tambua leo umepata bahati ya kujua na kupata kitu kizuri kuhusiana na movies.

Ukweli ni kwamba, ni ngumu sana kwa wapenda movies hapa nchini kupata, Download na Kuangalia movies mpya au zilizotoka karibuni bure. Katika baadhi ya nchi zilizoendelea huwa kunakua na tuvuti za movies zinazoruhusu baadhi ya movie kuangaliwa bure. Tuvuti hizi huwa na matangazo ambayo huwezesha huduma kuwa bure.

Kutokana na sababu mbalimbali, tuvuti hizi huwa hazioneshi baadhi ya movies nzuri au mpya kwa watu walio nje ya nchi zilizoendelea. Mfano; Ukiwa nchi nyingi za Afrika, hauwezi ona baadhi ya movies nzuri kutoka kwenye tuvuti ya TubiTv inayotoa huduma za movies bure.

Kiufupi usipokua tayari kulipia, unaweza chelewa sana kupata movies mpya au nzuri. Kuna baadhi ya watu huwa wanafanikiwa kupata movies baada miezi miwili au mitatu kabisa toka zitoke.

Lakini kitu kizuri ni kwamba kuna Android app ambayo inakuwezesha kudownload na kuangalia movies nyingi Duniani, hataitoke sasa ivi. Kupitia hii app unaweza Kuangalia movies zote (zazamani na mpya). Inakuwezesha kudownload na Kuangalia mamilioni ya movies kiasi kwamba hata uwe unaangalia kila siku movie Moja Kwa miaka 4, hauwezi maliza. Hebu angalia baadhi ya picha za app hii hapa chini…

App kama hii kikawaida hulipiwa zaidi ya elfu 20,000 Kwa mwezi Lakini katika internet bure. Kwa maelezo yaliopo kuhusu app hii ni kwamba haijihusishi na kunza movies ili uziangalie bali inakuunganisha na movies ambazo watu kama wewe wameziweka mtandaoni. Kwaiyo kiufupi, ni app ambayo inakukusanyia movies ambazo zimewekwa na watu mtandaoni na unaweza ziangalia bure.

Ukihitaji kuijaribu app hii kwenye kwenye simu yako, utatakiwa kuipakua kwenye simu alafu utaiingiza(install) na kuifungua. Kupakua app hii, bonyeza kitufe kilichopo hapa chini.

Lakini kabla hauja jaribu, fahamu kuwa app hii haipatikani Playstore na app nyingi zisizopatika Playstore huwa ni hatari kwa taalifa zako zilizopo kwenye simu. App hii inaweza zuiwa na Google Play Protect kutokana na kuwa na tabia za App hatari.

Sisi kama The bestgalaxy hatukushauri moja kuiamini ila unaweza jaribu kuitumia kama baadhi ya watu wanavyoitumia.

Ili kujua mambo mengi kuhusu simu yako na teknolojia Kwa ujumla, usiache fuatilia website hii…

Mtu akiku “Block” WhatsApp unaweza fanya hivi kuchati nae GUSA HAPA>>>