Tag Archives: swahili tricks

JINSI YA KUANGALIA KAMA LINE/SIMU YAKO IMEUNGANISHWA AU INACHUNGUZWA NA MTU MWINGINE

1. Nenda katika sehemu ya kupigia simu.

Hii ni sehemu ambayo wewe huadika namba na kuipiga (kwa wenye simu za batani wanaweza kuanza moja kwa moja na hatua ya pili ya bonyeza namba)

2. Bonyeza namba *#61#

Hakikisha mara mbili mbali hizi namba (*#61#) ili kuepuka kukosea na kukupelekea wewe upate majibu yasio sahihi.

3. Piga kisha subiri kwa muda.

Baada ya kuziandika vizuri kabisa hizo namba zipige na usubiri kwa muda kisha utapewa wajibu.

4. Angalia majibu.

Kama majibu yatakayokuja yatakua ni “No forwarded” basi jua simu yako haijaunganishwa na mtu yoyote nanaekuchunguza. kama majibu yatakayokuja yatakua ni “Forwarded” basi jua kuwa simu yako imeunganishwa na mtu naeweza pata taalifa zako (baadhi anajua watu wanaowailiana na wewe).

Na kama umekuta unachunguzwa piga ##21# kujiondoa.

Gusa hapa>> USOME JAMBO ZURI ZAIDI KWAAJILI YAKO

JINSI RAHISI YA KUMTONGOZA MWANAMKE UMPENDAE

Kama umekua ukimpenda mwanamke na hujui jinsi ya kumutongoza leo nakueleza jinsi ya kufanya hivyo kirahisi kabisa.kikubwa ni kujiamini tu kisha fuata Yafuatayo;

1: Ukimwita mwanamke njiani au mahali popote kitu cha kwanza inatakiwa uwe nadhifu(msafi) halafu mpe salamu, usikrupuke tu kisha muulze jina lake hatakama nijina la kawaida tu mwambie jina lako zuri (Kama atakua hayupo sawa basi tumia ucheshi kidogo ili kumuweka sawa)

Gusa hapa kujiunga>> TONGOZA KWA SMS HIZI TU LAZIMA AKUBALI… TAFUTA HAPA

2; Maongezi yenu ya kiwa Mazuri usiogope kumwambia unachojiskia moyoni mwako. kunanjia nying za kuweza kumueleza kile unacho jiskia ila usiwambie moja kwa moja badalayake muundie sentensi kama hii “moyo wangu wa upendo umejaa mapenz ya dhati juu yako najiskia kukupenda nataman niwe na wewe daima katika maisha yangu” hii inamfanya afikilie kitugani unamaanisha ivyo mawazo yake yatakua tayari yameingiwa na ulichokisema hatakama atataka kumfaf kumfafanulia zaidi fanya kumwambia lakini mambo mengine utayoongea yawe ni yenye kumfanya afikilie.

3; Baada ya hapo utakua umetua mzingo kwake.Ila kitukikubwa katika kumutongoza mwanaume ni kujiamini na kuondoa woga babisa. Kama unasumbuliwa na woga katika kutongoza fanya kugusa hapa ili ujifunze njinsi ya kuondoa woga katika kutongoza.

MANENO MATAMU YA KUMWAMBIA MAPENZI WAKO

Wanaume na wanawake wote hujawa na furaha wanaposikia maneno mazuri kutoka kwa wapenzi wao. Maneno mazuri ya mapenzi huleta hisia ambazo husaidia kuimarisha uhusiano na kuongeza ukaribu kwa wapenzi. Hivyo, kumpatia maneno mazuri mwenza wako ni jambo la msingi na sio ujinga.

Katika makala hii tunaenda kukupa maneno Matamu ya kumwambia mpenzi wako. Hii ni kukurahisishia unapopata muda mzuri wa kumwambia mpenzi wako maneno Matamu au Mazuri.
Wakati mzuri wa kumwambia mpenzi wako maneno Matamu ya upendo ni wakati wowote unapojisikia kumsogeza karibu zaidi. Iwe ni asubuhi kabla ya kuanza siku, wakati wa mazungumzo ya kawaida, au hata nyakati za faragha mkiwa pamoja, maneno matamu hufanya kazi ya kuimarisha uhusiano wenu na kuongeza kiwango cha hisia za upendo. Hata ujumbe mfupi wa simu ukiwa na maneno haya unaweza kubadilisha siku ya mpenzi wako kuwa nzuri.

Mbali na kuimarisha mahusiano, wataalamu wa masuala ya mapenzi wanasema kwamba maneno matamu yanaweza kusaidia kupunguza migogoro midogo midogo kati ya wapendanao. Ni njia rahisi ya kusema “nakuthamini” bila hata kulazimika kutumia nguvu nyingi. Kwa hiyo, usisite kuyatumia maneno haya kwa mpenzi wako na uone jinsi uhusiano wenu utakavyonoga na kushamiri zaidi.

Maneno Matamu Ya Kumwambia Mapenzi Wako(Mwanamke au Mwanaume)

1.Wewe ni mzuri na ni mrembo naogopa hata kukugusa naona kama nitakuchafua.


2.Unapotabasamu huzuni kwangu hupotea , ghafla nakuwa mtu wa furaha.

MANENO MATAMU YA KUMWAMWAMBIA MPENZI WAKO 2022>> GUSA HAPA KUJIUNGA


3.Ungeweza kupata mwanaume yeyote duniani , lakini umenichagua mimi.


4.jinsi ulivyo wewe ndivyo nipendavyo.


5.Tabasamu lako zuri linanifanya niyeyuke.


6.Unaponiaga napata shida kukuruhusu uende.


7.Umenielewa vizuri, ni kama unasoma mawazo yangu


8.Ninapokushika nashisi kulegea kwenye magoti.


9.Wewe ni rafiki yangu, najifunza vitu vingi kwako,ndiye mtu ambae nimekuchagua, ndio mpenzi wa maisha yangu. ni wangu pekee, wewe ndio kila kitu kwangu.


10.Siamini , maana jinsi ulivyo amazing, lakini upo na mimi.


11.kila nikiangalia muda naona kama hautoshi kukupenda , natamani niwe na wewe milele. yaani wasife.


12.Umenifanya niamini kuwa zipo nafsi zinazoungana, zinazokutana pamoja.


13.Usiku nikiwa naangalia nyota na kuzilinganisha kila moja ili kuelewa ni kwa nininakupenda,nilifanya vizuri hatimae nikazikimbia.


14.Kukutana nawe ni kitu ambacho hakijawahi kutokea.


15.Unapoonyesha kunipenda, huwa nazidiwa na hisia , hapo hupotea kabisaaa.


16.Kabla ya kulala ni lazima kwanza nikupigie simu ndio nitapata usingizi.


17.Naweza kuwa nawe maisha yote, lakini bado nahisi kama haitatosha kukupenda.


18.Napata furaha nikiwa na wewe.


19. Napenda kutumia muda na wewe.

Gusa hapa kujiunga>>> MANENO YENYE HISIA KALI YA KUMWAMWAMBIA MPENZI WAKO


20.Napenda ngozi yako laini, ninapoigusa.


21.Natamani maishsa yangu yote nikuone ukiwa na furaha.


22.Usibadilike nakupenda jinsi ulivyo.


23.Nikiwa na wewe nafurahi kama mtoto.


24.Napenda nywele zako.


25.Napenda nikukumbatie

ninapokuaga.

Gusa hapa>> USOME JAMBO ZURI ZAIDI KWAAJILI YAKO


26.Natamani kukubusu kila sehemu ya mwili wako.


27.Naanza siku na wewe ndani ya mawazo yangu, na ninamaliza siku na wewe kwenye ndoto zangu.


28. ukiwa na mimi huwa natamani kusimamisha muda, maana muda unakwenda haraka.


29.Nikisikia sauti yako asubuhi , siku nzima ni mtu wa furaha.


30.Nakupenda sana mpenzi zangu.


Ni hayo tu katika kurasa hii ilo jaa Maneno Matamu ya kumwambia mpenzi wako. Endelea kuwa karibu na The bestgalaxy kwa mambo mengine mazuri zaidi.