Tag Archives: Swahili tech

Jinsi ya kuongeza speed ya internet kwenye simu

Unasumbuliwa na speed ndogo ya internet? Usiwe na wasi tena! Hapa The Bestgalaxy tunakufungua juu ya nini unachoweza kukifanya kufurahia internet nyenye kasi kwenye simu yako ya smartphone.


Moja ya vitu ambavyo huudhi katika katika matumizi ya internet ni speed/ kasi ndogo. Speed ndogo ya internet sio tu huudhi bali pia hupoteza muda wa mtu anaetumia internet kwasababu kitu ambacho alitaka kukifanya kwa dakika 1 kwenye internet kinaweza mchukua mpaka dakika 5 ikiwa speed ya internet itakua ni ndogo. Watu wengi wanao thamini muda huchukizwa na swala hili.


Lakini tukirudi kufikilia kahusu historia ya internet utagundua internet imebadilika Sana na huwezi fanananisha na kipindi cha nyuma. Hata internet ya sasa isumbue vipi kwenye speed lakini huwezi ilinganisha na zamani maana huko nyuma internet ilikua haina kasi kabisa kama ya sasa. Kudownload nyimbo Moja tu yenye Mb 5 ilikua inaweza kukuchukua mpaka saa 1. Kama ni mtumiaji wa muda mrefu wa internet unaweza kuwa unajua kuhusu hili.

Yafuatayo ni mambo ambavyo Unaweza fanya kuongeza speed ya internet kwenye simu yako (hayahusishi matumizi ya WiFi)

WhatsApp yako inatatizo? Jifunze jinsi ya kutatua hapa>>>>

Namna ya kuongeza speed ya internet kwenye simu

1. Hakikisha unatumia laini ya 4G au 5G na Simu 4G au 5G

Kwasasa ukitaka kufurahia kasi nzuri ya internet basi inatakiwa iwe ni kuanzia kasi ya 4G. Ukitaka kufurahia kasi hii ya internet kwenye simu yako ya smartphone inatakiwa iwe na laini ya 4G na pia simu yako iwe ni ya 4G au 5G. Mbali na havyo pia ni vema “preferred network type” yako ikaiseti kwenye “Auto“. Kuiset preferred network type kwenye simu yako nenda kwenye “settings” ingia kwenye na uende katika “Network & internet” alafu ingia kwenye “SIM cards” kisha ingia kwenye “Mobile network“. Baada ya hapo gusa “Preferred network type” na uchague “Auto“.

2. Hamia kwenye mtandao wa simu wenye huduma ya internet yenye kasi.

Kuna muda mtu anaweza kuwa unakumbana na changamoto ya kasi ndogo ya internet katika matumizi ya internet kutokana na mtandao wa simu unaokupa huduma ya internet kutokua vizuri katika maeneo uliopo. Jaribu kufanya utafiti kwa watu uwalio kuzunguka ili kujua mtandao wanotumia kupata internet na speed yake ya internet iko vipi. Unaweza tu kuwaambia watu “Mimi ninatumia mtandao flani kupata huduma ya internet lakini naona Kama haupo vizuri Sana katika speed kwenye maeneo haya… Ivi ni mtandao gani nyinyi mnautumia na upo vizuri?”

Fanya haya kabla simu yako haijaibiwa ili kuipata ikiibiwa GUSA HAPA>>>


Kama kutakua na mtandao wanao sema upo vizuri basi jaribu na uangalie kama utakua vizuri kwako pia. Unaweza pia wasiana na watu wanao husika na mtandao wako wa simu na kuwataalifu kuhusu Jambo unalopitia kwenye eneo lako ili warekebishe. Tena bahati nzuri ni kwamba sikuizi makampuni ya mitandao ya simu ina kurasa zake katika mitandao ya kijamii na Unaweza watumia ujumbe kule na wakakujibu.

3. Boost speed ya internet kwa kuwasha “Flight mode” na kuizima.

Kama speed yako ya internet inasubua subua wakati unaitumia unaweza kuwa unaiboost kwa kuwasha “Flight mode” na kuizima. Flight mode huwakilishwa na kialama Cha “ndege ya usafiri” na hupatikana katika kisehemu Cha simu unachokifuata pindi unapo washa Data kwaajili ya kuanzia kutumia internet.

4. Tumia app zinaweza ongeza Speed ya internet.

Kuna baadhi ya app za VPN zinaweza ongeza speed ya internet. Hii inaweza onekana zaidi unapo download vitu au ku-stream vitu online ukiwa unatumia VPN. Lakini app za VPN zipo maalum kwaajili ya kuufanya muunganiko wako wa internet uwe salama na si kuongeza speed. Na pia sio kila unapotumia VPN utapata internet yenye kasi, VPN zinaweza pia kupunguza kasi kabisaa.

Mbali na app za VPN pia Kuna app zinazohusisha zaidi DNS zinaweza kuongeza kikasi Cha internet unapotumia. Mfano mzuri ni app iitwayo WARP… Unaweza ijaribu kwuingiza kwenye simu yako ya Android kwa lugusa hapa au iPhone kwa kugusa hapa

Magroup ya WhatsApp ya kujiunga BURE

Hapa tutaangalia vikundi vya WhatsApp ambavyo unaweza kujiunga. Sote tunajua kuwa vikundi vya WhatsApp ni muhimu sana kwa sababu watu huvitumia kuungana na wengine na kushiriki habari fulani au kujadili mambo mengi. Lakini unahitaji kujua kwamba kila mtumiaji wa WhatsApp anaweza kuunda kikundi cha WhatsApp na kuongeza watumiaji wengine kwenye kikundi. Hii inamaanisha kuwa unaweza pia kuwa na kikundi chako mwenyewe cha WhatsApp na kukifanya kama Msimamizi.

WhatsApp yako inatatizo? Jifunze jinsi ya kutatua hapa>>>>

Jinsi ya kuunda kikundi chako cha WhatsApp?


Ni rahisi sana, unachohitaji kufanya ni kufungua programu yako ya WhatsApp kisha uguse nukta tatu. Baada ya kugonga nukta Tatu, utapata orodha ya chaguo chache. Chagua “New group” ili kuanza kuunda kikundi chako mwenyewe. Kwenye kuliunda utatakiwa kuwachagua watu watu unaotaka wawe kwenye group. Unaweza kuchagua wale watu wote unahitaji wawekwenye group lako lakini tambua kuwa sio mtu anapenda kuungwa kwenye group bila tahalifa. Hivyo ni vema ukawatahalifu watu unaotaka kuwaweka kwenye group juu ya group unalotaka kuwaweka kwanza.

Yafuatayo ni magroup ya WhatsApp ambayo unaweza kujiunga nayo

Hapa nakupa orodha za vikundi vya WhatsApp ambavyo unaweza kujiunga badala ya kuunda kikundi chako cha WhatsApp. Hivi ni vikundi ambavyo unaweza kujiunga na kutumia lugha ya Kiswahili katika kuchati.

Magroup ya Marafiki/Mahusiano

Magroup ya Biashara

Magroup ya Ajira/Kazi

Magroup ya Michezo & Burudani

Unapaswa kujua kuwa, vikundi vyote vilivyoorodheshwa hapa vina watu kutoka sehemu tofauti na hatuna uhusiano wowote nao. Kwa hivyo hakikisha kuwa kila wakati unakuwa mwangalifu na walaghai au wanachama wengine ambao wanaweza kukosa nidhamu.

Njia 3 za kutumia intaneti bila malipo kwenye simu ya Android au iPhone

Katika mabilioni ya watu wanaotumia internet ama mtandao kila mwaka na watu wengi kati yao wanaotumia Simu. Na siku hizi, watumiaji wengi wa simu wanatumia simu za Android na iOS. Mambo mengi ambayo watumiaji wa simu za Android au iOS wanapenda kufanya kwenye simu zao yanahusisha kutumia intaneti.

Wanatumia intaneti kwenye mambo kama vile kushiriki habari, kujifunza, kuendesha biashara zao, kupata burudani na zaidi. Kwa vile sote tunajua kwamba mtandao sio bure, inagharimu watumiaji kiasi cha pesa kununua bando za internet au kulipia huduma za internet. Lakini bado kuna nini cha kufanya ili kutumia wa internet bure kwenye simu.

Ukiona dalili hizi Jua Account yako ya Facebook  imedukuliwa na si salama GUSA HAPA>>>>

Pata BAND0 kubwa la internet Kwa Bei rahisi GUSA HAPA>>>

Ikiwa wewe ni mmoja wa watu wanaotumia simu yoyote ya Android au iPhone na unahitaji kutumia intaneti bila malipo basi hapa chini kuna kinachoweza kufanya ili kupata intaneti bila malipo.

Njia za kupata intaneti ya Bure kwenye simu ya Android na iPhone


  1. Unaweza unganisha simu yako Kwenye huduma za Wifi za bure zinazopatikana kwenye mazingira yako… unaweza tafuta sehemu zilizio na huduma ya WiFi kitahisi kwa kutumia App yako ya Facebook. App ya Facebook inakipengele kinachokuonesha maeneo yenye huduma za WiFi katika eneo ulilopo.
  2. Unaweza pata ofa au zawadi za interneti ambazo hutolewa bure na kampuni inayokupatia huduma ya internet (mfano Tigo: Ukituma neno “BURE” au “Social bonus” kwenda Namba 15166 unaweza zawadiwa Mb za internet BURE..
  3. VPN pia inaweza tumika kupata internet bila malipo… lakini njia hii imewekwa hapa Kwa lengo la elimu tu na si vinginenyo. Unaweza soma moja ya makala zetu zinazohusisha njia hii HAPA>>>>>

Magroup ya WhatsApp ya kujiunga bure GUSA HAPA>>>

Ukiona dalili hizi Jua Account yako ya Facebook imedukuliwa na si salama (hacked)

Account za mitandao ya kijamii huwa zinawindwa na kudukuliwa na hackers. Katika Facebook muda mwingine unawezakua unatumia account iliodukuliwa na haujui kuwa imedukuliwa. Madhara ya kutumia account ya Facebook iliodukuliwa ni kwamba hacker anaweza itumia account yako ya Facebook kufanya uhalifu kwa watu Wengine na hao watu wakajua wewe ndiye umewafanyia hivyo. Kwaiyo ni muhimu kujua hali ya account yako ya Facebook ili kuepukana na mambo kama hayo.

WhatsApp yako inatatizo? Jifunze jinsi ya kutatua hapa>>>>

Kwenye audio nimezungunzia jinsi unavyoweza tambua kama account yako ya Facebook imedukuliwa/hakiwa na hackers. Kama imekufungua wewe basi usiache kuwa kuwajulisha na watu wako wengine wa karibu juu ya hili ili waweke account zao salama sisijetumika kukutapeli na vitu vingine kama hivyo. Unaweza gusa kitufe cha kijani hapo chini kuwasamazia watu ujumbe huu kwenye WhatsApp.

Kuangalia vifaa vilivyotumika kuingia kwenye Akaunti yako ya Facebook

  • Ingia kwenye account yako ya Facebook na uguse vimistari vitatu(menu)
  • Baada ya hapo chagua “Settings” ingia kwenye “Security and Login
  • Ukisha fanya hivyo utatupwa kwenye ukulasa ambao unakipengele kilichoandiwa “Where you Logged in“. Kwenye kipengele hiki unakutana na list ya vifaa ulivyotumia kuingilia kwenye account yako ya na taalifa nyingine kuhusiana uingiaji.

Jinsi ya kufanya simu isiishe chaji haraka

Hapa tumeelezea vitu vichache unavyoweza kufanya kwenye simu yako ya Smartphone (Android) ku refusha maisha ya chaji. Hii inaweza kuwa msaada mkubwa Kwa watu wenye simu zinazowahi kuisha chaji.

Lakini unachotakiwa kujua ni kwamba vitu vinne tulivyotaja katika Audio si vitu pekee vinavyorefusha maisha ya chaji. Kama utaka kaelezo zaidi ya kufanya vitu hivi kuandika ujumbe wako na kutumia Kwa njia ya WhatsApp kwa kugusa kitufe kilicho andikwa “Chati nasi WhatsApp” kwenye Home Page yetu.

Ukiona dalili hizi Jua Account yako ya Facebook  imedukuliwa na si salama GUSA HAPA>>>>

Magroup ya WhatsApp ya kujiunga bure GUSA HAPA>>>

Fanya haya kabla simu yako haijaibiwa ili kuipata ikiibiwa

Kuibiwa simu(Smartphone) ni Jambo ambalo karibia kila mtu hapendi limtoke lakini huwa linamtokea tu pasipo kutarajia. Ukiwa bado upo na simu yako unatakiwa kuandaa mazingira ya kuipata kirahisi pindi itakapoibiwa. Ili kuipata simu iliobiwa unatakiwa kuwa na taalifa ambazo zitatumika katika kufanikisha zoezi la kuitafuta simu yako. Taalifa hizo ni pamoja na namba za IMEI za simu.

Jinsi ya kufanya simu isiishe chaji haraka GUSA HAPA>>>


Kila simu huwa na namba zake za IMEI na endapo utaenda polisi ili wakusaidie kutafuta simu yako basi utahitajika kuwapa namba za IMEI za simu ilioibiwa ili kufanikisha upatikanaji wake. Hivyo ni muhimu kuwa na namba za IMEI za simu zetu ili tukipoteza tuzipate kirahisi. 


Sasa unachotakiwa kufanya kabla simu yako haijaibiwa ni kwenda katika sehemu ya kupiga simu alafu piga namba  *#06#  Kisha zinakili katika karatasi namba(IMEI) utakazoletewa na utunze karatasi hilo kwenye vitu vya muhimu ili lisipotee kirahisi.

Kama utakuja kupapoteza simu yako, namba hizo zitatumika kuipata simu yako pindi utakapo peleka swala lako polisi. Pia kumbuka kutunza na lisiti ya ununuzi wa simu.

Ukiona dalili hizi Jua Account yako ya Facebook  imedukuliwa na si salama GUSA HAPA>>>>

Jinsi ya kufanya simu ijinunulie bando la internet (usichome pesa zako kununua bando)

Watu wanaotumia smartphone mara nyingi hutumia pesa nyingi sana kwenye bando la internet. Kama nawe ni mmoja wa watu wanaotumia sana internet na unatumia pesa nyingi kwenye kipengele hiki cha simu yako basi Huenda kwenye makala hiii unaweza fungua ubongo na kujua cha kufanya ili simu isizichome sana pesa zako. Lakini Kabla ya yote ningependa kukushukuru Kwa kufuatilia The Bestgalaxy na kama ndio mala ya kwanza kuingia hapa, ni vema kama utaanza kufuatilia mahali hapa ili ujifunze vitu vingi.

Jinsi ya kubet bure (bila kuweka pesa) GUSA HAPA>>>

Unawezaje kuifanya simu isizichome pesa zako katika suala la bando?

Kwa jibu la halaka halaka tunaweza sema kupunguza manunuzi ya bando na kulitumia bando lako Vizuri kunaweza okoa pesa za Kwa kiasi flani. Lakini njia nzuri ya kufanya simu yako isichome pesa zako kwenye suala la bando ni kuitumia simu yako kutengeneza pesa ambazo utakua ukizitumia kununua bando. Kwakufanya hivyo utakua umeifanya simu ijinunulie bando. Nimeandaa makala ya sauti inayokupa mwanga wa vitu unavyoweza kufanya kwenye simu yako na vikakupa pesa kwanzia Tsh 10000 Hadi 100,000. Vitu ambavyo baadhi ya wajanja hufanya na kama hulijui hili na upo hapa basi upo mahali sahihi pakufungua ubongo wako.

Ukiona dalili hizi Jua Account yako ya Facebook imedukuliwa na si salama GUSA HAPA>>>>

Ukijifunza vitu hivi vitakusaidia kutengeneza pesa utakazokua unazitumia kununua bando bila kuumiza pesa yako. Ukitaka kuifungua makala hii unaweza bofya kitufe ilichopo hapa chini lakini Kabla haijafunguka utadaiwa password… Password hii mimi ntakupatia Kwa Tsh 10,000 tu. Kwaiyo kama unahitaji kujifunza basi unaweza nipigia au kutuma ujumbe kwenye 0715233405, utalipia Kisha nitakupa password itakayokuwezesha kufungua na kujifunza mbinu za uhakika za kupata pesa kwenye simu yako. Na pia unaweza chati nasi kwenye whatsApp kwa kugusa HAPA>>>

Katika Matumizi yako ya simu usifanye vitu hivi (Unaweza juta!) GUSA HAPA>>>

Njia za kupunguza au kutumia data kidogo kwenye TikTok (oka bando lako la internet)

Tiktok ni moja ya mitandao ya kijamii iliyo na watu wengi wanaotumia kushiriki/kushare video. Ni wazi kuwa watu wengi ambao wana app ya Tiktok, hutumia muda mwingi kwenye TikTok . Kuna watumiaji wengine wa Tiktok wanaweza kutumia zaidi ya saa moja au mbili kutazama video kwenye Tiktok. Hii kwa sababu Tiktok ina video fupi zinazowafanya wafurahie. Lakini Tiktok hutumia kiasi kikubwa cha data kutokana na video tunazoangalia. Hii inamaanisha jinsi video utazama video zaidi, ndivyo data inavyotumika.

Hii sio kesi ikiwa kununua vifurushi vya internet sio kazi kubwa kwako na unahitaji kufurahiya au kuburudisha akili na Tiktok katika video zenye bora. Lakini inakuja shida wakati inaumiza mfuko wako au kukugharimu kwa njia yoyote.

Katika nakala hii tutajadili jinsi ya kupunguza au kutumia data kidogo kwenye TikTok. Kwa hivyo ikiwa wewe ni mmoja wa watumiaji wa Tiktok ambao wanataka kupunguza au kutumia data kidogo kwenye TikTok, uko kwenye nakala inayofaa.

Jinsi ya kufanya simu ijinunulie bando la internet (usichome pesa zako kununua bando) GUSA HAPA>>>

Njia 3 za kupunguza au kutumia data kidogo kwenye TikTok.

1. Tumia app ya “Tiktok lite”


Kuna programu mbili za Tiktok ambazo unaweza kutumia na app hizi ni tofauti. Kuna app yakawaida ya Tiktok na Kuna app inayoitwa “Tiktok lite”. App ya Tiktok lite ni programu inayotumia data kidogo kuliko app ya kawaida ya Tiktok. Kwa hivyo ikiwa unahitaji kutumia data kidogo kwenye TikTok, unaweza kuanza kutumia app ya Tiktok lite badala ya kutumia ya kawaida ya Tiktok.

2. Usiangalie video nyingi.

Ni wazi kuwa mara nyingi kutumia kiwango cha juu cha data ni matokeo ya kiasi cha video ulizotazama. Kwaiyo kupunguza kiwango cha video unazotazama kwenye TikTok pia kutapunguza utumiaji wa data yako unavyotaka. Jipe kiwango cha video unazotaka kutazama kwa siku bila kuharibu bajeti yako ya data.

Jinsi ya kufanya simu isiishe chaji haraka GUSA HAPA>>>

3. Washa Kiokoa Data.

Tiktok wana kipengele cha “Data saver” ambacho kinapunguza matumizi ya data ya simu za mkononi. Kipengele hiki hakiwezi kufanya kazi kama upo kwenye wifi. Unaweza kuwasha kipengele hiki kwa urahisi kwa kwenda kwenye “Me” na Gonga vidoti Tatu kisha uchague “Data Saver” baada ya hapo Kiwashe kipengele hicho. Baada ya kufanaya hivyo, utaanza kutumia data kidogo kuliko hapo awali.

Fanya haya kabla simu yako haijaibiwa ili kuipata ikiibiwa GUSA HAPA>>>

Jinsi ya kubet bure (bila kuweka pesa)

Kubet ni mchezo maharufu sana ulimwenguni wa kubahatisha. Kuna kama watu bilioni 1 au zaidi hujihusisha na maswala ya kubet. Yawezekana na wewe ni moja ya watu wanaojihusisha na kubet ndio maana upo hapa.

Ikiwa wewe ni mdau wa kubet au sio mdau was kubet basi ningepeda kukushukuru Kwa kusoma post za The Bestgalaxy na usiache kutembelea sehemu hii. Katika makala hii fupi nakujuza jinsi unavyoweza kubeti bure kabisa yaani bila kuiumiza pesa yako.

Wapi unapata Odds za bure au Mikeka ya uhakika? BONYEZA HAPA>>>

Njia 3 za kubet bure

Kutumia Ofa za kubeti Bure kwa Watumiaji

Kama unataka kubet bure kunanjia nyingi unaweza kufakisha hilo. Kuna makampuni mengi sana ya kubet kwa sasa huwa yana taratibu za kuwapa watu nafasi au ofa za kubet bure wakati wakiendelea kutumia huduma zao. Hizi ofa hutofautiana na kila kampuni hutoa kwa utaratibu wake ila kwakua ni bure inakua sio mbaya sana. Moja ya makampuni haya ni Gwalabet.

Hawa kwa taalifa tulizojichukua Tarehe 5 mwezi wa 10 mwaka 2024, wanasema kwamba “Kila akaunti ya mteja wa GwalaBet itapata bet ya bure ‘FREEBET’ ya Tsh 500 kila Ijumaa kama itakuwa imetumia kiasi cha kuanzia Tsh 2,000 ndani ya wiki husika.” Sijajua wewe unasoma makala hii kwa muda gani ila fahamu kuwa huwa wanatoa kweli japo utaratibu wa kupata, huwa unabadilishwa badilishwa baada ya muda. Pesa hii unaweza iona kwenye kipengele cha “FREE BET”. Kama utahitaji maelezo zaidi, unaweza kupata maelezo yote katika website yao.

Kupata zawadi ya kualika Marafiki

Njia nyingine ya kubeti bure ni kupata zawadi ya kualika Marafiki. Mitandao mingi ya kubeti huwa Ina kipengele ambacho kina kuruhusu kualika Marafiki na ukifanikiwa kualika, unapata pesa ya kubeti Bure. Katika kualika huwa wanaweka utaratibu ambao utaufuata kumualika rafiki au marafiki zako ili upate zawadi itayakuwezesha kubeti Bure.

Mfano mzuri ni kampuni ya Wasafi bet; inakupa nafasi ya kupata zaidi ya Tsh 2000 kwa kualika Marafiki. Unachotakiwa kufanya ni kwenda kwenye kipengele chao kiitwacho “Referral” au “Mchizi bonus” alafu tumia Link au Code utakazopewa kuwaalika marafiki katika Facebook, WhatsApp na sehemu nyingine. Katika kipengele hicho kuna maelezo mengine unayoweza kusoma ili kuelewa zaidi.

Kujiunga na Makampuni mapya

Makampuni mengi huwa yanahitaji watuaji wapya na hutoa bonus kwa Watumiaji huo wapya pindi wanapo deposit. Yani unapoingiza pesa kwa mara ya kwaza, unapata na pesa nyingine ya bure kwaajili ya kubetia. Pesa hii inafahamika kama “Welcome bonus”. Na kiasi cha pesa hutofautiana maana kila kampuni ina utaratibu wake.

Mfano, Kampuni ya Parimatch huwa inakupa hadi asilimia 100% ya pesa yako. Yani ukiingiza kiasi ya Tsh 2000 baada ya kujiunga, unapata Tsh 2000 nyingine kama zawadi. Mbali na kampuni hii, Kuna kampuni nyingine nyingi hutoa zaidi kwa mtindo huu japo hutofautiana kwenye kiasi.

Watu wengi hutumia njia hizi kupata nafasi za kubeti bila kumiza pesa zao moja kwa moja. Na njia rahisi hapa huwa ni ile ya kwanza na hii ya mwisho.

Katika matumizi yako ya simu usifanye vitu hivi (Unaweza juta!) GUSA HAPA>>>>