Category Archives: Uncategorized

Magroup ya WhatsApp ya kujiunga BURE

Hapa tutaangalia vikundi vya WhatsApp ambavyo unaweza kujiunga. Sote tunajua kuwa vikundi vya WhatsApp ni muhimu sana kwa sababu watu huvitumia kuungana na wengine na kushiriki habari fulani au kujadili mambo mengi. Lakini unahitaji kujua kwamba kila mtumiaji wa WhatsApp anaweza kuunda kikundi cha WhatsApp na kuongeza watumiaji wengine kwenye kikundi. Hii inamaanisha kuwa unaweza pia kuwa na kikundi chako mwenyewe cha WhatsApp na kukifanya kama Msimamizi.

WhatsApp yako inatatizo? Jifunze jinsi ya kutatua hapa>>>>

Jinsi ya kuunda kikundi chako cha WhatsApp?


Ni rahisi sana, unachohitaji kufanya ni kufungua programu yako ya WhatsApp kisha uguse nukta tatu. Baada ya kugonga nukta Tatu, utapata orodha ya chaguo chache. Chagua “New group” ili kuanza kuunda kikundi chako mwenyewe. Kwenye kuliunda utatakiwa kuwachagua watu watu unaotaka wawe kwenye group. Unaweza kuchagua wale watu wote unahitaji wawekwenye group lako lakini tambua kuwa sio mtu anapenda kuungwa kwenye group bila tahalifa. Hivyo ni vema ukawatahalifu watu unaotaka kuwaweka kwenye group juu ya group unalotaka kuwaweka kwanza.

Yafuatayo ni magroup ya WhatsApp ambayo unaweza kujiunga nayo

Hapa nakupa orodha za vikundi vya WhatsApp ambavyo unaweza kujiunga badala ya kuunda kikundi chako cha WhatsApp. Hivi ni vikundi ambavyo unaweza kujiunga na kutumia lugha ya Kiswahili katika kuchati.

Magroup ya Marafiki/Mahusiano

Magroup ya Biashara

Magroup ya Ajira/Kazi

Magroup ya Michezo & Burudani

Unapaswa kujua kuwa, vikundi vyote vilivyoorodheshwa hapa vina watu kutoka sehemu tofauti na hatuna uhusiano wowote nao. Kwa hivyo hakikisha kuwa kila wakati unakuwa mwangalifu na walaghai au wanachama wengine ambao wanaweza kukosa nidhamu.

Njia 3 za kutumia intaneti bila malipo kwenye simu ya Android au iPhone

Katika mabilioni ya watu wanaotumia internet ama mtandao kila mwaka na watu wengi kati yao wanaotumia Simu. Na siku hizi, watumiaji wengi wa simu wanatumia simu za Android na iOS. Mambo mengi ambayo watumiaji wa simu za Android au iOS wanapenda kufanya kwenye simu zao yanahusisha kutumia intaneti.

Wanatumia intaneti kwenye mambo kama vile kushiriki habari, kujifunza, kuendesha biashara zao, kupata burudani na zaidi. Kwa vile sote tunajua kwamba mtandao sio bure, inagharimu watumiaji kiasi cha pesa kununua bando za internet au kulipia huduma za internet. Lakini bado kuna nini cha kufanya ili kutumia wa internet bure kwenye simu.

Ukiona dalili hizi Jua Account yako ya Facebook  imedukuliwa na si salama GUSA HAPA>>>>

Pata BAND0 kubwa la internet Kwa Bei rahisi GUSA HAPA>>>

Ikiwa wewe ni mmoja wa watu wanaotumia simu yoyote ya Android au iPhone na unahitaji kutumia intaneti bila malipo basi hapa chini kuna kinachoweza kufanya ili kupata intaneti bila malipo.

Njia za kupata intaneti ya Bure kwenye simu ya Android na iPhone


  1. Unaweza unganisha simu yako Kwenye huduma za Wifi za bure zinazopatikana kwenye mazingira yako… unaweza tafuta sehemu zilizio na huduma ya WiFi kitahisi kwa kutumia App yako ya Facebook. App ya Facebook inakipengele kinachokuonesha maeneo yenye huduma za WiFi katika eneo ulilopo.
  2. Unaweza pata ofa au zawadi za interneti ambazo hutolewa bure na kampuni inayokupatia huduma ya internet (mfano Tigo: Ukituma neno “BURE” au “Social bonus” kwenda Namba 15166 unaweza zawadiwa Mb za internet BURE..
  3. VPN pia inaweza tumika kupata internet bila malipo… lakini njia hii imewekwa hapa Kwa lengo la elimu tu na si vinginenyo. Unaweza soma moja ya makala zetu zinazohusisha njia hii HAPA>>>>>

Magroup ya WhatsApp ya kujiunga bure GUSA HAPA>>>

Maneno ambayo hautakiwi kusema kwa mwenza wako

Endapo umekwisha ingia katika mahusiano au unatarajia kuingia katika mahusiano ya kimapenzi, yapo mambo yanyofaa ambayo unaweza kumwambia mpenzi wako naye akafurahi, lakini yapo mambo ambayo kimsingi hupaswi kabisa kumwambia mpenzi wako. Kwani endapo utaamua kumwambia utatengeneza njia ambayo itawafanya mahusiono yenu yafe mara moja.
Maneno yafuatayo ni hatari kwa kuwa yanaleta madhara makubwa moyoni mwa mlengwa na ni vyema kuzuia kuyatamka kwa namna yoyote ile.

Jinsi ya kufanya mpenzi wako akuwaze Kila mara BONYEZA HAPA>>>

Maneno ambayo hutakiwi kuyasema kwa mwenza wako


1. Nakuchukia

Chuki ni kitu kikubwa sana, kwa kweli huwezi kuishi na mtu ambaye unamchukia. Hutakiwi kumtamkia mwenza wako neno hili. Unaweza kuchukia tabia yake lakini si yeye mwenyewe. Njia nzuri ni kusema kuwa “Nachukia au sipendi tabia yako ya kuchelewa kurudi nyumbani” au maneno yanayofanana na hayo.


2. Maneno ya matusi

Maneno kama “mjinga” au “mpumbavu” yasitumike kwa mwenza wako hata kama yana ukweli ndani yake. Japo ujinga ni kutofahamu kitu fulani lakini neno hili linaleta majeraha kama likitoka kwa mwenza. Hasa kama linatoka wakati wa ugomvi au kutofautiana.
Usiseme maneno mabaya yanayomshusha mweza wako mfano kuhusu mwonekano mbaya wa mwenza wako kama “sura mbaya”,”Mnene kama nguruwe” na maneno mengine kama hayo.

Ukiona dalili hizi Jua Account yako ya Facebook  imedukuliwa na si salama GUSA HAPA>>>>


3. Kumfananisha tabia mbaya mwezi wako na wazazi wake.

“Tabia zako kama mama yako”, au “..kama baba yako” maneno yanayomfananisha mwenza wako na wazazi au familia anakotoka yanachokoza sana na huweka vidonga kwa muda mrefu moyoni na yaepukwe.


4. Acha! nitafanya mwenyewe

Katika mahusiano kusaidiana ni jambo la kawaida na muhimu, maneno mabaya ya namna hii yanamvunja moyo mweza wako kutaka kufanya jambo kwako siku nyingine na linaleta utengano na kuvunjika kwa upendo.


5. Maneno mabaya ya kukatisha tamaa

“Hutaweza” ,”Hutafanikiwa” n.k yanavunja moyo kwa mwenza wako na kurudisha nyuma maendeleo. Ni muhimu kwa wenza kupeana moyo na kusaidiana ili wote muende mbele kwa pamoja. Umoja ni nguvu.
Hivyo nikusihi ya kwamba kama kweli unataka kudumu katika mahusiano acha mara moja kumwambia maneno hayo, bali unatakiwa kumfariji kwa maneno mazuri yenye kuleta upendo wa kweli na kujenga hamasa ya kudumu

Magroup ya WhatsApp ya kujiunga bure GUSA HAPA>>>

Ukiona dalili hizi Jua Account yako ya Facebook imedukuliwa na si salama (hacked)

Account za mitandao ya kijamii huwa zinawindwa na kudukuliwa na hackers. Katika Facebook muda mwingine unawezakua unatumia account iliodukuliwa na haujui kuwa imedukuliwa. Madhara ya kutumia account ya Facebook iliodukuliwa ni kwamba hacker anaweza itumia account yako ya Facebook kufanya uhalifu kwa watu Wengine na hao watu wakajua wewe ndiye umewafanyia hivyo. Kwaiyo ni muhimu kujua hali ya account yako ya Facebook ili kuepukana na mambo kama hayo.

WhatsApp yako inatatizo? Jifunze jinsi ya kutatua hapa>>>>

Kwenye audio nimezungunzia jinsi unavyoweza tambua kama account yako ya Facebook imedukuliwa/hakiwa na hackers. Kama imekufungua wewe basi usiache kuwa kuwajulisha na watu wako wengine wa karibu juu ya hili ili waweke account zao salama sisijetumika kukutapeli na vitu vingine kama hivyo. Unaweza gusa kitufe cha kijani hapo chini kuwasamazia watu ujumbe huu kwenye WhatsApp.

Kuangalia vifaa vilivyotumika kuingia kwenye Akaunti yako ya Facebook

  • Ingia kwenye account yako ya Facebook na uguse vimistari vitatu(menu)
  • Baada ya hapo chagua “Settings” ingia kwenye “Security and Login
  • Ukisha fanya hivyo utatupwa kwenye ukulasa ambao unakipengele kilichoandiwa “Where you Logged in“. Kwenye kipengele hiki unakutana na list ya vifaa ulivyotumia kuingilia kwenye account yako ya na taalifa nyingine kuhusiana uingiaji.

Jinsi ya kufanya simu isiishe chaji haraka

Hapa tumeelezea vitu vichache unavyoweza kufanya kwenye simu yako ya Smartphone (Android) ku refusha maisha ya chaji. Hii inaweza kuwa msaada mkubwa Kwa watu wenye simu zinazowahi kuisha chaji.

Lakini unachotakiwa kujua ni kwamba vitu vinne tulivyotaja katika Audio si vitu pekee vinavyorefusha maisha ya chaji. Kama utaka kaelezo zaidi ya kufanya vitu hivi kuandika ujumbe wako na kutumia Kwa njia ya WhatsApp kwa kugusa kitufe kilicho andikwa “Chati nasi WhatsApp” kwenye Home Page yetu.

Ukiona dalili hizi Jua Account yako ya Facebook  imedukuliwa na si salama GUSA HAPA>>>>

Magroup ya WhatsApp ya kujiunga bure GUSA HAPA>>>

Fanya haya kabla simu yako haijaibiwa ili kuipata ikiibiwa

Kuibiwa simu(Smartphone) ni Jambo ambalo karibia kila mtu hapendi limtoke lakini huwa linamtokea tu pasipo kutarajia. Ukiwa bado upo na simu yako unatakiwa kuandaa mazingira ya kuipata kirahisi pindi itakapoibiwa. Ili kuipata simu iliobiwa unatakiwa kuwa na taalifa ambazo zitatumika katika kufanikisha zoezi la kuitafuta simu yako. Taalifa hizo ni pamoja na namba za IMEI za simu.

Jinsi ya kufanya simu isiishe chaji haraka GUSA HAPA>>>


Kila simu huwa na namba zake za IMEI na endapo utaenda polisi ili wakusaidie kutafuta simu yako basi utahitajika kuwapa namba za IMEI za simu ilioibiwa ili kufanikisha upatikanaji wake. Hivyo ni muhimu kuwa na namba za IMEI za simu zetu ili tukipoteza tuzipate kirahisi. 


Sasa unachotakiwa kufanya kabla simu yako haijaibiwa ni kwenda katika sehemu ya kupiga simu alafu piga namba  *#06#  Kisha zinakili katika karatasi namba(IMEI) utakazoletewa na utunze karatasi hilo kwenye vitu vya muhimu ili lisipotee kirahisi.

Kama utakuja kupapoteza simu yako, namba hizo zitatumika kuipata simu yako pindi utakapo peleka swala lako polisi. Pia kumbuka kutunza na lisiti ya ununuzi wa simu.

Ukiona dalili hizi Jua Account yako ya Facebook  imedukuliwa na si salama GUSA HAPA>>>>

Jinsi ya kufanya simu ijinunulie bando la internet (usichome pesa zako kununua bando)

Watu wanaotumia smartphone mara nyingi hutumia pesa nyingi sana kwenye bando la internet. Kama nawe ni mmoja wa watu wanaotumia sana internet na unatumia pesa nyingi kwenye kipengele hiki cha simu yako basi Huenda kwenye makala hiii unaweza fungua ubongo na kujua cha kufanya ili simu isizichome sana pesa zako. Lakini Kabla ya yote ningependa kukushukuru Kwa kufuatilia The Bestgalaxy na kama ndio mala ya kwanza kuingia hapa, ni vema kama utaanza kufuatilia mahali hapa ili ujifunze vitu vingi.

Jinsi ya kubet bure (bila kuweka pesa) GUSA HAPA>>>

Unawezaje kuifanya simu isizichome pesa zako katika suala la bando?

Kwa jibu la halaka halaka tunaweza sema kupunguza manunuzi ya bando na kulitumia bando lako Vizuri kunaweza okoa pesa za Kwa kiasi flani. Lakini njia nzuri ya kufanya simu yako isichome pesa zako kwenye suala la bando ni kuitumia simu yako kutengeneza pesa ambazo utakua ukizitumia kununua bando. Kwakufanya hivyo utakua umeifanya simu ijinunulie bando. Nimeandaa makala ya sauti inayokupa mwanga wa vitu unavyoweza kufanya kwenye simu yako na vikakupa pesa kwanzia Tsh 10000 Hadi 100,000. Vitu ambavyo baadhi ya wajanja hufanya na kama hulijui hili na upo hapa basi upo mahali sahihi pakufungua ubongo wako.

Ukiona dalili hizi Jua Account yako ya Facebook imedukuliwa na si salama GUSA HAPA>>>>

Ukijifunza vitu hivi vitakusaidia kutengeneza pesa utakazokua unazitumia kununua bando bila kuumiza pesa yako. Ukitaka kuifungua makala hii unaweza bofya kitufe ilichopo hapa chini lakini Kabla haijafunguka utadaiwa password… Password hii mimi ntakupatia Kwa Tsh 10,000 tu. Kwaiyo kama unahitaji kujifunza basi unaweza nipigia au kutuma ujumbe kwenye 0715233405, utalipia Kisha nitakupa password itakayokuwezesha kufungua na kujifunza mbinu za uhakika za kupata pesa kwenye simu yako. Na pia unaweza chati nasi kwenye whatsApp kwa kugusa HAPA>>>

Katika Matumizi yako ya simu usifanye vitu hivi (Unaweza juta!) GUSA HAPA>>>

Njia za kupunguza au kutumia data kidogo kwenye TikTok (oka bando lako la internet)

Tiktok ni moja ya mitandao ya kijamii iliyo na watu wengi wanaotumia kushiriki/kushare video. Ni wazi kuwa watu wengi ambao wana app ya Tiktok, hutumia muda mwingi kwenye TikTok . Kuna watumiaji wengine wa Tiktok wanaweza kutumia zaidi ya saa moja au mbili kutazama video kwenye Tiktok. Hii kwa sababu Tiktok ina video fupi zinazowafanya wafurahie. Lakini Tiktok hutumia kiasi kikubwa cha data kutokana na video tunazoangalia. Hii inamaanisha jinsi video utazama video zaidi, ndivyo data inavyotumika.

Hii sio kesi ikiwa kununua vifurushi vya internet sio kazi kubwa kwako na unahitaji kufurahiya au kuburudisha akili na Tiktok katika video zenye bora. Lakini inakuja shida wakati inaumiza mfuko wako au kukugharimu kwa njia yoyote.

Katika nakala hii tutajadili jinsi ya kupunguza au kutumia data kidogo kwenye TikTok. Kwa hivyo ikiwa wewe ni mmoja wa watumiaji wa Tiktok ambao wanataka kupunguza au kutumia data kidogo kwenye TikTok, uko kwenye nakala inayofaa.

Jinsi ya kufanya simu ijinunulie bando la internet (usichome pesa zako kununua bando) GUSA HAPA>>>

Njia 3 za kupunguza au kutumia data kidogo kwenye TikTok.

1. Tumia app ya “Tiktok lite”


Kuna programu mbili za Tiktok ambazo unaweza kutumia na app hizi ni tofauti. Kuna app yakawaida ya Tiktok na Kuna app inayoitwa “Tiktok lite”. App ya Tiktok lite ni programu inayotumia data kidogo kuliko app ya kawaida ya Tiktok. Kwa hivyo ikiwa unahitaji kutumia data kidogo kwenye TikTok, unaweza kuanza kutumia app ya Tiktok lite badala ya kutumia ya kawaida ya Tiktok.

2. Usiangalie video nyingi.

Ni wazi kuwa mara nyingi kutumia kiwango cha juu cha data ni matokeo ya kiasi cha video ulizotazama. Kwaiyo kupunguza kiwango cha video unazotazama kwenye TikTok pia kutapunguza utumiaji wa data yako unavyotaka. Jipe kiwango cha video unazotaka kutazama kwa siku bila kuharibu bajeti yako ya data.

Jinsi ya kufanya simu isiishe chaji haraka GUSA HAPA>>>

3. Washa Kiokoa Data.

Tiktok wana kipengele cha “Data saver” ambacho kinapunguza matumizi ya data ya simu za mkononi. Kipengele hiki hakiwezi kufanya kazi kama upo kwenye wifi. Unaweza kuwasha kipengele hiki kwa urahisi kwa kwenda kwenye “Me” na Gonga vidoti Tatu kisha uchague “Data Saver” baada ya hapo Kiwashe kipengele hicho. Baada ya kufanaya hivyo, utaanza kutumia data kidogo kuliko hapo awali.

Fanya haya kabla simu yako haijaibiwa ili kuipata ikiibiwa GUSA HAPA>>>

SMS za kumtakia mpenzi wako usiku mwema

Kutuma sms au ujumbe wenye maneno mazuri kwa mpenzi wako, ni kitu muhimu sana katika mapenzi. Unapotuma ujumbe/message moja kwa moja unakua umeonesha kumjali na pia kumkumbusha kuwa yeye ni wamuhimu kwako. Leo nakupa sms ambazo unaweza zituma kwa mpenzi wako kwaajili ya kumtakia usiku mwema na akajisikia vizuri. Chagua ujumbe unaoendana na hali ya mahusiano yako Kwa sasa hapa chini na umtumie. Lakini kumbuka kuwa sio pazima umtumie ujume kama ulivyo andikwa hapa. Unaweza ubadilisha badilisha.

Ukiona dalili hizi Jua Account yako ya Facebook  imedukuliwa na si salama GUSA HAPA>>>>

SMS za mapenzi za kumtakia usiku mwema mpenzi wako

# 1: Natamani usiku wa kwanza ambao tutakua pamoja. Natumai unafikiria juu yetu kama mimi. Daima kumbuka kuwa nakupenda mpaka mwisho wa wakati. Ulale vizuri mpenzi.

# 2: Mpenzi wangu mtamu, nadhani siku yako imekuwa nzuri kama wewe. Lala na upumzike vizuri, ili uweze kuamka mchanga na mwenye nguvu kwa siku ya kesho. Usiku mwema.

# 3: Maneno hayawezi kuelezea jinsi ninavyokupenda na kukuthamini. Tumekuwa na moja ya siku bora za maisha yetu na ni maombi yangu tutakuwa na siku kama hizo kwa maisha yetu yote. Usiku mwema, mwanamke mzuri

# 4:Natumai leo imekuwa nzuri kwako. Nimekuwa nikifikia niwezaje pata furaha usiku huu. Nikakumbuka kuwa kumtakia usiku mwema mpenzi aliekatika moyo wangu hunipa kutanipa furaha. Usiku mwema.

Maneno ambayo hutakiwi kuyasema kwa mwenza wako GUSA HAPA>>>

# 5: Usiku mwema, mpenzi wangu. Natumai umelala vizuri na una ndoto bora. Nakupenda sana. Siwezi kusubiri kukuona asubuhi.

# 6: Hello, sweetie. Nilitaka kukujulisha kuwa nimekuwa nikifikiria juu yako siku nzima. Kuwa na usiku mzuri na ndoto za kupendeza. Nakupenda.

# 7: Ni ngumu sana kuwa mbali na wewe. Nimekukumbuka sana. Napatashida kusubiri siku nikakayokuwa nawe nyumbani na kukuona tena. Usiku mwema.

# 8: Usiku Mwema, mpenzi. Lala vizuri na ndoto zako zote ziwe nzuri. Kumbuka jinsi ninavyokupenda. Natarajia kukuona kesho.

Mambo ya kushangaza usioyajua kuhusu Wanawake na Wanaume BONYEZA HAPA>>>

# 9: Pole na kazi… Usiku wa leo natamani ningekuwa nawe. Lala vizuri mpenzi wangu na uwe na ndoto tamu, Nakupenda.