Category Archives: Education

MAMBO YANAYOWEZA KUKUSAIDIA KUACHA PULI/PUNYETO/KUJICHUA

(i) Badilisha utaratibu wa kulala, lala kifudifudi, badala ya chali

(ii) Acha kuangalia mikanda ya kikubwa ukiwa peke yako.

(iii) Kaa mbali na simulizi zinazohamasisha mapenzi, mazungumzo ya aina hiyo na kampani za watu wanaopenda kusimulia mambo ya faragha.

Gusa hapa>> USOME JAMBO ZURI ZAIDI KWAAJILI YAKO

(iv) Acha mazoea ya kujishika sehemu zako za siri.

(v) Fanya mazoezi ya viungo angalau robo saa tu kwa siku.

(vi) Juu ya yote haya, FUTA kabisa mawazo ya jambo hilo. AMUA kwa dhati ya moyo wako, tambua na ogopa athari ambazo unaweza kuzipata, kisha ACHA KABISA mchezo huo ili kulinda heshima yako na kujipa furaha katika maisha

Gusa hapa>> USOME JAMBO ZURI ZAIDI KWAAJILI YAKO

SMS ZA KUOMBA MSAMAHA KWA MPENZI WAKO

Mpenzi wangu naomba unisamehe, nakupenda sana dear na ni kweli kuna wakati nakukosea, lakini amini nakupenda. Sijawahi kujuta na sitajuta kamwe kuwa na wewe! Naamini nitaendelea kuwa mwaminifu kwako, sio leo tu, bali siku zote za penzi letu!


Gusa ujiunge hapa>> SMS ZOTE MPYA ZITAFUTE HAPA(SMS 300)
Tukae kimya sheteni apite, naamini haikuwa akili yangu bali ni ushawishi wa sheteni ambaye siku zote amekazania kuharibu penzi letu!


Wewe kwangu ni kila kitu, sipendi kuyaona machozi yako mpenzi wangu! Sogea nikufute na unirudishe tena mikononi mwako, nakupenda sana dear!


Wewe ni taa kwangu imulikayo gizani, nakupenda sana mpenzi wangu wa moyo, utakuwa wangu siku dear! Kosa nililofanya ni kwa bahati mbaya, naomba unisamehe na ninaahidi kutorudia tena katika penzi letu!


Tega sikio dear, nakupenda sana, ukweli wa ile sms uliyoifuma kwenye simu yangu, haikuwa yangu bali mtumaji alikosea kwa bahati mbaya! Nipo tayari tumpigie tukiwa pamoja tumuulize, kweli niamini dear! Naomba usiniache maana maisha yangu bila wewe ni sawa na giza nene!


Mimi kwako ni kipofu, nishike mkono tuvuke barabara, magari ni mengi na yanapita kwa kasi, siwezi kuona zaidi ya kusikia yakiunguruma, honi za magari siwezi kupima umbali wake, usiniache katikati ya barabara nitagongwa na kufa mara moja! Njoo niokoe nitagongwa mpenzi wangu! Forgive me dear…

Gusa hapa kujiunga>>JIFUNZE MUFANYA MWANAMKE YOYOTE AKUELEWE, TAFUTA HAPA


Japo umeniuzi sina budi kukupa hizi pongezi, sijui umejifunza wapi mapenzi, hakika kwako mi ni mfungwa wa mapenzi! Nakupenza mpenzi nitunziye langu penzi!


maneno million haliwez kulirudisha pendo lako najua kwasababu nimejaribu,pia machozi million haliwez kulirudisha najua kwasababu nimelia.


Najua nimekukosea baby, lakini fahamu kwamba
haikuwa nia yangu kukupotezea furaha yako, nipe
nafasi nyingine moyoni mwako!
Nipe nafasi nyingine maishani mwako!
Nisamehe mpenzi wangu!

Gusa hapa>> USOME JAMBO ZURI ZAIDI KWAAJILI YAKO


Najua una majonzi kwa kuwa uliyempenda
kakumwaga machozi kwa kukuacha ungali
walihitaji penzi lake, nimekuja mwokozi
kukufuta machozi kwakukupa la dhati
penzi. Nakupenda mpenzi amini sitalimwaga lako
chozi, na daima nitakuenzi.


JINSI RAHISI YA KUMTONGOZA MWANAMKE UMPENDAE

Kama umekua ukimpenda mwanamke na hujui jinsi ya kumutongoza leo nakueleza jinsi ya kufanya hivyo kirahisi kabisa.kikubwa ni kujiamini tu kisha fuata Yafuatayo;

1: Ukimwita mwanamke njiani au mahali popote kitu cha kwanza inatakiwa uwe nadhifu(msafi) halafu mpe salamu, usikrupuke tu kisha muulze jina lake hatakama nijina la kawaida tu mwambie jina lako zuri (Kama atakua hayupo sawa basi tumia ucheshi kidogo ili kumuweka sawa)

Gusa hapa kujiunga>> TONGOZA KWA SMS HIZI TU LAZIMA AKUBALI… TAFUTA HAPA

2; Maongezi yenu ya kiwa Mazuri usiogope kumwambia unachojiskia moyoni mwako. kunanjia nying za kuweza kumueleza kile unacho jiskia ila usiwambie moja kwa moja badalayake muundie sentensi kama hii “moyo wangu wa upendo umejaa mapenz ya dhati juu yako najiskia kukupenda nataman niwe na wewe daima katika maisha yangu” hii inamfanya afikilie kitugani unamaanisha ivyo mawazo yake yatakua tayari yameingiwa na ulichokisema hatakama atataka kumfaf kumfafanulia zaidi fanya kumwambia lakini mambo mengine utayoongea yawe ni yenye kumfanya afikilie.

3; Baada ya hapo utakua umetua mzingo kwake.Ila kitukikubwa katika kumutongoza mwanaume ni kujiamini na kuondoa woga babisa. Kama unasumbuliwa na woga katika kutongoza fanya kugusa hapa ili ujifunze njinsi ya kuondoa woga katika kutongoza.

SIMPLE WAY TO REBOOT YOUR PHONE

1. Check if your device is completely frozen. Try pressing all the keys your Android device has and see if there’s any response. A device that has been frozen or completely stuck will not work no matter what button you press.

2. Remove the back cover. Most, if not all, Android devices, regardless of the make and model, have accessible parts like its memory card, SIM card & battery, often at the back part.Back panels can be removed by prying it off from a notch you’ll see along the sides, or by simply sliding it off the phone.

    3. Remove the battery. Flip the battery out of your device. The Android should shut down due to the absence of power, forcibly resetting your Android device.

    4. Place back the battery. After a few moments(5mn+), put the battery back and replace the back cover.

    5. Restart your device. Press the device’s Power button to switch it on. Your Android phone should resume its normal operation

    HOW YOU CAN FOCUS ON YOUR STUDY

    1. sometimes to study more for the most recent upcoming exam. Make sure this study plan is realistic and not impossible. It is important to balance school, work, and extracurricular activities. If you are really struggling with your classes, you may want to give up the after school job or an extracurricular activity until your grades come up. You need to prioritize your time. Remember: your education is the most important thing because it is the foundation of your future success. For college classes, you should base the hours you study per class on how difficult the class is and how many credit hours the class is worth(For example, if you have a 3-hour physics class that is really hard, you want to study 9 hours a week (3 hrs x 3 for hard difficulty). If you have a literature course that is worth 3 hours and is kind of hard, you may want to study 6 hours a week (3 hrs x 2 for medium difficulty).).

    2. Pace yourself.

    Find the best speed for you to study and adjust accordingly. Some concepts or classes will come to you more naturally, so you can study those more quickly. Other things may take you twice as long. Take the time you need and study at the pace you feel comfortable. Studying in 20 minute intervals will help make it a lot easier to retain information.

    3. Get enough rest.

    Make sure you get enough time to sleep. This is important as you lead up to the test, and especially important right before you take the test. Studies have shown that sleep positively impacts test taking by improving memory and attentiveness. Staying up all night studying may sound like a good idea, but skip the all-night cram session. If you study throughout the weeks, you won’t need to cram anyway. Getting a good night’s sleep will help you perform better.

    4. Clear your mind of anything that doesn’t have to do with the topic you’re studying.

    If you have got a lot on your mind, take a moment to write yourself some notes about what you’re thinking about and how you feel before you start studying. This will help to focus on your study.

    5. Eliminate electronic distractions. One of the worst distractions for studying is electronic devices. They are hooked up to social media, you receive texts through your phone, and your laptop is hooked to the internet. Silence your cell phone or keep it in your bag so it’s not there to distract you if someone calls or texts you. If you can, don’t open your laptop or connect it to the internet.

    MANENO MATAMU YA KUMWAMBIA MAPENZI WAKO

    Wanaume na wanawake wote hujawa na furaha wanaposikia maneno mazuri kutoka kwa wapenzi wao. Maneno mazuri ya mapenzi huleta hisia ambazo husaidia kuimarisha uhusiano na kuongeza ukaribu kwa wapenzi. Hivyo, kumpatia maneno mazuri mwenza wako ni jambo la msingi na sio ujinga.

    Katika makala hii tunaenda kukupa maneno Matamu ya kumwambia mpenzi wako. Hii ni kukurahisishia unapopata muda mzuri wa kumwambia mpenzi wako maneno Matamu au Mazuri.
    Wakati mzuri wa kumwambia mpenzi wako maneno Matamu ya upendo ni wakati wowote unapojisikia kumsogeza karibu zaidi. Iwe ni asubuhi kabla ya kuanza siku, wakati wa mazungumzo ya kawaida, au hata nyakati za faragha mkiwa pamoja, maneno matamu hufanya kazi ya kuimarisha uhusiano wenu na kuongeza kiwango cha hisia za upendo. Hata ujumbe mfupi wa simu ukiwa na maneno haya unaweza kubadilisha siku ya mpenzi wako kuwa nzuri.

    Mbali na kuimarisha mahusiano, wataalamu wa masuala ya mapenzi wanasema kwamba maneno matamu yanaweza kusaidia kupunguza migogoro midogo midogo kati ya wapendanao. Ni njia rahisi ya kusema “nakuthamini” bila hata kulazimika kutumia nguvu nyingi. Kwa hiyo, usisite kuyatumia maneno haya kwa mpenzi wako na uone jinsi uhusiano wenu utakavyonoga na kushamiri zaidi.

    Maneno Matamu Ya Kumwambia Mapenzi Wako(Mwanamke au Mwanaume)

    1.Wewe ni mzuri na ni mrembo naogopa hata kukugusa naona kama nitakuchafua.


    2.Unapotabasamu huzuni kwangu hupotea , ghafla nakuwa mtu wa furaha.

    MANENO MATAMU YA KUMWAMWAMBIA MPENZI WAKO 2022>> GUSA HAPA KUJIUNGA


    3.Ungeweza kupata mwanaume yeyote duniani , lakini umenichagua mimi.


    4.jinsi ulivyo wewe ndivyo nipendavyo.


    5.Tabasamu lako zuri linanifanya niyeyuke.


    6.Unaponiaga napata shida kukuruhusu uende.


    7.Umenielewa vizuri, ni kama unasoma mawazo yangu


    8.Ninapokushika nashisi kulegea kwenye magoti.


    9.Wewe ni rafiki yangu, najifunza vitu vingi kwako,ndiye mtu ambae nimekuchagua, ndio mpenzi wa maisha yangu. ni wangu pekee, wewe ndio kila kitu kwangu.


    10.Siamini , maana jinsi ulivyo amazing, lakini upo na mimi.


    11.kila nikiangalia muda naona kama hautoshi kukupenda , natamani niwe na wewe milele. yaani wasife.


    12.Umenifanya niamini kuwa zipo nafsi zinazoungana, zinazokutana pamoja.


    13.Usiku nikiwa naangalia nyota na kuzilinganisha kila moja ili kuelewa ni kwa nininakupenda,nilifanya vizuri hatimae nikazikimbia.


    14.Kukutana nawe ni kitu ambacho hakijawahi kutokea.


    15.Unapoonyesha kunipenda, huwa nazidiwa na hisia , hapo hupotea kabisaaa.


    16.Kabla ya kulala ni lazima kwanza nikupigie simu ndio nitapata usingizi.


    17.Naweza kuwa nawe maisha yote, lakini bado nahisi kama haitatosha kukupenda.


    18.Napata furaha nikiwa na wewe.


    19. Napenda kutumia muda na wewe.

    Gusa hapa kujiunga>>> MANENO YENYE HISIA KALI YA KUMWAMWAMBIA MPENZI WAKO


    20.Napenda ngozi yako laini, ninapoigusa.


    21.Natamani maishsa yangu yote nikuone ukiwa na furaha.


    22.Usibadilike nakupenda jinsi ulivyo.


    23.Nikiwa na wewe nafurahi kama mtoto.


    24.Napenda nywele zako.


    25.Napenda nikukumbatie

    ninapokuaga.

    Gusa hapa>> USOME JAMBO ZURI ZAIDI KWAAJILI YAKO


    26.Natamani kukubusu kila sehemu ya mwili wako.


    27.Naanza siku na wewe ndani ya mawazo yangu, na ninamaliza siku na wewe kwenye ndoto zangu.


    28. ukiwa na mimi huwa natamani kusimamisha muda, maana muda unakwenda haraka.


    29.Nikisikia sauti yako asubuhi , siku nzima ni mtu wa furaha.


    30.Nakupenda sana mpenzi zangu.


    Ni hayo tu katika kurasa hii ilo jaa Maneno Matamu ya kumwambia mpenzi wako. Endelea kuwa karibu na The bestgalaxy kwa mambo mengine mazuri zaidi.

    THIS HOW YOU CAN STOP SMOKING

    1. Throw out all of your smoking
    Remove anything from your work or home that is associated with smoking. This includes cigarettes, cigars, pipes, hookahs, or any other smoking device. It is important to not have temptations in your personal space that may undermine your goal of not smoking.Avoid places where smoking is permitted and start to hang out with non-smokers.

    2.Reward yourself
    Incentivize your good behavior by treating yourself to something you enjoy. It is likely that quitting smoking will make you feel sad, increasing your craving to smoke. Instead, try activating the pleasure centers of brain with a something that you enjoy like to take the money you save and use it to reward yourself, buying something nice, treating yourself to a movie and a nice dinner.

    3. Stay busy

    Do things to distract you from smoking and take your mind off of your cravings. Start a new hobby or spend more time with your friends. Being physically active will reduce stress and restrain your cravings.Keep your hands busy by playing with small objects like coins or paperclips, and keep your mouth busy by blowing through straws and chewing gum.Avoid to do activities with smokers.

    4. Ask for help

    Quitting with the support of friends and family is a much easier task than doing it entirely on your own. Talk to others when you are struggling with your cravings and let them know how they can help you stay smoke-free. Quitting smoking does not have to be your burden alone.

    How to create cartoon in your Android phone

    Do you know that you can make cartoon videos by using your phone?

    Do you know that you can do it free?

    Do you know how you can do it?

    It is very easy!!!.first of all you need to download or install the app called “Drawing cartoon 2” (available in play store).

    Drawing cartoon 2 is a cartoon maker app that enables you to create cartoon video on your phone for free.

    It give you more than 200+ characters and also give you a chance to create your own characters.

    After installing the app,open and you will see all instructions about how to create cartoon by using that app.

    YouTube music App

    YouTube Music is a new mobile app.
    It’s basically the result of what Google learned through its Music Key beta music subcription service that debuted last year but was never officially launched. YouTube Music takes bits of that and is now available to all.

    The YouTube Music app is launching on iOS & Android.If you want to start use this app just download the app,open then sign in with your Google account.Start to enjoy!!

    Size: 14MB

    Downloads: 10346+

    (for Android)

    Install

    Do you need to increase your Instagram followers?

    If your answer is “yes” Today I’m going to tell you how to get 10000+ Instagram followers. There are so many websites that deals with selling followers online and the following are the among of them.

    1. Buzzoid

    They can increase more than 1000 followers on your Instagram page and you can pay through PayPal.https://buzzoid.com/

    2. Stomlikes

    The have good service and increase followers on your Instagram page few minutes after payment(through PayPal) https://www.stormlikes.net/buy-instagram-followers

    3. Instapromote

    Buy Instagram Followers and get instant fame on Instagram. If you want to attract viewers. Instapromote offers best quality & 100% safe payment(you can pay through PayPal)
    https://instapromote.me/buy-instagram-followers/