All posts by Admin

SMS ZA KUOMBA MSAMAHA KWA MPENZI WAKO

Mpenzi wangu naomba unisamehe, nakupenda sana dear na ni kweli kuna wakati nakukosea, lakini amini nakupenda. Sijawahi kujuta na sitajuta kamwe kuwa na wewe! Naamini nitaendelea kuwa mwaminifu kwako, sio leo tu, bali siku zote za penzi letu!


Gusa ujiunge hapa>> SMS ZOTE MPYA ZITAFUTE HAPA(SMS 300)
Tukae kimya sheteni apite, naamini haikuwa akili yangu bali ni ushawishi wa sheteni ambaye siku zote amekazania kuharibu penzi letu!


Wewe kwangu ni kila kitu, sipendi kuyaona machozi yako mpenzi wangu! Sogea nikufute na unirudishe tena mikononi mwako, nakupenda sana dear!


Wewe ni taa kwangu imulikayo gizani, nakupenda sana mpenzi wangu wa moyo, utakuwa wangu siku dear! Kosa nililofanya ni kwa bahati mbaya, naomba unisamehe na ninaahidi kutorudia tena katika penzi letu!


Tega sikio dear, nakupenda sana, ukweli wa ile sms uliyoifuma kwenye simu yangu, haikuwa yangu bali mtumaji alikosea kwa bahati mbaya! Nipo tayari tumpigie tukiwa pamoja tumuulize, kweli niamini dear! Naomba usiniache maana maisha yangu bila wewe ni sawa na giza nene!


Mimi kwako ni kipofu, nishike mkono tuvuke barabara, magari ni mengi na yanapita kwa kasi, siwezi kuona zaidi ya kusikia yakiunguruma, honi za magari siwezi kupima umbali wake, usiniache katikati ya barabara nitagongwa na kufa mara moja! Njoo niokoe nitagongwa mpenzi wangu! Forgive me dear…

Gusa hapa kujiunga>>JIFUNZE MUFANYA MWANAMKE YOYOTE AKUELEWE, TAFUTA HAPA


Japo umeniuzi sina budi kukupa hizi pongezi, sijui umejifunza wapi mapenzi, hakika kwako mi ni mfungwa wa mapenzi! Nakupenza mpenzi nitunziye langu penzi!


maneno million haliwez kulirudisha pendo lako najua kwasababu nimejaribu,pia machozi million haliwez kulirudisha najua kwasababu nimelia.


Najua nimekukosea baby, lakini fahamu kwamba
haikuwa nia yangu kukupotezea furaha yako, nipe
nafasi nyingine moyoni mwako!
Nipe nafasi nyingine maishani mwako!
Nisamehe mpenzi wangu!

Gusa hapa>> USOME JAMBO ZURI ZAIDI KWAAJILI YAKO


Najua una majonzi kwa kuwa uliyempenda
kakumwaga machozi kwa kukuacha ungali
walihitaji penzi lake, nimekuja mwokozi
kukufuta machozi kwakukupa la dhati
penzi. Nakupenda mpenzi amini sitalimwaga lako
chozi, na daima nitakuenzi.


JINSI RAHISI YA KUMTONGOZA MWANAMKE UMPENDAE

Kama umekua ukimpenda mwanamke na hujui jinsi ya kumutongoza leo nakueleza jinsi ya kufanya hivyo kirahisi kabisa.kikubwa ni kujiamini tu kisha fuata Yafuatayo;

1: Ukimwita mwanamke njiani au mahali popote kitu cha kwanza inatakiwa uwe nadhifu(msafi) halafu mpe salamu, usikrupuke tu kisha muulze jina lake hatakama nijina la kawaida tu mwambie jina lako zuri (Kama atakua hayupo sawa basi tumia ucheshi kidogo ili kumuweka sawa)

Gusa hapa kujiunga>> TONGOZA KWA SMS HIZI TU LAZIMA AKUBALI… TAFUTA HAPA

2; Maongezi yenu ya kiwa Mazuri usiogope kumwambia unachojiskia moyoni mwako. kunanjia nying za kuweza kumueleza kile unacho jiskia ila usiwambie moja kwa moja badalayake muundie sentensi kama hii “moyo wangu wa upendo umejaa mapenz ya dhati juu yako najiskia kukupenda nataman niwe na wewe daima katika maisha yangu” hii inamfanya afikilie kitugani unamaanisha ivyo mawazo yake yatakua tayari yameingiwa na ulichokisema hatakama atataka kumfaf kumfafanulia zaidi fanya kumwambia lakini mambo mengine utayoongea yawe ni yenye kumfanya afikilie.

3; Baada ya hapo utakua umetua mzingo kwake.Ila kitukikubwa katika kumutongoza mwanaume ni kujiamini na kuondoa woga babisa. Kama unasumbuliwa na woga katika kutongoza fanya kugusa hapa ili ujifunze njinsi ya kuondoa woga katika kutongoza.

SIMPLE WAY TO REBOOT YOUR PHONE

1. Check if your device is completely frozen. Try pressing all the keys your Android device has and see if there’s any response. A device that has been frozen or completely stuck will not work no matter what button you press.

2. Remove the back cover. Most, if not all, Android devices, regardless of the make and model, have accessible parts like its memory card, SIM card & battery, often at the back part.Back panels can be removed by prying it off from a notch you’ll see along the sides, or by simply sliding it off the phone.

    3. Remove the battery. Flip the battery out of your device. The Android should shut down due to the absence of power, forcibly resetting your Android device.

    4. Place back the battery. After a few moments(5mn+), put the battery back and replace the back cover.

    5. Restart your device. Press the device’s Power button to switch it on. Your Android phone should resume its normal operation

    HOW YOU CAN FOCUS ON YOUR STUDY

    1. sometimes to study more for the most recent upcoming exam. Make sure this study plan is realistic and not impossible. It is important to balance school, work, and extracurricular activities. If you are really struggling with your classes, you may want to give up the after school job or an extracurricular activity until your grades come up. You need to prioritize your time. Remember: your education is the most important thing because it is the foundation of your future success. For college classes, you should base the hours you study per class on how difficult the class is and how many credit hours the class is worth(For example, if you have a 3-hour physics class that is really hard, you want to study 9 hours a week (3 hrs x 3 for hard difficulty). If you have a literature course that is worth 3 hours and is kind of hard, you may want to study 6 hours a week (3 hrs x 2 for medium difficulty).).

    2. Pace yourself.

    Find the best speed for you to study and adjust accordingly. Some concepts or classes will come to you more naturally, so you can study those more quickly. Other things may take you twice as long. Take the time you need and study at the pace you feel comfortable. Studying in 20 minute intervals will help make it a lot easier to retain information.

    3. Get enough rest.

    Make sure you get enough time to sleep. This is important as you lead up to the test, and especially important right before you take the test. Studies have shown that sleep positively impacts test taking by improving memory and attentiveness. Staying up all night studying may sound like a good idea, but skip the all-night cram session. If you study throughout the weeks, you won’t need to cram anyway. Getting a good night’s sleep will help you perform better.

    4. Clear your mind of anything that doesn’t have to do with the topic you’re studying.

    If you have got a lot on your mind, take a moment to write yourself some notes about what you’re thinking about and how you feel before you start studying. This will help to focus on your study.

    5. Eliminate electronic distractions. One of the worst distractions for studying is electronic devices. They are hooked up to social media, you receive texts through your phone, and your laptop is hooked to the internet. Silence your cell phone or keep it in your bag so it’s not there to distract you if someone calls or texts you. If you can, don’t open your laptop or connect it to the internet.

    MANENO MATAMU YA KUMWAMBIA MAPENZI WAKO

    Wanaume na wanawake wote hujawa na furaha wanaposikia maneno mazuri kutoka kwa wapenzi wao. Maneno mazuri ya mapenzi huleta hisia ambazo husaidia kuimarisha uhusiano na kuongeza ukaribu kwa wapenzi. Hivyo, kumpatia maneno mazuri mwenza wako ni jambo la msingi na sio ujinga.

    Katika makala hii tunaenda kukupa maneno Matamu ya kumwambia mpenzi wako. Hii ni kukurahisishia unapopata muda mzuri wa kumwambia mpenzi wako maneno Matamu au Mazuri.
    Wakati mzuri wa kumwambia mpenzi wako maneno Matamu ya upendo ni wakati wowote unapojisikia kumsogeza karibu zaidi. Iwe ni asubuhi kabla ya kuanza siku, wakati wa mazungumzo ya kawaida, au hata nyakati za faragha mkiwa pamoja, maneno matamu hufanya kazi ya kuimarisha uhusiano wenu na kuongeza kiwango cha hisia za upendo. Hata ujumbe mfupi wa simu ukiwa na maneno haya unaweza kubadilisha siku ya mpenzi wako kuwa nzuri.

    Mbali na kuimarisha mahusiano, wataalamu wa masuala ya mapenzi wanasema kwamba maneno matamu yanaweza kusaidia kupunguza migogoro midogo midogo kati ya wapendanao. Ni njia rahisi ya kusema “nakuthamini” bila hata kulazimika kutumia nguvu nyingi. Kwa hiyo, usisite kuyatumia maneno haya kwa mpenzi wako na uone jinsi uhusiano wenu utakavyonoga na kushamiri zaidi.

    Maneno Matamu Ya Kumwambia Mapenzi Wako(Mwanamke au Mwanaume)

    1.Wewe ni mzuri na ni mrembo naogopa hata kukugusa naona kama nitakuchafua.


    2.Unapotabasamu huzuni kwangu hupotea , ghafla nakuwa mtu wa furaha.

    MANENO MATAMU YA KUMWAMWAMBIA MPENZI WAKO 2022>> GUSA HAPA KUJIUNGA


    3.Ungeweza kupata mwanaume yeyote duniani , lakini umenichagua mimi.


    4.jinsi ulivyo wewe ndivyo nipendavyo.


    5.Tabasamu lako zuri linanifanya niyeyuke.


    6.Unaponiaga napata shida kukuruhusu uende.


    7.Umenielewa vizuri, ni kama unasoma mawazo yangu


    8.Ninapokushika nashisi kulegea kwenye magoti.


    9.Wewe ni rafiki yangu, najifunza vitu vingi kwako,ndiye mtu ambae nimekuchagua, ndio mpenzi wa maisha yangu. ni wangu pekee, wewe ndio kila kitu kwangu.


    10.Siamini , maana jinsi ulivyo amazing, lakini upo na mimi.


    11.kila nikiangalia muda naona kama hautoshi kukupenda , natamani niwe na wewe milele. yaani wasife.


    12.Umenifanya niamini kuwa zipo nafsi zinazoungana, zinazokutana pamoja.


    13.Usiku nikiwa naangalia nyota na kuzilinganisha kila moja ili kuelewa ni kwa nininakupenda,nilifanya vizuri hatimae nikazikimbia.


    14.Kukutana nawe ni kitu ambacho hakijawahi kutokea.


    15.Unapoonyesha kunipenda, huwa nazidiwa na hisia , hapo hupotea kabisaaa.


    16.Kabla ya kulala ni lazima kwanza nikupigie simu ndio nitapata usingizi.


    17.Naweza kuwa nawe maisha yote, lakini bado nahisi kama haitatosha kukupenda.


    18.Napata furaha nikiwa na wewe.


    19. Napenda kutumia muda na wewe.

    Gusa hapa kujiunga>>> MANENO YENYE HISIA KALI YA KUMWAMWAMBIA MPENZI WAKO


    20.Napenda ngozi yako laini, ninapoigusa.


    21.Natamani maishsa yangu yote nikuone ukiwa na furaha.


    22.Usibadilike nakupenda jinsi ulivyo.


    23.Nikiwa na wewe nafurahi kama mtoto.


    24.Napenda nywele zako.


    25.Napenda nikukumbatie

    ninapokuaga.

    Gusa hapa>> USOME JAMBO ZURI ZAIDI KWAAJILI YAKO


    26.Natamani kukubusu kila sehemu ya mwili wako.


    27.Naanza siku na wewe ndani ya mawazo yangu, na ninamaliza siku na wewe kwenye ndoto zangu.


    28. ukiwa na mimi huwa natamani kusimamisha muda, maana muda unakwenda haraka.


    29.Nikisikia sauti yako asubuhi , siku nzima ni mtu wa furaha.


    30.Nakupenda sana mpenzi zangu.


    Ni hayo tu katika kurasa hii ilo jaa Maneno Matamu ya kumwambia mpenzi wako. Endelea kuwa karibu na The bestgalaxy kwa mambo mengine mazuri zaidi.

    STORI MPYA ZA VICHEKESHO

    🙊🙈✍️
    JAMAA KATOKA CHURCH KAFIKA HOME KWAKE, AKAMKUMBATIA MKEWE NA KUMBEBA JUU JUU KWA HAMAKI… 😴😴

    MKE; KWANI VP LEO MUMEWANGU MAPENZI YAMEONGEZEKA MPK UNAYAFANYA HAYA MPK NASHANGAA.. !!!!🙄🙄

    MUME: AKAMJIBU MKEWE KUWA CHURCH WAMEAMBIWA WAYANYANYUE MATATIZO Yao JUU MUNGU AYAONE… 🙆🙆🙆🏃🏃🙆🐼/span>

    Gusa hapa>> USOME JAMBO ZURI ZAIDI KWAAJILI YAKO

    Binti;;

    Binti alipokea txt kwny cm yake “Hi,mremb una boyfriend?” BINTI:Ndio, ninae kwan we nan?? “Mimi ni baba yako naomb nkukute hapo nyumbn unielez vzuri” Baad ya mda kidog akapokea text nyingn “Hlw!,una boyfriend?” BINTI:Cna kabixaa! Bt u nan tena?? “Mi ni boyfriend wako nlitak kujua unavyojicfia kuw na mm, kwl nimegundua hunipend” BINTI:Oh,sorr bby nlijua baba ang mana ametok kuniulza swl iloilo! “Yes,ndio mm baba yako yan leo utantambua nkirud uko shenz ww!!!!”..


    Gusa hapa>> USOME JAMBO ZURI ZAIDI KWAAJILI YAKO

    MUELEVU NA MJINGA
    Mwelevu na Mjinga walienda ktk usaili, walipofika kabla hawajaingia wakakubaliana aanze Mwerevu kisha akitoka ampe majibu Mjinga ili wote wapate kazi.*
    *Basi Mwerevu akaingia na maswali yakawa hivi:-*
    *Msaili:- Tanzania ilipata Uhuru mwaka gani?*
    *Mwerevu:- ilitakiwa iwe mwaka 1960 ila ikasogezwa mpaka 1961 kutokana na sababu mbalimbali..*
    *Msaili:- Nani hasa alihusika na upatikanaji wa Uhuru huo?*
    *Mwerevu:- Kuna watu wengi walihusika ila Mwl. J.K. Nyerere ndiye alikuja kumalizia.*
    *Msaili:- Inasemekana katika sayari ya Mars kuna viumbe wanaishi, je ni Kweli?*
    *Mwerevu:- Watu wengi wanasema hivyo lakini haijathibitishwa na wanasayansi.*
    *Baada ya Mwerevu kutoka basi Mjinga akapewa majibu yote..*
    *Kuingia ktk usaili maswali yakawa hivi:-*
    *Msaili:- Tuambie ulizaliwa mwaka gani?*
    *Mjinga:- Ilitakiwa iwe mwaka 1960 ila ikasogezwa mbele mpaka mwaka 1961 kutokana na sababu mbali mbali.*
    *Msaili:- Mungu Wangu, BABA yako anaitwa nani?*
    *Mjinga:- Kuna watu wengi walihusika ila Mwl. J. K. Nyerere ndiye alikuja kumalizia .*
    *Msaili:- Hivi wewe ni chizi?*
    *Mjinga:- watu wengi husema hivyo lakini haijathibitishwa na wanasayansi*😂😂😂😂😂😂


    Gusa hapa>> USOME JAMBO ZURI ZAIDI KWAAJILI YAKO

    STORI YA KUSIKITISHA
    majamaa watatu walikodi chumba katika hoteli moja hapa mjini, wakawa wamepata chumba cha mwisho kabixa ambacho kipo ghorofa ya hamsini (50), walipotoka walirudi wakakuta umeme umekatika, hvyo iliwabidi kupanda ngazi ili waeze kufika kwny chumba chao, hivyo walikubaliana wakwanza atapiga stori ya kuchekesha, wapili atapiga stori za kutisha na watatu atawapigia stori za kuhuzunisha, wa kwanza alpiga ctor za kuchekesa mpk walpo fika ghorofa ya 15, akafata yule wa pili akawapigia ctori za kutisha mpk walipofika ghorofa ya 30, akapokea yule watatu akawapigia story za kuhuzunisha. walipofika ghorofa ya 50 aliwageukia wenzake na kuwaambia na hii ndo yakuhuzunisha zaidi, TUMESAHAU KUCHUKUA UFUNGUO PALE MAPOKEZI…


    THIS HOW YOU CAN STOP SMOKING

    1. Throw out all of your smoking
    Remove anything from your work or home that is associated with smoking. This includes cigarettes, cigars, pipes, hookahs, or any other smoking device. It is important to not have temptations in your personal space that may undermine your goal of not smoking.Avoid places where smoking is permitted and start to hang out with non-smokers.

    2.Reward yourself
    Incentivize your good behavior by treating yourself to something you enjoy. It is likely that quitting smoking will make you feel sad, increasing your craving to smoke. Instead, try activating the pleasure centers of brain with a something that you enjoy like to take the money you save and use it to reward yourself, buying something nice, treating yourself to a movie and a nice dinner.

    3. Stay busy

    Do things to distract you from smoking and take your mind off of your cravings. Start a new hobby or spend more time with your friends. Being physically active will reduce stress and restrain your cravings.Keep your hands busy by playing with small objects like coins or paperclips, and keep your mouth busy by blowing through straws and chewing gum.Avoid to do activities with smokers.

    4. Ask for help

    Quitting with the support of friends and family is a much easier task than doing it entirely on your own. Talk to others when you are struggling with your cravings and let them know how they can help you stay smoke-free. Quitting smoking does not have to be your burden alone.

    STORI ZA VICHEKESHO ZINAZOWEZA KUKU VUNJA MBAVU


    STESHENI YA TRENI

    Jamaa wawili walifika stesheni wakakuta tren ndo kwanza inaondoka. Wakaanza kuikimbiza. Mmoja akafanikiwa kupanda akaondoka…

    Yule Aliye baki akaanza kucheka sanaa
    Mpaka machozi yakamtuka. Watu wakamuuliza, unacheka nini sasa wakati umeachwa? Akawajibu:
    “Kinacho nichekesha , yule aliye panda alikuwa ananisindikiza.

    GUSA HAPA>> KUPATA VITU VIZURI ZAIDI KWAAJILI YAKO SASA


    NDEGE ILIOPATA AJALI

    Ndege ilipata hitilafu angani Ndipo rubani akatoa taarifa kwamba ndege imepata hitilafu na itadondoka baada ya dakika 10. Ndani ya ndege kulikuwa na watu watano Lakini maparashuti yalikuwa manne tu.
    Watu hao ni mchungaji, waziri, mwanajeshi, Msukuma na mwanafunzi wa chekechea, Mchungaji akasema yeye anategemewa na kanisa hivyo hapaswi kufa. Akachukua parachute akaruka. Waziri akasema wananchi wanamtegemea alete maendeleo, Akachukua parachute akaruka. Msukuma akasema familia inamtegamea akachukua parachute akaruka faster.
    Wakabaki mwanajeshi na mwanafunzi wa chekechea. Yule mjeshi akamtazama mwanafunzi akamuonea huruma kisha akasema. Mimi najitolea kufa kwa ajili yako, we chukua hilo parachute lililobaki ujiokoe halafu mi ntakufa na hii ndege.
    Yule mwanafunzi akajibu “usijali yamebaki maparashuti mawili” yule mjeshi akashangaa akauliza mawili kivipi.? Mwanafunzi akasema YULE MSUKUMA KACHUKUA BEGI LANGU LA SHULE ALIDHANI NI PARASHUTI


    NAMBA MPYA

    Mke wangu alisajili line mpya jina la Jenifer Godson bila mimi kujua.
    Jana usiku nimerudi home akaniomba elfu 10 akasuke.
    Nikajibu sina elfu 10 nikampa buku 4
    Wakati tumelala, Mara Paa msg katika simu yangu

    “HI MY LOVE”.

    Kidume nikatoka nje nikaenda toilet, nikaijibu:
    “we nani”

    MSG: ni mimi Jane Msambwanda”.

    Kusikia Msambwanda, mshipa wa ubongo ukanicheza.
    MIMI: Jane Msambwanda wa wapi tena?”

    MSG: Bwana baby nawe, si pale unapokulaga kila siku?”

    MIMI: “ooh, kumbe unaitwaga Jenifer, namba yangu umeipata wapi?

    MSG: “nimepewa na rafiki yako DJ Tipwil, nakupenda sana handsome, sema huwa naogopaga kukwambia, ila mi sijiwez juu yako, yaani kila ukija kula, natamani usiondoke, nikwambie yaliyomo moyoni mwangu, nateseka sana mwenzio”

    MIMI: Jamani pole mpenzi, hata mimi nilikuwa nakupenda, yaan kila nikiona huo msambwanda nahisi mzunguko wa damu kubadilika, I love you too honey.

    MSG: Basi mpenzi ,nikuombe kitu

    MIMI: aah, sema tu

    MSG: naomba elfu 50

    MIMI: nakutumia sasa ivi”
    (NIKATUMA)

    MSG: Waaoo asante mume wangu, haya rudi ndani tulale, mi mkeo MAMA KIDUKU hapa..

    🙆‍♂🙆‍♂🙆‍♂

    🎼_hapo ndo utaukumbuka wimbo wa dunia Lukumba lukumba🎼


    KITOTO KIJINGA

    WAGOGO watatu walisafiri, walipofika kwa ndugu yao mjini wakapewa soda wakasemezana GALIMUZINZI, Yaani tamu, walipoondoka mmoja alitia kizibo(cha kisoda) mfukon badae walipotoka nje akamnong’oneza mwenzie MUYANGU NASOLA MBEYU! Yaani, mwenzio nimechukua mbegu nikapande.


    HUU NDIO UBAYA WA KUWA NA MWALIMU MKUU ALIESOMEA SAYANSI

    *MWALIMU: Nani alimuuwa Chifu Mkwawa?
    Mwanafunzi 1; Sio mimi
    Mwanafunzi 2: Jana sikuja shule
    Mwanafunzi 3:Mwalimu kwa kweli sie unatuonea….baada ya mwalimu kuona darasa zima ni vilaza akaamua kumtaarifu mwalimu mkuu, ambaye naye akaja kwa ukali
    MWALIMU MKUU: Nani aliyemuua Chifu Mkwawa? Msipojibu humu ndani patawaka moto…darasa zima wakaanza kulia
    Darasa:Mwalimu sio sisi
    Mwalimu Mkuu akamgeukia mwalimu wake akamuuliza, “Mwalimu una uhakika huyo muuwaji yuko darasa hili?” 😂😂😂😂


    KITAMBULISHO CHANGU

    NLKUA NATEMBEA NKAONA MWENDAWAZIMU AKIOKOTA NOTI YA KSH.1000 MBELE YANGU.
    MIMI: samahani sana boss, hio uliookota hapo ni kitambulisho changu.
    MWENDAWAZIMU: hatakama cjui kitambulisho lakini hiki si kitambulisho, OK Kama ni kitambulisho chako kweli nambie waitwa Nani? Na umezaliwa mwaka gani
    MIMI: naitwa JAMHURI KUU YA KENYA na nimezaliwa mwaka wa 1000.
    MWENDAWAZIMU: oh Pole boss kwa kukupotezea wakati shika kitambulisho chako, lakini mbona uko na vitambulisho vingi na unavibwagabwaga ovyoovyo? Nko na vyengine ishirini hapa acha nkupe mwenyewe.
    MIMI: asante sana kwa kuniokotea izo ni photocopy na nimuhimu sana kwangu. Zilipotea tangu mwakajana zinanpatia shida sana.


    How to create cartoon in your Android phone

    Do you know that you can make cartoon videos by using your phone?

    Do you know that you can do it free?

    Do you know how you can do it?

    It is very easy!!!.first of all you need to download or install the app called “Drawing cartoon 2” (available in play store).

    Drawing cartoon 2 is a cartoon maker app that enables you to create cartoon video on your phone for free.

    It give you more than 200+ characters and also give you a chance to create your own characters.

    After installing the app,open and you will see all instructions about how to create cartoon by using that app.

    YouTube music App

    YouTube Music is a new mobile app.
    It’s basically the result of what Google learned through its Music Key beta music subcription service that debuted last year but was never officially launched. YouTube Music takes bits of that and is now available to all.

    The YouTube Music app is launching on iOS & Android.If you want to start use this app just download the app,open then sign in with your Google account.Start to enjoy!!

    Size: 14MB

    Downloads: 10346+

    (for Android)

    Install