Faida za kufanya mapenzi(Tendo la ndoa)


Mapenzi tunaweza kusema ni hisia, lakini kufanya mapenzi ni Tendo ambalo pia tunaliita Tendo la ndoa. Tendo hili kikawada limekua likihusisha watu wa jinsi mbili tofauti ambao wanaweza kuwa wapo katika mahusiano ya kimapenzi. Kwa upande mwingine tunaweza alezea kuwa ni moja kati ya matendo ya asili ya binadamu.

Kumekua na tafiti nyingi kuhusu mwanadamu kushiliki Tendo la ndoa na kuna faida nyingi ambazo zimeonekana kwa watu kutokana kufanya Tendo hili. Hapa chini unaweza soma faida 5 za kufanya mapenzi (Tendo la ndoa).

Jinsi ya kufanya mpenzi wako akuwaze Kila mala BONYEZA HAPA>>>

Faida 5 za kufanya Tendo la ndoa (Mapenzi)

Kupunguza Msongo Wa Mawazo na Wasiwasi

Kufanya Tendo kunaweza changia mtu kupunguza Msongo Wa Mawazo na wasi wasi. Utolewaji wa oxytocin, endorphins, na homoni nyingine za kukufanya ujisike vizuri Katika tendo, unaweza sababisha mtu kupunguza msongo wa mawazo na wasi wasi.

Kumuweka mtu mbali na magonjwa ya moyo

Katika upande wa magonjwa ya moyo, Tendo la ndoa linaweza kumuweka mtu mbali na magonjwa haya. Kufanya mapenzi mara kwa mara kwa mwanaume au mwanamke kunaweza kusaidia kupunguza hatari ya mtu huyo kupata magonjwa ya moyo, kama vile kiharusi.

kupunguza maumivu

Kufanya Tendo pia huwa ni msaada katika kupungaza maumivu ya mwili kwa mwanaume au mwanamke. Kufanya mapenzi au Tendo la ndoa kunaweza fanya maumivu ya kichwa, maumivu ya misuli, au maumivu ya tumbo, yakapungua.

Kuongeza Kinga Za Mwili

Tendo la ndoa linachango wake katika Kinga za Mwili wa binadamu. Kufanya mapenzi kunaweza kusaidia kuongeza viwango vya kinga mwilini, na hivyo kupunguza hatari ya kupata maambukizi ya baadhi ya magonjwa.

Kuongeza Ukaribu

Kushiliki Tendo pia huwa kuna umuhimu katika kuongeza mahusiano na ukaribu kati ya wapenzi. Tendo hili likifanywa na watu waliokatika mahusiano mazuri ya mapenzi kusaidia kuboresha uhusiano wao wa kimapenzi na kufanya wawe karibu zaidi.

Maneno ambayo hautakiwi kusema kwa mwenza wako BONYEZA HAPA>>>

Hizo ni faida Tano kati ya faida nyingi za Kushiliki Tendo la ndoa. Lakini unapaswa kufahamu huwa Tendo hili pia lina athari andapo litafanywa bila kujali usama maana kunamagonjwa huambukizwa kupitia Tendo hili.

Leave a comment