Jinsi ya kufanya simu isiishe chaji haraka

Hapa tumeelezea vitu vichache unavyoweza kufanya kwenye simu yako ya Smartphone (Android) ku refusha maisha ya chaji. Hii inaweza kuwa msaada mkubwa Kwa watu wenye simu zinazowahi kuisha chaji.

Lakini unachotakiwa kujua ni kwamba vitu vinne tulivyotaja katika Audio si vitu pekee vinavyorefusha maisha ya chaji. Kama utaka kaelezo zaidi ya kufanya vitu hivi kuandika ujumbe wako na kutumia Kwa njia ya WhatsApp kwa kugusa kitufe kilicho andikwa “Chati nasi WhatsApp” kwenye Home Page yetu.

Ukiona dalili hizi Jua Account yako ya Facebook  imedukuliwa na si salama GUSA HAPA>>>>

Magroup ya WhatsApp ya kujiunga bure GUSA HAPA>>>

6 thoughts on “Jinsi ya kufanya simu isiishe chaji haraka”

Leave a reply to Aman l mtenga Cancel reply