Jinsi ya kuangalia mechi za Tanzania kwenye simu

Kama ni shabiki mzuri wa soka la ndani basi bilashaka ninahakika unijiskia Vizuri sana pale unapotazama mechi zinazohusishia timu za bongo kama vile Azam fc, Simba, yanga na nyinginezo.


Tulishazungunzia katika makala iliopita jinsi unavyoweza cheki ama kuangalia mpira wa nje kwenye simu. Kama ni mfuatiliaji wetu mzuri utakua tayari umelijua hilo. Kwenye makala hii tunakujuza jinsi ya kuangalia mechi za Tanzania kwenye simu(online). Yaani namba unavyoweza kuangalia mechi zote zinazohusishia soka la bongo/Tanzania.

Magemu ya mpira ya kucheza kwenye simu GUSA HAPA>>>

jinsi ya kuangalia mechi za Tanzania kwenye simu

Njia rahisi ya kuangalia mechi za Tanzania kwenye simu yako ni kutumia app iitwayo AzamTv Max. Unaweza gusa HAPA>>> kuipakua.

App hii imejaa channel ambazo huusika na mechi saka za Tanzania. Lakini app hiii sio ya bure. Utahijika kulipia ili kufurahia unachokipenda kiganjani kwako.


Mbali na app Azam Max, Kuna baadhi ya app pia huwa zinakupa uwezo wa kuangalia mechi za soka la bongo Kwa Bei nafuu ila huwezi fananisha huduma zake na huduma za Azam Max. AzamTv Max ni Moja ya app bora.

Jinsi ya kupata mkopo kwenye simu GUSA HAPA>>>>

Magroup ya WhatsApp ya kujiunga bure GUSA HAPA>>>

Unapotaka kuangalia soka kwenye simu inatakiwa kuwa na internet yenye kasi na iliotulia ili kufurahia zaidi kuangalia soka kiganjani mwako. Kama unajua kabisa internet yako haipo sawa, ni vema ukaangalia tu kwenye TV maana utainjoi zaidi kuliko kwenye simu. Mara nyingi Sana unapokua unatuzama soka kwenye simu ilio na muunganiko wa internet unaosumbua kunakua na matatizo ya kuganda ganda kwa video.

5 thoughts on “Jinsi ya kuangalia mechi za Tanzania kwenye simu”

Leave a comment