Tag Archives: Swahili

Magemu mazuri ya kucheza kwenye simu (Android)

Kama wewe ni mpenda magemu na unatumia simu yako ya Android kucheza magemu basi hapa tumekuandalia orodha ya magemu machache ambayo unaweza ya cheza na ukafurahia zaidi muda wako wa kucheza magemu kwenye simu yako. Kama ndio kwa Mara ya kwanza unataka kujifunza au kuanza kucheza magemu ya Android basi ni vema ukaangalia magemu yalio katika orodha hii na ukaangalia linalo kufaa kisha ukalipakua.

Call of Duty mobile

Hili ni gemu zuri sana la kivita ambalo limetolewa na Activision. Gemu la Call of Duty mobile ni gemu lililochezwa na watu Wengi na Mpaka sasa linaendelea kuchezwa na mamilioni ya watu ulimwenguni. Kama unapenda magemu ya kivita basi gemu hili unaweza kulifulahia zaidi lakini unachotakiwa kujua nikwamba game hili ni la Online. Kwa lugha nyingine tunaweza kusema gemu hili linahitaji internet ili kulicheza. Kitu kizuri kuhusu magemu hili ni kwamba unaweza kucheza na watu wengine na pia Kuna mode ningine za kucheza zinazoweza kufanya usichoke kulicheza. Ili kulipata kirahisi gusa HAPA

Jinsi ya kutengeneza Avatar kwenye Facebook (Katuni)

Bus Simulator Indonesia

Bus Simulator Indonesia ni moja ya magame ambayo huchezwa na watu wengi sana na mpaka sasa limechezwa na watu wasiopungua Milioni 50 na wengi hulifahamu kwa jina lake la BUSSiD. Ni game lililotolewa mwaka 2017. Game hili ni la Online yaani ili kulicheza utahitajika kutumia data. Kama nimpenzi wa game za muundo huu basi hakikisha unapakua game hili maana ni game zuri sana.Kitu unachotakiwa kukifahamu ni kwamba mazingira na magari yalio katika game hili yanayofana na mazingira ya Indonesia ndiomana likawa na jina Indonesia.Linaweza kuchezwa na watu zaidi ya mmoja (Online). Linapatika playstore kwa MB zisizopungua 272. Unaweza kulipakua kirahisi kwa kugusa HAPA

Traffic Rider

Kama ni mtu unaependa magame mazuri na unavutiwa zaidi na game za pikipiki basi game la Traffic Rider ni game litakalokufurahisha zaidi.
Game hili mpaka Sasa limechezwa na watu zaidi ya Milioni 7 ulimwenguni na asilimia kubwa ya watu hao wamelipenda.
Linamuonekano mzuri, Sauti zenye uhalisia na majira yenye uhalisia maana kuna hadi mission za usiku. Kadr unavyoendesha kasi pikipiki na kuovertake magari ndivyo unavyojiongezea idadi ya Scores. Lina missions zaidi ya 70 na kuna zaidi ya pikipiki 20 tofauti tofauti.Traffic Rider ni game lipatikanalo Playstore na lina MB90 tu. Hukubali mpaka katika simu zenye RAM 1 bila shida yoyote. Kama utahitaji kulipata kirahisi game hili gusa HAPA

Jinsi ya kutengeneza Pesa kwa kucheza games mtandaoni BONYEZA HAPA>>>


Occupation 2.5

Ni gemu ambalo unalicheza ukiwa Kama mtu ambae upo kwenye mji uliochafuka na kila mtu naeishi katika mji huo anaishi kwa hofu kubwa kutokana na uwepo wa wafu wanaotembea yaani Zombies na baadhi ya viumbe vingine visivyo na urafiki na binadamu. Ni moja ya magame mazuri yanayopatikana kwa Mbs chache katika playstore. Lina nyumba zinaingilika na unawachezesha wahusika zaidi ya mmoja katika mji huo. Unaweza kulipata kirahisi game hili kwa kugusa HAPA

EA Sports UFC

Unapenda magemu ya kupigana? Kama Unapenda magemu ya kupigana basi gemu la EA Sports UFC ni game ambalo halitakiwi kukoswa kwenye simu yako. Gemu hili ni moja ya magemu mazuri sana ya kupigana. Lina muonekano mzuri mno ambao utakufanya ufurahie kulicheza. Linahusu kupigana kwa kutumia ngumi na mateke.

Ukiona dalili hizi Jua Account yako ya Facebook  imedukuliwa na si salama GUSA HAPA>>>>

Limekusanya wapiganaji wengi maalufu duniani ambao utatakiwa kuwafungua kutokana na uchezaji wako. Gemu hili linaweza kuchezwa Offline na Online. Ukiwa unacheza Online unakua na uwezo wa kucheza na watu wengine toka sehemu mbalimbali za dunia na utatakiwa kupambana nao na kufanya wapoteze dira kwa vitasa(ngumi) na mateke ya mitindo mbalimbali ili uibuke mshindi. Unaweza lipata katika playstore kwa kugusa HAPA

Overkill 3

Hili ni gemu zuri sana la Action ambalo mpaka sasa limechezwa na watu zaidi ya milioni 5. Linamuonekano mzuri na watu wengi wanalipenda kutokana na muonekano wake unaofanana na Caver Fire. Gemu hili huchezwa bila data (Offline) pia linaweza kuchezwa na watu zaidi ya mmoja kwa kutumia data (Online).Inashauriwa anaecheza gemu hili awe na miaka 16 na kuendelea. 
Overkill 3 ni gemu lipatikanalo Playstore kwa kama MB 401 ivi na unaweza kulipata kirahisi kwa kugusa INSTALL

Takashi Ninja Worriror: Shadow of last samurai



Hili ni moja ya magemu mazuri sana ambayo kwa sasa yako trend katika playstore. Gemu hili ni la kijapani na linamuhusu kijana Takashi ambae anaingia katika kulipa kisasi kutokana na watu wake kufanywa vibaya. Ukilipakua utaweza kulicheza muda wowote na bila kukugharimu chochote maana gemu hili huchezwa bila data (Offline) pia hupatikana kwa MB chache sana zisizopungua MB 87.
Unaweza kulipata kirahisi katika playstore kwa kugusa  INSTALL

Modern Strike Online

Ni moja ya magemu bora ya kivita ambayo huchezwa Online tu. Limechezwa na watu wengi sana wasio pungua Milioni hamsini(50).Gemu hili ni moja ya magemu yanayofanana na gemu la Call of duty hivyo kama unapenda magemu ya jamii ya Call of duty, usiache kucheza game hili.
Katika game hili unaweza cheza na marafiki zako Online kwa kiunda timu ya kuwaangamiza maadui au mukashindana kuua maandui ili atakaewaua maadui wengi awemshindi.
Modern Strike Online ni gemu lipatikanalo Playstore kwa MB zisizopungua MB 494. Unaweza lipata kirahisi kwa kugusa INSTALL

Movies za kutafsiliwa GUSA HAPA>>>>

Real Moto

Kama ni wewe ni mpenzi gemu za mashindano ya pikipiki basi real moto linaweza kuwa bora sana kwako. Game hili huchezwa bila kutumia data yaani ni gemu la Offline. Limechezwa na zaidi ya watu Milioni kumi(10). Utaweza kutunza kumbukumbu zote za gemu hilo kwenye email yako ili simu ikipotea uendelee  kucheza palepale ulipoishia kucheza gemu hilo pindi utakapopata simu nyingine na kuiingiza email yako.
Gemu hili hupatikana playstore  kwa MB 143. Unaweza kulipata kirahisi sana kwa kugusa INSTALL

Garena Free Fire

Garena Free Fire linatumia data na lipo hivi; Unamchagua mtu wako utakaemchezesha kisha unatupwa katika eneo moja na wenzako 49 wanaocheza gemu hilo muda huo duniani ili mupigane na uwemzima. Kwaiyo kila mtu utakaemuona katika gemu hili ni mtu anaepambania maisha na anaecheza kama wewe.
Zaidi ya watu Milioni 500 ulimwenguni wanalicheza Gemu hili kupitia vifaa vyao vya Android. Ni gemu linalopendwa na watu wengi kutokana na kuwa dogo kuliko magemu mengine ya muundo huu ambayo ni PUBG na CODM. 
Unaweza kulipakua katika playstore kwa MB 674 pia unaweza rahisisha upatikanaji wake kwa kugusa INSTALL

Battle Of Agents: Gemu kuchezwa na watu wawili au zaidi bila data/internet  GUSA HAPA>>>

Rarry Fury: Extrime racing

Kama unapenda gemu za magari usiache kupakua gemu hili lenye utofauti mkubwa na magemu ya magari yanayotamba kila mwaka. Game hili ni moja kati ya magame yanayopendwa na watu na mpaka Sasa limepakuliwa na zaidi ya watu Milioni 50. Linauhalisia wa kufurahisha wa mashindano ya Rarry.
Ukiachilia mbali muonekano wa game hili kuwa mzuri pia game hili linawezwa chezwa na mtu mmoja Offline au zaidi ya moja Online.Lina chukua kama MB 120 kulipakua na linapatikana katika playstore. Unaweza lipata kirahisi kwa kugusa INSTALL

eFootball

Ukiongelea gemu kali za mpira wa miguu katika mwaka huu huwezi acha game hili. Gemu hili limepakuliwa na watu wengi sana hapa duniani na hii ni kwasababu liko vizuri. Kama umeshawahi cheza magemu ya PES basi tambua kuwa “eFootball” ni lile lile PES ila wamebadilisha jina tu.

Linachezwa Online na inashauriwa kuwa na mtandao usiosumbua ili uweze kulifaidi gemu hili bila usumbufu.Hupatikana playstore kwa GB 1.6 pia unaweza kulipata kirahisi sana kwa kugusa INSTALL

Simu ikiingia maji unatakiwa kufanya nini? GUSA HAPA>>>

Real Boxing


Hili ni gemu la mchezo wa ngumi ambalo mpaka sasa limechezwa na watu wasiopungua Milioni 10 ulimwenguni. Lipo vizuri  sana kwanzia muonekano hadi sauti za vitasa(Ngumi). Kama ni mpenzi wa magemu ya kupigana, usikubali kuliacha gemu hili maana ni gemu lenye uhalisia wa mchezo wa kupigana wa Boxing.
Inashauriwa anaecheza game hili asiwe na miaka chini ya kumi na sita (16+). Game la Real Boxing hupatikana playstore kwa kama MB 291 ivi na unaweza kulipata kirahisi kwa kugusa INSTALL

Jumanji: Epic run

Kama unaijua vizuri filamu ya Jumanji au gemu la Tempo Run basi unaweza kulipenda zaidi hili gemu maana limeundwa kutokana na filamu ya Jumanji na muundo wake unafanana na gemu maarufu liitwalo Tempo Run.Ni gemu ambalo hujezwa bila data na mpaka Sasa linachezwa na zaidi ya watu million 10 duniani. Mchezaji wa gemu hili anatakiwa kuwa na umri usiopungua miaka 12.Linapatikana playstore kwa MB 154 na unaweza kulipata kirahisi kwa kugusa INSTALL

Unafahamu sumu ya Nge huuzwa bei ghali ulimwenguni?

Nge ni mmoja wa wanyama wenye sumu kali sana na sumu yake inaweza sababisha mtu kupooza mwili au kupoteza maisha japo baadhi ya aina za Nge huwa hawana sumu zenye athari kubwa.
Kuna zaidi ya aina 1800 za Nge ulimwenguni na kila Nge hutoa sumu tofauti. Nge huwa na miguu nane, macho 6 hadi 12 na mkia mrefu wenye mwiba ambao huutumia kudunga windo na kuiingiza sumu ndani yake.
Nge wadogo huwa wadudu wadogo wadogo lakini kuna Nge wakubwa ambao hula mijusi na panya.

Mbali na sumu ya Nge kuwa ni hatari lakini imekuwa na umuhimu mkubwa katika maswala ya afya ya binadamu. Wanasayansi hutumia sumu hii kutengeneza madawa ya kutibu na kuzuia magonjwa mbalimbali hasa matatizo ya ubongo na kupambana na kansa.Kwa sasa sumu ya Nge ni moja ya vimiminika vinavyouzwa bei ghali ulimwenguni ambapo inakadiliwa kwa Gramu moja tu ya sumu ya Nge inaweza kuwa zaidi ya Tsh 16,000,000.


Lakini sababu kubwa ya sumu hii kuwa ghali sio umuhumu wake bali ni mchakato ambao unatakiwa kufanyika ili kuiandaa na uzalishwaji wake ni mgumu kwakua Nge huzalisha kiasi kidogo mno cha sumu kila baada ya wiki mbili.

Fanya haya ili kuchelewa kupiga bao

Kuwahi kumaliza katika tendo huweza kusababishwa au kuchochewa nqa vitu vingi sana. Wengi huusisha swala hili na magonjwa lakini kiukweli watu wengi huwa wanawahi kumaliza mchezo kutokana na mazingira au mawazo aliojiwekea mwenywe katika vichwa vyao. Kuna baadhi ya vitu ambavyo vinaweza kumsaidia mwanaume asiwahi kumaliza mchezo katika tendo.

Fanya mazoezi ya mwili

Kama tunavyo fahamu kuwa mwili wenye afya nzuri daima hufanya kazi vizuri, kwahiyo kitu rahisi cha kufanya ni kujenga tabia ya kufanya mazoezi ambayo husaidia kujenga afya njema na kukufanya uwe na mzunguko mzuri wa damu. Kama una mwili wenye afya basi inaweza kukusaidia kwa namna ya kifikra ambazo huchangia kuepukana na swala la kumaliza mchezo kwa haraka.

Pumua vizuri

Kiungo chochote cha mwili huhitaji nguvu kamili ili kufanya kazi vizuri. Unapo pumua vizuri na kwa ukamilifu, viungo hupata nguvu za ziada. Baada ya kuinza tu (wakati wa tendo), jaribu kupumua kwa ufasaha ili mwili uweze kupata hisia kabla ya kuanza kulisakata rumba.
Mshirikishe mwenzako

Kuridhika kimapenzi ni tukio ambalo wote wawili mnaridhika. Ili kujifunza kujizuia kumaliza mchezo kwa haraka, ni vizuri kuwasiliana na mwenzi wako wa kimapenzi. Anaweza akakusaidia kushinda tatizo hili, kila unapohisi unataka kumaliza mapema, sema ‘subiri’ na usitishe kwanza shughuli zote kwa muda kidogo ili kwenda sawa nae.

Usiliwaze sana tendo

Pia kabla ya kwenda kuanza tendo kwa mfano upo ofisini na unajua jioni unakwenda kucheza mchezo basi jitahidi usiwaze hayo mambo chukulia kama ni kitu cha kawaida. Hii ni kwasababu kuongeza concentration ya kuwaza inaongeza stimulation kiasi kwamba ukimgusa mpenzi wako tayari umekwishaachia hata kabla ya kuanza mchezo.

Chagua style

Pia angalia angalia style zenye kuchochea kumaliza kwa haraka kwa mfano mbuzi kagoma…. etc hii ni ngumu kujizuia kumaliza hasa kwa bao la kwanza maana panakuwepo na constriction ya hali ya juu very tighten kiasi kwamba ukigusa tu tayari ..so ni vizuri style kama hizi zikafuata baada ya bao la kwanza ili uweze ku-enjoy vizuri zaidi.

Jinsi ya kupata mkopo kwa njia ya simu tanzania (Watu Million 10+ wanaitumia njia hii halali ya kukopa)

Unaambiwa, zaidi ya watu milioni 100 duniani wanatumia simu zao kupata mkopo kwa haraka. Na Kwa hapa Tanzania kuna watu wengi sana ambao tayari wanatumia simu zao kupata mikopo inayowazaidia kuwasukuma katika mambo mbali mbali kimaisha.
Kutumia simu kupata mkopo ni moja ya matumizi chanya ya simu hizi za Smartphone. Ni matumizi chanya kwasababu mkopo ambao watu hupata kupita simu zao, unawasaidia katika maisha halisi. Maana wanaweza kupata mkopo ili kurekebisha mambo yanapoenda vibaya katika biashara and maisha Kwa ujumla.


Kwa mfano; Kuna dada flani mzuri sana sitomtaja jina. alikua anasafiri alipanda gari alafu alipokua ndani ya gari na wakati gari limeanza safari akagundua sehemu alioweka pesa zake ikiwemo nauli ipowazi na hakuna pesa… Basi moja Kwa moja akajua ameibiwa pesa na hana pesa yoyote. Dada yele alikua mpole kama amemwagiwa maji ya baridi kwenye gari hilo huku akiwaza ni jinsi gani konda atamuelewa, ukizingatia maneno ya makonda wengi huwa ni mabaya kwenye maswala ya hela.
Lakini Kwa bahati nzuri alikumbuka kuwa kwenye simu yake huwa anatumia huduma flani inayo mruhusu kukopa hadi 100,000 ndani ya dakika 5 tano tu. Alikua hadaiwi kwenye hiyo huduma na alikua ni Moja ya watu wanalipa mikopo Kwa wakati ndio maana alipewa uwezo wa kukopa kiasi kikubwa kidogo.


Basi bila kupoteza muda yule dada akatumia huduma hiyo kukopa kiasi cha pesa Cha kutosha nauli na mambo mengine. Pesa aliokopa ilitumwa kwenye laini yake ya simu (Tsh 70,000). Alipoingia tu kwenye simu akapatanguvu, akamuita konda na kumwambia “Samahani kaka, nimedondosha pesa ya nauli lakini ninapesa kwenye simu naomba uniruhusu nikutumie nauli kwenye simu yako au nikifika stendi tukatoe Kwa wakala…”. Konda akampa pole yele dada kisha akamwambia atume tu kwenye simu ila utume na yakutotea. Basi yele dada alipona kiivyo.

Sasa huo ni kama mfano mzuri unaoonesha umuhimu wa watu kujua na kua na huduma za kukopa kwenye simu. Ikiwa wewe ni moja wa watu wanaohitaji kuwa na huduma za kukopa kwenye simu basi hapa tunakujuza juu ya njia moja ya haraka na halali ya kupata mkopo kwenye simu Tanzania. Soma maelezo yafuatayo hadi mwisho ili kuelewa zaidi njia hii.

Jinsi ya kupata mkopo kwa njia ya simu tanzania.

Kama unahitaji kupata huduma ya mkopo kwa njia ya simu, basi tumia app iitwayo Branch. App ya branch ni moja ya app halali ambayo ukiwanayo kwenye simu yako inakupa uwezo wa kukopa Tsh 5,000 na kuandelea ndani ya dakika chache tu. Tena mkopo unatumwa kwenye laini yako hapo hapo na utakuja kulipa kwa gharama nafuu.
App ya Branch unaweza kuipata na kuiingiza kwenye simu yako kirahisi kwa kugusa HAPA. Lakini kabla haujaiingiza kwenye simu yako ningepeda ufahamu mambo ya fuatayo;

Ukishaiingiza app hii kwenye simu yako, jisajili na ujaze taalifa zako za ukweli kabisa alafu ndio uombe mkopo. Na kwa mara ya kwanza unavyokopa, kopa kiasi kidogo tu (Tsh 5000) na urudishe kwa wakati. Kurudisha kwa wakati kutafanya wakuamini na upadate uwezo wa kukopa kiasi kikubwa kirahisi mbeleni. Unapokopa Kwa mara ya kwanza wanaweza wakachelewa kidogo kukupa. Ila mkopo utakao omba baadaya kurudisha mkopo wa kwanza unaweza upata hata ndani ya dakika moja. Maana wanakua wanajua wewe ni mwaminifu.

Zawadi ya Tsh 5750 BURE Utayopewa na Branch (USISAHAU HII)

App ya Branch pia huwa wanatoa Zawadi ya Tsh ,5750 BURE unaporudisha mkopo wa kwanza. Lakini ni lazima uwe umeandika namba za mualiko. Hii ni kwaajili ya uaminifu wako maana wanaotangulia kukupa pesa ni mwenye.


Kama unahitaji kupata zawadi hiyo basi ingize app kwenye simu yako Kisha jisajili. Ukijisajili Gusa sehemu ilioandikwa “Alika” alafu chagua “Ingiza Nambari ya promosheni” kama unavyoona hapa chini.

Baada ya hapo, unaletewa kibox, jaza nano hili “””elia04c93“”” katika kibox kama inavyo onekana katika picha ya hapa chini. Usisahau kunandika namba hiyo ya mualiko ili upate zawadi.

Ukishajaza tu na kugusa kitufe cha blue, siku yoyoye utakayoomba mkopo alfu ukarejesha, utapata Tsh 5750 BURE.

Kama utakua na tatizo, njoo uulize maswali WhatsApp kwa kugusa HAPA>>>

App hii itakusaidia kuomba mkopo kwa Simu Tanzania. Na ukiwa mwaminifu basi unaweza kuitumia kupata mikopo ya haraka kupitia simu yako Kila unapohitaji. Utakuaunaomba mkopo online kirahisi sana.

Fanya haya kabla simu yako haijaibiwa ili kuipata ikiibiwa GUSA HAPA>>>

Movies Za Kutafsiriwa App Download

Asilimia kubwa ya watanzania au watu wanaongea lugha ya kiswahili hupenda filamu zilizotafsiliwa kiswahili. Filamu zilizotafsiliwa kiswahili au ‘movies za kutafsiriwa’ ni filamu kutoka sehemu mbalimbali za dunia ambazo hua katika lugha isio ya kiswahili lakini huingizwa maneno ya kiswahili na watafsiri. Movies za kutafsiriwa zimekua zikipendwa sana na watu tangu zilipoanza kuzalishwa na moja ya sababu kubwa za kupendwa ni humfanya mtu aweze kuelewa Movies za kihindi, Movies za kichina, Movies za kikolea na nyingizo, kirahisi sana.

Katika makala hii, nitaelekeza jinsi ya kupakua au kudownload ‘movies za kutafsiriwa’ kwenye simu (Android). Kama ni mmoja ya watu wanaopenda ‘Movies za kutafsiriwa’ basi hapa unakwenda kujua njia rahisi ya kuzidownload na kuziangalia kwenye kwenye kiganja chako.

Jinsi ya kudownload movie zilizotafsiliwa kiswahili kwenye simu

Ili kudownload au kuangalia Movies za kutafsiriwa kwenye simu yako, fanya yafuatayo.

  1. Kwanza kabisa unatakiwa pakua app iitwayo “”Movies za kutafsiriwa“” na kuiweka kwenye simu.
  2. Ukishaipakua app hiyo, utatakiwa kuifungua alafu ndani yake utakuta Movies nyingi sana zilizotafsiliwa kwa kiswahili na watafsiri mbalimbali.
  3. Chagua Movies au filamu unayotaka kudownload au kuingalia katika app hiyo kisha uanze uaingalia au kuidownload.

Je app ya “Movies za kutafsiriwa” humaliza bando?

Hapana, app huwa haimalizi bando la mtumiaji maana haina ‘Auto play’ au ‘Auto download’ kama app nyingine. Yaani kwa ufupi ni kwamba app haitumii bando sana.

Jinsi ya kuingia katika Akili ya mwanamke umpendae

Je uko tayari kufahamu jinsi ya kuingia katika akili ya mwanamke na kufanya mapinduzi ya njia ya kawaida unayotumia kuapproach mwanamke? Kama jawabu lako ni ndio, basi zama nami kusoma hizi mbinu ambazo zimethibitishwa kufanya kazi.

1. Anza approach ya mbali

Kabla ya kumuapproach mwanamke, hakikisha ya kuwa unamsoma kwa umbali mambo anayofanya kwanza. Halafu ukiona kama umepata kile unachoweza kutumia kutoka kwake unaweza kumuaproach. Ukiwa unaongea nayeye mwambie kuwa una uwezo wa kusoma nyota yake. Wanawake wengi watakubaliana na hili ili kuona ucheshi wako. Halafu ukirudilia na vitu ambavyo ulimsoma awali, utakuwa umemfunga. Mwanzo kama umejaribu kumtabiria vitu ambavyo viko sawa kwake ama vinahusiana na yeye, una nafasi kuu ya kumfanya kukutaka kukufahamu zaidi. Pia ni vizuri kufahamu miondoko ya wanawake na mapema ili kuelewa kama anakubaliana na utabiri wako kwake. [soma; Jinsi ya kuapproach demu usiyemjua]

Gusa hapa>> USOME JAMBO ZURI ZAIDI KWAAJILI YAKO

Pia unaweza kuwambia unaweza kusoma nyota yake kupitia kwa maganja yake. Hii itakupa nafasi ya rahisi kuweza kupata kumgusa bila kukushuku ajenda yako nzima iliyo akilini mwako. Mbinu hii itamfanya yeye kuvutiwa na wewe kwa urahisi.

2. Leta shangwe

Wanawake wanapenda wanaume ambao hawayachukulii maisha serious vile, so hakikisha kuwa unajua jinsi ya kuchat na wanawake. Unaweza kutumia mbinu ya kutumia kuwa mcheshi na kutoa mizaha ukiwa kando yake. Kufanya hivi kutamfanya yeye kucheka na kutabasamu, jambo ambalo automatic litamfanya yeye kuvutiwa na wewe. Usitumie mbinu ya kumtesa sana na mizaha yako ama utaonekana kuwa na utoto mwingi ama anaweza kukasirishwa. Uzuri wa kutumia ucheshi ni kuwa kunamfanya mwanamke kujihisi bado ana ujana. [soma: Dalili za kuonyesha kama mwanamke anakutaka kimapenzi]

3. Ichokore akili yake

Hii ni mbinu ya sanaa ya kutongoza ambayo itamfanya mwanamke yeyote kuathirika kihisia na wewe. Itamfanya akutamani na kuifanya akili kukufikiria wewe tu.

Njia moja kama hii ni kumfanya mwanamke kuingiwa na furaha dakika moja na kukasirika dakika ya pili. Wanawake inaonekana mara nyingi hupenda vioja katika maisha yao, kama vile katika vipindi vya tamthilia ama soap opera. Hoja ya vioja ni nzuri pia kwa kuwa inatoa ile dhana ya kubandikwa jina kuwa unaboa.

Gusa hapa>> USOME JAMBO ZURI ZAIDI KWAAJILI YAKO

Kama unaweza kuyafanya maisha yako kuwa na vioja vya mara kwa mara wanawake watakupenda automatically bila wao kujifahamu. Ukishafanikiwa kuteka hisia zao, inakuwa rahisi kwako kuingia katika akili yao. Unafaa kuonywa ya kuwa kutumia mbinu hii sana inaweza kuwafanya baadhi ya wanawake kuchunguza maisha yako wakitaka kuwa karibu yako kila wakati.

Pia fahamu ya kuwa usimchangaye akili kihisia mwanamke yeyote kwa kutumia mbinu hii kwani mwishowe inaweza kukujeukia.

Hebu jifunze kummiss mpenzi wako ili kuongeza upendo

Ni lazima uipe pumzi penzi lenu kama mnafanya kazi ambayo inawafanya wewe na mke wako kuwa pamoja kila wakati, basi kila mmoja anahitaji muda wa peke yake awe na muda wa kummiss mwenzake.

Gusa hapa>> USOME JAMBO ZURI ZAIDI KWAAJILI YAKO

Huwezi kummiss mtu ambaye kila dakika unamuona, sana sana utaishia kuona mapungufu yake na kugombana tu. Utammiss vipi wakati kila wakati uko naye, kila mmoja anahitaji kummiss mwenza wake ili mapenzi yawe na raha.

Mume/mke wako anahitaji maisha mbali na wewe, anahitaji angalau nusu saa kwa siku ambayo hataona sura yako, atakuwa na watu wengine, atakuwa na marafiki au atakuwa anafanya kitu kingine bila wewe.

Kama uko kwenye ndoa au mahusiano ambayo kila kitu mnafanya pamoja, kila wakati mko pamoja, kila muda wa ziada mko pamoja basi suala la kugombana kwenu ni la muda tu.

Jifunze kuwa na furaha nje ya mwenza wako, si kuchepuka hapana, hata kucheza tu karata na majirani inatosha kukufanya ummiss mwenza wako.

Kama kila wakati mko pamoja, hata kama hamfanyi kazi pamoja lakini kama ule muda wa zaida kila siku mpo pamoja basi mtaanza kuboana, utaanza kuona mapungufu ya mwenza wako, utaanza kuona ubaya wake na mtagombana tu.

Gusa hapa>> USOME JAMBO ZURI ZAIDI KWAAJILI YAKO

Yes kuna watu wanalalamika kuwa waume zao wanawaganda hawatoki nyumbani, kuna wanaume hulalamika wake zao wanawaganda.

Kama mnagandana kama mapacha halisi jua tu mtaboana.

Mahusiano ya mapenzi huitaji vitu hivi

1. Ujasiri
Upendo unahitaji uwe jasiri katika hali zote ujasiri katika kunena ,ujasiri kutenda, ujasiri katika kuuzungumzia upendo kwa mwenzi wako upendo unamhitaji mtu jasiri sio kitu rahisi kama wengine wanavyozungumzia.

2. Uvumilivu
Upendo unahitaji uvumilivu kuvumiliana. Hakuna mwanadamu aliyekamilika katika mambo yote, unajua Waswahili wanasema “mvumilivu hula mbivu “ mvumilivu katika upendo maana yake hii ni shule ya kila siku, tunajifunza kutokana na makosa. Uvumilivu unatakiwa sana katika upendo – unajua kumfanya mwenzi wako kuwa kama wewe unavyotaka awe inahitaji uvumilivu. Hilo ni kweli, maana mmetoka mazingira tofauti na malezi tofauti; hivyo kumbadilisha inahitaji uvumilivu.

3. Kiasi
Kiasi ni kitu muhimu. Chochote kinachofinywa zaidi ni hatari, unatakiwa uwe na kiasi katika mambo yako ili uweze kudumu katika upendo maana upendo unahitaji kiasi. Usijifanye uko (busy) sana unakosa hata nafasi/muda wa kukaa na mwenzi wako, lakini wewe unarudi usiku, huo sio upendo. Nakuombea uwe na kiasi ili uenzi katika maisha yako.

4. Kutiwa moyo
Upendo unahitaji kutiwa moyo. Mtie moyo mwenzi wako ukimwambia pole asali wangu wa moyo, Unafanya vizuri sana, umefanya vizuri sana, unapoweza kumtia moyo mwenzi wako kwa yale anayofanya yanamuhamasisha kutenda zaidi na kukupenda zaidi. Kutiwa moyo ni kufarijiwa, moyo unahitaji kutiwa moyo, kuthaminiwa. Hivyo katika upendo unahitaji kumtia moyo mwenzi wako ili upendo huo udumu maishani mwako. Ikiwa hauna tabia ya kumtia moyo mwenzi wako ipo siku utampoteza, akipata watu wanaothamini mambo anayoyafanya na kumfariji. Atulie badilika uuteke upendo kwa kufuata masharti yake.

Gusa hapa>> USOME JAMBO ZURI ZAIDI KWAAJILI YAKO

5. Kutambuliwa
Upendo unahitaji kutambuliwa katika maisha yako na kujua umuhimu wake. Kutambuliwa ni kitu muhimu sana katika maisha, kumtambua mpenzi wako na umuhimu wake kwako. Atambulike toka moyoni mwako kuwa anafaa kuwa mumeo au mke wako, hivyo upendo unahitaji sana utambuliwe na wewe mwenyewe. Umfahamu na umuelewe kiundani.

6. Uaminifu
Upendo unahitaji uaminifu kwa mwenzio sio msaliti wenye kujitunza na kujiheshimu mtu asiye na hila ndani yake uaminifu ni dawa ya upendo katika maisha yetu tukikosa uaminifu sisi kwa sisi upendo hautaweza kukaa pamoja nasi.

Gusa Hapa>> USOME JAMBO ZURI ZAIDI KWAAJILI YAKO

7. Usawa
Upendo unahitaji usawa unajua mapenzi ni kusaidiana hakuna kiongozi wa mapenzi bali tunasaidiana hivyo huo ndio usawa katika mapenzi upendo unahitaji usawa huo wewe unawajibu kwa mwenzi wako na mwenzi wako anawajibu kwako.

8. Urafiki
Upendo unahitaji urafiki upendo hujenga urafiki mwenzi wako ni rafiki yako kuliko marafiki ulionao katika maisha yako- Mapenzi wako sio adui yako mficha siri wako usimuogope maana upendo hauna hofu unatakiwa kuzungumza na rafiki yako kirafiki ili upendo uwezo kudumu na kushamili.

9. Kukubalika
Upendo unahitaji kukubalika, kupokelewa toka moyoni mkubali mwenzi wako apate kibali moyoni na maishani mwako ukimkubali hautamuumiza hivyo upendo unataka kukubalika hapo utafurahia maisha yako.

10. Ukweli
Upendo unahitaji ukweli,upendo ni adui wa uongo unatakiwa uwe mkweli katika mapenzi yenu,ukweli hujenga upendo, ukweli huimarisha mahusiano,upendo unahitaji mtu ambaye ni mkweli kwa mwenzi wake,ukweli ndio upendo wenyewe unatakiwa uwe mkweli ili upendo uchukue nafasi moyoni mwako.

11. Imani
Upendo unahitaji imani na imani ni kuwa na uhakika wa mambo yatarajiwayo ,ni bayana ya mambo yasio onekana. Unatakiwa kuwa na imani na mwenzi wako, imani katika mahusiano ni muhimu sana kuaminiana ,toa wasiwasi kwa mwenzi wako, mwamini kuwa amekuchagua wewe na hakuna mwinginen wewe uko peke yako.

Gusa hapa>> USOME JAMBO ZURI ZAIDI KWAAJILI YAKO

12. Penzi
Upendo unahitaji penzi la kweli linalotoka moyoni ,penzi kwa mpenzi wako ni muhimu sana kama litatumika kwa utaratibu na kwa uaminifu kabisa maana penzi linahitaji muda hivyo hivyo unatakiwa uwe na muda wa kutosha ili uweze kupata pendo la kweli.

Jinsi ya kumsifia mwanamke mrembo unempenda kwa dhati

maana msingi ya neno ‘wewe ni mrembo’ imepotea. Hii ni kwa sababu baadhi ya wanaume wasiojua kutongoza wanaishia kulitumia neno hili vibaya kiasi cha kuwa neno hili limepoteza uhalisia.

Je ulikuwa wajua kuwa wanawake hupenda kusifiwa? Na ulikuwa ukijua kuwa kumsifia mwanamke mara kwa mara ni njia moja wapo ya kutongoza?  leo tumekuja na mambo tofauti ambayo unapaswa kutumia ili umshawishi mwanamke kuwa ni mrembo, na wala hataona kama ni maneno unalompakizia ama maneno ambayo ameyazoea kuyaskiliza awali.

Twende pamoja:
Jambo la kwanza 
Wakati unapotaka kumsifia mwanamke kuwa ni mrembo, usimwambia, “Wewe ni mrembo” mara kwa mara kwa sababu itafikia mahali flani neno hilo litaisha ladha. Badala yake tafuta sehemu muhimu kutoka kwa mwili wake ambayo utaitumia kama kigezo cha kumsifia. Kwa mfano kama umependezwa na pua yake mwambia, “Nimependezwa na pua yako, kila mara nikiiona najiskia na furaha.” Ama kama umependezwa na mashavu yake unaweza kumwambia, “Mashavu yako ndio nuru ya macho yangu, yanapendeza.” Kumwambia mwanamke maneno kama haya yatamfanya atamani kuwa kando yako. Pia ataona kuwa unamwona anapendeza, unamakinika kuuona urembo wake kupitia kwa viungo vyake vya mwili.

Jambo la pili 
Kumsifia mwanamke urembo wake hakuhusishi ngozi yake ya nje pekee, bali pia sehemu yake ya ndani, yaani nafsi yake. Wanaume wengi huwa wanamakinika kumsifia mwanamke umbo, sura na shepu yake huku wakisahau kuwa nafsi ya mwanamke ina umuhimu. Kumsifia mwanamke kwa ujasiri wake, ubunifu wake, hekma, na ujanja kutakupa mkono wa mbele zaidi wakati unapomtongoza ama unapomshawishi. Jambo hili tulishawahi kulizungumzia katika moja ya hatua ya kumtongoza mwanamke ambaye hayuko ligi sawa na wewe. Kumshawishi na kumsifia mwanamke nafsi yake kutamfanya ajiunganishe na wewe zaidi kuliko mwanamke yeyote yule, hivyo hatua iko kwako sasa.

Jambo la tatu
Wakati ambapo umeamua kumsifia mwanamke kama huyu, hakikisha kuwa unamwangalia machoni. Kama ni mwanamke ambaye ndio unaanza kumfukuzia basi jenga confidence ya kumwangalia machoni. Usimsifie huku ukiangalia pembeni ama kuangalia kando. Kumbuka wewe ni Mwanaume Alpha, na wanaume alpha huwa hawatatiziki kama wanatoa hisia zao kuhusu wanawake wanaowapenda.

Gusa hapa>> USOME JAMBO ZURI ZAIDI KWAAJILI YAKO

Jambo la nne
Unapomsifia mwanamke usitumie maneno hayo kwa hayo. Yaani wewe kila siku ukikutana na yeye unamwambia, “Nakupenda, leo umeangaza nafsi yangu.” Matumizi ya neno moja siku nenda siku rudi kutamfanya mwanamke atilie shaka iwapo unasema maneno hayo ndani ya moyo wako ama unasema kumridhisha tu. Well, mbona usije na misamiati mipya? Ama mbona usije na maneno ambayo angetamani kuyaskia? Ukitumia maneno kama ‘hurulaini’, ‘malkia, leo nimekuja kwa milki yako’, ‘ua langu la waridi’ nk kutamfanya mwanamke akupende zaidi na zaidi. So anza kutafuta maneno ambayo anayapenda. Usiingiwe na uvivu wa kutumia maneno hayo kwa hayo kila siku. Kumbuka hapa unataka kuwa bora zaidi kati ya wanaume wale wengine. Chukua hatua sasa.

SUKARI YA DADA 03 🔞

Baada tu ya kumaliza kugonga nikasika sauti ya mama ambae nilihisi kuwa ndie mama mwenye nyumba akimfokea biti yake ndani “ivi wewe inamaana, huo mlango unaogongwa huusikii au?!.. huo upumbavu wako ndiomaana kila siku nakwambia tafuta mume uniondokee we hutaki! na huo uzuri wako, utazeekea hapa hapa mbwa wee! kafungue mlango huko!” Alafu baada ya sekunde chache, mlango ukafunguliwa na dada mmoja mzuri sana mwenye asili ya kizungu akiwa kavaaa blauzi na kibukta cha maua kilichokua kifupi mno yaani uvaaji wake tu ulinionesha kuwa ni mtoto wakike alielelewa malezi ya kizungu na yenye kudekezwa ndani yake.
Aliniambia “Kariiiibu” akiwa anamaana niingie ndani nami nilimwambia “Asante sana” huku nikiingia na nilipoingia tu niliskia sauti ya kunichangamkia ya mama mwenye nyumba aliekua amekaa kwenye kiti huku amepakata Laptop “Anha karibu baba, we ndio yule kijana wa kazi ehee!?”
Nilimjibu”Ndio mama, shikamoo”
Akasema “Marahaba, karibu.. karibu ukae” kisha akamwambia kwa ukali yule binti yake wakike ambae muda huo alikua yupo karibu yangu “Unazubaa zubaa nini!?!. Hebu mpokee kaka ako begi, peleka ndani kwenye chumba chake!” Yule dada alinipokea begi langu na kuanza kutembea kidogo kidogo kuelekea katika vyumba kwa mwendo wa kulazimishwa lakini bado mamaake alimsindikiza kwa maneno “Yaani Suzy ukiona mimi nakutesa rudi kwa baba ako Uingereza ambae amekuruhusu kitoto kidogo uache shule kule, uje kufungua maduka ya nguo huku!! Ona sasa biashara zinavyokuchanganya… na nilisha kwambia, kwakua umekimbilia kumiliki vitu vikubwa basi malizia tu na kutolewa maana staki Utomboy wako hapa!!!”
Yaani ndani ya dakika chache nilipoingia kwenye nyumba hiyo nilianza kupata picha ya maisha ya familia hiyo kutokana na maneno aliokua akiyatoa mama mwenye nyumba na nilishtuka kidogo kusikia neno Tomboy maana wanawake ambao huitwa jina hilo huwa hawajihusishi sana na wanaume na ilikua ni ngumu kuamini kuwa pamoja na uzuri wote alionao Suzy alikua hana na haitaji mwanaume.


Baada ya mama kuongea maneno hayo tulianza kuongea mambo ambayo yalinileta pale… Aliniambia kulikua na mfanyakazi ambae alikuawa anafanya kazi kabla yangu lakini alimfukuza kutokana na kesi ya wizi hivyo asingependa kuniona nikirudia makosa na pia alinipa sheria kuwa nikiwa humo ndani sipaswi kutumia simu kabisa, nilikubaliana na yote alioniambia na tulipo malizia tu kuongea akawa anajitokeza Suzy toka alikokua ameenda. Mama alipomuona Suzy karudi alimwambia “Enhe Suzi hebu kabla hajapumzika mzungushe zingushe kaka ako sehemu ambazo alikua anafanya kazi yule mwizi. Mimi nataka kwenda kwenye kikao sasaivi maana naona wenzangu wananitumia ujumbe kwa njia ya email kuwa nahitajika haraka ila usisahau kumpa chakula” Suz Alijibu “Ok mamy” alafu akaniambia “Twende basi.. nifuate nikakuoneshe” huku akiufungua mlango na kuelekea nje mimi pia nilifanya kama alivyoniambia, nikatokannje na nikawa nikonyuma yake tukitembea kuelekea sehemu ambazo alikua ananipeleka. Kila hatua aliokua akiipiga Suzy ilikua ni mtihani mkubwa sana kwangu maana alikua akitembea, mzigo wake wa nyuma ulikua unajipiga piga kwa kupishana pishana ukiachilia mbali kibukta kifupi alicho kivaa ambacho kilikua kifupi kulikopaja zake na kufanya paja zote kua nje yaani kiukweli alinona mno na alikua anafanya akili yangu ihame lakini yeye alikua haelewi lolote na mbaya zaidi ni kwamba alijiachia mno kwakua huo ndio uvaaji wake wa mara kwa mara akiwa nyumbani pia mama yake inaonekana alikua hamuwaziii kabisa kuhusu mavazi.


Tukatembea mpaka tukafika katika bustani kubwa ya maua na tulipo fika nilishtuka kidogo kusikia Suzy aliniambia “Sasa bigi.. hii ndio bustani ambayo utakua unaishughulikia na kuhakikisha majani hayakui zaidi ya hapa maana bi mkubwa huwa hapendi majani yazidi hapa”
Nilijibu “Sawa” lakini kiukweli uongeaji wake ulikua ni wakujiamini kama mwanaume mpaka nikajiuliza kimoyo moyo “Mh Sawa amenichanganya lakini nitamuingiaje huyu?” lakini nilijipa moyo huwenda Penzi linaweza mbadilisha…

INAENDELEA…

Unataka tukutumie simulizi nzima kwa njia ya WhatsApp? GUSA HAPA