Tag Archives: Swahili tech

Magemu ya magari ya kucheza kwenye simu

Tukizungumzia magemu ambayo watu hupenda kuyacheza basi hatuwezi acha kuyataja magame ya magari. Magemu ya magari yamekua yakipendwa na watu wengi sana Duniani kwakua ni magemu mazuri Sana na humfanya mchezaji afurahie uchezaji wake. Hapa nimekuandalia orodha fupi ya magemu mazuri ya magari unayoweza kuyacheza kwenye simu yako ya Android. 

1. Real Racing 3

Kama unapenda magemu mazuri na bora ya magari hakikisha haukosi game la Real Racing 3 katika simu yako. Gemu hili huchezwa Online na Offline yaani unaweza cheza kwa kutumia data au bila data. Ukitumia data(Online) utakua ukishindana na watu halisi wanao cheza gemu hilo muda huo katika nchi mbalimbali hivyo kila gari utakaloliona humo jua linaendeshwa na mtu alieshika simu kama wewe. 
Kama ilivyo kawaida ya magemu ya online, gemu hili linamuonekano mzuri sana uliobeba uhalisia wa mashindano ya magari. Kuna aina nyingi sana za magari mazuri na yenye kasi Sana. Linakupa uwezo wa kubadili kamera utakavyo.
Real Racing 3 ni moja ya magemu yapatikanayo playstore na hupatikana kwa MB 40 tu lakini ukishalipakua na kulifungua utatakiwa ulisubiri lipakue data zake na inashauriwa uwe na nafasi isiopungua Gb2.5. Unaweza kulipakua kirahisi  kwa kugusa INSTALL

Magame ya Mazuri ya Truck ya kucheza kwenye simu BONYEZA HAPA>>>

2. Asphalt 8 airborne

Ni gemu zuri sana la magari lililochini ya Gameloft. Gemu hili limetengenezwa likiwa kama ni muendelezo wa magemu ya Asphalt.Katika orodha ya magemu ya magari yenye ubora wa hali ya juu katika muonekano, hauwezi acha kuliweka gemu hili kwakua linamuonekano mzuri Sana.Gemu hili huchezwa Online yaani kwa kutumia data pia huchezwa offline nikiwa na maana bila kutumia data.Ukitumia data(Online) utakua ukishindana na watu halisi wanao cheza gemu hilo muda huo katika nchi mbalimbali.Gemu la Asphalt 8 airborne hupatikana playstore kwa GB 1.6   na unaweza kulipata kirahisi kwa kugusa INSTALL


3. Drift Max Pro




Ni gemu la magari ambalo mpaka sasa linachezwa na zaidi ya watu milioni 50 ulimwenguni. Gemu hili linahusu mashindano ya kuyaburuza magari. Pia lipo vizuri kwenye upande wa ubora wa muonekano ukilinganisha na baadhi ya magemu mengine ya magari.Kama unapenda kushindana online na watu toka sehemu mbalimbali za dunia basi gemu hili pia linakupa nafasi ya kucheza na watu wengine online. Hupatikana kwa MB 361 katika Playstore na unaweza kulipata kirahisi kwa kugusa INSTALL

Battle Of Agents: Gemu kuchezwa na watu wawili au zaidi bila data/internet  GUSA HAPA>>>




4. GT Racing 2

GT Racing 2 ni gemu lingine toka Gameloft ambalo unaweza kulicheza bure kabisa na bila kutumia data (Offline) lakini pia kama utahitaji kushindana na watu wengine toka sehemu mbalimbali  za dunia kutika kuendesha magari basi utalazimika kutumia data. Gemu hili mpaka sasa limechezwa na watu wengi sana hapa duniani na wamelisifu kuwa ni lenye muonekano mzuri na linawafanya wahisi uhalisia wa mchezo wa magari.Linapatikana playstore kwa GB 1.1 na unaweza kulipata kirahisi kwa kugusa INSTALL

5. Asphalt 9 Legends

Hili ni gemu toka kwa watiotengeneza gemu la Asphalt 8 airborne na limetengenezwa kama muendelezo wa magemu ya Asphalt. Linaweza chezwa na kila mtu kwasababu lina Controls nyepesi kiasi ambacho hata mtoto mdogo anaweza kuzielewa. Katika gemu hili kuna gari za nyingi na zenye kasi sana. Mpaka sasa linachezwa na watu zaidi ya milioni 50 na wengi hulipenda kwasababu linamuonekano bora.Huchezwa kwa kutumia data na linakukutanisha na watu toka sehemu mbalimbali za dunia ili kushindana katika kuendesha magari. Hupatikana playstore na unaweza kulipata kirahisi kwa kugusa INSTALL

Unasumbuliwa na kelele za sms za Magroup ya WhatsApp? Fanya hivi

Wengi tumekua tukitumia WhatsApp katika kuwasiliana na ndugu na jamaa zetu kutoka sehemu mbalimbali za dunia. Pia tumekua tukijiunga katika Magroup (Vikundi) ambavyo nia na madhumini yake ni kutujumuisha kwa pamoja ili tuweze kujadili au kubadilishana mambo mbalimbali. 
Kuwa na group si tatizo ila tatizo huja pale group linapokuwa na watu wengi wanaochati kipindi wewe hauna muda wa kuchati kutokana na sababu mbalimbali na kukupelekea kuona sms za wengine kuwa kero kwakua huingia kwa kelele mfululizo.
Kama unagroup ambalo husababisha kelele kutokana na message zake, unaweza lifanya yafuatayo ili kulifanya liingize message kimya kimya;

  • Nenda katika ukarasa wako wa WhatsApp kisha lishikilie group lenye kelele kwa muda usiopungua sekunde tatu Kama inavyooneshwa hapo chini.
  • Ukishikilia kwa muda wa sekunde tatu group litajipiga tiki na maeneo ya juu ya WhatsApp kutatokea chaguzi: katika chaguzi hizo utaona alama ya spika iliokatwa. Alama hii inamaanisha kulikarisha kimya group hivyo utaigusa alama hiyo kama picha inavyokuonesha hapa chini. 
  • Baada ya kuigusa alama hiyo utaletewa chaguzi uchague group hilo liwekimya kwa muda gani kwaiyo utachagua masaa8, wiki 1 au milele kisha utagusa neno “Ok” kama inavyooneshwa katika picha.

Baada ya kufanya hayo utakua umetatua tatizo la kelele maana sms za group hilo zitakua zinaingia kimya kimya. Na unachotakiwa kujua ni kwamba kama utachagua masaa8 basi baada ya masaa8 group litakua linaingiza sms kwa kelele kama kawaida na hata ukichagua wiki, wiki likiisha kelele zitakua palepale ila ukichagua milele hutaskia kelele za group hilo mpaka utakapo lishikilia tena group hilo na kugusa kialama cha sipika isiokatwa ili kuliweka huru.
Kama ni mtu ambae unamagroup mengi au unamagroup ya ajabu ajabu unaweza tumia njia hii kuepuka kelele na kulifanya group lisije kuleta taalifa za sms za ajabu ajabu.

Jinsi ya kuangalia mpira live kwenye simu (Bure)

Kama ni mpenzi wa muda wa kuangalia mpira wa miguu wa nje ya nchi, nadhani umeshawahi kosa kuangalia  mechi ulioipania kwasababu mbalimbali ikiwemo kuwa mbali na Tv. Teknolojia inazidi kukua kila siku na kuturahisishia mambo. Sasa unaweza angalia mechi Kali za mpira wa miguu kupitia simu yako mubashara(Live) ukiwa popote. hapa tutakujuza jinsi ya kuangalia mpira wa nje karibu mechi zote kwenye simu yako BURE.

Simu ikiingia maji unatakiwa kufanya nini? GUSA HAPA>>>

Ikiwa unahitaji kuangalia mpira live kwenye simu yako, utahitajika kuwa na app maalumu kwaajili ya kuangalizia mpira. App hizi zipo nyingi sana katika playstore(Android) lakini mimi nakushauri uchukue app nyepesi na isiokula sana Mbs iitwayo Live Football Tv.

App ya Live Football Tv ni app ya kuangalia mpira live kwenye simu yako. Mpaka Sasa inatumiwa na zaidi ya watu Milioni ulimwenguni na wanaisifu kwa kuonesha mipira mingi bila matatizo. Mbali na kukuonesha mechi live(mubashara), huwa inakupa matokeo na video za matukio muhimu ya mechi zilizomalizika kwaiyo Kama haukua na bando la kutosha kuangalia mpira mzima, unaweza angalia video ya goli lilivyofungwa tu. Pia inakupa nafasi ya kuangalia vipindi vingine vya kimichezo bure toka Ptv sports. 

App hii ya kuangalia mpira live haipatikani Playstore kwasasa ila unaweza kitafuta Google na kuipakua. Pia Unaweza ipakua kirahisi kwa kugusa hapa>>> INSTALL. Na baada ya kuipakua, hauitajiki kujisajili au kufanya Jambo lolote la kujiunga ili kuitumia. Ni kuifungua na kuinjoi…

Fahamu kuwa: App nyingi zinazowezesha kuangalia mpira bure huendelewa Playstore kutokana na Kuvunja sheria za Playstore. Ikiwa app nilioitaja nayo itaondelewa basi unaweza ipakua app nyingine nje ya Playstore Kwa kugusa HAPA>>>

Jinsi ya kuangalia mechi za Tanzania kwenye simu GUSA HAPA>>>

Je, ni Mbs ngapi zinahitajika kuangalia mpira mzima(Dk90) kwenye simu?

Hili ni swali ambalo wengi hujiuliza, wanapohitaji kuanza kuangalia mpira kupitia simu. Ukweli ni kwamba, kadri video inavyokua na muonekao mzuri ndivyo Mbs huwa zinalika nyingi. Itakua ni vizuri zaidi Kama hautakua na chini ya Mb900 ili kutokua na wasiwasi wa bando kuisha.

Magemu ya Mpira ya kucheza kwenye simu GUSA HAPA>>>

{“remix_data”:[],”remix_entry_point”:”challenges”,”source_tags”:[“local”],”origin”:”unknown”,”total_draw_time”:0,”total_draw_actions”:0,”layers_used”:0,”brushes_used”:0,”photos_added”:0,”total_editor_actions”:{},”tools_used”:{“ai_enhance”:2,”square_fit”:1,”transform”:1},”is_sticker”:false,”edited_since_last_sticker_save”:true,”containsFTESticker”:false}

Jinsi ya kutumia internet BURE kwenye simu yako

Kama unavyojua kuwa Kwa sasa vifurushi vya internet vimepanda sana ukilinganisha na kipindi cha nyuma. Lakini habari njema ni kwamba, unaweza kutumia internet BURE kabisa bila hata Bando. Hii ni kweli japo baadhi ya watu huwa hawaani kitu hiki… Lakini ukweli nikwamba kutumia internet BURE inawezekana.

Kunanjia nyingi sana ambazo mtu unaweza zitumia kupata internet BURE kwenye simu yako. Leo nataka kushea na wewe njia ambayo nimeitumia kupata internet BURE kabisa na inafanya kazi 100% kama unatumia laini ya Tigo… Lakini hii ni for education purpose… Hebu angalia picha hii inayokuja onesha nikiangalia YouTube bure bila bado..

Pata BAND0 kubwa la internet Kwa Bei rahisi GUSA HAPA>>>

Kwanini bando lako la wiki la internet huisha ndani ya siku Moja/mbili? GUSA HAPA>>

Sasa kama unahitaji app ni BURE kabisa. Unachotakiwa takiwa kufanya ni kuipakua(Download) kwenye simu yako Kisha install kwenye simu. Baada ya hapo utatakiwa kuifungua ukiwa na bando la internet alafu itaingiza data zake Kwa muda wa sekunde chache tu. Ikisha Ingiza data zake utatakiwa kuweka laini ya Tigo ambayo Haina Bando. Ukishafanya hivyo ifungue tena iyo app na uguse kitufe kichoandikwa “Connect”. Baada ya kuconnect utaanza kutumia internet bila bando. Jaribu kwenda YouTube au Google kucheki kama Iko sawa.

Kama uataka kujifuza mambo mengi kuhusu simu yako na mambo ya teknolojia, usiache kutembelea website hii… Tutakujuza vitu vingi kuhusu Technology.

Mtu akiku “Block” WhatsApp unaweza fanya hivi kuchati nae GUSA HAPA>>>

NJIA HII INAWEZA KUTOFANYA KAZI KWA SASA!

Movies za kutafsiliwa GUSA HAPA>>>>

Download na Kuangalia movies zote mpya bure kwenye simu yako

Je, wewe ni mpenzi wa movies? Kama wewe ni mpenzi wa movies, basi tambua leo umepata bahati ya kujua na kupata kitu kizuri kuhusiana na movies.

Ukweli ni kwamba, ni ngumu sana kwa wapenda movies hapa nchini kupata, Download na Kuangalia movies mpya au zilizotoka karibuni bure. Katika baadhi ya nchi zilizoendelea huwa kunakua na tuvuti za movies zinazoruhusu baadhi ya movie kuangaliwa bure. Tuvuti hizi huwa na matangazo ambayo huwezesha huduma kuwa bure.

Kutokana na sababu mbalimbali, tuvuti hizi huwa hazioneshi baadhi ya movies nzuri au mpya kwa watu walio nje ya nchi zilizoendelea. Mfano; Ukiwa nchi nyingi za Afrika, hauwezi ona baadhi ya movies nzuri kutoka kwenye tuvuti ya TubiTv inayotoa huduma za movies bure.

Kiufupi usipokua tayari kulipia, unaweza chelewa sana kupata movies mpya au nzuri. Kuna baadhi ya watu huwa wanafanikiwa kupata movies baada miezi miwili au mitatu kabisa toka zitoke.

Lakini kitu kizuri ni kwamba kuna Android app ambayo inakuwezesha kudownload na kuangalia movies nyingi Duniani, hataitoke sasa ivi. Kupitia hii app unaweza Kuangalia movies zote (zazamani na mpya). Inakuwezesha kudownload na Kuangalia mamilioni ya movies kiasi kwamba hata uwe unaangalia kila siku movie Moja Kwa miaka 4, hauwezi maliza. Hebu angalia baadhi ya picha za app hii hapa chini…

App kama hii kikawaida hulipiwa zaidi ya elfu 20,000 Kwa mwezi Lakini katika internet bure. Kwa maelezo yaliopo kuhusu app hii ni kwamba haijihusishi na kunza movies ili uziangalie bali inakuunganisha na movies ambazo watu kama wewe wameziweka mtandaoni. Kwaiyo kiufupi, ni app ambayo inakukusanyia movies ambazo zimewekwa na watu mtandaoni na unaweza ziangalia bure.

Ukihitaji kuijaribu app hii kwenye kwenye simu yako, utatakiwa kuipakua kwenye simu alafu utaiingiza(install) na kuifungua. Kupakua app hii, bonyeza kitufe kilichopo hapa chini.

Lakini kabla hauja jaribu, fahamu kuwa app hii haipatikani Playstore na app nyingi zisizopatika Playstore huwa ni hatari kwa taalifa zako zilizopo kwenye simu. App hii inaweza zuiwa na Google Play Protect kutokana na kuwa na tabia za App hatari.

Sisi kama The bestgalaxy hatukushauri moja kuiamini ila unaweza jaribu kuitumia kama baadhi ya watu wanavyoitumia.

Ili kujua mambo mengi kuhusu simu yako na teknolojia Kwa ujumla, usiache fuatilia website hii…

Mtu akiku “Block” WhatsApp unaweza fanya hivi kuchati nae GUSA HAPA>>>

Magemu mazuri ya kucheza kwenye simu (Android)

Kama wewe ni mpenda magemu na unatumia simu yako ya Android kucheza magemu basi hapa tumekuandalia orodha ya magemu machache ambayo unaweza ya cheza na ukafurahia zaidi muda wako wa kucheza magemu kwenye simu yako. Kama ndio kwa Mara ya kwanza unataka kujifunza au kuanza kucheza magemu ya Android basi ni vema ukaangalia magemu yalio katika orodha hii na ukaangalia linalo kufaa kisha ukalipakua.

Call of Duty mobile

Hili ni gemu zuri sana la kivita ambalo limetolewa na Activision. Gemu la Call of Duty mobile ni gemu lililochezwa na watu Wengi na Mpaka sasa linaendelea kuchezwa na mamilioni ya watu ulimwenguni. Kama unapenda magemu ya kivita basi gemu hili unaweza kulifulahia zaidi lakini unachotakiwa kujua nikwamba game hili ni la Online. Kwa lugha nyingine tunaweza kusema gemu hili linahitaji internet ili kulicheza. Kitu kizuri kuhusu magemu hili ni kwamba unaweza kucheza na watu wengine na pia Kuna mode ningine za kucheza zinazoweza kufanya usichoke kulicheza. Ili kulipata kirahisi gusa HAPA

Jinsi ya kutengeneza Avatar kwenye Facebook (Katuni)

Bus Simulator Indonesia

Bus Simulator Indonesia ni moja ya magame ambayo huchezwa na watu wengi sana na mpaka sasa limechezwa na watu wasiopungua Milioni 50 na wengi hulifahamu kwa jina lake la BUSSiD. Ni game lililotolewa mwaka 2017. Game hili ni la Online yaani ili kulicheza utahitajika kutumia data. Kama nimpenzi wa game za muundo huu basi hakikisha unapakua game hili maana ni game zuri sana.Kitu unachotakiwa kukifahamu ni kwamba mazingira na magari yalio katika game hili yanayofana na mazingira ya Indonesia ndiomana likawa na jina Indonesia.Linaweza kuchezwa na watu zaidi ya mmoja (Online). Linapatika playstore kwa MB zisizopungua 272. Unaweza kulipakua kirahisi kwa kugusa HAPA

Traffic Rider

Kama ni mtu unaependa magame mazuri na unavutiwa zaidi na game za pikipiki basi game la Traffic Rider ni game litakalokufurahisha zaidi.
Game hili mpaka Sasa limechezwa na watu zaidi ya Milioni 7 ulimwenguni na asilimia kubwa ya watu hao wamelipenda.
Linamuonekano mzuri, Sauti zenye uhalisia na majira yenye uhalisia maana kuna hadi mission za usiku. Kadr unavyoendesha kasi pikipiki na kuovertake magari ndivyo unavyojiongezea idadi ya Scores. Lina missions zaidi ya 70 na kuna zaidi ya pikipiki 20 tofauti tofauti.Traffic Rider ni game lipatikanalo Playstore na lina MB90 tu. Hukubali mpaka katika simu zenye RAM 1 bila shida yoyote. Kama utahitaji kulipata kirahisi game hili gusa HAPA

Jinsi ya kutengeneza Pesa kwa kucheza games mtandaoni BONYEZA HAPA>>>


Occupation 2.5

Ni gemu ambalo unalicheza ukiwa Kama mtu ambae upo kwenye mji uliochafuka na kila mtu naeishi katika mji huo anaishi kwa hofu kubwa kutokana na uwepo wa wafu wanaotembea yaani Zombies na baadhi ya viumbe vingine visivyo na urafiki na binadamu. Ni moja ya magame mazuri yanayopatikana kwa Mbs chache katika playstore. Lina nyumba zinaingilika na unawachezesha wahusika zaidi ya mmoja katika mji huo. Unaweza kulipata kirahisi game hili kwa kugusa HAPA

EA Sports UFC

Unapenda magemu ya kupigana? Kama Unapenda magemu ya kupigana basi gemu la EA Sports UFC ni game ambalo halitakiwi kukoswa kwenye simu yako. Gemu hili ni moja ya magemu mazuri sana ya kupigana. Lina muonekano mzuri mno ambao utakufanya ufurahie kulicheza. Linahusu kupigana kwa kutumia ngumi na mateke.

Ukiona dalili hizi Jua Account yako ya Facebook  imedukuliwa na si salama GUSA HAPA>>>>

Limekusanya wapiganaji wengi maalufu duniani ambao utatakiwa kuwafungua kutokana na uchezaji wako. Gemu hili linaweza kuchezwa Offline na Online. Ukiwa unacheza Online unakua na uwezo wa kucheza na watu wengine toka sehemu mbalimbali za dunia na utatakiwa kupambana nao na kufanya wapoteze dira kwa vitasa(ngumi) na mateke ya mitindo mbalimbali ili uibuke mshindi. Unaweza lipata katika playstore kwa kugusa HAPA

Overkill 3

Hili ni gemu zuri sana la Action ambalo mpaka sasa limechezwa na watu zaidi ya milioni 5. Linamuonekano mzuri na watu wengi wanalipenda kutokana na muonekano wake unaofanana na Caver Fire. Gemu hili huchezwa bila data (Offline) pia linaweza kuchezwa na watu zaidi ya mmoja kwa kutumia data (Online).Inashauriwa anaecheza gemu hili awe na miaka 16 na kuendelea. 
Overkill 3 ni gemu lipatikanalo Playstore kwa kama MB 401 ivi na unaweza kulipata kirahisi kwa kugusa INSTALL

Takashi Ninja Worriror: Shadow of last samurai



Hili ni moja ya magemu mazuri sana ambayo kwa sasa yako trend katika playstore. Gemu hili ni la kijapani na linamuhusu kijana Takashi ambae anaingia katika kulipa kisasi kutokana na watu wake kufanywa vibaya. Ukilipakua utaweza kulicheza muda wowote na bila kukugharimu chochote maana gemu hili huchezwa bila data (Offline) pia hupatikana kwa MB chache sana zisizopungua MB 87.
Unaweza kulipata kirahisi katika playstore kwa kugusa  INSTALL

Modern Strike Online

Ni moja ya magemu bora ya kivita ambayo huchezwa Online tu. Limechezwa na watu wengi sana wasio pungua Milioni hamsini(50).Gemu hili ni moja ya magemu yanayofanana na gemu la Call of duty hivyo kama unapenda magemu ya jamii ya Call of duty, usiache kucheza game hili.
Katika game hili unaweza cheza na marafiki zako Online kwa kiunda timu ya kuwaangamiza maadui au mukashindana kuua maandui ili atakaewaua maadui wengi awemshindi.
Modern Strike Online ni gemu lipatikanalo Playstore kwa MB zisizopungua MB 494. Unaweza lipata kirahisi kwa kugusa INSTALL

Movies za kutafsiliwa GUSA HAPA>>>>

Real Moto

Kama ni wewe ni mpenzi gemu za mashindano ya pikipiki basi real moto linaweza kuwa bora sana kwako. Game hili huchezwa bila kutumia data yaani ni gemu la Offline. Limechezwa na zaidi ya watu Milioni kumi(10). Utaweza kutunza kumbukumbu zote za gemu hilo kwenye email yako ili simu ikipotea uendelee  kucheza palepale ulipoishia kucheza gemu hilo pindi utakapopata simu nyingine na kuiingiza email yako.
Gemu hili hupatikana playstore  kwa MB 143. Unaweza kulipata kirahisi sana kwa kugusa INSTALL

Garena Free Fire

Garena Free Fire linatumia data na lipo hivi; Unamchagua mtu wako utakaemchezesha kisha unatupwa katika eneo moja na wenzako 49 wanaocheza gemu hilo muda huo duniani ili mupigane na uwemzima. Kwaiyo kila mtu utakaemuona katika gemu hili ni mtu anaepambania maisha na anaecheza kama wewe.
Zaidi ya watu Milioni 500 ulimwenguni wanalicheza Gemu hili kupitia vifaa vyao vya Android. Ni gemu linalopendwa na watu wengi kutokana na kuwa dogo kuliko magemu mengine ya muundo huu ambayo ni PUBG na CODM. 
Unaweza kulipakua katika playstore kwa MB 674 pia unaweza rahisisha upatikanaji wake kwa kugusa INSTALL

Battle Of Agents: Gemu kuchezwa na watu wawili au zaidi bila data/internet  GUSA HAPA>>>

Rarry Fury: Extrime racing

Kama unapenda gemu za magari usiache kupakua gemu hili lenye utofauti mkubwa na magemu ya magari yanayotamba kila mwaka. Game hili ni moja kati ya magame yanayopendwa na watu na mpaka Sasa limepakuliwa na zaidi ya watu Milioni 50. Linauhalisia wa kufurahisha wa mashindano ya Rarry.
Ukiachilia mbali muonekano wa game hili kuwa mzuri pia game hili linawezwa chezwa na mtu mmoja Offline au zaidi ya moja Online.Lina chukua kama MB 120 kulipakua na linapatikana katika playstore. Unaweza lipata kirahisi kwa kugusa INSTALL

eFootball

Ukiongelea gemu kali za mpira wa miguu katika mwaka huu huwezi acha game hili. Gemu hili limepakuliwa na watu wengi sana hapa duniani na hii ni kwasababu liko vizuri. Kama umeshawahi cheza magemu ya PES basi tambua kuwa “eFootball” ni lile lile PES ila wamebadilisha jina tu.

Linachezwa Online na inashauriwa kuwa na mtandao usiosumbua ili uweze kulifaidi gemu hili bila usumbufu.Hupatikana playstore kwa GB 1.6 pia unaweza kulipata kirahisi sana kwa kugusa INSTALL

Simu ikiingia maji unatakiwa kufanya nini? GUSA HAPA>>>

Real Boxing


Hili ni gemu la mchezo wa ngumi ambalo mpaka sasa limechezwa na watu wasiopungua Milioni 10 ulimwenguni. Lipo vizuri  sana kwanzia muonekano hadi sauti za vitasa(Ngumi). Kama ni mpenzi wa magemu ya kupigana, usikubali kuliacha gemu hili maana ni gemu lenye uhalisia wa mchezo wa kupigana wa Boxing.
Inashauriwa anaecheza game hili asiwe na miaka chini ya kumi na sita (16+). Game la Real Boxing hupatikana playstore kwa kama MB 291 ivi na unaweza kulipata kirahisi kwa kugusa INSTALL

Jumanji: Epic run

Kama unaijua vizuri filamu ya Jumanji au gemu la Tempo Run basi unaweza kulipenda zaidi hili gemu maana limeundwa kutokana na filamu ya Jumanji na muundo wake unafanana na gemu maarufu liitwalo Tempo Run.Ni gemu ambalo hujezwa bila data na mpaka Sasa linachezwa na zaidi ya watu million 10 duniani. Mchezaji wa gemu hili anatakiwa kuwa na umri usiopungua miaka 12.Linapatikana playstore kwa MB 154 na unaweza kulipata kirahisi kwa kugusa INSTALL

Jinsi ya kupata mkopo kwa njia ya simu tanzania (Watu Million 10+ wanaitumia njia hii halali ya kukopa)

Unaambiwa, zaidi ya watu milioni 100 duniani wanatumia simu zao kupata mkopo kwa haraka. Na Kwa hapa Tanzania kuna watu wengi sana ambao tayari wanatumia simu zao kupata mikopo inayowazaidia kuwasukuma katika mambo mbali mbali kimaisha.
Kutumia simu kupata mkopo ni moja ya matumizi chanya ya simu hizi za Smartphone. Ni matumizi chanya kwasababu mkopo ambao watu hupata kupita simu zao, unawasaidia katika maisha halisi. Maana wanaweza kupata mkopo ili kurekebisha mambo yanapoenda vibaya katika biashara and maisha Kwa ujumla.


Kwa mfano; Kuna dada flani mzuri sana sitomtaja jina. alikua anasafiri alipanda gari alafu alipokua ndani ya gari na wakati gari limeanza safari akagundua sehemu alioweka pesa zake ikiwemo nauli ipowazi na hakuna pesa… Basi moja Kwa moja akajua ameibiwa pesa na hana pesa yoyote. Dada yele alikua mpole kama amemwagiwa maji ya baridi kwenye gari hilo huku akiwaza ni jinsi gani konda atamuelewa, ukizingatia maneno ya makonda wengi huwa ni mabaya kwenye maswala ya hela.
Lakini Kwa bahati nzuri alikumbuka kuwa kwenye simu yake huwa anatumia huduma flani inayo mruhusu kukopa hadi 100,000 ndani ya dakika 5 tano tu. Alikua hadaiwi kwenye hiyo huduma na alikua ni Moja ya watu wanalipa mikopo Kwa wakati ndio maana alipewa uwezo wa kukopa kiasi kikubwa kidogo.


Basi bila kupoteza muda yule dada akatumia huduma hiyo kukopa kiasi cha pesa Cha kutosha nauli na mambo mengine. Pesa aliokopa ilitumwa kwenye laini yake ya simu (Tsh 70,000). Alipoingia tu kwenye simu akapatanguvu, akamuita konda na kumwambia “Samahani kaka, nimedondosha pesa ya nauli lakini ninapesa kwenye simu naomba uniruhusu nikutumie nauli kwenye simu yako au nikifika stendi tukatoe Kwa wakala…”. Konda akampa pole yele dada kisha akamwambia atume tu kwenye simu ila utume na yakutotea. Basi yele dada alipona kiivyo.

Sasa huo ni kama mfano mzuri unaoonesha umuhimu wa watu kujua na kua na huduma za kukopa kwenye simu. Ikiwa wewe ni moja wa watu wanaohitaji kuwa na huduma za kukopa kwenye simu basi hapa tunakujuza juu ya njia moja ya haraka na halali ya kupata mkopo kwenye simu Tanzania. Soma maelezo yafuatayo hadi mwisho ili kuelewa zaidi njia hii.

Jinsi ya kupata mkopo kwa njia ya simu tanzania.

Kama unahitaji kupata huduma ya mkopo kwa njia ya simu, basi tumia app iitwayo Branch. App ya branch ni moja ya app halali ambayo ukiwanayo kwenye simu yako inakupa uwezo wa kukopa Tsh 5,000 na kuandelea ndani ya dakika chache tu. Tena mkopo unatumwa kwenye laini yako hapo hapo na utakuja kulipa kwa gharama nafuu.
App ya Branch unaweza kuipata na kuiingiza kwenye simu yako kirahisi kwa kugusa HAPA. Lakini kabla haujaiingiza kwenye simu yako ningepeda ufahamu mambo ya fuatayo;

Ukishaiingiza app hii kwenye simu yako, jisajili na ujaze taalifa zako za ukweli kabisa alafu ndio uombe mkopo. Na kwa mara ya kwanza unavyokopa, kopa kiasi kidogo tu (Tsh 5000) na urudishe kwa wakati. Kurudisha kwa wakati kutafanya wakuamini na upadate uwezo wa kukopa kiasi kikubwa kirahisi mbeleni. Unapokopa Kwa mara ya kwanza wanaweza wakachelewa kidogo kukupa. Ila mkopo utakao omba baadaya kurudisha mkopo wa kwanza unaweza upata hata ndani ya dakika moja. Maana wanakua wanajua wewe ni mwaminifu.

Zawadi ya Tsh 5750 BURE Utayopewa na Branch (USISAHAU HII)

App ya Branch pia huwa wanatoa Zawadi ya Tsh ,5750 BURE unaporudisha mkopo wa kwanza. Lakini ni lazima uwe umeandika namba za mualiko. Hii ni kwaajili ya uaminifu wako maana wanaotangulia kukupa pesa ni mwenye.


Kama unahitaji kupata zawadi hiyo basi ingize app kwenye simu yako Kisha jisajili. Ukijisajili Gusa sehemu ilioandikwa “Alika” alafu chagua “Ingiza Nambari ya promosheni” kama unavyoona hapa chini.

Baada ya hapo, unaletewa kibox, jaza nano hili “””elia04c93“”” katika kibox kama inavyo onekana katika picha ya hapa chini. Usisahau kunandika namba hiyo ya mualiko ili upate zawadi.

Ukishajaza tu na kugusa kitufe cha blue, siku yoyoye utakayoomba mkopo alfu ukarejesha, utapata Tsh 5750 BURE.

Kama utakua na tatizo, njoo uulize maswali WhatsApp kwa kugusa HAPA>>>

App hii itakusaidia kuomba mkopo kwa Simu Tanzania. Na ukiwa mwaminifu basi unaweza kuitumia kupata mikopo ya haraka kupitia simu yako Kila unapohitaji. Utakuaunaomba mkopo online kirahisi sana.

Fanya haya kabla simu yako haijaibiwa ili kuipata ikiibiwa GUSA HAPA>>>

Movies Za Kutafsiriwa App Download

Asilimia kubwa ya watanzania au watu wanaongea lugha ya kiswahili hupenda filamu zilizotafsiliwa kiswahili. Filamu zilizotafsiliwa kiswahili au ‘movies za kutafsiriwa’ ni filamu kutoka sehemu mbalimbali za dunia ambazo hua katika lugha isio ya kiswahili lakini huingizwa maneno ya kiswahili na watafsiri. Movies za kutafsiriwa zimekua zikipendwa sana na watu tangu zilipoanza kuzalishwa na moja ya sababu kubwa za kupendwa ni humfanya mtu aweze kuelewa Movies za kihindi, Movies za kichina, Movies za kikolea na nyingizo, kirahisi sana.

Katika makala hii, nitaelekeza jinsi ya kupakua au kudownload ‘movies za kutafsiriwa’ kwenye simu (Android). Kama ni mmoja ya watu wanaopenda ‘Movies za kutafsiriwa’ basi hapa unakwenda kujua njia rahisi ya kuzidownload na kuziangalia kwenye kwenye kiganja chako.

Jinsi ya kudownload movie zilizotafsiliwa kiswahili kwenye simu

Ili kudownload au kuangalia Movies za kutafsiriwa kwenye simu yako, fanya yafuatayo.

  1. Kwanza kabisa unatakiwa pakua app iitwayo “”Movies za kutafsiriwa“” na kuiweka kwenye simu.
  2. Ukishaipakua app hiyo, utatakiwa kuifungua alafu ndani yake utakuta Movies nyingi sana zilizotafsiliwa kwa kiswahili na watafsiri mbalimbali.
  3. Chagua Movies au filamu unayotaka kudownload au kuingalia katika app hiyo kisha uanze uaingalia au kuidownload.

Je app ya “Movies za kutafsiriwa” humaliza bando?

Hapana, app huwa haimalizi bando la mtumiaji maana haina ‘Auto play’ au ‘Auto download’ kama app nyingine. Yaani kwa ufupi ni kwamba app haitumii bando sana.