Tag Archives: SUKARI YA DADA

UTAMU WA JUMLA 🔞 (Simulizi ya sauti)

Simulizi ya UTAMU WA JUMLA ni simulizi yenye uhusiano kidogo na simulizi ya SUKARI YA DADA. Unaweza sikiliza simulizi hii ukiwa ndani ya The Bestgalaxy Bure kabisa na pia unaweza ipakua na kufurahia kwenye simu au kifaa chako. Sikiliza simulizi hii katika mazingira tulivu yatakayo ruhusu kuielewa kirahisi.

Katika kuisikiliza ukiwa kama msikilizaji hakikisha unazingatia umri maana simulizi hii haitakiwi kusikilizwa na mtu mwenye umri chani ya miaka 18.

kama umebonyeza na inachelewa kuanza basi huenda ni tatizo la mtandao wako. Jaribu mara kadhaa kwa kusubiri.

Sehemu ya 1
Sehemu ya 2
Sehemu ya 3
Sehemu ya 4
Sehemu ya 5
Sehemu ya 6
Sehemu ya 7
Sehemu ya 8
Sehemu ya 9
Sehemu ya 10
Sehemu ya 11 (mwisho)

Kupata taharifa ya simulizi mpya na mambo mwengine, hakikisha unatembelea The bestaglaxy kila mara na pia unaweza jiunga kwenye group letu la Whatsapp Bure.

SUKARI YA DADA 🔞 (Simulizi ya Sauti)

SUKARI YA DADA ni simulizi tamu iliotolewa na kijana wa miaka hii na mpaka sasa imefuatiliwa na maelfu ya watu na wameipenda. Sasa simulizi hii inapatikina kwa sauti na hii ni kumrahisishia mtu asietaka kupoteza muda kuisoma. Mbali na hivyo, kuna vitu vingi vya kufurahisha kwenye simulizi ya SUKARI YA DADA ya sauti kuliko ya maandishi japo ya maandishi pia ni nzuri sana kwa upande wake. Kama unahitaji simulizi hii unaweza anza kusikiliza sehemu za mwanzo Bure kabisa kwenye simu yako. Kitu cha kuzingatia ni kwamba hautakiwi kuwa na miaka chini ya 18 au kusikiliza sehemu zilizo na watu wa umri huo maana ndani ya simulizi kunavitu vilivyolenga watu wa umri wa miaka 18 na kuendelea.

Anza na simulizi hii kwa kusikiliza vipande vifuatavyo:

Sehemu ya 1:

Sehemu ya 2:

Sehemu ya 3:

Sehemu ya 4:

Sehemu ya 5:

Sehemu ya 6:

Kama utahitaji kupata simulizi nzima, ni Tsh 2000 tu(wahi OFA!)… Bofya kitufe kilichoandikwa “WhatsApp” hapa chini ili kuchati na sisi Whatsapp ili upewe nafasi ya kupata Simulizi full(vipande 17). Au piga simu 0715233405

Unaweza sikiliza maelezo haya

Isikilize simulizi ya SUKARI YA DADA katika mazingira ya utulivu

Kama utakua umeamua kuisikiliza ni vema ukazingatia mazingira ya utulivu ili ufurahie zaidi hii simulizi. mazingira tulivu yatakufanya umuelewe msimuliaji na kuielewa kirahisi simulizi hii nzuri. Ninaposema mazingira tulivu na maanisha mazingira yalio na makelele au vitu vingine vinvyoweza ondoa umakini unaouweka kwenye simulizi na kukufanya usisikie au kuelewa baadhi ya sehemu. Zingatia sana anachosema msimuliaji kuliko kuizingatia sauti yake.

Inaweza kusikilizwa na wanaume na wanawake

simulizi hii inaweza sikilizwa na jinsia zote. Nikisema jinsia zote basi nna maana inaweza sikilizwa na mwanaume na pia mwanaweke. Hivyo kama wewe na mwanaume, unaweza sikiliza simulizi hii… Ukiwa ni mwanaumke, unaweza pia sikiliza simulizi hii bila shida yeyote. cha kuzingatia hapo ni umri tu maana watu wasio na miaka 18 na kuendelea hawaruhusiwi kutega sikio za kwa msimuliaji.

Kuwa mjanja! Tufuate kwenye akaunti zetu mpya za kijamii ; Instagram na Facebook

SUKARI YA DADA (mwanzo-mwisho)

SIMULIZI YA SUKARI YA DADA

SUKARI YA DADA ni simulizi inayomuhusu Kijana ambae alienda Dar es salaam kwaajili ya kufanya kazi za ndani baada kutofanya vizuri kidato cha nne. Kwenda huko ilikua ni njia pekee alioiona itamsaidia maishani kwa wakati huo lakini katika kuelekea anapohitaji, anakutana na changamoto nyingi sana kutokana na ujana. Imesomwa na maelufu ya watu mpaka sasa.

Inavipande 17 vinavyo burudisha na kuelimisha unaposoma mwanzo hadi mwisho. Lakini  unapomaliza kuisoma simulizi hii mpaka mwisho, unaweza soma simulizi nyingine mbili ambazo ni UTAMU WA JUMLA na MZIGO WA WAKUBWA.

Kiufupi SUKARI YA DADA, UTAMU WA JUMLA na MZIGO WA WAKUBWA ni Simulizi tofauti ila zinauhusiano unaokupa picha moja nzuri sana ukiwa kama msomaji. Yani ukisoma zote 3 unapata picha ya simulizi moja kubwa sana yenye vipande 41.

Baadhi ya watu husema ni simulizi zilizoandikwa kiufundi na maajabu. Sijui wewe ukizisoma utazipa jina gani ila Ukihitaji kupata simulizi hizi, unaweza kuwasiliana nasi tukakutumia kwa njia ya WhatsApp. Gusa kitufe hapa chini kuwasiliana na sisi kwa njia ya WhatsApp. Au piga 0715233405 muda wowote kwa mahitaji ya simulizi au maelezo.

Unapata zote kwa Tsh 2500 TU!

Unaweza pata ukiwa Tanzania na hata nje ya Tanzania. Haziruhusiwi kusomwa na watu wenye umri chani ya miaka 18. Hii ni kwasababu  zimekusanya lugha na mafundisho kwaajili ya walio kwenye kigezo cha umri huo.

Simulizi Bora za kusoma katika The Bestgalaxy BONYEZA HAPA>>>

Unataka kuzijua simulizi hizi zaidi?

Miongoni mwa simulizi zinazopendwa kusomwa kwa sasa ni Sukari Ya Dada, Utamu Wa Jumla, na Mzigo Wa Wakubwa. Hadithi hizi tatu, zilizochapishwa kupitia The Bestgalaxy, zinafuatilia maisha ya vijana waliokumbwa na changamoto mbalimbali za maisha na mapenzi.

Kilicho cha kipekee kuhusu simulizi hizi ni kwamba zinahusiana. Wahusika wanaweza kuonekana zaidi ya mara moja katika hadithi tofauti. Kwa mfano, mhusika mmoja katika Sukari Ya Dada anaweza kutajwa au kuhusika pia katika Utamu Wa Jumla au Mzigo Wa Wakubwa. Hadithi moja inaendelea pale nyingine ilipoishia, au huonyesha upande mwingine wa maisha ya baadhi ya wahusika wale wale.

Kwa hiyo, hizi si hadithi tatu tofauti tu – ni sehemu za simulizi moja kubwa inayoonyesha maisha ya vijana wa sasa kwenye mazingira yenye changamoto nyingi.

1. Sukari Ya Dada: Ndoto za Mjini na Maisha Halisi

Simulizi ya Sukari Ya Dada inamfuata kijana aliyehamia Dar es Salaam baada ya kushindwa mitihani ya kidato cha nne. Akiwa hana elimu ya kutosha wala msaada wa kifamilia, anajikuta akifanya kazi za ndani. Hapo ndipo anapoanza kukumbana na vishawishi na maisha ya mapenzi ambayo hatimaye yanamfanya kutambua mambo mengi kuhusu dunia na watu. Hadithi hii inaangazia namna vijana wengi wa kike na kiume wanavyoingia mijini wakiwa na matumaini makubwa lakini wakikumbana na uhalisia wenye changamoto nyingi.

2. Utamu Wa Jumla: Mapenzi, maisha na  Mafanikio

Hadithi hii ni mwendelezo wa maisha ya baadhi ya wahusika kutoka Sukari Ya Dada. Inamfuatilia kijana kutoka Tabora anayejiunga na chuo jijini Dar es Salaam kusoma biashara. Urafiki wake na Jimmy, mwanafunzi mwenza, aliefungua mlango wa maisha ya starehe, wanawake, na biashara zisizo rasmi wakiwa chuo. Hii ni simulizi inayoangazia mambo mbalimbali ambayo kijana ambae ni msomi wa kisasa ameyapitia katika kujitambua kwakeupande wa mahusiano na maisha.

3. Mzigo Wa Wakubwa: Majukumu

Mzigo Wa Wakubwa inahusiana moja kwa moja na simulizi za awali, Sukari Ya Dada na Utamu Wa Jumla. Hadithi hii inamuhusu kijana mwinginetoka Tanga anaeinjia mjini na kufunzwa mengi kuhusu maisha na mahusiano. Inatoa pia sehemu za maisha ya wahusika kutoka simulizi hizo nyingine, inapitia mambo mbali mbali kuhusu maisha yao, hatua zao na changamoto wanazokutana nazo katika upande wa mahusiano na mapenzi.


Hitimisho:


Kwa mashabiki wa fasihi simulizi, Sukari Ya Dada, Utamu Wa Jumla, na Mzigo Wa Wakubwa ni kazi ambazo hazifai kupuuzwa. Zinabeba burudani na mwanga juu maisha ya kweli ya vijana wa leo. Ni hadithi za kujifunza, kufikiria, na kuburudika.