Tag Archives: simu

Jinsi ya kuongeza speed ya internet kwenye simu

Unasumbuliwa na speed ndogo ya internet? Usiwe na wasi tena! Hapa The Bestgalaxy tunakufungua juu ya nini unachoweza kukifanya kufurahia internet nyenye kasi kwenye simu yako ya smartphone.


Moja ya vitu ambavyo huudhi katika katika matumizi ya internet ni speed/ kasi ndogo. Speed ndogo ya internet sio tu huudhi bali pia hupoteza muda wa mtu anaetumia internet kwasababu kitu ambacho alitaka kukifanya kwa dakika 1 kwenye internet kinaweza mchukua mpaka dakika 5 ikiwa speed ya internet itakua ni ndogo. Watu wengi wanao thamini muda huchukizwa na swala hili.


Lakini tukirudi kufikilia kahusu historia ya internet utagundua internet imebadilika Sana na huwezi fanananisha na kipindi cha nyuma. Hata internet ya sasa isumbue vipi kwenye speed lakini huwezi ilinganisha na zamani maana huko nyuma internet ilikua haina kasi kabisa kama ya sasa. Kudownload nyimbo Moja tu yenye Mb 5 ilikua inaweza kukuchukua mpaka saa 1. Kama ni mtumiaji wa muda mrefu wa internet unaweza kuwa unajua kuhusu hili.

Yafuatayo ni mambo ambavyo Unaweza fanya kuongeza speed ya internet kwenye simu yako (hayahusishi matumizi ya WiFi)

WhatsApp yako inatatizo? Jifunze jinsi ya kutatua hapa>>>>

Namna ya kuongeza speed ya internet kwenye simu

1. Hakikisha unatumia laini ya 4G au 5G na Simu 4G au 5G

Kwasasa ukitaka kufurahia kasi nzuri ya internet basi inatakiwa iwe ni kuanzia kasi ya 4G. Ukitaka kufurahia kasi hii ya internet kwenye simu yako ya smartphone inatakiwa iwe na laini ya 4G na pia simu yako iwe ni ya 4G au 5G. Mbali na havyo pia ni vema “preferred network type” yako ikaiseti kwenye “Auto“. Kuiset preferred network type kwenye simu yako nenda kwenye “settings” ingia kwenye na uende katika “Network & internet” alafu ingia kwenye “SIM cards” kisha ingia kwenye “Mobile network“. Baada ya hapo gusa “Preferred network type” na uchague “Auto“.

2. Hamia kwenye mtandao wa simu wenye huduma ya internet yenye kasi.

Kuna muda mtu anaweza kuwa unakumbana na changamoto ya kasi ndogo ya internet katika matumizi ya internet kutokana na mtandao wa simu unaokupa huduma ya internet kutokua vizuri katika maeneo uliopo. Jaribu kufanya utafiti kwa watu uwalio kuzunguka ili kujua mtandao wanotumia kupata internet na speed yake ya internet iko vipi. Unaweza tu kuwaambia watu “Mimi ninatumia mtandao flani kupata huduma ya internet lakini naona Kama haupo vizuri Sana katika speed kwenye maeneo haya… Ivi ni mtandao gani nyinyi mnautumia na upo vizuri?”

Fanya haya kabla simu yako haijaibiwa ili kuipata ikiibiwa GUSA HAPA>>>


Kama kutakua na mtandao wanao sema upo vizuri basi jaribu na uangalie kama utakua vizuri kwako pia. Unaweza pia wasiana na watu wanao husika na mtandao wako wa simu na kuwataalifu kuhusu Jambo unalopitia kwenye eneo lako ili warekebishe. Tena bahati nzuri ni kwamba sikuizi makampuni ya mitandao ya simu ina kurasa zake katika mitandao ya kijamii na Unaweza watumia ujumbe kule na wakakujibu.

3. Boost speed ya internet kwa kuwasha “Flight mode” na kuizima.

Kama speed yako ya internet inasubua subua wakati unaitumia unaweza kuwa unaiboost kwa kuwasha “Flight mode” na kuizima. Flight mode huwakilishwa na kialama Cha “ndege ya usafiri” na hupatikana katika kisehemu Cha simu unachokifuata pindi unapo washa Data kwaajili ya kuanzia kutumia internet.

4. Tumia app zinaweza ongeza Speed ya internet.

Kuna baadhi ya app za VPN zinaweza ongeza speed ya internet. Hii inaweza onekana zaidi unapo download vitu au ku-stream vitu online ukiwa unatumia VPN. Lakini app za VPN zipo maalum kwaajili ya kuufanya muunganiko wako wa internet uwe salama na si kuongeza speed. Na pia sio kila unapotumia VPN utapata internet yenye kasi, VPN zinaweza pia kupunguza kasi kabisaa.

Mbali na app za VPN pia Kuna app zinazohusisha zaidi DNS zinaweza kuongeza kikasi Cha internet unapotumia. Mfano mzuri ni app iitwayo WARP… Unaweza ijaribu kwuingiza kwenye simu yako ya Android kwa lugusa hapa au iPhone kwa kugusa hapa

Jinsi ya kufanya simu isiishe chaji haraka

Hapa tumeelezea vitu vichache unavyoweza kufanya kwenye simu yako ya Smartphone (Android) ku refusha maisha ya chaji. Hii inaweza kuwa msaada mkubwa Kwa watu wenye simu zinazowahi kuisha chaji.

Lakini unachotakiwa kujua ni kwamba vitu vinne tulivyotaja katika Audio si vitu pekee vinavyorefusha maisha ya chaji. Kama utaka kaelezo zaidi ya kufanya vitu hivi kuandika ujumbe wako na kutumia Kwa njia ya WhatsApp kwa kugusa kitufe kilicho andikwa “Chati nasi WhatsApp” kwenye Home Page yetu.

Ukiona dalili hizi Jua Account yako ya Facebook  imedukuliwa na si salama GUSA HAPA>>>>

Magroup ya WhatsApp ya kujiunga bure GUSA HAPA>>>

Fanya haya kabla simu yako haijaibiwa ili kuipata ikiibiwa

Kuibiwa simu(Smartphone) ni Jambo ambalo karibia kila mtu hapendi limtoke lakini huwa linamtokea tu pasipo kutarajia. Ukiwa bado upo na simu yako unatakiwa kuandaa mazingira ya kuipata kirahisi pindi itakapoibiwa. Ili kuipata simu iliobiwa unatakiwa kuwa na taalifa ambazo zitatumika katika kufanikisha zoezi la kuitafuta simu yako. Taalifa hizo ni pamoja na namba za IMEI za simu.

Jinsi ya kufanya simu isiishe chaji haraka GUSA HAPA>>>


Kila simu huwa na namba zake za IMEI na endapo utaenda polisi ili wakusaidie kutafuta simu yako basi utahitajika kuwapa namba za IMEI za simu ilioibiwa ili kufanikisha upatikanaji wake. Hivyo ni muhimu kuwa na namba za IMEI za simu zetu ili tukipoteza tuzipate kirahisi. 


Sasa unachotakiwa kufanya kabla simu yako haijaibiwa ni kwenda katika sehemu ya kupiga simu alafu piga namba  *#06#  Kisha zinakili katika karatasi namba(IMEI) utakazoletewa na utunze karatasi hilo kwenye vitu vya muhimu ili lisipotee kirahisi.

Kama utakuja kupapoteza simu yako, namba hizo zitatumika kuipata simu yako pindi utakapo peleka swala lako polisi. Pia kumbuka kutunza na lisiti ya ununuzi wa simu.

Ukiona dalili hizi Jua Account yako ya Facebook  imedukuliwa na si salama GUSA HAPA>>>>

Jinsi ya kufanya simu ijinunulie bando la internet (usichome pesa zako kununua bando)

Watu wanaotumia smartphone mara nyingi hutumia pesa nyingi sana kwenye bando la internet. Kama nawe ni mmoja wa watu wanaotumia sana internet na unatumia pesa nyingi kwenye kipengele hiki cha simu yako basi Huenda kwenye makala hiii unaweza fungua ubongo na kujua cha kufanya ili simu isizichome sana pesa zako. Lakini Kabla ya yote ningependa kukushukuru Kwa kufuatilia The Bestgalaxy na kama ndio mala ya kwanza kuingia hapa, ni vema kama utaanza kufuatilia mahali hapa ili ujifunze vitu vingi.

Jinsi ya kubet bure (bila kuweka pesa) GUSA HAPA>>>

Unawezaje kuifanya simu isizichome pesa zako katika suala la bando?

Kwa jibu la halaka halaka tunaweza sema kupunguza manunuzi ya bando na kulitumia bando lako Vizuri kunaweza okoa pesa za Kwa kiasi flani. Lakini njia nzuri ya kufanya simu yako isichome pesa zako kwenye suala la bando ni kuitumia simu yako kutengeneza pesa ambazo utakua ukizitumia kununua bando. Kwakufanya hivyo utakua umeifanya simu ijinunulie bando. Nimeandaa makala ya sauti inayokupa mwanga wa vitu unavyoweza kufanya kwenye simu yako na vikakupa pesa kwanzia Tsh 10000 Hadi 100,000. Vitu ambavyo baadhi ya wajanja hufanya na kama hulijui hili na upo hapa basi upo mahali sahihi pakufungua ubongo wako.

Ukiona dalili hizi Jua Account yako ya Facebook imedukuliwa na si salama GUSA HAPA>>>>

Ukijifunza vitu hivi vitakusaidia kutengeneza pesa utakazokua unazitumia kununua bando bila kuumiza pesa yako. Ukitaka kuifungua makala hii unaweza bofya kitufe ilichopo hapa chini lakini Kabla haijafunguka utadaiwa password… Password hii mimi ntakupatia Kwa Tsh 10,000 tu. Kwaiyo kama unahitaji kujifunza basi unaweza nipigia au kutuma ujumbe kwenye 0715233405, utalipia Kisha nitakupa password itakayokuwezesha kufungua na kujifunza mbinu za uhakika za kupata pesa kwenye simu yako. Na pia unaweza chati nasi kwenye whatsApp kwa kugusa HAPA>>>

Katika Matumizi yako ya simu usifanye vitu hivi (Unaweza juta!) GUSA HAPA>>>

Njia za kupunguza au kutumia data kidogo kwenye TikTok (oka bando lako la internet)

Tiktok ni moja ya mitandao ya kijamii iliyo na watu wengi wanaotumia kushiriki/kushare video. Ni wazi kuwa watu wengi ambao wana app ya Tiktok, hutumia muda mwingi kwenye TikTok . Kuna watumiaji wengine wa Tiktok wanaweza kutumia zaidi ya saa moja au mbili kutazama video kwenye Tiktok. Hii kwa sababu Tiktok ina video fupi zinazowafanya wafurahie. Lakini Tiktok hutumia kiasi kikubwa cha data kutokana na video tunazoangalia. Hii inamaanisha jinsi video utazama video zaidi, ndivyo data inavyotumika.

Hii sio kesi ikiwa kununua vifurushi vya internet sio kazi kubwa kwako na unahitaji kufurahiya au kuburudisha akili na Tiktok katika video zenye bora. Lakini inakuja shida wakati inaumiza mfuko wako au kukugharimu kwa njia yoyote.

Katika nakala hii tutajadili jinsi ya kupunguza au kutumia data kidogo kwenye TikTok. Kwa hivyo ikiwa wewe ni mmoja wa watumiaji wa Tiktok ambao wanataka kupunguza au kutumia data kidogo kwenye TikTok, uko kwenye nakala inayofaa.

Jinsi ya kufanya simu ijinunulie bando la internet (usichome pesa zako kununua bando) GUSA HAPA>>>

Njia 3 za kupunguza au kutumia data kidogo kwenye TikTok.

1. Tumia app ya “Tiktok lite”


Kuna programu mbili za Tiktok ambazo unaweza kutumia na app hizi ni tofauti. Kuna app yakawaida ya Tiktok na Kuna app inayoitwa “Tiktok lite”. App ya Tiktok lite ni programu inayotumia data kidogo kuliko app ya kawaida ya Tiktok. Kwa hivyo ikiwa unahitaji kutumia data kidogo kwenye TikTok, unaweza kuanza kutumia app ya Tiktok lite badala ya kutumia ya kawaida ya Tiktok.

2. Usiangalie video nyingi.

Ni wazi kuwa mara nyingi kutumia kiwango cha juu cha data ni matokeo ya kiasi cha video ulizotazama. Kwaiyo kupunguza kiwango cha video unazotazama kwenye TikTok pia kutapunguza utumiaji wa data yako unavyotaka. Jipe kiwango cha video unazotaka kutazama kwa siku bila kuharibu bajeti yako ya data.

Jinsi ya kufanya simu isiishe chaji haraka GUSA HAPA>>>

3. Washa Kiokoa Data.

Tiktok wana kipengele cha “Data saver” ambacho kinapunguza matumizi ya data ya simu za mkononi. Kipengele hiki hakiwezi kufanya kazi kama upo kwenye wifi. Unaweza kuwasha kipengele hiki kwa urahisi kwa kwenda kwenye “Me” na Gonga vidoti Tatu kisha uchague “Data Saver” baada ya hapo Kiwashe kipengele hicho. Baada ya kufanaya hivyo, utaanza kutumia data kidogo kuliko hapo awali.

Fanya haya kabla simu yako haijaibiwa ili kuipata ikiibiwa GUSA HAPA>>>

Kwanini bando lako la wiki la internet huisha ndani ya siku Moja/mbili?

Kwasasa katika dunia matumizi ya internet yameongezeka. Na inaonesha yatazidikuongezeka zaidi ya hapa maana baadhi ya huduma na vitu vilivyokua havihusiani na internet vimekua vinategema internet Kwa sasa. Mfano mzuri ni magari ya kisasa yanayotoka kipindi hiki. Mengine yanatumia internet kukupa huduma ya redio na vitu vingine. Yani huwezi sikiliza redio ya gari bila internet. Hebu tuachane na ulimwengu na tuingie Tanzania Sasa.

Ni wazi kuwa Kuna watu wanatumia sana internet na vifurushi vya internet Kwa hapa Tanzania vinaweza kukughalimu hata za zaidi ya 2000 Kwa GB 1(inategemea na kifurushi). Katika kununua vifurushi na kutumia internet, Kuna baadhi ya watu hununua vifurushi vya internet vya wiki lakini huvimaliza kabla ya wiki na hawajui ni Kwanini. Hiki sio kitu kukubwa kama hakikuumizi kwenye sawala la pesa lakini kama kinakuumiza basi hapa ntakujuza ni kwanini ipo hivyo na hatua gani unaweza kuchukua.

Jinsi ya kufanya simu isiishe chaji haraka GUSA HAPA>>>

Pata bando za internet Kwa Bei rahisi (Tigo & Halotel) GUSA HAPA>>>>

Kwanini bando la wiki la internet linawahi kuisha kabla ya wiki?

Kiufupi ni kwamba kitu kinacho maliza bando mara nyingi ni “matumizi”. Ukiwa na Mb 50 ikiingia kwenye internet na kutumia au zikatumika Mb 50, utabakiwa na Mb 0 hata kama ulipewa zikae mwezi. Ni mahesabu tu.

Ukiwa unamatuzi ya internet yanayotumia Mb nyingi basi utahitaji Mb nyingi ili uzitumie sio sinazokaa sana. Hata ununue bando la mwaka mzima, kama matumizi yako ni makubwa kuliko hilo bando au Mbs ulizonazo, utamaliza kabla ya huo mwaka kuisha.

Jinsi ya kufanya simu ijinunulie bando la internet (usichome pesa zako kununua bando) GUSA HAPA>>>

Kwani watu hutumia bando kiasi gani?

Kwa watumiaji wa Smartphone (Tz) wengine wanaweza kutumia Mb 200 kwa siku na kunawatu hufia hadi Gb 1, G 2 au zaidi. Hii hii pia hutegeana na “matumizi” ya mtu.
Kuna watu ambao hutumia internet kuangalia movies, kucheza magemu (cloud games) au wapo internet kikazi. Watu hawa hata GB 2 mbili zinaweza kuwa ndogo kwao Kwa siku.
Mbali na watu hao kunawatu wanamatumizi ya kawaida tu. Inawezakua wanatumia kupata nyimbo mpya, habari, matokeo ya michezo na vitu vingine kama hivyo. Watu wanye matumizi haya wanaweza kutumia chini ya Mb 500 japo wanaweza vuka hapo pia.

Nifanye nini ili kutomaliza bando la internet Kwa haraka?


Kama unataka usimalize bando lako la internet Kwa haraka basi inabidi uanze kujichunga kwenye matumizi maana maranyingi matumizi ndio hulimaliza bando.
Kama ni mtu wa movies basi punguza kuangalia movies au videos unazoangalia kwa siku.
Jizuie kutumia internet sana kama bando linaumiza pesa yako.
Ingiza vitu kama offline games au vichekesho na vitu vingine ambayo vitakua vinakufurahisha kwenye simu yako bila kuwasha data. Mfano wa vitu vingine ni Simulizi. Unaweza ukawa unanunua simulizi za kusoma kwenye simu yako alafu unakua unasoma kidogo kidogo ukiwa na muda.
Hayo ni machache niliokuandalia kwenye makala hii inayohusu internet. Tutakutana kwenye makala nyingine Lakini usiache kufuatilia The Bestgalaxy ili kujifunza mengi zaidi.

Mtu akiku “Block” WhatsApp unaweza fanya hivi kuchati nae

Je, ungependa kujua mbinu za kuchati na mtu aliyekuzuia (Block) kwenye WhatsApp? Usijali, katika makala hii tutazungumzia kuhusu hilo.
Watu huzuiwa kwenye WhatsApp kwa sababu tofauti kama vile migogoro ya uhusiano na vitu vingine. Na hakuna njia ya kujitoa block mtu akiku block kwenye WhatsApp. Lakini hapo tutakupa njia za kuchati tu na mtu aliyekuzuia kwenye WhatsApp.
Kabla ya kwenda moja kwa moja kwa uhakika wa makala hii, hebu tuangalie vitu vinavyoashiria kwamba mtu amekublock kwenye WhatsApp.

Ni nini kinaonyesha kuwa mtu amekublock kwenye WhatsApp?

Huwezi kumuona yupo Online, muda wote unaoneshwa mara yake ya mwisho kuonekana Online/mtandaoni. Na pia huwezi ona profile picha.
Si hivyo tu, bali hata jumbe unazotuma kwake zinaonesha alama ya tiki moja tu wakati wote.
Ukiachana na hiyo, huwezi kufanikiwa kupiga simu ya sauti au ya video (voice call & video call) mtu aliekublock kwenye WhatsApp alafu akapokea.

Katika Matumizi yako ya simu usifanye vitu hivi (Unaweza juta!) GUSA HAPA>>>

Jinsi ya kuzungumza na mtu aliyekuzuia kwenye WhatsApp

1. Chati naye kupitia group la WhatsApp.

Kama alie kubook ni mpenzi wako au marafiki, basi mwambie rafiki yako mwingine atengeneze group la WhatsApp kisha akuweke wewe na mtu aliekublock kwenye hilo group. Baada ya rafiki yako kukuweka kwenye kikundi/group hilo, utaweza kuchati nea ndani ya hilo group.
Rafiki aliyeunda group anaweza kuondoka kwenye hilo group na kuwaacha nyie.
Baada ya hapo, utakua Ukituma meseji zako kwenye group kisha rafiki au mpenzi wako aliekublock atapokea ujumbe wako kupitia group hilo. Pia atakuwa na uwezo wa kujibu ujumbe wako.

Tumia hii kama nafasi ya kutatua migogoro kati yako na mpenzi wako au rafiki aliyekuzuia/kublock.

2. Tumia app nyingine anazotumia kuchati.

Ikiwa hutafaulu kuzungumza nae kupitia group la WhatsApp, jaribu kuzungumza na mtu huyo kupitia app nyingine za kuchati ambazo yeye hutumia. Unaweza kumpata kwenye Facebook messenger, Telegram, Signal na app nyingine zingine unazofikiri mtu huyo anatumia. Lakini unapaswa kukumbuka kuwa anaweza kublock pia kwenye app hizo, kwa hivyo ukipata nafasi ya kuchati na mtu huyo, itumie vizuri.

3. Tumia app za nambari ya pili (Vitural number apps)

Movies za kutafsiliwa GUSA HAPA>>>>

Hizi ni app zinazokupa nambari ya pili na unaweza kuitumia kutuma ujumbe mfupi au kumpigia mtu yeyote kama nambari yako ya kawaida ya simu. Mfano wa app hizi ni app iiitwayo “TextMe
Ikiwa haukufanikiwa kwa njia zilizo hapo juu, unaweza kupagua app moja ya nambari ya pili. Kisha chagua nambari na uitumie kutuma ujumbe au kumpigia simu aliyekuzuia. Tumia hii kama nafasi ya kutatua tatizo lililo kati ya wewe na aliyekuzuia.

Huu ndio mwisho wa makala hii Lakini ningepeda kukujuza kuwa hapa ndipo maunja yote ya teknolojia unaweza kuyapata. Kikubwa ni usisahau kutembelea mahali hapa Kila mara ili usikose vitu vipya.

Fanya mambo haya kuifanya simu ijae chaji haraka

Kama umekua ni mtu unaesumbuliwa na simu katika masuala ya chaji, hasa kwenye upande wa simu kuchelewa kujaa pale unapoichomeka chaji basi nakujuza ni vitu gani ambayo unaweza kufanya ili kuifanya simu yako ijae kwa muda mfupi sana.

Lakini kabla ya yote ningependa kukukumbusha kuwa endapo utakua na maswali kuhusu jambo lolote linalokutatiza kuhusu simu yako, hakikisha unawasiliana na sisi. Pia usiache kufuatilia Kila post mpya ili kujifunza maana vitu vingi zaidi vipo mbeleni.
Zifuatazo ni njia ambazo ukizifanya unaweza ifanya simu yako ijae chaji kwa haraka sana.

Movies za kutafsiliwa GUSA HAPA>>>>


1. Zima simu wakati unaichaji

Kuizima simu wakati wa kuichaji kunaweza ifanya simu ijae haraka sana kuliko ikiwa imewashwa. Ni vema sana kuitumia njia hii wakati ambao unahitaji simu ijae haraka na pia hufanya betri kujaa kwa utumivu na hii huimarisha hata betri lako. Lakini tatizo la njia hii ni kwamba husababisha mtu usiwe hewani hivyo basi ni vema kuitumia pale unapokua unajua kutokuwa hewani kwako hakutokupunguzia chochote.

Jinsi ya kupata mkopo kwenye simu GUSA HAPA>>>>

2. Washa Airplane mode unapo ichaji

Airplane mode hupatikana sehemu ile ya juu inayoshushwa pindi tunapowasha Data. Huwakilishwa na alama ya ndege za usafiri. Ili kuiwasha utatakiwa kuishusha sehemu ya juu ya simu yako kisha gusa alama yake kama unavyogusa pindi unapowasha Data. Njia hii hufanya simu ijae haraka mno lakini tatizo ni hautaweza kupokea wala kupiga simu maana Airplane mode ikiwashwa huvifunga vitu hivyo.

3. Washa power saving mode

Hii inaweza kuwa ni app ambayo huzizima baadhi ya app ili kupunguza matumizi ya chaji. Hupatikana kwenye arodha ya app ulizonazo au katika sehemu ya juu ya simu (Mara nyingi huwakilishwa na alama ya betri ilioambatana na alama ya jumlisha). Uzuri wa kutumia njia hii ni kwamba, utaweza kupiga au kupokea simu bila tatizo huku simu yako ikiendelea kujaa kwa kasi. Lakini simu nyingi za kisasa haziruhusu kuwasha power saving mode wakati simu ikiendelea kuchaji. Sio tatizo, unaweza pakua power saving mode app itakayofanya kazi hii kutoka Playstore. Natumani unaelewa jinsi ya kufanya simu ijae chaji haraka. Endelea kuwa nasi kujifunza vitu vingi zaidi.

Magemu mazuri ya kucheza kwenye simu GUSA HAPA>>>

Katika Matumizi yako ya simu usifanye vitu hivi (Unaweza juta!)

Kama ni mtumiaji wa simu za smartphone unatakiwa kuwa makini sana katika matumizi yako ya smartphone maana ukiitumia smartphone yako vibaya unaweza kujikuta jela au unaweza kuwa kwenye wakati mgumu kwa kupoteza vitu vyako vya msingi na heshima kwa jamii. Leo nimekuandalia baadhi ya vitu ambavyo unapaswa kuvizingalia katika kutumia smartphone yako. Tutazungumzia vitu vichacheche tu, vingine tutaangalia katika makala nyingine. Lakini Kabla ya yote ningependa kukushukuru Kwa kufuatilia “The Bestgalaxy” na nakusihi usiache kufuatilia ili kujifunza vitu vingi zaidi.

Jinsi ya kupata mkopo kwenye simu GUSA HAPA>>>>

Bila kupoteza muda hebu tuangalie ni vitu gani usifanye katika matumizi ya simu yako…

1. Usijichukue picha za utupu na kutunza kwenye simu yako.

Kama ni mtu unaependelea kujichukua picha za utupu kwa makusudi na kuzitunza basi hakikisha unajiweka tayari kiakili kuwa hata zikivuja hazita kushtua wala kukuumiza. Kumekua na uvujaji mkubwa wa picha/video za utupu na ukweli ni kwamba asilimia kubwa ya watu wenye picha au video hizo hawajui ni kwanini picha hizo zimetoka nje ya simu zao. Kitu muhimu kukijua ni kwamba si vizuri kuweka picha au video hizo kwenye simu maana kunavitu vingi sana ambavyo vinaweza pelekea kuvuja kwa vitu vyako.

2. Usiingize app nje playstore hovyo hovyo.

Wengi tumezoea kuingiza app tunazozipenda kupitia playstore lakini kuna baadhi huwa tunaingiza tu yaani mtu katuma kwenye group la WhatsApp, basi unajaribu kuiingiza au umesearch Google bila kuangalia ata site inaaminika vipi, unaiingiza kwenye simu yako.
Kitu muhimu cha kujua ni kwamba kuna app ambazo ukiingiza kwenye simu yako tu huwa zinabeba taarifa zako kwenye simu na kuzituma kwa huyo mtaka taharifa za watu tena kwa kutumia bando lako bila wewe kujua. App hizi hupatikana nje ya Playstore hivyo basi katika kuingiza app nje ya Playstore hakikisha sehemu unayotoa app unaiamini na inaaminika pia.

Jinsi ya kufanya simu ijinunulie bando la internet (usichome pesa zako kununua bando) GUSA HAPA>>>

3. Usisambaze taarifa au link usizozijua kiundani.

Kama ni mtumiaji mzuri wa simu na mitandao nadhani umewahi fanya kitendo cha kusambaza link au ujumbe flani ili upata kituflani lakini mwisho ukagundua ni uongo. Sasa unadhani uliowasambazia walikuchukuliaje? na ulichokisambaza kingekua kinahusisha utapeli, unadhani tapeli wa hao uliowasambazia angekua ni nani kama si wewe?
Usipendelee kusambaza ujumbe au tahalifa usizo na uhakikanazo na wala usiwe na tamaa na vitu vya bure mitandaoni, utaibiwa alafu unaonekana wewe ndio mwizi.

4. Usisahau taarifa za Email yako wala kuzigawa.


Wewe ni mmoja kati ya watu wasio jua Email zao au password zakuingilia katika email zao?
Naweza kusema, kwasasa Email ni kitu cha msingi kuliko simu unayotumia. Email yako ni utambulisho wako katika sehemu mbalimbali pia email husaidia kupata vitu vyako vya msingi vilivyopo kwenye simu endapo simu yako itaibiwa au kuhalibika ghafla. Kwakutumia email yako utaweza itafuta simu yako ikipotea na kutambua mahali ilipo.
Email hurahisisha sana mambo maana unaweza ukawa umeibiwa simu au imezimwa ghafla lakini ukawa unavitu vyote muhimu kama picha zako,video na majina ya simu kwa kushika Email yako na password yake kichwani mwako (Kama uliseti hivyo).

Tambua kuwa ni muhimu kujua Email yako na password yake na kamwe usimpatie mtu password maana utakua umempa tahalifa zako na akiwa mjanja atakupekua mpaka vitu unavyo search Google na kujua uwezo wako unaishia wapi.

Download na kuangalia movie zote bure kwenye simu GUSA HAPA>>>