Tag Archives: mapenzi

Jinsi ya kumfurahisha mwanamke katika mahusiano

Ili Kumfurahisha mwanamke kwenye mahusiano ni vema  ukajenga mazingira ya heshima, upendo, na yakueleweka. Mnaweza kuwa kwenye mahusiano na mwanamke lakini kama katika mahusiano hujajenga mazingira mazuri, Mwanamke anaweza kuwa hayafurahii.  Hapa The bestgalaxy tumekuandalia baadhi ya vitu unavyoweza kuanza kufanya kwenye mahusiano ili kumfurahisha  mwanamke katika mahusiano.

kumfurahisha mwanamke katika mahusiano

Muoneshe upendo na kumthamini

Muoneshe kuwa unampenda maana kama anakupenda kweli basi jambo kubwa analolitaka toka kwako ni kujua kama na wewe unampenda kwa dhati. Muoneshe kuwa unampenda kwa kumwambia au kufanya vitendo vinavyo ashilia unampenda na kumthamini katika maisha yako. Muombe msamaha unapomkosea, mbembeleze, kuwa msaada kwake na ukipata nafasi usisahau kumwambia kuwa yeye ni mtu muhimu maishani mwako au kumsifia pia.

Mtu akikublock WhatsApp Fanya hivi kuchati nae BONYEZA HAPA>>>

Msikilize na kumpa muda pia

Kati ya vitu ambavyo ukifanya, mwanamke hufurahi ni pamoja na kumpa muda na kumsikiliza. Mwanamke anafurahi sana pale mwanaume wake anapo mpa muda wake. Hivyo kama uko kwenye mahusiano, ni muhimu kutumia muda wako pamoja nae ili kumfurahsha. Mbali na kumpa muda , kumsikiliza hisia, mawazo, na maoni yake humfanya afurahi katika mahusiano.

Mpe nafasi huru na kumuheshimu

Kuwa nae kwenye mahusiano lakini lakini usimfunge kwenye vitu vyake binafsi ambavyo havina  athiri katika mahusiano yenu. Mpe huru wa kuchagua vitu anavyovipenda au kukataa vitu asivyopenda alafu heshimu maamuzi yake. Muache afanye mambo yeke binafsi kama mwanamke na usimlazimishe afuate mawazo yako kila mara katika vitu vyake visivyo hata kuhusu. Japo mupo kwenywe mahusiano lakini kunavitu inabidi uishie kuwa mshauri tu. Kwa kufanya hivyo, utamfanya mwanamke afurahi.

Kuwa muaminifu na muwazi

Ukimuonesha mwanamke kuwa wewe ni mwaminifu katika mahusiano yenu anaweza kuwa na furaha sana. Ukiwa sio mwaminifu katika mahusiano yenu mwanamke kama anakupenda anakua na roho juu muda wote kutokana mashaka kiasi kwamba anakua hafurahii mahusiano. Ni vema kuwa muwazi ili kumuondoa mashaka alafu jenga picha ya uaminifu kwenye mahusiano yako kwa kuwa mwaminifu kwake.

Kumuahidi na kumshtukiza mambo mazuri

Unapo muahidi mwanamke mambo mazuri kwenye mahusiano huwa anafurahi na ukitimiza ndio hufurahi zaidi. Ukiachana na kumuahidi, pia kumwambia au kumfanyia mwanamke mambo mazuri kwa kumshtukiza huwa kunamletea furaha kwenye mahusiano. Mambo haya mara nyingi humpasua mwanamke moyo kwa furaha na kujemga kumbukumbu nzuri za furaha katika mahusiano yenu.

Mlidhishe katika mchezo

Hakikisha unafanya vizuri katika michezo munayocheza ili afurahie. Kama utakua haumidhishi ni wazi kuwa anaweza kuwa hanafuraha ya ukweli na kupelekea kuitafura furaha sehemu nyingine. Kama unamatatizo katika kushiriki mchezo hakikisha unawafuata wataalam/madaktari ili kupata ufumbuzi wa tatizo ulilonalo kwenye machezo.  Hakikisha unakijali sana kifaa chako kikiwa na matatizo maana hicho kifaa sio chako, ni chake yeye. Anakipenda hicho kifaa na awezakuwa anakiota kabisa kwaiyo usikichukulie kirahisi.

sms za mahaba kwa mume au mke

Kuitwa Mume au mke haimaanishi hauitaji kumwambia mwenza wako unampenda au maneno mazuri ya upendo na mahaba.Watu wengi huisha ingia kwenye hatua ya kuitana mume au mke huwa wanasahau kuambiana maneno mazuri kiasi kwamba wanaweza kuyumbishwa kwenye mahusiano kwa kuanguka kimapenzi na mtu wa nje kisa anawaambia maneno mazuri na kuwasifia.

Kumwambia mke au mume wako maneno ya upendo ni jambo linaoweza mpa furaha na kuona unamjali haijalshi unatumia sms au unaongea moja kwa moja. Kama unataka kumtumia mke au mume wako sms za mahaba,hapa chini kuna orodha ya sms za mahaba kwa mume au mke ambazo unaweza tumia bure kabisa. Chagua zinazoendana na hali yako ya mahusiano ndio utumie.

Maneno ambayo hautakiwi kusema kwa mwenza wako BONYEZA HAPA>>>

sms za mahaba kwa mume au mke 

Umeuweza moyo wangu mpaka nahisi umeniloga. Unaupa raha moyo wangu nikikukosa pembeni yangu napata homa. Pezi lako ni tamu na kila siku linazidi kunoga. Kwako nimefika vya wengine siwezi onja.

Salamu yako ni nusu ya uhai wangu na kuikosa nisawa na kuidhulumu nafsi. Ukweli ni kwamba nikipata salamu yako huwa najisikia faraja moyoni mwangu, Nakupenda sana wangu.

Kuishi na wewe  ni raha sana. Penzi lako ni zawadi niliopewa na mungu katika maisha maana linanifanya nione thamani ya kuishi dear. Nitakupenda milele bila kujutia.

Mazoezi ya mwili ambayo husaidia katika tendo BONYEZA HAPA>>>

Umenifanya nijione wa thamani toka pale uliponichagua kuwa wako maishani. Kwenye milima na mabonde umepambana mpaka sasa umekuwa na mimi. Asante kwa upendo huu honey, nitakupenda milele maishani.

Wewe ndie mfalme wangu, Mwanaume ninaekupenda kwenye dunia hii, Mtu ninaejivunia kuwa nae maishani na natamani popote alipo ajue kuwa pamoja na yote tunayopitia kwenye maisha, bado ameteka hisia zangu.

Acha leo nikwambie ukweli. Thamani ya penzi unalonipa ni kubwa kwangu na siwezi fananisha na chochote kwenye hii dunia. Namshukuru mungu kwa kunikutanisha mpenzi mwema unaejali hisia za moyo wangu, Nakupenda sana mpenzi, usichoke kunipenda.

Wewe ndie malaika wangu, Fundi wa raha zangu, Msaidizi niliepewa na mungu, Mwanamke mzuri ninaempenda kwenye ulimwengu mpaka nikaamua kumchagua yeye tu maishani mwangu na sasa natamani ajue kuwa sijawahi jutia kuwa nae maishani, upendo wake unanipa furaha isio na kifani.

Penzi letu haliwezi kuvutia kuila mtu hapa duniani. Natamani uzibe sikio la kusiliza wengine na unisikilize mimi tu. Ninaposema nakupenda nasema toka moyoni. Usisikilize ya watu mpenzi mimi nakupenda wewe tu hapa duniani.

jinsi ya kuwa romantic kwa mpenzi wako

Kumwambia mpenzi wako nakupenda na kuchezanae mchezo inaweza kuwa ni jambo zuri lakini tambua kuwa bado unaweza onekana sio romanic. Kuwa romantic kumekusanya mambo mengi sana katika mahusiano. Kiufupi kuwa romantic ni kuonyesha mapenzi kwa mpenzi wako, kumuonesha kuwa unamthamini na kumjali kwa kusema na kufanya matendo yanayogusa hisia zake. Hapa The Bestgalaxy tunafungua ubongo kwa kuelezea mambo machache ya kufanya ili kuwa romantic kwa mpenzi.

SMS za kumbembeleza mpenzi wako BONYEZA HAPA>>>

jinsi ya kuwa romantic kwa mpenzi wako (Mwanaume au mwanamke)

Mwambie maneno matamu na yakuvutia

Kama uko pamoja nae mnaongea au unazungumza nae kupitia simu, hakikisha unamwambia maneno matamu na yakuvutia. Ongea na mpenzi wako kwa hali ya utulivu alafu mwambie maneno ya upendo toka moyoni yatakayo ugusa moyo wake na kumfanya ajue jinsi gani unampenda. Funguka mwambie moyo wako unahisi vipi juu yake au msifu kwa maneo matamu.

Mzawadie zawadi zitakazo mfurahisha

Mpe zawadi ambazo unahisi atazipenda. Zawadi sio lazima iwekubwa au sio lazima iwe pesa. Unaweza mzawadia mpenzi wako vitu vidogo sana na akafurahi mpaka ndani ya moyo wake. Unaweza mzawadia mpenzi wako hata pipi ya kijiti tu na akafurahi ila inategemeana na namna ulivyomzawadia au muko katika hali gani. Mbali ya vitu kama pipi unaweza mzawadia vitu vingine unavyoona anapenda au anahitaji ila hajakwambia.

Mpe muda wako muwe pamoja

Ni wazi kuwa kama unampenda mwanamke, unatamani akupe muda wa kuwa nea na hivyo hivyo hata mwanamke akimpenda mwanaume anatamani apate muda wa kuwa na mpenzi wake. Kutumia muda wako kuwa na mwenzako ni jambo linaloweza kufanya uwe romantic. Unaweza kutumia muda na mpenzi wako mukiwa mnaogea, mnacheza michezo ya upendo, kutembea, kuangalia vitu, kusikiliza  au kusoma vitu.

Mtu akikublock WhatsApp Fanya hivi kuchati nae BONYEZA HAPA>>>

Mshawishi mwili

Kumbusu mpenzi wako, Kumshika mikono na kumkumbatia au kumgusa kwa ujumla ni mambo muhimu sana katika mahusiano maana ni vitu ambavyo vinaweza kukufanya uonekane romantic kwa mpenzi wako. Mchokoze kimwili mpezi wako na kama atakua na mahitaji ya kimwili ni vema ukaheshimu hisia zake. Siku hizi unaweza mchokoza hata kwenye simu kwakuongelea vitu vitakavyo msisimua kidogo.

Msikilize, thamini mawazo yake na tatua migogoro kwa upendo na amani

Msikilizea anachokwambia na uoneshe kuyathamini mawazo yake. Usipuuze mawazo yake anayoyasema maana atakuona humueshimu au kumjali. Kama kuna mgogoro umejitokeza kati yenu usiwe mwepesi wa kumjia juu kumfokea au kumtukana. Tafuta njia ya amani na upendo ya kutatua mgogoro huo. Sehemu ya kuomba msamaha muombe msamaha, Sehemu ya kubembeleza mbembeleze na sehemu ya kumsamehe msamehe.

Mambo humfanya mwanaume akupende sana na kukuchagua maishani BONYEZA HAPA>>>

Aibu yako isikuzuie kuonyesha mapenzi, kumuonesha kuwa unamthamini na kumjali kwa kusema na kufanya matendo yanayogusa hisia zake. Pia majukumu au kazi isiwe sababu ya kushindwa  kuonyesha mapenzi kwa umpendae, kumuonesha kuwa unamthamini na kumjali kwa kusema na kufanya matendo yanayogusa hisia. Ukishindwa kufanya hivyo mpenzi wako anaweza kuona sio romantic na wengine wanaweza wakakuacha kabisa maana hawafurahii mahusianio.

Unataka kumuumiza mwanaume anae kutesa unampenda? Soma hapa

Kuna mwanaume ambae uponae kwenye mahusiano na unampenda lakini anakutesa? Unataka kufanya kitu kitakacho muumiza? Ni kitu gani unahisi ukikifanya kitamuumiza? Mh sawa ila kabla haujafanya maamuzi yoyote, hapa The bestgalaxy tunakujuza vitu vichache kuhusu hili.

Ni mara nyingi watu huangukia kwenye mahusiano ambayo huanza kwa kuwapa furaha lakini baadae hubadilika na kupoteza furaha kutokana na wenza wao kubadilika na kuanza kutojali hisia zao.Hali hii katika mahusiano inaweza kubadilika na kuwa nzuri au inaweza kuendelea kuwa mbaya zaidi na kupelekea kuvunjika kwa mahusiano kabisa.

Unapokua kwenye mahusiano alafu mwenza wako akabadilika ghafla na kuanza kukutesa au kutojali hisia zako ni vema ukajaribu kwanza njia mbali mbali kubaini nini tatizo na kurekebisha mahusiano yenu. Jaribu kuvumilia huku ukiongea na mpenzi kwa uwazi kabisa nakumuuliza  nini shida na mutafanya nini ili muwe sawa.

Uvumilivu ni jambo zuri sana pale mahusiano yanapoyumba ila kama mahusiano yanayumba na kugeuka mateso yasioisha mtu anaweza shindwa kuvumilia na kuanza kutafuta njia za kumuumiza anaemuumiza na hata kuondoka kwenye mahusiano kabisa. Kumuumiza mtu anaekuumiza kwenye mahusiano ni jambo baya sana maana linaweza pelekea ukajiumiza mwenyewe. Mfano; kuna dada moja alikua akiteswa kimapenzi na mwanaume wake. Akaamua kumuumiza mwanaume wake kwa kujiingiza kwenye mapenzi na rafiki wa mwanaume wake. Baade alipewa mimba na huyo rafiki alafu akapata na magonjwa pia kisha akatelekezwa. Unafikili uamuzi wa huyo dada ulimuumiza nani?

Ukiwa kama mwanamke, kuliko kufanya maamuzi yatakayo kuathiri hata wewe ni unaweza ukafanya yafuatayo.

Mambo muhimu kufanya kwa mpenzi mwenye hasira au ukorofI BONYEZA HAPA>>>

Mambo unayoweza fanya badala ya kufanya maamuzi mabaya

Jipende kuliko alivyokuzoea.

Kuna muda unaweza mzingatia sana mtu anaekutesa kiasi kwamba unasahau hata kujipenda. Unasahau thamani ulionayo na kujiweka hovyo hovyo. Ukiwa kwenye hali hii ni vema kuikumbuka thamani yako na kuanza kujipenda. Jipende bila hata kuambiwa unapendwa alafu jijali kwenye kila kitu. Vaa vizuri, pendeza, uwe msafi na ujiamini katika uwanamke wako ila usiwe na kiburi au dharau. Tambua kwamba wewe ni wa thamani na hata ukiambiwa “Sikupendi” bado thamani yako iko pale pale.

Usiingie kwenye mahusiano mengine kwa msukumo wa kuumiza mtu.

Ukiwa kwenye mahusiano ambayo mwenza wako anakutesa, kuna muda unaweza waza kutafuta mpenzi mwingine wa haraka haraka ili tu kumuumiza mweza wako. Wazo hili ni wazo baya sana maana linaweza kukufanya usiwe makini katika kuingia kwenye mahusiano. Jambo hili linaweza pelekea uingie kwenye mahusiano yatakayokupa shida na hata kukuacha katika hali mbaya zaidi.  

Usioneshe tena kuwa unaumizwa na mambo yake.

Kama kuna vitu mweza wako huwa anafanya kwa dharau ili kukuumiza na umejaribu kila mbinu kumzuia au kumwambia aache lakini anaendelea kufanya, acha kuonesha kuwa unaumia alafu kuwa kimya. Pengine anahitaji kukuumiza ndio maana anaendelea kufanya. Acha kumuonesha kuwa unaumia ili ajue amekuumiza mpaka umechoka. Kama atakua ni mtu anaejari, ataanza kuwaza mabadiliko yako.

Kubaliana hali halisi na ujipumzishe.

Ikiwa umevumilia na kujaribu kila njia ya kuokoa mahusiano yako lakini imeshindikana, kubaliana na hali halisi. Usilazimishe sana huwa kwenye mahusiano ambayo yanahatalisha mpaka maisha yako. Jaribu kurekebisha na ikishindikana kabisa, futa machozi alafu jipumzishe kwenye mahusiano hayo. Usifanye maamuzi yoyote mabaya.

Sms za mapenzi motomoto (Mahaba niue)

Kuna muda ukiwa kwenye mahusiano, unaweza tamani kumwambia maneneo ya mahaba moto moto mpenzi/mme/mchumba wako kwa njia ya ujumbe. Hili ni jambo hufanyiana wapenzi hasa mukiwa na upendo wa kweli kati yenu alafu munatumia sana simu kuwasiliana. Watu wengi wanapopokea jumbe au sms za mahaba toka kwa wawapendao, hufurahi.

Kama unataka kumtumia mpenzi wako sms za mapenzi motomoto basi hapa The bestgalaxy tunakupa sms za mapenzi motomoto ambazo unaweza mtumia mpenzi wako bila kuumiza kichwa sana. Kama utaona ni nzuri na zinaendana na mahusiano yako ya mapenzi, uaweza zitumia.

Maneno ambayo hautakiwi kusema kwa mwenza wako BONYEZA HAPA>>>

Sms za mapenzi motomoto (Mwanaume na Mwanamke)

  1. Siku hizi nanenepa kutokana na matunda unayo nipatia. Kila nikila nazidi kukung’ang’ania. Nafikiri wewe ndie mungu alinishushia maana umenipatia dear.
  2. Napenda kugusa ngozi yako laini kila nikiwa karibu yako. Kila ninapoigusa nahisi raha na msisimko. Hakika umeumbwa vizuri wewe mtoto, hahaha.
  3. Natamani unikumbatie nipate joto hapa nilipo. Natamani vitu vingi toka kwako japo siwezi sema. Nimekukumbuka sana mpaka nahisi siwezi hema.
  4. Natamani kusikia sauti yako mpenzi wangu. Unasauti nzuri inayougusa moyo wangu na kuulipua kwa furaha. Natamani tuishi pamoja ili niwe naisikia kila mara. Wewe ni tulizo la moyo wangu nakupenda sana.
  5. Natamani niwe na wewe kila siku,kila saa na kila dakika. Penzi lako moto naliitaji mpaka mwisho wa maisha. Nilikua naona mapenzi mabaya ila wewe kunakitu umenifundisha. Nakupenda zaidi ya sana.
  6. Ningerudi nyuma na kupewa nafasi ya kuchagua tena mtu ninaempenda, anaenifanya niwe na furaha na kunipa penzi linalo gusa moyo wangu bado ningekuchagua wewe. Nakupenda sana mpenzi wangu.
  7. Kukupata wewe kunanifanya nijione mwenye bahati sana katika dunia. Sijui sana kuhusu moyo wako ila tambua moyo wangu umeishazama katika penzi mpaka naogopa. Umeishaniteka sijiwezi mpenzi.
  8. Kuna watu niliwakaribisha kwenye maisha yangu wakanifanya nione mapenzi mabaya. Penzi lako nimefanya nione mapenzi matamu na sitamani niamshwe kwenye hii ndoto. Nakupenda sana.
  9. Nimeacha vitu vingi sana kwaajili yako na siwezi jutia maana unanipa furaha mpenzi wangu. Atuwezi kuwa sawa kila siku ila tambua nazidi kukupenda kila siku. Wewe ndie nimekuchagua moyoni na ndie daktari unaeweza tibu maradhi yangu. Wewe ni mtu wa thamani maishani mwangu.
  10. Penzi lako tamu, haliishi hamu. Upendo wangu kwako ni moto usiozima. Moyo wangu unalidunda jina lako na kila mara natamani kuwa karibu yako. Sijawahi penda kama hivi.

Mambo ya kushangaza usioyajua kuhusu Wanawake na Wanaume BONYEZA HAPA>>>

Kwanini mwanaume anashindwa kusimamisha? Sababu hizi hapa

Kuna sababu nyingi zinazoweza pelekea kutokea kwa tatizo la mwanaume kushindwa kusimamisha yaani, kushindwa kuwa na uwezo wa kuamsha uume wake na kuwa imara na mgumu wakati wa tendo la ndoa . Kuna wanaume hukumbana na tatizo hili kwa muda mfupi au kuwa tatizo la kudumu. Hali hii anaweza kumbana nayo mwanaume wa umri wowote(Mzee au Kijana).

Fanya haya ili uchelewe kupiga bao BONYEZA HAPA>>>

Sababu za mwanaume kushindwa kusimamisha

Sababu zinazoweza sababisha mwanaume kushindwa kusimamisha zinaweza kuwa za kisaikolojia, afya ya mwili, mtindo wa maisha, magonjwa ya zinaa au umri. Hebu tuangaliae zaidi mambo au sababu hizi:

Saikolojia.

Mwanaume akiwa na mfadhaiko, wasiwasi, msongo wa mawazo, au hofu ya kutofanya vizuri wakati wa tendo, anaweza jikuta kashindwa kusimamisha. Yani kama mwanaume hajiamini au mawazo yapo mbali na tendo anaweza kumbana na tatizo hili.

Afya ya mwili.

Tatizo la kushindwa kusimamisha kwa wanaume wengine linaweza kusababishwa na masuala ya afya ya mwili. Mwanaume akiwa na mwili wenye ugonjwa wa kisukari, shinikizo la damu, matatizo ya moyo, unene uliopitiliza, au ugonjwa wa tezi dume, anaweza kumbana na tatatizo la kushindwa kusimamisha.

Mtindo wa maisha.

Mwanaume pia anaweza shindwa simamisha baada ya uwezo wake wa kusimamisha kuathiliwa na matumizi ya tumbaku, unywaji wa pombe kupindukia, na matumizi ya dawa za kulevya. Pia, kutofanya mazoezi ya kutosha na kula chakula au lishe duni kunaweza kusababisha mwanaume kupata matatizo ya nguvu za kiume.

Mazoezi ya mwili yatakayo kusaidia katika mapenzi BONYEZA HAPA>>>

Magonjwa ya zinaa.

Mwanaume kuwa na baadhi ya magonjwa ya zinaa kama vile kisonono na magonjwa mengine kunaweza muathiri uwezo wake na kupelekea matatizo ya nguvu za kiume.

Umri wake.

Kwa wanaume wengi, umri huathiri uwezo wa uwezo wa kusimamisha. Mwanaume mwenye umri mkubwa anaweza jikuta amepunguza uwezo wa kusimamisha kutokana na umri wake ingawa hali hii huwakuta pia wenye umri mdogo.

Ikiwa mwanaume anasumbuliwa na tatizo hili kwa muda mrefu au mara kwa mara ni vyema kumwona daktari au mtaalamu wa afya ili kupata ushauri na matibabu sahihi yanayoweza saidia kuweka hali sawa.

Asante kwa muda wako, endelea kufuatilia The bestgalaxy, endelea kuwa karibu na The bestgalaxy.

SMS nzuri kwa mpenzi aliembali(mapenzi ya mbali)

Ni kawaida sana kuona  wapenzi wanaopendana kukutana na sababu mbalimbali zinazopelekea wapenzi hao kuwa mbali. Sababu hizi zinaweza kuwa ni kazi, masomo na mambo mengine katika maisha. Wapenzi ambao wako mbali au  wanaoishi mbali ni vema wakazingatia sana mawasiliano na kuonyeshana upendo katika mawasiliano. 

Hapa The Bestgalaxy leo tunakupa orodha ya jumbe fupi za mapenzi ya mbali zinazoweza kutumika katika kuwasiliana. Kama mahusiano yapo kwenye hali hii basi unaweza tumia jumbe hizi:

Jinsi ya kuwa romantic kwa mpenzi wako BONYEZA HAPA>>>

sms za mapenzi ya mbali

1. Umbali wowote kati yetu hauwezi kuuzima upendo wangu kwako Mpenzi. Kila siku nakuwaza na nazidi kukupenda tu huku natamani sana uwekaribu yangu.

2. Kukaa mbali na wewe ni kazi ngumu sana mpenzi wangu. Kuna muda natamani nije huko uliko niwe na wewe ila nikikumbuka kuwa kuna siku tutaonana, napata amani kidogo, Nakupenda sana.

3. Hata kama tuko mbali kimwili, moyo wangu daima uko nawe huko uliko. Nakupenda sana.

4. Napenda tunanyowasiliana, unanifanya nijisikie karibu nawe japo tuko mbali. Kichwa changu na moyoni mwangu bado upo wewe mpaka tutakapokutana tena.

5. Kuna malaika wa upendo nimenitokea na kuniambia kuwa penzi letu linapendeza. Umbali hauwezi kututenganisha mpenzi wangu, tuendele kuwa pamoja milele.

6. Usiruhusu shetani atumie mwanya wa sisi kuwa mbal,i kuua penzi letu. Penzi letu ni kubwa kuliko umbali wetu. Siwezi kukuona au kukugusa huko uliko ila tambua moyo wangu wote upo kwako.

Jinsi ya kutunza mahusiano ya Mbali BONYEZA HAPA>>>

7. Sikuizi nakosa joto lako tamu unalonipa pindi nikigusa mwili wako. Lakini bado nakupenda kwa nguvu zote. Jina lako limeandikwa ndani ya moyo wangu na haliwezi futika milele. Unaeweza fanya niumie au niendelee kufurahi ni wewe.

8. Moyo angu hulipuka kwa furaha kila tunapowasiliana. Hii ni kwasababu nakupenda na siku zinavyozidi kwenda, nazidi kukupenda leo kulio jana. Sipati picha nitakavyokua tukikutana.

9. Moyo wangu uko nawe, hata kama mwili wangu uko mbali na wewe. Umbali hauwezi yumbisha penzi langu  kwako. Nikishindwa kuvuilia nipo tayari kukufuata na sio kukuacha kipenzi changu.

10. Jukumu la kulinda penzi letu ni langu mimi na wewe mpenzi. Tunapokua mbali au karibu ni vema tukakumbuka jukumu letu mpenzi. Tusije ruhusu walioharibu mapenzi yao waalibu na yetu. Nakupenda sana.

Jumbe au sms kama hizi zinaweza kusaidia kuimarisha uhusiano wenu wa mbali na kumfanya mpenzi wako ajisikie kuthaminiwa na kupendwa. Pia ni vema kukumbuka kuwa mawasiliano ya mara kwa mara na jitihada za kukutana zinaweza kuwa na mchango mkubwa kwenye uhusiano wa mbali.

UTAMU WA JUMLA 🔞 (Simulizi ya sauti)

Simulizi ya UTAMU WA JUMLA ni simulizi yenye uhusiano kidogo na simulizi ya SUKARI YA DADA. Unaweza sikiliza simulizi hii ukiwa ndani ya The Bestgalaxy Bure kabisa na pia unaweza ipakua na kufurahia kwenye simu au kifaa chako. Sikiliza simulizi hii katika mazingira tulivu yatakayo ruhusu kuielewa kirahisi.

Katika kuisikiliza ukiwa kama msikilizaji hakikisha unazingatia umri maana simulizi hii haitakiwi kusikilizwa na mtu mwenye umri chani ya miaka 18.

kama umebonyeza na inachelewa kuanza basi huenda ni tatizo la mtandao wako. Jaribu mara kadhaa kwa kusubiri.

Sehemu ya 1
Sehemu ya 2
Sehemu ya 3
Sehemu ya 4
Sehemu ya 5
Sehemu ya 6
Sehemu ya 7
Sehemu ya 8
Sehemu ya 9
Sehemu ya 10
Sehemu ya 11 (mwisho)

Kupata taharifa ya simulizi mpya na mambo mwengine, hakikisha unatembelea The bestaglaxy kila mara na pia unaweza jiunga kwenye group letu la Whatsapp Bure.

Maneno na maswali ya kurefusha maongezi na kumfurahisha mpenzi wako

Katika mahusiano wapenzi mnaweza ongea au kuwasiliana mpaka ikafika wakati mkakosa cha kuzungunzia, hasa kama hakuna mmoja kati yenu mwenye uwezo wa kuendesha mazungumzo. Ukiwa kwenye hali hii, unaweza ingizia maneno na vimaswali vilivyopo hapa chini kurefusha mazungumzo yenu, kumchekesha na hata kukusaidia kumjua vizuri mpenzi wako. Unaweza kuyatumia kama sms, au kuyaongea unapokua nae karibu au kwenye simu. Lakini unapotumia maneno na maswali haya hakikisha hamupo kwenye hali ambayo itamfanya mpenzi wako aone kero. Endelea kuwa karibu na The Bestgalaxy.

WhatsApp yako inatatizo? Jifunze jinsi ya kutatua hapa>>>>

Maneno na maswali ya kurefusha maongezi na mpenzi wako

  1. Kuna watu walikua wanamsifia dada flani hivi kuwa anamacho mazuri, nilivyomwangalia yule dada nikajiuliza “Mh hivi wanamjua mpenzi wangu hawa? hahaha” Unamacho mazuri sana alafu nayapenda.
  2. Hivi hilo kovu ulifanya nini?, au ulikua cha utundu utotoni?
  3. Kama kuna zawadi ambayo ulipanga kumpa mtu atakae kupenda kwa dhati maishani mwako nipe tu maana nakupenda sana mpenzi, sitamani utoke maishani mwangu unanipa furaha mwenzio. Stamani niamke kwenye hii ndoto.
  4. Kwa mfano umeshida Milioni 80 sasa hivi, utanipa shingapi au utafanyia nini?
  5. Kukupenda ndio kitu ninachoweza kukifanya bila kuchoka duniani mpenzi wangu. Sijui niwe nakuita jina gani ili usije sahau kuwa nakupenda na usinitende…
  6. Ulivyo kuwa mdogo ulitaka ukiwa mkubwa uwe nani?
  7. Hebu fumba macho tuone… Hahaha Unamacho mazuri… ivi unajua kwamba una macho mazuri hivyo?
  8. Kwaiyo umelala peke yako? huogopi?
  9. Wiki ijayo nikumbushe nikwambie kitu… Ntakwambia kitu kizuri
  10. Kitu gani unapenda utimize kabla siku zako za kuishi duniani hazijaisha?
  11. Bebi, ivi nikikwambia utaje vitu vitano tu unavyo penda duniani utataja vitu gani?
  12. Unapenda mbwa au paka?
  13. Ivi katika maisha yako unaogopa nini?
  14. Ulifikiria nini mara ya kwanza nulipokwambia nakupenda?
  15. Niambie vitu vitatu tu ambavyo hauvipendi?
  16. Ivi umenipendea nini? au unapenda nini toka kwangu mpenzi?
  17. Ninavyokugusa huwa najiskia vizuri sana ivi wewe unahisi vipi?
  18. Unafanya nini sasa hivi?
  19. Upo na nani hapo kipenzi?
  20. Natamani nije hapo japo kukubusu tu lips zako nzuri hizo
  21. Ukichukia unapenda kufanya nini ili kutuliza hasira zako?
  22. Alafu usiku nilikuota
  23. Ivi umeishawahi poteza hela? ilikua kiasi gani?
  24. Niambie maneno matatu mazuri toka moyoni mwako
  25. Unapenda kuangalia filamu? unapenda filamu gani?
  26. Hahaha… nitakwambia kesho… au nipe zawadi nikwambie leo
  27. kwenye familia yenu wewe ni mtoto wa ngapi kuzaliwa?
  28. Ivi bebi Unapendelea zaidi kula chakula gani?
  29. Ugali kwa kiluga chenu munauitaje?
  30. Ukipewa nafasi ya kutembelea nchi tatu duniani ambazo hauja wahi tembelea, utachaguza zipi?

SMS nzuri za kumtumia mpenzi wako asubuhi

Asubuhi ni mwanzo wa siku na kuianza siku vizuri kunaweza kuwa ni pamoja na kupokea sms ya maneno ya upendo toka kwa watu tunaowapenda. Kumpa maneno mazuri ya upendo mpenzi wako wa moyoni anaekupenda kunaweza kufanya aifurahie siku nzima na pengine kufanya aendele kukuamini kwamba unamjali, upo yupo kichwani mwako na unamuwaza huko uliko. Hivyo kama unataka kufanya jambo hili, tambua kuwa hizo ni kati ya faida zake katika mahusiano. Na kama unahitaji sms za maneno mazuri za asubuhi zitakazo mgusa roho mpenzi wako, unaweza ukoa muda kwa kuangalia sms fupi ziliopo hapa chini zitakazo endana na hali ya penzi lenu.

Mambo ya kuepuka katika mahusiano BONYEZA HAPA>>>

SMS za asubuhi njema kwa umpendae

Asubuhi njema… Natamani siku ya leo tungeamka kitanda kimoja na wewe. Tena sikufichi, huku niliko nakosa vitu vingi sana kwasababu niko mbali na wewe mpenzi wangu… Ila nikikumbuka kuwa unanipenda na pia nakupenda, moyo wangu unatulia kidogo na kusubilia siku tutakayoonana ingawa naona kama nachelewa kukutana na wewe malaika wangu, nakupenda sana.

Upendo ni zawadi ya pekee sana mungu aliyoiweka ndani ya mioyo yetu bure na mimi nimeitumia vema sasa zawadi hii kwa kukupenda wewe. Nakupenda sana na sijawahi jutia kukupenda mpenzi wangu. Asubuhi njema wangu.

Sms za kumfanya mpenzi wako afurahi BONYEZA HAPA>>>

Kuna mtu mmoja mzuri, anaakili sana, mkarimu na nampenda saaaana, yupo anaisoma sms hii niliomtumia pekeyake asubuhi hii. Ameuteka moyo wangu na sihitaji kuunasua maana anaupa raha kwa penzi lake, Asubuhi njema kwake.

Natumai ulikuwa na usingizi mzuri sana. Tafadhali amka sasa kwa sababu asubuhi yangu haiwezikamilika kujua hali yako wewe. Habari ya asubuhi mpenzi!

kila siku huwa nawaza kukusu wewe na mapenzi yetu kiujumla… nimegungua najifunza vitu vingi sana toka kwako, pia upendo wako unaboresha maisha yangu na kunifanya niishi kwa furaha sana. Asante kwa kuwa mimi, nimekuweka moyoni, nakupenda na nazidi kukupenda kila siku mpenzi wangu, Asubui njema kwako.

Natumai umelala kama malkia. Sasa tafadhali amka kama nyota na utawale ulimwengu wangu kwa siku ya leo tena. Habari za asubuhi!

Katika penzi letu kunamuda tunagombana alafu tunapatana. Hii isije kukufanya uamini kuwa sikupendi. Kama jinsi jua linavyo chomoza asubuhi hii na kuleta mwanga palipo na giza ndivyo uwepowako unaleta furaha kwenye maisha yangu. Nakupenda sana na najivunia kuwa na wewe…. Nakutakia asubuhi njema wangu.

Tunapitia vitu vingi katika penzi letu lakini sijawahi jutia kukupenda wala kuwa na wewe kwenye penzi. Mimi huwa naamini mimi ni Mfalme na wewe ni Malkia katika safari ya maisha na penzi letu, naamini unanipenda na nakupenda sana. Nakutakia asubuhi njema na siku yenye furaha.

Jinsi ya kufanya mpenzi wako akuwaze kila mara BONYEZA HAPA>>>

Leo nimeamka nikiwa na mawazo yako tu akilini mwangu. Huwezi amini nilivyo kumiss hapa. Siezi kufurahia asubuhi hii nzuri bila wewe mpenzi wangu. Amka!

Najisikia kubarikiwa sana kila asubuhi ya maisha yangu ninapojua hali yako ni salama. Umeamka poa?