Tag Archives: kubet

Kubeti: Jinsi ya kupata mikeka ya uhakika kwa kutumia AI

AI(Artificial Intelligence) ni nini? Kwa Kiswahili huwa tunaita “Akili Bandia” na ni teknolojia inayoruhusu mashine au kompyuta kufanya maamuzi, kuchambua taarifa, na kutabiri matokeo kama vile binadamu. Hivi sasa Teknolojia ya Ai inawekwa katika sehemu mbalimbali ili kurahisisha mambo ambayo yalikua si rahisi kwa kila mtu kuyafanya. Imerahisisha mambo ya kuedit picha, kuunda video, kuandika na hata kwenye maswala ya kubeti pia.

AI hutumia data kubwa/taalifa nyingi, hesabu, na mifumo ya machine learning ili kutoa matokeo yenye usahihi wa kiwango cha juu.

Katika ulimwengu wa michezo na kubeti, AI hutumika kuchambua takwimu za mechi, historia ya timu, wachezaji, hali ya hewa, na hata mienendo ya dau (betting patterns) ili kutoa mapendekezo bora zaidi.

Orodha ya kampuni za kubeti ukiwa Tanzania BONYEZA HAPA>>>

Mikeka ya uhakika ni nini?

“Mikeka ya uhakika” ni neno linalotumika na wapenzi wa kubeti kumaanisha mikeka iliobashiri mechi zenye nafasi kubwa ya kushinda. Kwa kawaida, mikeka hii inatokana na uchambuzi wa kitaalamu wa michezo.

Hata hivyo, ni muhimu kuelewa kuwa hakuna dau lenye uhakika wa 100%, bali mikeka ya uhakika inamaanisha uwezekano mkubwa wa kushinda kulingana na uchambuzi ila lolote lisilotarajiwa linaweza kutokea.

Kupata mikeka ya uhakika kwa kutumia AI

Kama ilivyo katika sehemu nyingine, AI imeleta mapinduzi kwenye ulimwengu wa kubeti pia. Kwasasa kupitia platform za Ai za ubashiri, unaweza tumia kupata mkeka wa uwakika uliochambuliwa kitaalamu bila kupoteza muda sana. Huduma au platform hizi maalum hutoa uchambuzi wa haraka na sahihi uliofanywa na AI.

Kuna watu hivi sasa huwa wanatumia Ai katika kupata mikeka ya kubeti na hushinda baadhi ya mikeka yao. Hii imetusukuma sisi kukupa mwanga juu ya hili na pia tumekuandalia video inayofudisha jinsi ya kutumia AI kupata mikeka ya uhakika.

Haya ni Matokeo yaliobashiriwa na Ai kisha yakawa kweli kwa 100% baada ya mechi kuchezwa.

Ukihitaji video inayofundisha hayo kwa kina, unaweza kuipata kupitia WhatsApp. Utalipia Tsh 9000 TU kupata masomo haya lakini baada ya kujifunza utakua na uwezo wa kutengeneza mikeka yako kwa Ai na kushinda kirahisi.

Kiufupi Ai imekua msaada katika kupata mikeka uwakika kwa haraka ingawa haiwezi kukupa ushindi kwenye kila mkeka.


Yani inaweza kuongeza nafasi zako za kupata mikeka ya uhakika maana AI uondoa upendeleo na kutumia data kubwa au taalifa nyingi ambazo so rahisi kwa binadamu kuzifikilia kwa muda mfupi.

Onyo: Hauruhusiwi kubeti ukiwa chini ya Miaka 18

Orodha ya Kampuni 5 za kubeti  ukiwa Tanzania

Sekta ya kubeti nchini Tanzania imekua kwa kasi kubwa katika miaka ya karibuni. Kuanzia vijana wa mijini hadi mashabiki wa mpira/michezo vijijini hutumia simu zao kuweka dau kwenye makampuni ya kubeti ili kucheza. Na uzuri ni kwamba, kampuni zipo nyingi kiasi kwamba wachezaji huwa na uwanja mpana wa kuchagua.
Lakini swali kubwa hapa huwa ni moja; Kampuni ipi bora na salama kutumia kwenye kubet?

Kwa kuwa zipo kampuni nyingi zinazojitokeza kila siku, tumekuchambulia chache TU kwenye kampuni nyingi zenye leseni kutoka Gaming Board of Tanzania (GBT), na zimethibitishwa kuwa na huduma bora. Tumekuorodheshea kampuni hizi hapa ili kuokoa muda wako ikiwa unaanza kubeti au unatafuta kampuni nyingine salama.

Makampuni mazuri ya kubeti Tanzania



1. Betway Tanzania

Betway ni miongoni mwa makampuni makubwa duniani, na hapa Tanzania imejikita vizuri sana katika upande wa kutoa huduma za kubeti. Inajulikana kwa huduma bora, promosheni/zawadi za mara kwa mara na odds nzuri pia.


Nini cha kuvutia? Unapojiunga unapata zawadi za ukaribusho, Malipo ni kupitia mitandao ya simu, lugha ya Kiswahili, na huduma kwa wateja masaa 24. Ukiachana na hiyo, unaweza kubeti hata ukiwa na pesa ndogo ( Tsh 100).




2. SportyBet Tanzania



Ikiwa unapenda betting kwa upande wa simu zaidi, SportyBet inaweza kuwa ni chaguo sahihi. App yake ni nyepesi, haina ulaji mwingi wa data na inakuja na “dark mode” kwaajili ya kulinda afya ya macho. Uzuri wake mwingine ni odds nzuri, rahisi kutumia na mambo mengi mengi ambayo mchezaji unaweza kufurahia.


3. PremierBet Tanzania



Hii pia ni moja ya kampuni kongwe nchini. PremierBet haijaishia tu mtandaoni bali pia ina maduka ya betting katika miji mingi. Inakubali njia nyingi za malipo kama Selcom na mitandao ya simu.
Uzuri wa Premier bet ni kwamba wana  uzoefu mkubwa kwenye sekta hii na pia kuna uwepo wa maduka ya huduma zao hapa Tanzania.



4. LeonBet Tanzania



Ingawa bado ni jina jipya sokoni, LeonBet inaonyesha dalili za ukuaji mkubwa. Inajulikana kwa odds nzuri na ofa za mara kwa mara. Haijawa na jina kubwa sana Duniani kama Betway ,Premierbet lakini inafanya vizuri sana huduma zake huku ukiendelea kutumiwa na wengi katika kubashiri. Odds zao ni nzuri, kutoa promosheni au zawadi ni mara kwa mara.



5. BetPawa Tanzania


BetPawa imevutia wapenzi wengi wa kubeti kutokana na dau lake dogo kabisa. Unaweza kubeti kwa shilingi chache tu. Pia inalipa haraka na mara nyingi huendesha promosheni maarufu kama vile “Pawa6” ambayo ni kama zawadi kwa watumiaji wake. Kwenye Betpawa unabet kwa dau dogo, malipo ni ya haraka.

MWISHO; Kila kampuni kati ya hizi ina uzuri wake na mapungufu yake pia. Kujaribu kunaweza kuukupata ufahamu zaidi juu ya kampuni gani ya kubeti ni Bora kwako.


Pia kumbuka; Kubeti ni burudani, kwaiyo usiweke chanzo kama cha kipato cha kudumu. Tumia akili na weka dau unaloweza kupoteza bila kuathirika kivyovyote.

Jinsi ya kupata Code za mikeka ya leo (Prediction Today)

Mchakato wa kuchambua timu na kusuka mikeka ya kubeti huwa unachukua muda sana kwa baadhi ya watu. Kuna watu huumiza akili zaidi ya saa 1 kufikilia mkeka uwake uwe vipi kabla hajaweka dau.

Kama wewe ni mmoja kati ya wanaotumia muda mwingi katika kusuka mikeka ya kubeti, fahamu kuwa unaweza okoa muda wako wa kusuka mikeka kwa kuchukua mikeka iliosukwa na  watu wengine. Kuchukua mikeka iliosukwa na watu wengine na kuibetia, ni njia rahisi ya kubeti inayoweza kukufanya uwe unashinda baadhi ya mikeka bila kupoteza sana muda wako. Kitu kikubwa hapa ni kuhakikisha mkeka uliouchukua, Umetoka kwa mtu ambae anafikilia vizuri kabla ya kuutengeneza.

Kufanya hivi hakuna maana utakua ukishinda kila siku, lakini baadhi ya siku unaweza kushinda mpaka ukampongeza aliekupa mkeka.


Siku hizi katika makampuni ya kubeti, wamerahisisha maswala ya kuchukua mikeka iliosukwa na watu wengine. Kuna kipengele cha “Code za mikeka” ambacho kinakuwezesha kuchukua mikeka kwa wengine kwa kujaza code tu. Yani ukitaka mkeka wa mtu, unachukua Code ya mkeka huo na kuujaza katika akaunti yako kwaajili ya kubeti. Hizo code huitwa “Booking Code” pia. Na yote haya ni kuokoa muda wako tu.

Kuwa makini na utapeli huu katika kubeti BONYEZA HAPA>>>

Sehemu za kupata Code za mikeka bure (Booking Codes)

1. Katika tuvuti ya kampuni unalobetia




Baadhi ya makampuni makubwa ya kubeti huwa yanakipengele maalum kwa code za mikeka. Kwenye kipengele hicho unakutana na Codes za mikeka mbalimbali iliotengenezwa na watu wengine alafu unaweza kutumia kubeti mkeka kwa upande wako.

Mbali kuchukua Code, unaweza sambaza na code za mikeka yako ikiwa utahitaji. Betway ni kati ya makampuni ya kubeti yenye kipengele cha “Booking Code” kwenye tuvuti zao. Katika tuvuti ya Betway kipengele hiki kinajulikana kama “Booking Codes”.

2. Tuvuti maalum kwa code za mikeka



Kuna tuvuti maalum ambazo huwa zinajihusisha na code za mikeka. Katika tuvuti hizi unapata code za mikeka unayoweza kubeti katika makampuni mbalimbali. Humu unakutana na orodha kubwa sana ya code za mikeka na Odds zake pia. Naweza kusema katika tuvuti hizi unaweza kupata mkeka wa kila Odds unazohitaji.

Convertbetcodes ni moja ya tuvuti ambazo hujikita kwenye code za mikeka unayoweza kuitumia. Tuvuti hii inatumika ku-convert code za kampuni moja kwenda nyingine lakini pia ina orodha ya code nyingi sana za mikeka iliosukwa na watu wengine. Unaweza kupata hata code za mikeka ya Leo.

3. Katika mitandao ya kijamii


Unatumia mitandao ya kijamii kama Facebook, X na Instagram? Basi fahamu kuwa kuna namna unaweza kupata code za mikeka humohumo. Baadhi ya watu siku hizi hutumia muda wako kuunda mikeka na kutoa au kusambaza Code kwa wengine kupitia mitandao ya kijamii.

Kuchukua Code wanazosambaza na kuzitumia, kunaweza kuwa njia nzuri ya kukwepa kupoteza muda wa kuunda mikeka. Mfano wa watu wanaotoa code za mikeka yao mitandaoni ni Samkicheko.

Ni hayo tu katika Makala hii lakini nakukumbusha; Kabla haujafanya uamuzi wowote katika kubeti, fahamu kuwa kubeti kunahitaji ustaharabu pia. Zingatia hii kata kwenye kutafuta code za mikeka ya leo. Endelea kuwa karibu na The bestgalaxy!

Disclaimer: This article is for education only and is not financial advice. Always do your own research before making any decisions.

Jinsi ya kushinda Aviator (Zingatia mambo haya)

Katika michezo ya kubahatisha inayoweza chezwa mtandaoni, Aviator ni moja ya michezo maalufu sana. Mchezo huu wa kubahatisha unapatikana katika tuvuti nyingi zinazohusisha na kubeti hapa nchini. Mfano wa tuvuti unazoweza kutembea ili kucheza Aviator ni Parimatch, Wasafi bet na hata Sportybet.


Unaweza weka dau au pesa kwenye mchezo wa Aviator na ukashinda hata mara 4000 ya pesa yako. Mfano; unaweza Tsh 200 kwenye mchozo huu na ukabahatika kupata hasi Tsh 800,000. Lakini sio rahisi kufikilia ushindi wa kiasi hicho maana mchezo wa Aviator ni mchezo wa kubahatisha. Hivyo ushindi wa kiasi hicho unaweza kukudondokea ukiwa na bahati. Wengi hubahatika kupata mara mbili mpaka mara kumi ya pesa zao.

Hapa The bestgalaxy, leo tumekuja na Mambo kadhaa ambayo ukiyazingatia yanaweza kufanya uwemshindi mara kwa mara katika kucheza Aviator. Tumia muda wako kuyasoma ili kujiweka sawa katika mchezo huu kushinda Aviator.

Jinsi ya kubeti Bure BONYEZA HAPA>>>

Mambo ya kuzingatia ili kushinda Aviator

Usisahau kuwa Aviator ni mchezo wa kubahatisha

Pamoja na kwamba mchezo wa Aviator unaweza kuifanya pesa yako iwe mara mbili au zaidi lakini usisahau kuwa ni mchezo wa kubahatisha(Sio kazi au Ajira). Yani unaweza bahatika kupata faida ya pesa yako au ukapata hasara kabisa kwa kuipoteza hela yako. Hii isikutishe ila ikuweke vizuri kisakiolojia pale unapopata hasara.


Hakikisha pesa unayotumia kuchezea mchezo huu ni pesa ulioitenga kwaajili ya kuchezea mchezo wa kubahatisha ili usipate mawenge katika mchezo.

Usiweke pesa kwenye kila mzunguko

Kwenye Aviator, ndege huwa inazunguka mizunguko mingi sana ila ukitaka kushinda mara nyingi, unatakiwa kuwa muangalifu unapoweka pesa yako kwenye mzunguko. Usiweke pesa kwenye kila mzunguko. Baadhi ya mizunguko iache ipite bila kuweka pesa na usijilaumu pindi mzunguko uliouacha, ukifanya vizuri kuliko ulivyotarajia. Kuiacha baadhi ya mizunguko izunguke bila kuweka pesa, kunaweza kuokoa pesa zako kwenye mizunguo mibaya.

Usisubiri pesa ijizidishe mara nyingi

Ni kweli Aviator inaweza kuifanya pesa izidishwe hata mara 4000 lakini usisubiri pesa yako izidishwe kiasi hicho ndio Ucashout(utoe). Watu wengi wanaotaka kuzizidisha pesa zao mara nyingi huishia kuzipoteza kabisa. Usiwe mmoja wao, hakikisha unakua makini katika kucashout na utosheke mapema ili kuioka pesa yako. Akili yako ikiwa na matarajio madogo unaweza pata faida zaidi kuliko mwenye kuwinda pesa kubwa. Tosheka kabla ya moyo wako kutosheka. Sehemu salama zaidi kutoa pesa ni 1.50x mpaka 2.00x.

Cheza mchezo kwenye utulivu huku ukiisikiliza sauti

Unapocheza mchezo huu, huwa kuna sauti inatoka katika mchezo. Ile sauti inaweza kuwa kama kelele zisizo na maana lakini inamsaada mkubwa kwenye kutuliza akili. Kusikiliza sauti ile kwenye utulivu huku unacheza, kutakufanya uzingatie mchezo na kufanya maamuzi ya kuweka au kutoa pesa kwa uangalifu.
Kama umeingia kwenye tuvuti yoyote yenye Aviator lakini haupati sauti unapocheza, fanya kugusa sehemu inayoonesha kile kindege alafu utaanza kusikia sauti.

Mwisho, ningependa kuifunga makala hii kwa kukumbusha kucheza michezo ya kubahatisha kistaabu. Yani hakikisha unakua mchezaji wa kawaida tu na sio mrahibu.

Kuwa makini na utapeli huu katika kubet kwako

Kubeti ni kama mambo mengine yanayohusisha pesa, hivyo huitaji uangalifu. Hii ni kwasababu asilimia kubwa ya mambo yanayohusisha pesa yanaweza windwa na watu wasio waaminifu, hasa mtandaoni. Mbali na kubeti, hapa naweza zungumzia mambo mengine kama mikopo ya mtandaoni, benki za mtandaoni na hata uwekezaji. Hayo yote ni mambo yanayohitaji umakini mkubwa.

Hapa The bestgalaxy, kwenye ukurasa huu tunaenda kukufungua ubongo juu ya baadhi ya utapeli katika kubet ili uwe salama katika kubet kwako. Kama unabeti sana mtandaoni basi kuna asilimia kubwa ya kukutana na utapeli huu tutaozungumzia. Hovyo, itakua vizuri kama utatulia na kuelewa kwa makini ili usije anguka kwenye mitego ya utapeli.

Lakini kabla hatujaenda moja kwa moja katika lengo, fahamu kuwa hii makala haipo kwaajili ya kukuweka mbali na maswali yako ya kubeti huku ukiamini unacho amini, hii ni kwaajili ya kukufanya uwe makini tu.

Wapi unapata Odds za bure au Mikeka ya uhakika? BONYEZA HAPA>>>

Utapeli wa kuwa nao makini katika kubet mtandaoni

Utapeli wa Mikeka ya uhakika 100%

Yawezekana unasikia au kuona watu wanauza kikeka wakiongelea kuhusu Mikeka ya uhakika na wanasisitiza kuwa ni uhakika asilimia 100.

Ni kweli mkeka unaweza kuwa na asilimia nyingi za kushinda lakini tambua tu kunakua na asilimia za mkeka huo kuchanika pia. Yani kiufupi hata mkeka uuzwe milioni, Kuna namna pakua na uwezekano wa mkeka huo kuchanika na ndiomaana kubeti ni mchezo wa kubahatisha.

Sasa ukiacha na hayo yote, unaweza kutana na matapeli ambao huwa hata hawasemi kuwa kikeka yao inauwezo wa kuchanika pia. Wanaweza kuaminisha kuwa Mikeka yao ni uhakika asilimia 100 na kuipata lazima utoe pesa nyingi.

Kikubwa katika hili ni kuiweka akili yako sawa na kuwa makini unapoweka dau tu. Usiweke dau linalokuumiza kwa msukumo wa neno “Uhakika”.

App za Mikeka za utapeli


App za utabiri wa mechi mbalimbali zipo kukusaidia kuona uwezekano wa matokeo ya mechi mbalimbali katika kubet kwako. Lakini sio Kila kinachowekwa kwenye app hiyo kinaenda kutokea kwa asilimia 100.

Kuna app nyingine zipo vizuri katika kazi yake lakini pia kuna app za mtindo huo zipo kwaajili ya utapeli. Zinaweza kukushawishi utoe pesa nyingi kuona utabiri wao katika mechi lakini utabiri huo usiuone kabisa na hata ukiuona ni hauna maajabu yoyote walioyaongelea katika kukushawishi.
kuwa makini na app za mtindo huu ili kuokoa pesa yako.

Makampuni yasio rasmi

Kuna Makampuni mengi sana ya kubeti mtandaoni lakini unapaswa kuzingatia Makampuni yaliyo rasimi tu. Yani hakikisha kampuni unaloanza kutumia kubet ni kampuni rasimi linalotumika na watu wengine wengi pia. Sababu ya kufanya hivyo ni kujiepusha na Makampuni yasio rasmi yanayofanya utapeli.

Baadhi ya Makampuni yasio rasmi yanaweza kubaki na pesa zako unaposhinda pesa na ukawa hauna njia yoyote ya kutoa.

Yani unaweza kutumia kubeti kwa muda mrefu kidogo bila kushinda. Lakini siku utakayo shinda pesa ndio utagundua ulikua katika ulimwengu wa matapeli maana utakosa hata namna ya kuwasiliana nao wakati pesa zako zimeshikiliwa.

Hii ndio Sababu mara nyingi unashauliwa kujiunga na Makampuni ya uhakika kama vile Wasafi bet, Sportybet na hata Betway.

Ni hayo tu katika ukurasa huu, natumaini unaweza kuwa mmoja wa watu waliowahi shuhudia au kusikia mambo haya mtandaoni. Endelea kuwa makini nayo huku ukiendelea kufuatilia mambo mengine hapa The bestgalaxy.

Wapi unapata Odds za bure au Mikeka ya uhakika?

Katika ulimwengu wa kubashiri michezo (Sports Betting), wengi wanatafuta njia za kupata mikeka ya uhakika au odds za bure ili kuongeza nafasi zao za kushinda. Odds ni viwango vya uwezekano wa tukio fulani kutokea katika betting, kupata Odds nzuri ni muhimu sana. Lakini, si kila mtu anajua wapi au jinsi ya kupata Odds za bure na uhakika.

Kama ni mtu unaelewa sana michezo na kuchambua vizuri mambo ya michezo unaweza tuliza kichwa na kuunda mkeka wako na kubeti mwenyewe. Mkeka wa kuunda mwenyewe unaweza kuwa na Odds za uhakika na kukupa ushindi. Kikubwa ni kujiamini na kuna watu huwa wanajiamini katika kusuka Mikeka, wanafanya vizuri. Lakini kama ni mtu ambae hauwezi kutandika mkeka wako kwasababu mbalimbali, si jambo baya kuchukua au kuangalia mikeka iliotengenezwa na watu wengine yenye Odds nzuri.

Kwa bahati nzuri, kuna app na website ambazo ni vyanzo vinavyotoa odds za bure na mikeka ya uhakika kwa watu wanao hitaji kubeti. Watoa huduma hizi mara nyingi hutumia mbinu za kitaalamu kama vile uchambuzi rekodi za timu au wachezaji ili kupata mwanga wa yanayoweza kutokea. Tumefanya kuweka vyanzo hivi hapa chini kwaajili yako lakini kabla ya yote, fahamu kuwa Odds au Mikeka huitwa ya “UHAKIKA” lakini huwa si uhakika wa asilimia 100. Hii inamaana hata ukichukua mkeka ulioambiwa ni uhakika, Bado kunakua uwezekano wa mambo kuwa mabaya au tofauti.

Sehemu za kupata Odds za bure au Mikeka ya uhakika

BetMines

Hii ni tuvuti ambayo ina app pia unayoweza kuiweka kwenye simu ya mkononi ili kufurahia huduma zake. BetMines ni sehemu nzuri ya kuangalia dondoo kuhusu mechi mbalimbali zinazochezwa au zinazoelekea kucheza. Wanakupa uwezekano wa matokeo kutokana na uchambuzi, rekodi za timu au wachezaji. Unaweza itumia kuona Odds na kupata mkeka wako mzuri bila kuumiza akili nyingine. App yake ni moja ya app zinazotumiwa na watu wengi wanaojishughulisha na kubeti. Jambo lingine zuri kuhusu BetMines ni kwamba haiitaji malipo ya lazima unapoanza kuitumia.

Jinsi ya kubeti Bure bila kuweka pesa BONYEZA HAPA>>>

Football AI

Hii Football AI ni app inajihusha na dondoo za kubeti pia. Katika App hii unaweza itumia kupata mkeka wako wa kubeti ulio na uwezekano wa kushinda bila kupoteza muda. Unaweza itumia kuangalia uwezekano wa matokeo ya mechi ambao wanakuonesha kutokana na uchambuzi, hali ya timu na wachezaji. Ni moja ya app za mikeka zinazoweza kutumiwa na watu Bure (kuanza kuitumia sio lazima uwe VIP. Jambo zuri kuhusu Football AI ni jinsi ilivyo nyepesi sana kuitumia. Ni app nzuri kwa wasio na uelewa mkubwa wa app za mikeka maana Haina mambo mengi sana.

Total tips bet

Hii ni sehemu nyingine ambayo unaweza itumia kupata mkeka wako kubeti bila kupoteza muda sana. Total tips bet ni app ambayo ni kwaajili ya simu za Android na inawatumiaji wengi.

Katika Total tips bet mtumiaji anaweza pata utabiri wa mechi za mpira wa miguu kirahisi sana maana Haina mambo mengi pia. Kuna uwezo wa kuitumia Bure kabisa bila malipo yoyote lakini ukihitaji kuwa VIP kufurahia huduma zao nzuri zaidi, unaweza lipia kwa mwezi mmoja, miezi mitatu au 6.

Betclan

Betclan ni tuvunti yenye kujihusisha na mambo ya Betting. Tuvuti hii inavipengele vingi kwaajili ya kumrahidishia mtu mchakato wa kutengeneza mkeka wa uhakika kama app nyingine. Kipengele cha “Predictions” katika tuvuti hii ni kipengele kinachoweza kukupatia utabiri kukusaidia kuunda mkeka wenye nafasi kubwa ya kushinda bila kuumiza akili sana. Kuna app ya Betclan ambayo inakuwezesha kufurahia huduma za betclan kirahisi kwenye simu.

Orodha yetu imeishia hapa ila kuna app nyingine nyingi na maalufu za namna hii. Unaweza zitaja kwenye sehemu ya komenti kama utapenda kuongezea. Kuwafuata watu wanaotoa Mikeka mitandaoni inaweza kuwa ni njia nzuri ya kupata Mikeka ya uhakika lakini kunakua na hatari ya kutapeliwa.

Mwisho: Ningependa kukukumbusha kuwa kubeti ni mchezo wa kubahatisha, tafadhali cheza kistaarabu. Hairuhusiwi kucheza ukiwa chini ya miaka 18.

Jinsi ya kubet bure (bila kuweka pesa)

Kubet ni mchezo maharufu sana ulimwenguni wa kubahatisha. Kuna kama watu bilioni 1 au zaidi hujihusisha na maswala ya kubet. Yawezekana na wewe ni moja ya watu wanaojihusisha na kubet ndio maana upo hapa.

Ikiwa wewe ni mdau wa kubet au sio mdau was kubet basi ningepeda kukushukuru Kwa kusoma post za The Bestgalaxy na usiache kutembelea sehemu hii. Katika makala hii fupi nakujuza jinsi unavyoweza kubeti bure kabisa yaani bila kuiumiza pesa yako.

Wapi unapata Odds za bure au Mikeka ya uhakika? BONYEZA HAPA>>>

Njia 3 za kubet bure

Kutumia Ofa za kubeti Bure kwa Watumiaji

Kama unataka kubet bure kunanjia nyingi unaweza kufakisha hilo. Kuna makampuni mengi sana ya kubet kwa sasa huwa yana taratibu za kuwapa watu nafasi au ofa za kubet bure wakati wakiendelea kutumia huduma zao. Hizi ofa hutofautiana na kila kampuni hutoa kwa utaratibu wake ila kwakua ni bure inakua sio mbaya sana. Moja ya makampuni haya ni Gwalabet.

Hawa kwa taalifa tulizojichukua Tarehe 5 mwezi wa 10 mwaka 2024, wanasema kwamba “Kila akaunti ya mteja wa GwalaBet itapata bet ya bure ‘FREEBET’ ya Tsh 500 kila Ijumaa kama itakuwa imetumia kiasi cha kuanzia Tsh 2,000 ndani ya wiki husika.” Sijajua wewe unasoma makala hii kwa muda gani ila fahamu kuwa huwa wanatoa kweli japo utaratibu wa kupata, huwa unabadilishwa badilishwa baada ya muda. Pesa hii unaweza iona kwenye kipengele cha “FREE BET”. Kama utahitaji maelezo zaidi, unaweza kupata maelezo yote katika website yao.

Kupata zawadi ya kualika Marafiki

Njia nyingine ya kubeti bure ni kupata zawadi ya kualika Marafiki. Mitandao mingi ya kubeti huwa Ina kipengele ambacho kina kuruhusu kualika Marafiki na ukifanikiwa kualika, unapata pesa ya kubeti Bure. Katika kualika huwa wanaweka utaratibu ambao utaufuata kumualika rafiki au marafiki zako ili upate zawadi itayakuwezesha kubeti Bure.

Mfano mzuri ni kampuni ya Wasafi bet; inakupa nafasi ya kupata zaidi ya Tsh 2000 kwa kualika Marafiki. Unachotakiwa kufanya ni kwenda kwenye kipengele chao kiitwacho “Referral” au “Mchizi bonus” alafu tumia Link au Code utakazopewa kuwaalika marafiki katika Facebook, WhatsApp na sehemu nyingine. Katika kipengele hicho kuna maelezo mengine unayoweza kusoma ili kuelewa zaidi.

Kujiunga na Makampuni mapya

Makampuni mengi huwa yanahitaji watuaji wapya na hutoa bonus kwa Watumiaji huo wapya pindi wanapo deposit. Yani unapoingiza pesa kwa mara ya kwaza, unapata na pesa nyingine ya bure kwaajili ya kubetia. Pesa hii inafahamika kama “Welcome bonus”. Na kiasi cha pesa hutofautiana maana kila kampuni ina utaratibu wake.

Mfano, Kampuni ya Parimatch huwa inakupa hadi asilimia 100% ya pesa yako. Yani ukiingiza kiasi ya Tsh 2000 baada ya kujiunga, unapata Tsh 2000 nyingine kama zawadi. Mbali na kampuni hii, Kuna kampuni nyingine nyingi hutoa zaidi kwa mtindo huu japo hutofautiana kwenye kiasi.

Watu wengi hutumia njia hizi kupata nafasi za kubeti bila kumiza pesa zao moja kwa moja. Na njia rahisi hapa huwa ni ile ya kwanza na hii ya mwisho.

Katika matumizi yako ya simu usifanye vitu hivi (Unaweza juta!) GUSA HAPA>>>>