Category Archives: Uncategorized

Fanya haya ili kuchelewa kupiga bao

Kuwahi kumaliza katika tendo huweza kusababishwa au kuchochewa nqa vitu vingi sana. Wengi huusisha swala hili na magonjwa lakini kiukweli watu wengi huwa wanawahi kumaliza mchezo kutokana na mazingira au mawazo aliojiwekea mwenywe katika vichwa vyao. Kuna baadhi ya vitu ambavyo vinaweza kumsaidia mwanaume asiwahi kumaliza mchezo katika tendo.

Fanya mazoezi ya mwili

Kama tunavyo fahamu kuwa mwili wenye afya nzuri daima hufanya kazi vizuri, kwahiyo kitu rahisi cha kufanya ni kujenga tabia ya kufanya mazoezi ambayo husaidia kujenga afya njema na kukufanya uwe na mzunguko mzuri wa damu. Kama una mwili wenye afya basi inaweza kukusaidia kwa namna ya kifikra ambazo huchangia kuepukana na swala la kumaliza mchezo kwa haraka.

Pumua vizuri

Kiungo chochote cha mwili huhitaji nguvu kamili ili kufanya kazi vizuri. Unapo pumua vizuri na kwa ukamilifu, viungo hupata nguvu za ziada. Baada ya kuinza tu (wakati wa tendo), jaribu kupumua kwa ufasaha ili mwili uweze kupata hisia kabla ya kuanza kulisakata rumba.
Mshirikishe mwenzako

Kuridhika kimapenzi ni tukio ambalo wote wawili mnaridhika. Ili kujifunza kujizuia kumaliza mchezo kwa haraka, ni vizuri kuwasiliana na mwenzi wako wa kimapenzi. Anaweza akakusaidia kushinda tatizo hili, kila unapohisi unataka kumaliza mapema, sema ‘subiri’ na usitishe kwanza shughuli zote kwa muda kidogo ili kwenda sawa nae.

Usiliwaze sana tendo

Pia kabla ya kwenda kuanza tendo kwa mfano upo ofisini na unajua jioni unakwenda kucheza mchezo basi jitahidi usiwaze hayo mambo chukulia kama ni kitu cha kawaida. Hii ni kwasababu kuongeza concentration ya kuwaza inaongeza stimulation kiasi kwamba ukimgusa mpenzi wako tayari umekwishaachia hata kabla ya kuanza mchezo.

Chagua style

Pia angalia angalia style zenye kuchochea kumaliza kwa haraka kwa mfano mbuzi kagoma…. etc hii ni ngumu kujizuia kumaliza hasa kwa bao la kwanza maana panakuwepo na constriction ya hali ya juu very tighten kiasi kwamba ukigusa tu tayari ..so ni vizuri style kama hizi zikafuata baada ya bao la kwanza ili uweze ku-enjoy vizuri zaidi.

Jinsi ya kupata mkopo kwa njia ya simu tanzania (Watu Million 10+ wanaitumia njia hii halali ya kukopa)

Unaambiwa, zaidi ya watu milioni 100 duniani wanatumia simu zao kupata mkopo kwa haraka. Na Kwa hapa Tanzania kuna watu wengi sana ambao tayari wanatumia simu zao kupata mikopo inayowazaidia kuwasukuma katika mambo mbali mbali kimaisha.
Kutumia simu kupata mkopo ni moja ya matumizi chanya ya simu hizi za Smartphone. Ni matumizi chanya kwasababu mkopo ambao watu hupata kupita simu zao, unawasaidia katika maisha halisi. Maana wanaweza kupata mkopo ili kurekebisha mambo yanapoenda vibaya katika biashara and maisha Kwa ujumla.


Kwa mfano; Kuna dada flani mzuri sana sitomtaja jina. alikua anasafiri alipanda gari alafu alipokua ndani ya gari na wakati gari limeanza safari akagundua sehemu alioweka pesa zake ikiwemo nauli ipowazi na hakuna pesa… Basi moja Kwa moja akajua ameibiwa pesa na hana pesa yoyote. Dada yele alikua mpole kama amemwagiwa maji ya baridi kwenye gari hilo huku akiwaza ni jinsi gani konda atamuelewa, ukizingatia maneno ya makonda wengi huwa ni mabaya kwenye maswala ya hela.
Lakini Kwa bahati nzuri alikumbuka kuwa kwenye simu yake huwa anatumia huduma flani inayo mruhusu kukopa hadi 100,000 ndani ya dakika 5 tano tu. Alikua hadaiwi kwenye hiyo huduma na alikua ni Moja ya watu wanalipa mikopo Kwa wakati ndio maana alipewa uwezo wa kukopa kiasi kikubwa kidogo.


Basi bila kupoteza muda yule dada akatumia huduma hiyo kukopa kiasi cha pesa Cha kutosha nauli na mambo mengine. Pesa aliokopa ilitumwa kwenye laini yake ya simu (Tsh 70,000). Alipoingia tu kwenye simu akapatanguvu, akamuita konda na kumwambia “Samahani kaka, nimedondosha pesa ya nauli lakini ninapesa kwenye simu naomba uniruhusu nikutumie nauli kwenye simu yako au nikifika stendi tukatoe Kwa wakala…”. Konda akampa pole yele dada kisha akamwambia atume tu kwenye simu ila utume na yakutotea. Basi yele dada alipona kiivyo.

Sasa huo ni kama mfano mzuri unaoonesha umuhimu wa watu kujua na kua na huduma za kukopa kwenye simu. Ikiwa wewe ni moja wa watu wanaohitaji kuwa na huduma za kukopa kwenye simu basi hapa tunakujuza juu ya njia moja ya haraka na halali ya kupata mkopo kwenye simu Tanzania. Soma maelezo yafuatayo hadi mwisho ili kuelewa zaidi njia hii.

Jinsi ya kupata mkopo kwa njia ya simu tanzania.

Kama unahitaji kupata huduma ya mkopo kwa njia ya simu, basi tumia app iitwayo Branch. App ya branch ni moja ya app halali ambayo ukiwanayo kwenye simu yako inakupa uwezo wa kukopa Tsh 5,000 na kuandelea ndani ya dakika chache tu. Tena mkopo unatumwa kwenye laini yako hapo hapo na utakuja kulipa kwa gharama nafuu.
App ya Branch unaweza kuipata na kuiingiza kwenye simu yako kirahisi kwa kugusa HAPA. Lakini kabla haujaiingiza kwenye simu yako ningepeda ufahamu mambo ya fuatayo;

Ukishaiingiza app hii kwenye simu yako, jisajili na ujaze taalifa zako za ukweli kabisa alafu ndio uombe mkopo. Na kwa mara ya kwanza unavyokopa, kopa kiasi kidogo tu (Tsh 5000) na urudishe kwa wakati. Kurudisha kwa wakati kutafanya wakuamini na upadate uwezo wa kukopa kiasi kikubwa kirahisi mbeleni. Unapokopa Kwa mara ya kwanza wanaweza wakachelewa kidogo kukupa. Ila mkopo utakao omba baadaya kurudisha mkopo wa kwanza unaweza upata hata ndani ya dakika moja. Maana wanakua wanajua wewe ni mwaminifu.

Zawadi ya Tsh 5750 BURE Utayopewa na Branch (USISAHAU HII)

App ya Branch pia huwa wanatoa Zawadi ya Tsh ,5750 BURE unaporudisha mkopo wa kwanza. Lakini ni lazima uwe umeandika namba za mualiko. Hii ni kwaajili ya uaminifu wako maana wanaotangulia kukupa pesa ni mwenye.


Kama unahitaji kupata zawadi hiyo basi ingize app kwenye simu yako Kisha jisajili. Ukijisajili Gusa sehemu ilioandikwa “Alika” alafu chagua “Ingiza Nambari ya promosheni” kama unavyoona hapa chini.

Baada ya hapo, unaletewa kibox, jaza nano hili “””elia04c93“”” katika kibox kama inavyo onekana katika picha ya hapa chini. Usisahau kunandika namba hiyo ya mualiko ili upate zawadi.

Ukishajaza tu na kugusa kitufe cha blue, siku yoyoye utakayoomba mkopo alfu ukarejesha, utapata Tsh 5750 BURE.

Kama utakua na tatizo, njoo uulize maswali WhatsApp kwa kugusa HAPA>>>

App hii itakusaidia kuomba mkopo kwa Simu Tanzania. Na ukiwa mwaminifu basi unaweza kuitumia kupata mikopo ya haraka kupitia simu yako Kila unapohitaji. Utakuaunaomba mkopo online kirahisi sana.

Fanya haya kabla simu yako haijaibiwa ili kuipata ikiibiwa GUSA HAPA>>>

Jinsi ya kuingia katika Akili ya mwanamke umpendae

Je uko tayari kufahamu jinsi ya kuingia katika akili ya mwanamke na kufanya mapinduzi ya njia ya kawaida unayotumia kuapproach mwanamke? Kama jawabu lako ni ndio, basi zama nami kusoma hizi mbinu ambazo zimethibitishwa kufanya kazi.

1. Anza approach ya mbali

Kabla ya kumuapproach mwanamke, hakikisha ya kuwa unamsoma kwa umbali mambo anayofanya kwanza. Halafu ukiona kama umepata kile unachoweza kutumia kutoka kwake unaweza kumuaproach. Ukiwa unaongea nayeye mwambie kuwa una uwezo wa kusoma nyota yake. Wanawake wengi watakubaliana na hili ili kuona ucheshi wako. Halafu ukirudilia na vitu ambavyo ulimsoma awali, utakuwa umemfunga. Mwanzo kama umejaribu kumtabiria vitu ambavyo viko sawa kwake ama vinahusiana na yeye, una nafasi kuu ya kumfanya kukutaka kukufahamu zaidi. Pia ni vizuri kufahamu miondoko ya wanawake na mapema ili kuelewa kama anakubaliana na utabiri wako kwake. [soma; Jinsi ya kuapproach demu usiyemjua]

Gusa hapa>> USOME JAMBO ZURI ZAIDI KWAAJILI YAKO

Pia unaweza kuwambia unaweza kusoma nyota yake kupitia kwa maganja yake. Hii itakupa nafasi ya rahisi kuweza kupata kumgusa bila kukushuku ajenda yako nzima iliyo akilini mwako. Mbinu hii itamfanya yeye kuvutiwa na wewe kwa urahisi.

2. Leta shangwe

Wanawake wanapenda wanaume ambao hawayachukulii maisha serious vile, so hakikisha kuwa unajua jinsi ya kuchat na wanawake. Unaweza kutumia mbinu ya kutumia kuwa mcheshi na kutoa mizaha ukiwa kando yake. Kufanya hivi kutamfanya yeye kucheka na kutabasamu, jambo ambalo automatic litamfanya yeye kuvutiwa na wewe. Usitumie mbinu ya kumtesa sana na mizaha yako ama utaonekana kuwa na utoto mwingi ama anaweza kukasirishwa. Uzuri wa kutumia ucheshi ni kuwa kunamfanya mwanamke kujihisi bado ana ujana. [soma: Dalili za kuonyesha kama mwanamke anakutaka kimapenzi]

3. Ichokore akili yake

Hii ni mbinu ya sanaa ya kutongoza ambayo itamfanya mwanamke yeyote kuathirika kihisia na wewe. Itamfanya akutamani na kuifanya akili kukufikiria wewe tu.

Njia moja kama hii ni kumfanya mwanamke kuingiwa na furaha dakika moja na kukasirika dakika ya pili. Wanawake inaonekana mara nyingi hupenda vioja katika maisha yao, kama vile katika vipindi vya tamthilia ama soap opera. Hoja ya vioja ni nzuri pia kwa kuwa inatoa ile dhana ya kubandikwa jina kuwa unaboa.

Gusa hapa>> USOME JAMBO ZURI ZAIDI KWAAJILI YAKO

Kama unaweza kuyafanya maisha yako kuwa na vioja vya mara kwa mara wanawake watakupenda automatically bila wao kujifahamu. Ukishafanikiwa kuteka hisia zao, inakuwa rahisi kwako kuingia katika akili yao. Unafaa kuonywa ya kuwa kutumia mbinu hii sana inaweza kuwafanya baadhi ya wanawake kuchunguza maisha yako wakitaka kuwa karibu yako kila wakati.

Pia fahamu ya kuwa usimchangaye akili kihisia mwanamke yeyote kwa kutumia mbinu hii kwani mwishowe inaweza kukujeukia.

Jinsi ya kumsifia mwanamke mrembo unempenda kwa dhati

maana msingi ya neno ‘wewe ni mrembo’ imepotea. Hii ni kwa sababu baadhi ya wanaume wasiojua kutongoza wanaishia kulitumia neno hili vibaya kiasi cha kuwa neno hili limepoteza uhalisia.

Je ulikuwa wajua kuwa wanawake hupenda kusifiwa? Na ulikuwa ukijua kuwa kumsifia mwanamke mara kwa mara ni njia moja wapo ya kutongoza?  leo tumekuja na mambo tofauti ambayo unapaswa kutumia ili umshawishi mwanamke kuwa ni mrembo, na wala hataona kama ni maneno unalompakizia ama maneno ambayo ameyazoea kuyaskiliza awali.

Twende pamoja:
Jambo la kwanza 
Wakati unapotaka kumsifia mwanamke kuwa ni mrembo, usimwambia, “Wewe ni mrembo” mara kwa mara kwa sababu itafikia mahali flani neno hilo litaisha ladha. Badala yake tafuta sehemu muhimu kutoka kwa mwili wake ambayo utaitumia kama kigezo cha kumsifia. Kwa mfano kama umependezwa na pua yake mwambia, “Nimependezwa na pua yako, kila mara nikiiona najiskia na furaha.” Ama kama umependezwa na mashavu yake unaweza kumwambia, “Mashavu yako ndio nuru ya macho yangu, yanapendeza.” Kumwambia mwanamke maneno kama haya yatamfanya atamani kuwa kando yako. Pia ataona kuwa unamwona anapendeza, unamakinika kuuona urembo wake kupitia kwa viungo vyake vya mwili.

Jambo la pili 
Kumsifia mwanamke urembo wake hakuhusishi ngozi yake ya nje pekee, bali pia sehemu yake ya ndani, yaani nafsi yake. Wanaume wengi huwa wanamakinika kumsifia mwanamke umbo, sura na shepu yake huku wakisahau kuwa nafsi ya mwanamke ina umuhimu. Kumsifia mwanamke kwa ujasiri wake, ubunifu wake, hekma, na ujanja kutakupa mkono wa mbele zaidi wakati unapomtongoza ama unapomshawishi. Jambo hili tulishawahi kulizungumzia katika moja ya hatua ya kumtongoza mwanamke ambaye hayuko ligi sawa na wewe. Kumshawishi na kumsifia mwanamke nafsi yake kutamfanya ajiunganishe na wewe zaidi kuliko mwanamke yeyote yule, hivyo hatua iko kwako sasa.

Jambo la tatu
Wakati ambapo umeamua kumsifia mwanamke kama huyu, hakikisha kuwa unamwangalia machoni. Kama ni mwanamke ambaye ndio unaanza kumfukuzia basi jenga confidence ya kumwangalia machoni. Usimsifie huku ukiangalia pembeni ama kuangalia kando. Kumbuka wewe ni Mwanaume Alpha, na wanaume alpha huwa hawatatiziki kama wanatoa hisia zao kuhusu wanawake wanaowapenda.

Gusa hapa>> USOME JAMBO ZURI ZAIDI KWAAJILI YAKO

Jambo la nne
Unapomsifia mwanamke usitumie maneno hayo kwa hayo. Yaani wewe kila siku ukikutana na yeye unamwambia, “Nakupenda, leo umeangaza nafsi yangu.” Matumizi ya neno moja siku nenda siku rudi kutamfanya mwanamke atilie shaka iwapo unasema maneno hayo ndani ya moyo wako ama unasema kumridhisha tu. Well, mbona usije na misamiati mipya? Ama mbona usije na maneno ambayo angetamani kuyaskia? Ukitumia maneno kama ‘hurulaini’, ‘malkia, leo nimekuja kwa milki yako’, ‘ua langu la waridi’ nk kutamfanya mwanamke akupende zaidi na zaidi. So anza kutafuta maneno ambayo anayapenda. Usiingiwe na uvivu wa kutumia maneno hayo kwa hayo kila siku. Kumbuka hapa unataka kuwa bora zaidi kati ya wanaume wale wengine. Chukua hatua sasa.

SUKARI YA DADA 05 🔞



Dah wakati Suzy akiendelea kutukana mtu kwenye simu yake mimi nilikua nawaza kuwa “Suzy ni mwanamke mzuri sana ambae nampenda na kumtamani mno ingawa naficha lakini ipo siku nitashindwa kujizuia, sasa sijui itakuaje yakinitokea ya huyu jamaa dah” nilikua nikiwaza hivyo kwasababu nilikua mmoja wa watu wanaoogopa kukataliwa na wanaowapenda.
Baada ya suzi kumaliza kuongea na simu, alirudi kukaa na mimi kwaajili ya kumaliza chakula chake lakini wakati huo alikuja na simu yake kabisa na alianza kula huku akiwapigia watu mbalimbali nisio wajua na mazungumzo nilioyasikia yalikua yanahusu biashara tu maana niliskia akiongelea vitu kama kutumiwa mahesabu, kuagiza mizigo mipya ya nguo zakike na zakiume toka china na kutaja viasi vikubwa vya pesa ambavyo kila nilipokua nikimuangalia nilikua naona ni vikubwa kuliko hata yeye mwenyewe. Kuongea kwake na simu kulimfanya aweanakula taratibu mno yaani mimi nilimaliza chakula nikawa nimekaa tu namuangalia lakini yeye alikua bado kabisa kumaliza na ameiweka simu sikioni anaongena na mtu huku anachota vijiko vya chakula kwa vituo vituo ili apate nafasi ya kutoa maneno. Basi Mimi nilikua natumia wakati huo kumuangalia sura yake nzuri jinsi alivyo barikiwa lipsi na macho mazuri makubwa kiasi pia niliangaza nilikua nikitupa macho kifuani pake nilikua naviona vitunda kama msumari vimilivyojitokeza kwenye nguo lainii aliokuakaivaa.
Mwisho alimaliza kuongea na simu akaiweka mezani na aliona Mimi nipo tu mbele yake nimemaliza kula lakini soda ipo pembeni na sijaifungua mpaka muda huo. Aliniambia “Duh umemaliza kula chakula mimi bado tu”

“Hahaha lakini wewe si ulikua unaongea na simu”

“Haha,yaah biashara hizi zinasumbua kweli.. ila tekinolojia imenirahisishia kidogo mpaka naweza kuseti mambo nikiwa nyumbani tu ingawa siku mojamoja inabidi ukakague mambo yanaenda vipi”

“Mh alafu sijawahi kutana na mtu kama wewe tangu nizaliwe yani?”

“Kwanini?” Alijibu akiwa na wasiwasi kuwa nitazungumzia kuhusu kutojihusisha na wanaume

“Yaani sijawahi kutana na binti rika yako alafu anaongea vitu vikubwa kama unavyo ongea wewe”

“Hahahaha kawaida sana Bwana.. vipi mbona hunywi soda?”

“Mh sijisikii tu, hamu imekata ghafla eti”

“Duh au nikuletee juisi maana kuna juisi kwenye friji nilitengeneza leo asubuhi.. sjui utaipenda?”

“Hapana achananayo, nisikusumbue tu”

“Hunisumbi Bwana… Ngoja nikakuchukulie” Alinyanyuka na kuichukua soda yangu kisha akaelekea kwenye friji kuirudisha soda na kunichukua Juisi. Baada ya muda alirudi na Juisi ikiwa kwenye glasi kisha akanipa alafu akaendelea kula chakula chake..
Nilimwambia “Asante” akajibu “powa” kisha nikanyanyua glasi na kuinywa kidogo. Sijui upendo tu nilionao kwake, maana nilona Juisi ni Tamu sana mpaka nikijikuta namuuliza “Ivi hii Juisi ulisema umetengeneza wewe?”
“Ndio nimetengeneza mimi, kwani ni vipi?”
“Inaonekana unajua sana kutengeneza Juisi maana hii Juisi ni Tamu sana”
“Hahaha kawaida mbona” na kupitia uso wake niliona aibu zilimuingia kidogo kisha akatabasamu kutokana kumsifia kwangu yaani alikua kama ameanza kulainika kiasi tofauti kabisa na nilivyo tarajia. Niliongeza kwa kumwambia “Ukawaida unauona wewe… tena huwenda ni kwasababu umezoea kutengeneza vitu vizuri” alicheka “hahaha” lakini wakati alipokua akimaliza tu kucheka, ziliskika kelele za geti likijifungua na hii ilikua ni ishara kwamba kuna gari inaingia. Suzy alishtuka ghafla na kuropoka kwa kisauti cha chini cha hofu “Mama huyo amekuja!” alafu akabeba chakula chake,sahani yangu na soda yake haraka na kukipeleka jikoni kisha akatoka jikoni na kupitia simu yake iliokua mezani akielekea haraka haraka katika vyumba vya kulala kisha nikasikia akiubamiza mlango “Mbaah!!!”. Baada ya sekunde chache mama yake aliingia na kunikuta niko kwenye meza ya chakula nimekamata glasi ya Juisi akaniuliza “Vipi, dada yako amekupa chakula?
“Ndio amenipa.. Asante Sana”
“Anha usijali.. Kwaiyo yeye yuko wapi?”
“Yupo.. alielekea vyumbani huko”
“Mh litoto hili yaani limeona shida mpaka kukaa na kaka yake hapa.. mhm” alafu nae akaanza kuelekea huko huko vyumbani na kuniacha pale nikiwa nawaza “kwanini Suzy amejiondoa haraka karibu yangu aliposikia mama yake anakuja wakati mama yake anataka ajisogeze kwa wanaume?”…

INAENDELEA…

Unataka tukutumie simulizi nzima kwa njia ya WhatsApp? GUSA HAPA

SUKARI YA DADA 04 🔞

Nilijibu “Sawa” lakini kiukweli uongeaji wake ulikua ni wakujiamini kama mwanaume mpaka nikajiuliza kimoyo moyo “Mh Sawa amenichanganya lakini nitamuingiaje huyu?” lakini nilijipa moyo huwenda Penzi linaweza mbadilisha…
Kwa muda huo niliamua kumchukulia jinsi alivyo yaani ingawa alikua akiuvutia moyo wangu lakini nilikua naongeanae kama mwenzangu tu. Alinionesha sehemu nyingi za nyumba hiyo na alikua akinielekeza namna gani natakiwa kufanya ili kumfurahisha mama yake ambae ndio bosi wangu pia alinigusia kidogo kuhusu swala la ukali wa mama yake, alisema mama yake ni mkali mno na ukali wake huongezeka mara dufu pale mtu anapomjibu wakati amechukia hivyo niwe makini sana katika hilo. Katika maongezi nilijaribu kuanza kumchimba kuhusu ugomvi wao na mama yake kwa kumuuliza “Ivi kwanini mmekua kama hampatani na mama yako?”
Lakini cha ajabu aliyakatisha maongezi kwa kunijibu “Ndio hivyo bigi.. huwa hatupatani tu. Nafikili sehemu zote nimeisha kupitisha, twende ndani basi ukale chakula maana bi mkubwa ndio huyoo anaondoka na gari, na huwa hakawi kurudi tena akikukuta hujala ataongea sana”
Nilipoangaza nikaona gari getini ikisubiri geti la Automatic lijifungue ili liweze kutoka na ndani ya gari hilo alikuwemo mamaake Suzy ambae ndio mama mwenye nyumba mwenyewe lakini hiyo haikua sababu tosha ya kutonijibu kwa undani swali langu ila sababu ilikua ni kwamba hataki kabisa kuvizungumzia vitu vinavyo muhusu yeye.

Basii tuliingia ndani akaniacha kwenye sehemu ya kulia chakula kisha akaingia jikoni na kurudi na chakula sahani mbili, akanipatia moja kisha akavuta kiti na kukaa na mimi mezani ili na yeye ale chakula chake kilichokua kwenye sahani. Mimi na yeye tulianza kula tukiwa katika meza moja tena tumegeukiana huku macho yangu yakimtazama kila mara maana alikua ananivutia sana lakini yeye alikua hana hata dalili ya kuniwaza yaani alikua busy mno. Baada ya yeye kula vijiko kadhaa nilimuona akinyanyuka nakuelekea sehemu ambayo kulikua na friji, skujua alikua anaenda kufanya nini lakini nikakuta tu akirudi akiwa na soda mbili aina ya pepsi katika mikono yake huku ameining’iniza Opener katika kidole chake kwaajili ya kufungulia soda hizo… Alifika katika meza na kuniambia “Sorry hapa huwa tunatumia soda za pepsi tu hivyo kama utapenda unaweza ukawa unashushia hii” huku akiisogeza soda moja upande wangu pembeni kidogo na chakula nilichokua nakula kisha akatumia Opener kuifungua soda yake “Chisiii..!!!!!” Alafu akaiweka Opener hiyo kwenye uso wa meza na kuisukuma ili ije kwangu kwa kujibuluza kwenye meza lakini kwa bahati mbaya ilijibuluza kwa kasi mpaka mwisho wa meza wa upande wangu na nilishindwa kuizuia mpaka ikadondoka chini “Ndingiritiii..!!!!” Nikamsikia akisema “Ooh Sorry” nikamjibu “haha usiwaze Suzy” kisha nikainama chini ya meza ili kuiangalia na kuiokota. Niliona lakini wakati nikiwa nimeinama chini ya meza nikitaka kuichukua nilitupa macho kwabahati mbaya upande aliokaa Suzy, nilichokiona kiliniduwaza kidogo maana nilikua nikiona asilimia kubwa ya mwili wa Suzy ulivyo umbika. Niliona mguu pamoja na paja nene zilizokua ziking’ara kutokana na usafi wake yaani mazingira tu yalionesha kuwa yaliyomo yamo tena niliyatamani mno. Wakati nikiendelea kuyazubalia hayo ghafla niliskia ya Suzy sauti juu ya meza “Vipi hujaiona?” Mh nilishtuka nikanyanyua kichwa bila umakini nikajikuta nimejigonga chini ya meza “khuuuh!” nikasika sauti ya Suzy juu ya meza ikisema “Oh.. Oh.. pole” mungu akasaidia nijichomoa vizuri chini ya meza na kuja juu haraka kisha nikamjibu “Dah.. Asante” huku nikihema mno na kwa muda huo niliduwa pia Suzy alikua ananiangalia usoni lakini mimi nilikua nakwepesha macho kwa kuangalia pembeni, juu na chini kutokana na aibu za kujishtukia kitu nilichokua nikikifanya chini ya meza. “Fungua soda sasa.. mbona umeshikilia Opener alafu hufungui soda wala huendelei kula?.. umeumia au?” Nilimsikia Suzy akiniambia hivyo huku akiwa na sura ya wasiwasi kidogo baada yakuniona nimeganda tu mbele yake bila mimi mwenyewe kujitambua lakini niliposikia hivyo tu, akili ikarudi na nikamjibu kwa kumzuga “Nipo Sawa.. ila nilikua najiskia kizungu zungu kidogo” alitabasam kidogo kisha akasema “Anha sawa.. endelea kula basi”.


Basi nikaendelea kula na hamu yote ya soda ilikata pia yeye aliendelea kula lakini wakati tukiendelea kula iliskika simu ikiita kwenye meza ya TV. Basi nilimuona Suzy akinyanyuka kuifuata na Kama kawaida yangu, macho hayakuacha kulicheki zigo la Suzy lililokua likijitikisa vilivyo.

Niliendelea kushuhudia Suzy akiipokea simu aina ya iPhone ilikua ikiita kisha nikamsikia suzi akifoka “Sasa wewe mpumbavu baada ya kunitumia mimeseji yako ya Mapenzi usiku kucha umeamua munipigia mi mama ako?… Acha ujinga fuata yako mbwa wewe!!!”
Akuishia hapo, bado nilimsikia akiporomosha matusi makubwa makubwa ambayo yalikua yananitetemesha mpaka mimi maana pamoja na kwamba sikusikia na sauti ya aliekua akiongeanae lakini maneno ya Suzy yalionesha wazi kuwa anaongea na mwanaume mwenzangu aliekua akijaribu kutupa nanga kwa bibie Suzy.

Dah wakati Suzy akiendelea kutukana mtu kwenye simu yake mimi nilikua nawaza kuwa “Suzy ni mwanamke mzuri sana ambae nampenda na kumtamani mno ingawa naficha lakini ipo siku nitashindwa kujizuia, sasa sijui itakuaje yakinitokea ya huyu jamaa dah” nilikua nikiwaza hivyo kwasababu nilikua mmoja wa watu wanaoogopa kukataliwa na wanaowapenda…

INAENDELEA…

Unataka tukutumie simulizi nzima kwa njia ya WhatsApp? GUSA HAPA

NJIA ZA KUMBADILISHA RAFIKI WAKIKE KUA MPENZI

1. Kuwa mwanaume bora
Katika dunia tunayoiishi kila mwanaume anatamani kuwa na mwanamke bora zaidi, hivyo kutaka kuwa na mwanamke unayempenda lazima uwe bora kuliko wengine, hii ni kuanzia tabia zako, vile unavyohusiana
na wengine, miondoko yako, unadhifu wako kuwa mwanaume bora hakuna njia ya mkato, lazima ufuate mkondo ambao wengi hawaufahamu.

Gusa hapa>> USOME JAMBO ZURI ZAIDI KWAAJILI YAKO

2. Msifie
Leo amekuwa tofauti kimuonekano? ama leo amebadilisha hairstyle yake? kama umependezwa na mwanamke mara nyingi utakuwa unavutiwa na
mabadiliko yeyote ambayo ameyafanya hivyo chukua nafasi yako kumsifia vile inavyotakiwa.

Kutumia maneno kama “ngozi yako laini, hivi wakati wote unakuwa hivi?” au “nimependa shati lako na vile jinsi limekubana katika mwili wako” hakufai. Kusifu kwa aina hii usithubutu kutumia kwa sasa kwani
unaweza kuharibu mpango mzima.

Gusa hapa>> USOME JAMBO ZURI ZAIDI KWAAJILI YAKO

3. Tafuta muda wa Falagha
Kumsuka mwanamke huwa ni bora zaidi wakati ambapo mko nyinyi wawili peke yenu, kumsuka mwanamke mbele ya marafiki zako kutamfanya kukuona wewe hautilii mkazo na mambo unayotamka hivyo ni bora wakati ambapo unachukua muda na kuwa na yeye peke yenu mnaongea, unaweza kumsuka kwa kutumia mizaha wakati ambapo mko na marafiki zenu.
Lakini wakati ambapo mko nyinyi wawili, tumia maneno ambayo hatayasahau kiurahisi. Mfano unaweza kumwambia“umenifanya nifurahie siku yangu”, “kukaa na wewe hapa najiskia niko huru”.
Ujanja hapa ni kutumia maneno ambayo yatamfanya yeye kujiona spesho kuliko yeyote na amini usiamini mwanamke kama huyu atakuwa akifikiria mazungumzo yenu kwa muda mrefu.

4. Wanawake wanapenda ucheshi
Hivi wewe ni mcheshi? kama jibu lako hapana basi usiendelee kusoma zaidi ya hapa mpaka uifahamu sanaa ya ucheshi, nadhani unafahamu ya kuwa njia ya kumvutia mwanamke lazima utumie lugha ya ucheshi mara kwa mara, uzuri ni kuwa si lazima uwe na ustadi
wa kuchekesha, unaweza kuelezea matukio yako ya awali ambayo uliona yalikuchekesha, kama mwanamke anaonyesha dalili za kukupenda, basi kila neno utakua unaongea litaku linamchekesha.

5. Msumbue mara kwa mara
Wakati mwingine kumsuka mwanamke kunaweza kuonekana kuwa ni kazi ngumu, lakini kitu muhimu ni yale mambo madogo madogo ambayo mnafanya.
Kumsuka mwanamke si kutumia maneno matamu ya kimapenzi pekee bali pia zile tabia ambazo mnafanya wakati mnapokuwa mnaongea. Hii ni kuanzia kucheka hadi migusano yenu ya mara kwa mara.
Kama wote wawili mnakuwa na furaha wakati mnapoongea, hiyo tayari ni njia moja rahisi ya kuashiria unamsuka. Kwa hiyo kuivuka mipaka ya urafiki, unafaa kuivuta miguu yake mara kwa mara upande wako wakati ambapo ameongea kitu cha kuchekesha ama mnapocheka

SMS ZA VICHEKESHO ZATAKAZOKUFANYA UCHEKE MPAKA UVUNJE MBAVU


🙊🙈✍️
JAMAA KATOKA CHURCH KAFIKA HOME KWAKE, AKAMKUMBATIA MKEWE NA KUMBEBA JUU JUU KWA HAMAKI… 😴😴

MKE; KWANI VP LEO MUMEWANGU MAPENZI YAMEONGEZEKA MPK UNAYAFANYA HAYA MPK NASHANGAA.. !!!!🙄🙄

MUME: AKAMJIBU MKEWE KUWA CHURCH WAMEAMBIWA WAYANYANYUE MATATIZO Yao JUU MUNGU AYAONE… 🙆🙆🙆🏃🏃🙆😭

Gusa hapa>> CHEKA NA UVUNJE MBAVU ZAKO KWA KUFUTA VICHEKESHO HAPA


SOMA UONGEZE SIKU ZA KUISHI..

Binti alipokea txt kwny cm yake “Hi,mremb una boyfriend?” BINTI:Ndio, ninae kwan we nan?? “Mimi ni baba yako naomb nkukute hapo nyumbn unielez vzuri” Baad ya mda kidog akapokea text nyingn “Hlw!,una boyfriend?” BINTI:Cna kabixaa! Bt u nan tena?? “Mi ni boyfriend wako nlitak kujua unavyojicfia kuw na mm, kwl nimegundua hunipend” BINTI:Oh,sorr bby nlijua baba ang mana ametok kuniulza swl iloilo! “Yes,ndio mm baba yako yan leo utantambua nkirud uko shenz ww

Mwelevu na Mjinga walienda ktk usaili, walipofika kabla hawajaingia wakakubaliana aanze Mwerevu kisha akitoka ampe majibu Mjinga ili wote wapate kazi.*
*Basi Mwerevu akaingia na maswali yakawa hivi:-*
*Msaili:- Tanzania ilipata Uhuru mwaka gani?*
*Mwerevu:- ilitakiwa iwe mwaka 1960 ila ikasogezwa mpaka 1961 kutokana na sababu mbalimbali..*
*Msaili:- Nani hasa alihusika na upatikanaji wa Uhuru huo?*
*Mwerevu:- Kuna watu wengi walihusika ila Mwl. J.K. Nyerere ndiye alikuja kumalizia.*
*Msaili:- Inasemekana katika sayari ya Mars kuna viumbe wanaishi, je ni Kweli?*
*Mwerevu:- Watu wengi wanasema hivyo lakini haijathibitishwa na wanasayansi.*
*Baada ya Mwerevu kutoka basi Mjinga akapewa majibu yote..*
*Kuingia ktk usaili maswali yakawa hivi:-*
*Msaili:- Tuambie ulizaliwa mwaka gani?*
*Mjinga:- Ilitakiwa iwe mwaka 1960 ila ikasogezwa mbele mpaka mwaka 1961 kutokana na sababu mbali mbali.*
*Msaili:- Mungu Wangu, BABA yako anaitwa nani?*
*Mjinga:- Kuna watu wengi walihusika ila Mwl. J. K. Nyerere ndiye alikuja kumalizia .*
*Msaili:- Hivi wewe ni chizi?*
*Mjinga:- watu wengi husema hivyo lakini haijathibitishwa na wanasayansi*😂😂😂😂😂😂

Gusa hapa>> USOME JAMBO ZURI ZAIDI KWAAJILI YAKO


majamaa watatu walikodi chumba katika hoteli moja hapa mjini, wakawa wamepata chumba cha mwisho kabixa ambacho kipo ghorofa ya hamsini (50), walipotoka walirudi wakakuta umeme umekatika, hvyo iliwabidi kupanda ngazi ili waeze kufika kwny chumba chao, hivyo walikubaliana wakwanza atapiga stori ya kuchekesha, wapili atapiga stori za kutisha na watatu atawapigia stori za kuhuzunisha, wa kwanza alpiga ctor za kuchekesa mpk walpo fika ghorofa ya 15, akafata yule wa pili akawapigia ctori za kutisha mpk walipofika ghorofa ya 30, akapokea yule watatu akawapigia story za kuhuzunisha. walipofika ghorofa ya 50 aliwageukia wenzake na kuwaambia na hii ndo yakuhuzunisha zaidi, TUMESAHAU KUCHUKUA UFUNGUO PALE MAPOKEZI…

Gusa hapa>> USOME JAMBO ZURI ZAIDI KWAAJILI YAKO

DALILI 11 ZA MWANAMKE ANAEKUPENDA ILA ANAOGOPA KUKUAMBIA UKWELI

Zifuatazo ni dalili 11 za mwanamke anaekupenda lakini anaogopa kukuambia.

1. KUKUTEGA ILIKUJUA THAMANI YAKE KWAKO
Hufanya mambo ambayo yatamfanya kuona kama unampenda na kumthamini au la mfano wa mambo hayo ni kama kujifanya anaumwa na kauangalia respond yako kwake ni kiasi gani unamjali na kiasi gani utahangaika kwa ajili yake.

2.HUWA ANAPENDA KUKUGUSA SEHEMU YAKO YA MWILI.
Haoni aibu kugusa sehemu ya mwili wako. Msichana anayependa haoni aibu kukushika mkono ama kukutomasa au hata kukumbatia.Kwa kufanya hivyo hujua kuwa kwa asilimia kubwa hisia za kushikana kwenu kutamrahishishia kazi ya kuwa na wewe.

3. KUCHEKA TENA MUDA MWINGINE KWA NGUVU
Kucheka kwa nguvu hata kwa kitu kisicho chekesha endapo wewe umezungumza. Mara nyingi ataonesha uso wa furaha hata kama si furaha ya kweli.

4. ANAKUA NA WIVU
Hujisikia wivu anapokuona na wasichana wengine. Ukiwa unachart nao na ukiwaita majina ya kimahaba. Hapendi na hupenda yale afanyiwe yeye tu hata kama sio mpenzi wako.

Gusa hapa>> USOME JAMBO ZURI ZAIDI KWAAJILI YAKO

5.HUKUMBUKA MATUKIO MUHIMU YOTE KUHUSU WEWE
Anakumbuka siku zako muhimu. Hukumbuka kama vile siku yako ya kuzaliwa hatoweza kuisahau kufanya ipite bila kukutakia heri ya siku ya kuzaliwa kama sivyo ukifauli mtihani au chochote katika maisha yako atakuwa mbele kukupongeza.

6. HUPENDA KUANGALIANANA WEWE MUDA MWINGI
Eye contact hupendelea sana kukuangalia machon muda wote ambao mtakuwa mkizungumza pamoja akidhani kuwa utamuelewa ni kiasi gani anakupenda kupitia vile anavyokuangalia. Ila wengine huona aibu kuwatazama wavulana wanaowapenda hivyo huweka jicho la wizi na kukuvizia.

Gusa hapa>> USOME JAMBO ZURI ZAIDI KWAAJILI YAKO

8. HUPENDA KUKAANA WEWE MUDA MWINGI NA KUKUJUAZAIDI
Hupenda kukaa muda mwingi na wewe. Hawezi kupoteza hata sekunde ukimuhitaji kwa mazungumzo. Anajisikia furaha kukaa na wewe muda mrefu bila kuchoka. Anaweza akaacha kila kitu anachokifanya ili ajumuike na wewe na akikaa na wewe hupendelea sana mwanzoni kukujua wewe zaidi na hukujengea mazingira ya wewe uwemuwazi ili umwambie mengi kuhusu wewe na pia akiwa na wewe atakuwa muwazi zaidi hadi mavazi aliyovaa hupenda sana kujua yako na kukuambia yake na hupenda kujua ni mavazi gani yeye akivaa anakuvutia zaidi na atajitahidi kuwa anavaa ya style hiyo kukufurahisha.

9.YUPO TAYARI KUSACRIFICE
Kama msichana anakupenda yupo tayari kusacrifice. Ni kitu ambacho hakuna mtu ambaye anaweza akafanya kwa mtu mwingine. Utamuona vipi huyo msichana alivyo kwako na kwa wengine. Yaani yupo tayari akose lakini wewe upate na kwa mwingine anaweza akamwambia hana alichoombwa lakini akakupa wewe kama pesa na vitu vingine.

10. HUPENDA KUTATUA MIKWARUZANO YENU KWA AMANI
Mikwaruzano ikitokea katika urafiki wenu hayupo tayari kukupoteza kabla hajakwambia nakupenda.Kwa kuwa anakupenda endapo ikitokea mikwaruzano basi atafanya juu chini kuyaweka mambo sawa ili asikukose.

Gusa hapa>> USOME JAMBO ZURI ZAIDI KWAAJILI YAKO

11. HUPENDA KUKUNUNULIAZAWADI ZA MITEGO
Mwanamke anaekupenda hupenda kujua mengi sana kuhusu wewe na hapo inamsaiia kukununulia zawadi za mitego kama boxer , na mara nyingi hupenda rangi nyeupe, au kukununulia perfume , sabuni ya kuoge ya manukato,soksi, vest, bukta, saa,raba, t-shirt. Na kama mkitoka wote mkaenda shopping ataakutega kwa kukuonyesha vitu na wewe ukionekana umependa kitu hatonunua siku hiyo ila atanunua siku inayofuata na kukuletea kama suprise.