Category Archives: Teknolojia

Jinsi ya kubet bure (bila kuweka pesa)

Kubet ni mchezo maharufu sana ulimwenguni wa kubahatisha. Kuna kama watu bilioni 1 au zaidi hujihusisha na maswala ya kubet. Yawezekana na wewe ni moja ya watu wanaojihusisha na kubet ndio maana upo hapa.

Ikiwa wewe ni mdau wa kubet au sio mdau was kubet basi ningepeda kukushukuru Kwa kusoma post za The Bestgalaxy na usiache kutembelea sehemu hii. Katika makala hii fupi nakujuza jinsi unavyoweza kubeti bure kabisa yaani bila kuiumiza pesa yako.

Wapi unapata Odds za bure au Mikeka ya uhakika? BONYEZA HAPA>>>

Njia 3 za kubet bure

Kutumia Ofa za kubeti Bure kwa Watumiaji

Kama unataka kubet bure kunanjia nyingi unaweza kufakisha hilo. Kuna makampuni mengi sana ya kubet kwa sasa huwa yana taratibu za kuwapa watu nafasi au ofa za kubet bure wakati wakiendelea kutumia huduma zao. Hizi ofa hutofautiana na kila kampuni hutoa kwa utaratibu wake ila kwakua ni bure inakua sio mbaya sana. Moja ya makampuni haya ni Gwalabet.

Hawa kwa taalifa tulizojichukua Tarehe 5 mwezi wa 10 mwaka 2024, wanasema kwamba “Kila akaunti ya mteja wa GwalaBet itapata bet ya bure ‘FREEBET’ ya Tsh 500 kila Ijumaa kama itakuwa imetumia kiasi cha kuanzia Tsh 2,000 ndani ya wiki husika.” Sijajua wewe unasoma makala hii kwa muda gani ila fahamu kuwa huwa wanatoa kweli japo utaratibu wa kupata, huwa unabadilishwa badilishwa baada ya muda. Pesa hii unaweza iona kwenye kipengele cha “FREE BET”. Kama utahitaji maelezo zaidi, unaweza kupata maelezo yote katika website yao.

Kupata zawadi ya kualika Marafiki

Njia nyingine ya kubeti bure ni kupata zawadi ya kualika Marafiki. Mitandao mingi ya kubeti huwa Ina kipengele ambacho kina kuruhusu kualika Marafiki na ukifanikiwa kualika, unapata pesa ya kubeti Bure. Katika kualika huwa wanaweka utaratibu ambao utaufuata kumualika rafiki au marafiki zako ili upate zawadi itayakuwezesha kubeti Bure.

Mfano mzuri ni kampuni ya Wasafi bet; inakupa nafasi ya kupata zaidi ya Tsh 2000 kwa kualika Marafiki. Unachotakiwa kufanya ni kwenda kwenye kipengele chao kiitwacho “Referral” au “Mchizi bonus” alafu tumia Link au Code utakazopewa kuwaalika marafiki katika Facebook, WhatsApp na sehemu nyingine. Katika kipengele hicho kuna maelezo mengine unayoweza kusoma ili kuelewa zaidi.

Kujiunga na Makampuni mapya

Makampuni mengi huwa yanahitaji watuaji wapya na hutoa bonus kwa Watumiaji huo wapya pindi wanapo deposit. Yani unapoingiza pesa kwa mara ya kwaza, unapata na pesa nyingine ya bure kwaajili ya kubetia. Pesa hii inafahamika kama “Welcome bonus”. Na kiasi cha pesa hutofautiana maana kila kampuni ina utaratibu wake.

Mfano, Kampuni ya Parimatch huwa inakupa hadi asilimia 100% ya pesa yako. Yani ukiingiza kiasi ya Tsh 2000 baada ya kujiunga, unapata Tsh 2000 nyingine kama zawadi. Mbali na kampuni hii, Kuna kampuni nyingine nyingi hutoa zaidi kwa mtindo huu japo hutofautiana kwenye kiasi.

Watu wengi hutumia njia hizi kupata nafasi za kubeti bila kumiza pesa zao moja kwa moja. Na njia rahisi hapa huwa ni ile ya kwanza na hii ya mwisho.

Katika matumizi yako ya simu usifanye vitu hivi (Unaweza juta!) GUSA HAPA>>>>

Kwanini bando lako la wiki la internet huisha ndani ya siku Moja/mbili?

Kwasasa katika dunia matumizi ya internet yameongezeka. Na inaonesha yatazidikuongezeka zaidi ya hapa maana baadhi ya huduma na vitu vilivyokua havihusiani na internet vimekua vinategema internet Kwa sasa. Mfano mzuri ni magari ya kisasa yanayotoka kipindi hiki. Mengine yanatumia internet kukupa huduma ya redio na vitu vingine. Yani huwezi sikiliza redio ya gari bila internet. Hebu tuachane na ulimwengu na tuingie Tanzania Sasa.

Ni wazi kuwa Kuna watu wanatumia sana internet na vifurushi vya internet Kwa hapa Tanzania vinaweza kukughalimu hata za zaidi ya 2000 Kwa GB 1(inategemea na kifurushi). Katika kununua vifurushi na kutumia internet, Kuna baadhi ya watu hununua vifurushi vya internet vya wiki lakini huvimaliza kabla ya wiki na hawajui ni Kwanini. Hiki sio kitu kukubwa kama hakikuumizi kwenye sawala la pesa lakini kama kinakuumiza basi hapa ntakujuza ni kwanini ipo hivyo na hatua gani unaweza kuchukua.

Jinsi ya kufanya simu isiishe chaji haraka GUSA HAPA>>>

Pata bando za internet Kwa Bei rahisi (Tigo & Halotel) GUSA HAPA>>>>

Kwanini bando la wiki la internet linawahi kuisha kabla ya wiki?

Kiufupi ni kwamba kitu kinacho maliza bando mara nyingi ni “matumizi”. Ukiwa na Mb 50 ikiingia kwenye internet na kutumia au zikatumika Mb 50, utabakiwa na Mb 0 hata kama ulipewa zikae mwezi. Ni mahesabu tu.

Ukiwa unamatuzi ya internet yanayotumia Mb nyingi basi utahitaji Mb nyingi ili uzitumie sio sinazokaa sana. Hata ununue bando la mwaka mzima, kama matumizi yako ni makubwa kuliko hilo bando au Mbs ulizonazo, utamaliza kabla ya huo mwaka kuisha.

Jinsi ya kufanya simu ijinunulie bando la internet (usichome pesa zako kununua bando) GUSA HAPA>>>

Kwani watu hutumia bando kiasi gani?

Kwa watumiaji wa Smartphone (Tz) wengine wanaweza kutumia Mb 200 kwa siku na kunawatu hufia hadi Gb 1, G 2 au zaidi. Hii hii pia hutegeana na “matumizi” ya mtu.
Kuna watu ambao hutumia internet kuangalia movies, kucheza magemu (cloud games) au wapo internet kikazi. Watu hawa hata GB 2 mbili zinaweza kuwa ndogo kwao Kwa siku.
Mbali na watu hao kunawatu wanamatumizi ya kawaida tu. Inawezakua wanatumia kupata nyimbo mpya, habari, matokeo ya michezo na vitu vingine kama hivyo. Watu wanye matumizi haya wanaweza kutumia chini ya Mb 500 japo wanaweza vuka hapo pia.

Nifanye nini ili kutomaliza bando la internet Kwa haraka?


Kama unataka usimalize bando lako la internet Kwa haraka basi inabidi uanze kujichunga kwenye matumizi maana maranyingi matumizi ndio hulimaliza bando.
Kama ni mtu wa movies basi punguza kuangalia movies au videos unazoangalia kwa siku.
Jizuie kutumia internet sana kama bando linaumiza pesa yako.
Ingiza vitu kama offline games au vichekesho na vitu vingine ambayo vitakua vinakufurahisha kwenye simu yako bila kuwasha data. Mfano wa vitu vingine ni Simulizi. Unaweza ukawa unanunua simulizi za kusoma kwenye simu yako alafu unakua unasoma kidogo kidogo ukiwa na muda.
Hayo ni machache niliokuandalia kwenye makala hii inayohusu internet. Tutakutana kwenye makala nyingine Lakini usiache kufuatilia The Bestgalaxy ili kujifunza mengi zaidi.

Jinsi ya kuangalia mechi za Tanzania kwenye simu

Kama ni shabiki mzuri wa soka la ndani basi bilashaka ninahakika unijiskia Vizuri sana pale unapotazama mechi zinazohusishia timu za bongo kama vile Azam fc, Simba, yanga na nyinginezo.


Tulishazungunzia katika makala iliopita jinsi unavyoweza cheki ama kuangalia mpira wa nje kwenye simu. Kama ni mfuatiliaji wetu mzuri utakua tayari umelijua hilo. Kwenye makala hii tunakujuza jinsi ya kuangalia mechi za Tanzania kwenye simu(online). Yaani namba unavyoweza kuangalia mechi zote zinazohusishia soka la bongo/Tanzania.

Magemu ya mpira ya kucheza kwenye simu GUSA HAPA>>>

jinsi ya kuangalia mechi za Tanzania kwenye simu

Njia rahisi ya kuangalia mechi za Tanzania kwenye simu yako ni kutumia app iitwayo AzamTv Max. Unaweza gusa HAPA>>> kuipakua.

App hii imejaa channel ambazo huusika na mechi saka za Tanzania. Lakini app hiii sio ya bure. Utahijika kulipia ili kufurahia unachokipenda kiganjani kwako.


Mbali na app Azam Max, Kuna baadhi ya app pia huwa zinakupa uwezo wa kuangalia mechi za soka la bongo Kwa Bei nafuu ila huwezi fananisha huduma zake na huduma za Azam Max. AzamTv Max ni Moja ya app bora.

Jinsi ya kupata mkopo kwenye simu GUSA HAPA>>>>

Magroup ya WhatsApp ya kujiunga bure GUSA HAPA>>>

Unapotaka kuangalia soka kwenye simu inatakiwa kuwa na internet yenye kasi na iliotulia ili kufurahia zaidi kuangalia soka kiganjani mwako. Kama unajua kabisa internet yako haipo sawa, ni vema ukaangalia tu kwenye TV maana utainjoi zaidi kuliko kwenye simu. Mara nyingi Sana unapokua unatuzama soka kwenye simu ilio na muunganiko wa internet unaosumbua kunakua na matatizo ya kuganda ganda kwa video.

Mtu akiku “Block” WhatsApp unaweza fanya hivi kuchati nae

Je, ungependa kujua mbinu za kuchati na mtu aliyekuzuia (Block) kwenye WhatsApp? Usijali, katika makala hii tutazungumzia kuhusu hilo.
Watu huzuiwa kwenye WhatsApp kwa sababu tofauti kama vile migogoro ya uhusiano na vitu vingine. Na hakuna njia ya kujitoa block mtu akiku block kwenye WhatsApp. Lakini hapo tutakupa njia za kuchati tu na mtu aliyekuzuia kwenye WhatsApp.
Kabla ya kwenda moja kwa moja kwa uhakika wa makala hii, hebu tuangalie vitu vinavyoashiria kwamba mtu amekublock kwenye WhatsApp.

Ni nini kinaonyesha kuwa mtu amekublock kwenye WhatsApp?

Huwezi kumuona yupo Online, muda wote unaoneshwa mara yake ya mwisho kuonekana Online/mtandaoni. Na pia huwezi ona profile picha.
Si hivyo tu, bali hata jumbe unazotuma kwake zinaonesha alama ya tiki moja tu wakati wote.
Ukiachana na hiyo, huwezi kufanikiwa kupiga simu ya sauti au ya video (voice call & video call) mtu aliekublock kwenye WhatsApp alafu akapokea.

Katika Matumizi yako ya simu usifanye vitu hivi (Unaweza juta!) GUSA HAPA>>>

Jinsi ya kuzungumza na mtu aliyekuzuia kwenye WhatsApp

1. Chati naye kupitia group la WhatsApp.

Kama alie kubook ni mpenzi wako au marafiki, basi mwambie rafiki yako mwingine atengeneze group la WhatsApp kisha akuweke wewe na mtu aliekublock kwenye hilo group. Baada ya rafiki yako kukuweka kwenye kikundi/group hilo, utaweza kuchati nea ndani ya hilo group.
Rafiki aliyeunda group anaweza kuondoka kwenye hilo group na kuwaacha nyie.
Baada ya hapo, utakua Ukituma meseji zako kwenye group kisha rafiki au mpenzi wako aliekublock atapokea ujumbe wako kupitia group hilo. Pia atakuwa na uwezo wa kujibu ujumbe wako.

Tumia hii kama nafasi ya kutatua migogoro kati yako na mpenzi wako au rafiki aliyekuzuia/kublock.

2. Tumia app nyingine anazotumia kuchati.

Ikiwa hutafaulu kuzungumza nae kupitia group la WhatsApp, jaribu kuzungumza na mtu huyo kupitia app nyingine za kuchati ambazo yeye hutumia. Unaweza kumpata kwenye Facebook messenger, Telegram, Signal na app nyingine zingine unazofikiri mtu huyo anatumia. Lakini unapaswa kukumbuka kuwa anaweza kublock pia kwenye app hizo, kwa hivyo ukipata nafasi ya kuchati na mtu huyo, itumie vizuri.

3. Tumia app za nambari ya pili (Vitural number apps)

Movies za kutafsiliwa GUSA HAPA>>>>

Hizi ni app zinazokupa nambari ya pili na unaweza kuitumia kutuma ujumbe mfupi au kumpigia mtu yeyote kama nambari yako ya kawaida ya simu. Mfano wa app hizi ni app iiitwayo “TextMe
Ikiwa haukufanikiwa kwa njia zilizo hapo juu, unaweza kupagua app moja ya nambari ya pili. Kisha chagua nambari na uitumie kutuma ujumbe au kumpigia simu aliyekuzuia. Tumia hii kama nafasi ya kutatua tatizo lililo kati ya wewe na aliyekuzuia.

Huu ndio mwisho wa makala hii Lakini ningepeda kukujuza kuwa hapa ndipo maunja yote ya teknolojia unaweza kuyapata. Kikubwa ni usisahau kutembelea mahali hapa Kila mara ili usikose vitu vipya.

Jinsi ya kuangalia movie katika kipengele cha Movies cha YouTube

YouTube ni Moja ya app maharufu sana Duniani. Inatumiwa na ma billion ya watu toka nchi mbalimbali hapa ulimwenguni.
Hapa Tanzania kunabaadhi ya watu huisi YouTube inajihusisha na videos lakini sio “Movies”. Ukweli ni kwamba YouTube ni moja ya app ambazo zinajihusisha na movies kama app nyingine maharufu katika upande wa Movies.


YouTube inakipendele cha movies kiitwacho “Movies & Shows” kinachokuruhusu wewe kama mtumiaji wake kuangalia movies zozote unazozitaji. Lakini unachotakiwa kujua kuhusu kipengele hiki cha movies ni kwamba, zipo movie za bure na pia movie ambazo lazima ulipie au ununue ndio uziangalie.

Magemu ya kucheza kwenye simu (Android) GUSA HAPA>>>


Kwa bahati mbaya, ukiwa Tanzania uweza kunagalia movies za kulipia tu katika kipengele hiki. YouTube bado haijaruhusu kipengele hiki kitoe movie za bure kwenye baadhi ya nchi, ikiwemo Tanzania. Kwaiyo ukiwa Tanzania huwezi kuangalia movies za bure kwenye kipengele Cha movie YouTube.

Lakini hii haiwezi kukuzuia kabisa kukiona kipengele hiki na movies zake za bure. Unaweza Tumia VPN kukiona na kuangalia movies zake za bure bila tatizo. Unachotakiwa kufanya ni kufuata hatua zifuatazo:

  • Download VPN kwenye simu yako.
  • Ifungue VPN, chagua Server yoyote ya “USA” kisha iconnnet
  • Ingia YouTube Kisha gusa “Library” alafu chagua “Your Movies and Shows
  • Baada ya hapo gusa “Free with Ads

Ukishafanya hivyo utakua tayari upo kwenye movies za bure za kipengele Cha movies Cha YouTube. Itakua ni juu yako kuchagua ipi uiangalie.

Movies za kutafsiliwa GUSA HAPA>>>>

Fanya mambo haya kuifanya simu ijae chaji haraka

Kama umekua ni mtu unaesumbuliwa na simu katika masuala ya chaji, hasa kwenye upande wa simu kuchelewa kujaa pale unapoichomeka chaji basi nakujuza ni vitu gani ambayo unaweza kufanya ili kuifanya simu yako ijae kwa muda mfupi sana.

Lakini kabla ya yote ningependa kukukumbusha kuwa endapo utakua na maswali kuhusu jambo lolote linalokutatiza kuhusu simu yako, hakikisha unawasiliana na sisi. Pia usiache kufuatilia Kila post mpya ili kujifunza maana vitu vingi zaidi vipo mbeleni.
Zifuatazo ni njia ambazo ukizifanya unaweza ifanya simu yako ijae chaji kwa haraka sana.

Movies za kutafsiliwa GUSA HAPA>>>>


1. Zima simu wakati unaichaji

Kuizima simu wakati wa kuichaji kunaweza ifanya simu ijae haraka sana kuliko ikiwa imewashwa. Ni vema sana kuitumia njia hii wakati ambao unahitaji simu ijae haraka na pia hufanya betri kujaa kwa utumivu na hii huimarisha hata betri lako. Lakini tatizo la njia hii ni kwamba husababisha mtu usiwe hewani hivyo basi ni vema kuitumia pale unapokua unajua kutokuwa hewani kwako hakutokupunguzia chochote.

Jinsi ya kupata mkopo kwenye simu GUSA HAPA>>>>

2. Washa Airplane mode unapo ichaji

Airplane mode hupatikana sehemu ile ya juu inayoshushwa pindi tunapowasha Data. Huwakilishwa na alama ya ndege za usafiri. Ili kuiwasha utatakiwa kuishusha sehemu ya juu ya simu yako kisha gusa alama yake kama unavyogusa pindi unapowasha Data. Njia hii hufanya simu ijae haraka mno lakini tatizo ni hautaweza kupokea wala kupiga simu maana Airplane mode ikiwashwa huvifunga vitu hivyo.

3. Washa power saving mode

Hii inaweza kuwa ni app ambayo huzizima baadhi ya app ili kupunguza matumizi ya chaji. Hupatikana kwenye arodha ya app ulizonazo au katika sehemu ya juu ya simu (Mara nyingi huwakilishwa na alama ya betri ilioambatana na alama ya jumlisha). Uzuri wa kutumia njia hii ni kwamba, utaweza kupiga au kupokea simu bila tatizo huku simu yako ikiendelea kujaa kwa kasi. Lakini simu nyingi za kisasa haziruhusu kuwasha power saving mode wakati simu ikiendelea kuchaji. Sio tatizo, unaweza pakua power saving mode app itakayofanya kazi hii kutoka Playstore. Natumani unaelewa jinsi ya kufanya simu ijae chaji haraka. Endelea kuwa nasi kujifunza vitu vingi zaidi.

Magemu mazuri ya kucheza kwenye simu GUSA HAPA>>>

Katika Matumizi yako ya simu usifanye vitu hivi (Unaweza juta!)

Kama ni mtumiaji wa simu za smartphone unatakiwa kuwa makini sana katika matumizi yako ya smartphone maana ukiitumia smartphone yako vibaya unaweza kujikuta jela au unaweza kuwa kwenye wakati mgumu kwa kupoteza vitu vyako vya msingi na heshima kwa jamii. Leo nimekuandalia baadhi ya vitu ambavyo unapaswa kuvizingalia katika kutumia smartphone yako. Tutazungumzia vitu vichacheche tu, vingine tutaangalia katika makala nyingine. Lakini Kabla ya yote ningependa kukushukuru Kwa kufuatilia “The Bestgalaxy” na nakusihi usiache kufuatilia ili kujifunza vitu vingi zaidi.

Jinsi ya kupata mkopo kwenye simu GUSA HAPA>>>>

Bila kupoteza muda hebu tuangalie ni vitu gani usifanye katika matumizi ya simu yako…

1. Usijichukue picha za utupu na kutunza kwenye simu yako.

Kama ni mtu unaependelea kujichukua picha za utupu kwa makusudi na kuzitunza basi hakikisha unajiweka tayari kiakili kuwa hata zikivuja hazita kushtua wala kukuumiza. Kumekua na uvujaji mkubwa wa picha/video za utupu na ukweli ni kwamba asilimia kubwa ya watu wenye picha au video hizo hawajui ni kwanini picha hizo zimetoka nje ya simu zao. Kitu muhimu kukijua ni kwamba si vizuri kuweka picha au video hizo kwenye simu maana kunavitu vingi sana ambavyo vinaweza pelekea kuvuja kwa vitu vyako.

2. Usiingize app nje playstore hovyo hovyo.

Wengi tumezoea kuingiza app tunazozipenda kupitia playstore lakini kuna baadhi huwa tunaingiza tu yaani mtu katuma kwenye group la WhatsApp, basi unajaribu kuiingiza au umesearch Google bila kuangalia ata site inaaminika vipi, unaiingiza kwenye simu yako.
Kitu muhimu cha kujua ni kwamba kuna app ambazo ukiingiza kwenye simu yako tu huwa zinabeba taarifa zako kwenye simu na kuzituma kwa huyo mtaka taharifa za watu tena kwa kutumia bando lako bila wewe kujua. App hizi hupatikana nje ya Playstore hivyo basi katika kuingiza app nje ya Playstore hakikisha sehemu unayotoa app unaiamini na inaaminika pia.

Jinsi ya kufanya simu ijinunulie bando la internet (usichome pesa zako kununua bando) GUSA HAPA>>>

3. Usisambaze taarifa au link usizozijua kiundani.

Kama ni mtumiaji mzuri wa simu na mitandao nadhani umewahi fanya kitendo cha kusambaza link au ujumbe flani ili upata kituflani lakini mwisho ukagundua ni uongo. Sasa unadhani uliowasambazia walikuchukuliaje? na ulichokisambaza kingekua kinahusisha utapeli, unadhani tapeli wa hao uliowasambazia angekua ni nani kama si wewe?
Usipendelee kusambaza ujumbe au tahalifa usizo na uhakikanazo na wala usiwe na tamaa na vitu vya bure mitandaoni, utaibiwa alafu unaonekana wewe ndio mwizi.

4. Usisahau taarifa za Email yako wala kuzigawa.


Wewe ni mmoja kati ya watu wasio jua Email zao au password zakuingilia katika email zao?
Naweza kusema, kwasasa Email ni kitu cha msingi kuliko simu unayotumia. Email yako ni utambulisho wako katika sehemu mbalimbali pia email husaidia kupata vitu vyako vya msingi vilivyopo kwenye simu endapo simu yako itaibiwa au kuhalibika ghafla. Kwakutumia email yako utaweza itafuta simu yako ikipotea na kutambua mahali ilipo.
Email hurahisisha sana mambo maana unaweza ukawa umeibiwa simu au imezimwa ghafla lakini ukawa unavitu vyote muhimu kama picha zako,video na majina ya simu kwa kushika Email yako na password yake kichwani mwako (Kama uliseti hivyo).

Tambua kuwa ni muhimu kujua Email yako na password yake na kamwe usimpatie mtu password maana utakua umempa tahalifa zako na akiwa mjanja atakupekua mpaka vitu unavyo search Google na kujua uwezo wako unaishia wapi.

Download na kuangalia movie zote bure kwenye simu GUSA HAPA>>>

Simu ikiingia maji unatakiwa kufanya nini?

Simu kuingia maji Ni moja ya mambo ambayo hutokea katika shughuli zetu za Kila siku. Jambo hili huogopesha sana maana husababisha mpaka baadhi ya simu kupata matazizo au kutowaka kabisa. Hatuwezi zuia simu zetu kuingia katika maji maana hutokea Kama ajali, lakini tunaweza zuia simu zibaki salama yaani zisiwe na matatizo yoyote baada ya kuingia kwenye maji.Kama simu yako imeingia maji na unahitaji iwesalama basi fanya mambo yafuatayo;

Jinsi ya kupata mkopo kwenye simu GUSA HAPA>>>>

1. Zima simu

Baada ya simu kuingia maji unatakiwa kuhakikisha aiendelei kuwaka. Izime bila kupoteza muda maana ikiendelea kuwaka maji yalioingia yatasababisha vitu vya ndani ya simu hiyo kuharibika.


2. Chomoa betri



Kama simu yako inachomoka betri hakikisha unachomoa betri na kuliweka pembeni ya simu ila kama simu yako si ya kuchomoka betri, Fanya kuichoma line au memory Kisha kimbia moja kwa moja kwa fundi ili aifungue na kutenganisha vitu ili ikauke Kwa uhakika.

Download na kuangalia movie zote bure kwenye simu GUSA HAPA>>>


3. Iachewazi katika sehemu kavu

Chomoa line ya simu,Memoy na ikiwezekana nenda kwa fundi aliopo karibu na wewe ili aifungue ibaki wazi na kukauka kirahisi. Baada ya kuiweka wazi unatakiwa kuiweka sehemu kavu kwa muda mrefu mpaka itakapokauka kabisa.

Zingatiausijaribu kuiwasha simu kwa kuijaribu kabla ya kufuata hatua hizi!

Ukweli kuhusu mcheleWatu wengi huweka simu zao katika mchele wakiamini simu zao zitapona lakini kitu cha muhimu kukijua ni kwamba, mchele ni unaweza kukausha maji lakini Kuna uwekano wa asilimia 4 hadi 1 ya maji yalioingia kubaki ndani ya simu na kuleta matatizo ambayo yatakuja kuonekana mbeleni. hivyo kabala ya kuweka huko unatakiwa kufuata hatua hizi pia.

Mtu akiku “Block” WhatsApp unaweza fanya hivi kuchati nae GUSA HAPA>>>

Kama itakua si maji ila vimiminika vinginekama simu itangia katika pombe,Maji ya chumvi na vimiminika vingine, utatakiwa kuzima na kutoa betri kisha Kifungua nakuisafisha au kuifuta na kitambaa maana usipofanya hivyo baadhi ya vimiminika vikikaukia ndani ya simu, huozesha baadhi ya vitu vilivyo ndani ya simu (ukishindwa ni bora upeleke kwa fundi).

Nyongeza: Kuna baadhi ya simu zimeundwa kutoathiliwa na maji kabisa(Water proof). Yani hata ikidumbukia kwenye maji huwa maji hayaingii ndani ya simu. Lakini pia kunasimu ambazo zimeundwa kuzuia maji Kwa muda flani au maji ya joto flani(water resistant) lakini hazuii Kwa asilimia 100%. Simu hizi unaweza zidumbukiza kwenye maji dakika Moja au mbili na kuzitoa bila tatizo. Mara nyingi masharti yake ni maji yasiwe joto na usizidishe muda.

Endelea kuwa nasi kujifunza vitu vingi zaidi.

Jinsi ya kutengeneza Avatar kwenye Facebook (Katuni)

Pengine tayari uweishaona baadhi ya watu wakiwa wanatumia Katuni zilizofanana na wao katika kukomenti na hata kwenye profile picha zao za Facebook. Hao Katuni wanaowatumia huitwa “Avatar”. Avatar wapo mpaka katika mitando kama Instagram na Snapchat pia.
Avatar katika Facebook in Katuni ambae hutumika kama muwakilishi wako. Yani kwamfano unataka kutuma picha kwenye komenti inayoonesha unacheka, unweza tu Kutuma picha au stika ya Avatar akiwa anacheka.

Download na kuangalia movie zote bure kwenye simu GUSA HAPA>>

Ili kuwa na avatar katika Facebook ni lazima umtengeneze. Tena Avatar utakemtengeza anatakwa afanane na wewe maana ni muwakilishi wako katika Facebook.

Jinsi ya kutengeneza Avatar kwenywe Facebook

Kutengeneza Avatar ni rahisi tu, hauitaji ujuzi sanaaa. Kwanza Facebook wenyewe wanataka Kila mtu awe na avatar wake kwaiyo wamekaka urahisi katika kutengeneza Avatar. Kama unahitaji kutengeneza Avatar basi unaeza fuata hatua zituatazo:

  • Fungua app yako ya Facebook
  • Gusa vimistari vitatu kisha gusa jina lako utakaloliona juu baada ya kugusa vimistari.
  • Abaada ya kufanya hivyo utatua katika Ukurasa wa profile yako. Achana na vitu vyote hapo, tafuta kisehemu kilichoandikwa “Avatars” na uguse.
  • Ukishagusa unapelekwa sehemu ya kumtengeneza Avatar wako sasa.
  • Kumtengeneza Avatar ni rahisi tu, utakua unachangua rangi rake,macho,nguo na muonekano Kwa ujumla.
  • Ukisha maliza kumtengeneza utagusa batani ya blue ilioandikwa “Done“.

Kwa kufanya hivyo utakua tayari una Avatar wako katika Facebook. Lakini unachotakiwa kujua ni kwamba Avatar ni kitu kidogo lakini kikubwa sana. watakua wanatumiaka sana na binadamu katika miaka ijayo kuliko sasa. Tutakuja kuzungunzia kuhusu hili siku za mbele.

Ukiona dalili hizi Jua Account yako ya Facebook  imedukuliwa na si salama GUSA HAPA>>>>

Jinsi ya kuanza kulipwa kwenye channel yako ya YouTube kirahisi (Okoa muda)

Kama una YouTube channel na unabambana jinsi ya kuikuza na kuanza kulipwa basi hii ni kwaajili yako.
Ili mtu aanze kulipwa YouTube inabidi awena vigezo vya kuanza kulipwa. Vigezo viwili muhimu na vigumu kwa baadhi ya watu ni:

  • Video zako ziwe zimeangaliwa kwa masaa 4000.
  • Uwe na Subscribers 1000 au zaidi.


Ukiachilia mbali vigezo hivyo unatakiwa pia kuwa na video ulisotengeneza mwenye. Ukiwa na vigezo hivyo unaweza kuomba YouTube na waanze kukulipa.

Sasa wewe kwenye YouTube channel yako unavigezo hivyo?

Kama vigezo vya Subscribers 1000 na Masaa vimekua ni vigumu kwako basi sisi tutakusaidia kupata vigezo hivyo kirahisi bila kupoteza muda.
Tunaweza kuoneza Subscribers 1000 na Masaa 4000 ndani ya siku tatu TU kwenye Channel yako ya YouTube. Na tukikuongezea utakua na uwezo wa kuomba YouTube wakulipe bila Tatizo.

Tumeleta njia hii kama bure tu Kwa watu wanao pambana kwenye YouTube. Ila itabidi ulipie ghalama ambazo tutatumia kukutimizia hivyo viwango.

Kama unataka subscribers 1000 ni Tsh 150,000 tu.
Masaa wanayotaka YouTube ni 4000. Sisi tunafanya kuongeza masaa 1000 Kwa Tsh 37,000 tu. Yani kutaka yote 4000 utagalamia Tsh 148,000 tu.

Unaweza kuwa unaineza masaa 1000 Kila mwezi,. Yani Kila mwezi Tsh 37,000…


Kwaiyo hapo ni wewe tu nakuanza kulipwa. Na ukumbuke kua baada ya kuanza kulipwa utakua unaendelea kuongeza Subscribers huku ukiwa unakua Hela ya kazi unayoifanya. Na YouTube channel yako inapanda thamani kwani hata ukitaka kuiuza utauza bei kubwa maana inalipwa na YouTube.


Kama unahitaji kufanyiwa wepesi huu basi tucheki WhatsApp Kwa kugusa kitufe hapa chini. Tutakushauri pia.