Category Archives: Mahusiano

Maswali ya kumuuliza mpenzi wako mpya

Kuanza uhusiano mpya ni jambo zuri ambalo huambatana na furaha, lakini pia mwanzo wa mahusiano ni wakati kufahamiana vizuri. Tunafahamu kuna watu ambao huanza mahusiano wakati wameisha fahamina vizuri, lakini pia kuna watu wengine huanza kufahamina vizuri baada ya kuingia kwenye mahusiano(katika hatua za awali).


Katika hatua hizo za awali za mahusiano, mazungumzo yanakua na nafasi kubwa ya kujenga msingi wa mawasiliano bora. Watu huulizana maswali ambayo yatasaidia kufahamiana zaidi na kuelewa malengo, matamanio, na mawazo ya kila mmoja. Maswali yanaweza kuwa njia bora ya kuanzisha mazungumzo na kuchunguza ikiwa mnalingana kihisia, kiakili na hata kimaisha.

Kila mtu huwa na mambo yake tofauti anayotaka kujua kwa mpenzi mpya, lakini kuna mambo ya msingi ambayo kila mtu anapaswa kujua kuhusu mwenzi wake mpya ili kujenga mahusiano imara na hata kuepeka baadhi ya mambo mabaya. Mwanaume au mwanamke kujua tabia, malengo, na mtazamo wa mpenzi wake kunaweza kusaidia kuunda uhusiano imara zaidi na kuepuka mambo mabaya yanayoweza jitokeza mbeleni.

Mara nyingi, watu huingia kwenye mahusiano bila kuzungumza masuala muhimu mwanzoni na baadae hupata changamoto nyingi kwenye mahusiano yao. Kuuliza maswali mwanzoni kunaweza kufungua mambo mbalimbali juu ya mahusiano ulioyaanzisha.


Kati ya maswali muhumu sana kumuuliza mpenzi mpya kwa kipindi hiki ni yafuatayo hapa chini:

Maswali ya kumuuliza Mpenzi wako Mpya (mwanamke au mwanaume)

Una Mpenzi?

Baadhi ya watu huona kumuuliza mpenzi mpya “Una Mpenzi?” ni jambo baya lakini si kweli. Mara nyingine kuuliza swali hili, kunaweza kukufanya utambue uko kwenye mahusiano nae kama mtu pekee au Kuna mtu unamuibia mpenzi wake. Ni Bora ukauliza tu na hatakama atakwambia hana mpenzi wakati anae, hofu na wasi wasi vitakua kwake na sio kwako.

Na akikwambia anae mpenzi, basi unaweza kuwa makini huku ukipambana kuonesha upendo wako ili kumfanya asigeuke nyuma.
Kama utashindwa, pia ni sawa kuheshimu maamuzi yake. Ila fahamu tu kuwa, kujua jambo hili litakufanya uepukane na migogoro ya mapenzi. Na pia hatakama ikitokea amekusaliti na kwenda kwa mpenzi wake, moyo wako utakua kuna jinsi upo vizuri kidogo maana ulikua unajua.

Ndoto yako kubwa katika maisha ni ipi?

Kuuliza kuhusu ndoto za mpenzi wako mpya, kutakufanya umfahamu kwenye upande wa maisha. Mara nyingi watu tunaishi tukikimbiza ndoto zetu na ni ngumu sana kumuelewa mtu anavyopambana kama haujui anakimbiza ndoto gani.


Swali hili linaweza kukufanya uelewe mpenzi anapambania nini maishani. Hii itafanya ukimuona anapambana, utakua unajua ni kitu gani anafanya na hata kumsaidia ikiwezekana.
Kama ataongelea ndoto za kuwa na familia, basi huo ndio wakati mzuri wa kupanga mipango yenu ya kuwa pamoja.

Umewahi kupima HIV?

Swala la HIV (Virusi vya Ukimwi) ni jambo muhimu kama unajali afya yako na ya mpenzi wako. Kama hauna HIV, ni vema ukamuuliza mpenzi wako mpya kuhusu kupima HIV ili ujue hata analichukuliaje ilo swala. Mara nyingi huwa watu hawasemi ukweli lakini kitendo cha kumuuliza kutafanya hata akiwa na HIV awe makini au afikilie mara mbili anaposhiriki tendo na wewe.
Kama wewe ndie una HIV, Bado kunaweza kuwa na umuhimu wa kuuliza maswala ya haya ili ikitokea bahati mbaya umempatia HIV, aelewe kuwa lengo lako ilikua ni kumuokoa asipate.

Umejifunza nini kutoka kwenye mahusiano yako ya zamani?

“Mahusiano ya zamani” yamefanya watu wawe na mitazamo mingi sana mibaya kuhusu Mapenzi. Yani, kuna watu mahusiano yao ya zamani yamewafunza kutopenda tena, kutomwamini mtu kwenye mapenzi, kuamini mapenzi ni pesa tu na hata kuamini kuwa wanatakiwa kuacha kabla hawajaachwa maana mapenzi ni maumivu tu.

Sasa swali hilo linaweza kukufanya uelewe mpenzi wako mpya anamtazamo gani kuhusu Mapenzi. Kama atakua na mtazamo mbaya, unaweza mfanya abadilishe mtazamo wake kwa kumuonesha upendo wako wa tofauti huku ukimwambia mapenzi hayapo jinsi anavyofikilia.

Wengi ukiwaonesha mapenzi ya kweli huwa sawa kabisa na hubadilisha mitazamo yako ikawa mizuri mpaka mwisho.


Lakini kuna mwingine baadae ataanza kuendeshwa na mitazamo yake mibaya juu ya mapenzi na mpaka ukashindwa kumweka sawa. Huyu utajua tu kuwa tatizo ni mahusiano yake ya zamani.

Vitu au mambo gani haupendi na nini unapenda?

Ni muhumu kumuuliza mpenzi wako mpya maswali ambayo yatakufanya ujue mambo au vitu gani anaependa. Ni vema kumuuliza vitu au mambo gani huwa hapendi. Katika upande wa “Kupenda”, Unaweza kumuuliza kuhusu chakula, sehemu anazopenda kutembelea, nyimbo anazopenda kusikiliza, filamu anazopenda kuangalia, mchezo anayopenda na mambo mengine. Katika upande wa “Kutopenda” unaweza muuliza mambo kama Tabia, vyakula na mambo mengine unayotamani kujua anayapenda au vipi.

Tukitimiza mwaka 1 wa kuwa pamoja tufanye nini kusheherekea penzi letu?

Swali hili limekaa kama ahadi ya utani hivi. Lakini mara nyingi huwa linafanya muwekeane ahadi ya kulituza penzi lenu jipya mpaka lifikie mwaka. Kama mnapendana kweli, basi mtasafiri kimawazo na kuyaona mahusiano yenu yakidumu zaidi ya mwaka pamoja hatakama sasaivi ni mapya.

Katika mwaka kunaweza kuwa na misukosuko mingi sana lakini wazo la kwamba umekubaliana kuafnya kitu flani baada ya mwaka, ilaweza wafanya mshikamane.

Hii ni njia nzuri sana ya kuweka matumiani ya kuwa pamoja. Watu wengi ambao hawajaoana huwekeana ahadi ya Ndoa, lakini ndoa inaweza chukua muda kutimia. Ila hii njia ya kufurahia kila mwaka inakua inawapa matumaini huku mukiendelea kusubiri siku ya ndoa.
Mnaweza kuwa mnafurahia kwa kupeana zawadi au kwenda matembezi ya pamoja kwenye sehemu tofauti. Sio lazima utumie gharama sana au kuwashirikisha watu siku hiyo.

Maswali hayo tulioyazungumza hapo juu, ni mzuri sana kwa mwanamke na Wanaume pia. Hivyo, usisite kumuuliza mwenza wako mpya kama utapata nafasi inayomuhusu kuyauliza. Mbali na maswali hayo ukuna maswali mengine hapa chini ambayo hatujayapa maelezo ila unaweza muuliza mpenzi wako mpya.

  • Unapenda kufanya nini ukipumzika?
  • Mahusiano mazuri kwako yana maanisha nini?
  • Ni kitu gani kinaweza kukufurahisha hata ukiwa hauna furaha?
  • Kuna kitu chochote unatamani nifahamu kuhusu wewe mpenzi?
  • Hivi mpenzi, nikifungua moyo wako ndani yake unahisi nitaona nini?

Ni hayo tu katika ukurasa huu ulioletwa kwako na The bestgalaxy. Usiache kutembelea The bestgalaxy kila mara unapo pata nafasi ili kujifunza mambo mengi kuhusu mahusiano na Mengineyo. Usisahau pia kuchukua simulizi ya Mapenzi ya SUKARI YA DADA ambapo utapewa na simulizi nyingine kama zawadi.

UNANIITA? (Simulizi Fupi ya Kusoma)

Nilikua kijana mdogo tu niliyepambana kujenga maisha yangu. Kazi yangu ilikuwa ni kuendesha pikipiki, yaani nilikuwa bodaboda hapa mjini. Siku moja, nikiwa kazini, alinisimamisha dada mmoja ili nimpeleke kwake. Nilisimamisha pikipiki yangu, nikambeba na safari ikaaanza kuelekea kwake. Huyu dada alikuwa mweupe, mzuri sana, na ilikuwa mara yangu ya kwanza kumuona.

Njiani, alianza kulalamika kuhusu bodaboda wake wa kila siku; alisema amemchoka kwa sababu huwa anachelewa na hapendi muonekano wake maana hajipendi kabisa alafu akanisifia mimi kuwa ni asafi. Aliponisifia kwa usafi na jinsi nilivyopendeza, nilijisikia vizuri. Alisema anatamani bodaboda wake awe msafi kama mimi. Nilikuwa na tabia ya kujipenda na kujiweka safi kila siku, nikiamini kwamba kuwa hivyo kunaweza kufungua milango mingi maishani.

Tulipofika kwenye nyumba yake, niliona ni nyumba kubwa yenye wigo mrefu. Sikuingia ndani ya wigo, nilimshusha nje ya nyumba na akanilipa pesa yangu. Aliomba na namba yangu ya simu, akisema atakuwa akinipigia kila anapohitaji bodaboda. Nilijisikia vizuri kupata mteja mpya.

Siku iliyofuata, mchana, nikiwa kwenye kijiwe cha bodaboda, simu yangu iliita. Ilikuwa ni Zena, yule dada mzuri niliyembeba jana. Aliniomba nimfuate nyumbani kwake, alikuwa anaenda sehemu. Nilifika kwake na kumpigia honi nikiwa nje. Wakati nasubiri, nilitupia macho ndani ya wigo kupitia nafasi ndogo ya geti. Niliona gari moja kali sana likiwa ndani na nikajiwazia, “Hivi kwa nini hawa matajiri wanapanda bodaboda wakati wana magari ya kifahari? Ningekua mimi, Hilo gari lisingetulia hapo”

Baada ya dakika chache, Zena alitoka nje akiwa amependeza sana. Nilijiweka vizuri na kumkaribisha kwenye pikipiki. Tukiwa njiani, aliongea na simu kwa sauti ya upole, lakini niliweza kusikia sauti kubwa ya mwanaume akimjibu kwa hasira: “SIMESEMA NITAKUPIGIA! KWA SASA NINA KAZI NYINGI WE MWANAMKE! SIKU NIKIRUDI, TUTAONGEA VIZURI MAANA NINA KAZI ZA WATU HUKU. YANI KICHWA KINA MAMBO MENGI SANA” Huyo mwanaume alionekana kumuumiza Zena, na baada ya kukata simu, Zena alionekana kuwa na huzuni.

Nakumbuka akaniuliza, “Hivi nyie wanaume mnataka nini? Mwanamke anapokupenda mnamuona kama hana thamani.”

Mh mimi nikasema “Mh kwanini unasema hivyo?” akasema “Wanaume mnatesa sana mwanamke anaewapenda… Yani mwanamke akiwapenda na kuwa muwazi, huwa mnamuona mjinga sana”. Mimi nikasema “Hahaha hiyo inategemeana na Tabia ya mtu. Mwanaume wengine huwa wanawapenda wanaowapenda”. Niliposema hivyo yule dada akasema “Dah huyu mwanaume wangu ananiumiza sana mpaka naanza kuchoka”. Mimi nikacheka tu “hahaha” maana hayo ni mambo yake binafsi na hata sikutaka kumuuliza sana kuhusu huyo mwanaume.

Lakini yeye akaendelea kuongea kwa kusema “Yani Tangu amenioa, Hana muda wa kunizingatia. Anakua anazingatia kazi zake alafu ananiona mimi kama msela wake tu. Hana maneno mazuri ya kuongea ili hata nijisikie tupo kwenye mahusiano. Akiwa mbali na nyumbani huwa hajibu sms wala haniruhusu kuongea nae vizuri kwenye simu. Sijui anataka nini? Yani naona kabisa hanipendi huyu mwanaume maana ananitesa.”

Mh mimi hapo nikacheka tena tu “hahaha” maana hayo ni mambo yake binafsi lakini hakuishia hapo, akiniuliza “Wanaume wote ndio muko hivyo kweli?”. Mimi nikasema “Hapana ila unaweza kuta yupo na kazi nyingi ndio maana yupo hivyo. Hata mimi nikiwa naendesha pikipiki huwa nashindwa kuwasiliana sana na watu kwenye simu zaidi ya abilia wangu”.
Nilipo sema hivyo, akaniambia “Lakini si ukitulia hata mida ya usiku unamtafuta mpenzi wako, unaongea nae vizuri?”. Nikamjibu “Ndio, na sio lazima usiku. Nikipata muda hata huo huo mchana huwa naongea nae vizuri tu” Yule dada akajibu “Mimi huyu mwanaume hayupo hivyo. Akirudi nyumbani huwa anasema anachoka sana, nisimsumbue hata kwa kumgusa. Alafu akiwa kazini hataki kuongea sana kwenye simu”.

Mh mimi sikutegemea kabisa huyo dada mzuri kukutana na changamoto kama hizo. Mimi kwa uzoefu wangu nikiwa kama mwanaume nikamwambia “Jaribu kuwa una mtumia Ujumbe wa kuamsha hisia au kama unaongea nae uwe unaongea vitu vya kuamsha hisia. Mimi hata nikiwa kwenye kazi nikiona mpenzi wangu kaniletea hivyo vitu huwa najikuta namzingatia kuliko kazi hahaha”.

Huyo dada akajibu “Vitu vya kuamsha hisia kama Vipi sasa?” Nikaona aidu kumuelekezea moja kwa moja, nika mwambia tu “Hahaha Yani sijui nikuelezee vipi… Ila nyie wanamke ndio mnavijua sana hivyo vitu” akatulia sekunde chache alafu akasema “Anha sawa, nimekuelewa…. Nimewahi mfanyia lakini kwakua umeniambia, nitajiribu nione kama itasaidia”

Baada ya kumpeleka saluni kama alivyotaka, nilimuaga alafu nikaja kumrudusha nyumbani tena kisha kuendelea na kazi zangu. Zena alinilipa vizuri na nilirudi kijiweni. Siku mbili baadaye, usiku wa saa nne, nilipokea ujumbe kutoka kwa Zena: “Umelala?” Nilimjibu kwa kumwambia kuwa “Sijalala, Bado niko kazini na baada ya dakika chache nitakua nikiwa kwenye safari ya kumpeleka mteja sehemu flani hivi. Nikitoka huko ndio natarudi nyumbani kulala maana najisikia vibaya sana, Leo nitawahi kulala.”

Akaandika tena, “Pole, unajisikia vibaya, unaumwa nini?” Nikamwambia “Uchovu wa kawaida wa kazi ya bodaboda, ila Leo umezidi. Viungo vya mwili vyote vinauma”. Aliniambia, “Pole sana, lakini si una mpenzi wako akukande mwili?”

Nilicheka kidogo mwenyewe, maana ukweli ni kwamba sikuwa na mpenzi. Mpenzi wangu aliniacha mwezi uliopita bila sababu yoyote, lakini sikuwa na nia ya kumwambia hilo Zena maana hayamuhusu. Niligeuza mazungumzo na kuuliza kama alihitaji nikambebe tena kwa pikipiki. Akaniambia, “Hapana, mda huu niko tu peke yangu nyumbani, najihisi upweke mpaka nimeona nikujulie hali.”.
Kwakua muda huo mimi nilikua naenda kupeleka mteja sehemu na pikipiki, nilimwambia Zena “Sawa, ila sasaivi ndio naenda kumpeleka mteje hivyo nitakutumia ujumbe baada ya dakika chache ili tuendelee kuwasiliana” akajibu “Sawa, hapa silali, nitakusubiri mpaka unitumie ujumbe”. Mimi nikajibu “Hahaha Sawa, usijali”.

Basi nikaacha maongezi nae hapo alafu nikaenda kwenye kazi. Nilivyorudi nikapitiliza kulala tu bila hata kumtafuta kwenye simu.

Asubuhi ilipofika, nilikuta Zena amenitumia ujumbe mara nyingi sana usiku na hiyo asubuhi alinitumia tena ujumbe wa salamu za asubuhi. Nilipomjibu, alinipigia simu hapo hapo. Aliniuliza kwa kama kautani hivi kuwa “Mbona jana hukunitafuta tena? Au ulikuwa na mpenzi wako?”
Nilicheka na kumjibu, “Hapana, Samahani sana. Nilipotoka kule Uchovu ilizidi zaidi nikajikuta nimepitiliza kulala. Yani Uchovu ni mwingi mpaka muda huu bado najisikia vibaya na sijui nafanyeje.”

Akasema, “Mh kama bado unajisikia vibaya, njoo jioni kwangu nikupatie dawa” Nikamuulaza “dawa gani hiyo?” Akasema “Ni mafuta flani hivi unayapaka kwenye viungo vinavyouma huku unakanda mwili na maji ya moto. Utamwambia mpenzi wako aitumie kuviweka sawa viongo vyako.” Mh mimi kusikia mambo ya hayo na Sina hata huyo mpenzi, nikamwambia tu “Sawa, nakuja kuchukua jioni”
Baada ya kuongea hayo tulikata simu nikaenda na kazi za Kila siku. Lakini hiyo siku nilikua napokea sms nyingi toka kwa Zena. Na nilikua na jibu maana niligundua ni mtu mpweke sana na ameanza kama kunipenda hivi. Mimi kumpenda nilikua nampenda ila namuheshimu kidogo kama dada alafu pia ni mke wa mtu.

Jioni ilifika nikaenda kwake mpaka ndani. Nilikuta anaangalia TV na nilivyofika akanipa chakula. Baada ya kunipa chakula, nikiwa nakula, nikamuona kama anajiandaa kwenda kuoga hivi maana aliingia chumbani na kutoka na kinguo chepesi alafu kifupi sana. Kwa juu kilikua ni kama vikamba vimepita mabegani.

Nilivyomuona anatoka chumbani hivyo nilimtolea macho ya kutamani maana alikua na mwili mzuri. Moyo wangu ulidunda sana sana baada ya kuona kama anakuja kwangu hivi.

Kumbe kweli, yule dada alifikia mpaka nilipokaa huku akiwa naniangalia machoni toka mbali. Nakumbuka alipokuja karibu yangu akaniambia “Umeniita?”. Nilishangaa sana kusikia hivyo maana Sikua nimemuita hapo. Na moyo wangu ulikua unadunda kwa kasi sana kutokana na matamanio yangu muda huo. Macho yake yalikua yamelegea sana alafu asilimia kubwa ya sehemu za juu ya magoti zilikua zinaonekana.

Mdomo ulikua mzito sana muda huo. Jambo aliloniuliza nililikataa kwa kwa gigugumizi sana “hapana… Sija… Sija… Sijakuita mbona” nilivyosema hivyo, akaacha kusogea nilipo, akasema tu “anha sawa, labla nimesikia vibaya” kisha akaanza kwenda chumbani kwake tena.

Aliniacha pale moyo unadunda sana alafu nilikua sielewi maana sahihi ya jambo alilolifanya. Macho yake hayakuacha kuuangalia mwendo wake wa kujitikisa alipokua akielekea chumbani.

Yani hata chakula nilichokua nakula muda huo nilikiacha kwa muda, nikawa nimeganda nawaza maana ya tukio lile.

Baada ya kama ya dakika 3 hivi, Nikakuta kuna ujumbe mpya umeingia kwenye simu na mtumaji alikua ni Zena. Nilifungua huo ujumbe nikakuta umeandikwa “Njoo huku chumbani unisaidie kitu flani”. Mh nilishtuka nikajua tu kinachoendelea hapo ni kutegana na sio kingine. Nilimjibu “Kitu gani hicho?” Akajibu “We njoo basi, Acha woga”.

Basi sikua na jinsi, niliamua kunyanyuka na kuanza kuelekea kwenye hicho chumba. Nilopofika Mlangoni, nikapiga hodi, akaniambia “Sukuma tu mlango, ingia”. Na Mimi kweli nikafanya hiyo ili kuingia ndani.

Sikutarajia kuwa nitaingia kwenye mitego yake kirahisi hivyo. Ila ndio hivyo, nilishaingia tayari kwenye mtego na nilikua nimeisha tekwa hisia.

Humo ndani hatukua hata na cha maana cha kuongea. Tulikaa kwenye kitanda na sikumbuki tuliongea nini ila nakumbuka tulianza kurukiana rukiana humo ndani na yule dada.

Tukitumia muda mrefu sana humo ndani maana huyo dada alikua ni hatari sana. Nilijikuta silazi Damu kabisa.

Mwisho tulimaliza alafu akanilaza na kuanza kunikanda na maji viungo vilivyokua vinaniuma kama alavyokua akiongelea. Hicho kitu nilikua sijawahi fanyiwa. Huyo dada alifanya viungo viwe vizuri mpaka nikatamani ningekua ndio mume wake.

Siku hiyo nilitoka humo ndani nikiwa tayari nimeingia kwenye penzi na uyo Dada. Huyo dada alikua anasema ananipenda kuliko mume wake. Kwanzia hapo, tuliendelea kuwasilina kupitia simu na kuna muda tulikua tunakutana na kufurahia mambo yetu.
Tuliendelea kuwa na mawasiliano, na mara kadhaa tulikutana tena. Lakini mambo yote yalibadilika nilipopokea simu ya vitisho kutoka kwa mtu aliyedai kuwa ni mume wa Zena. Aliniambia ameunganisha simu ya mke wake na anaona ujumbe wote tunaotumiana. Alinipa onyo kali kwamba kama sitamuacha mke wake, atanichukulia hatua mbaya.

Niligundua kuwa nilikuwa kwenye hatari kubwa. Niliamua kumkwepa Zena, nikabadilisha hata namba yangu ya simu ili kuepuka mawasiliano naye. Japokuwa nilikuwa tayari nimempenda, nilijua kwamba kuendelea naye kutaharibu maisha yangu na ya kwake pia maana mume wake anapesa.
Mpaka sasa moyo yangu unampenda yule dada na natamani ajue hilo. Natamani ajue kuwa napenda kumuona na furaha, hata kama siyo nami.
Namfikiria na namuombea awe na furaha kwenye ndoa yake. Nilitamani sana kuwa naye, lakini niliamua kuheshimu ndoa yake. Hata sasa, bado sijapata njia ya kumsahau kabisa, lakini najua kuwa penzi letu haliwezi kuendelea.

Mwisho

NI UTELEZI (Simulizi Fupi ya Kusoma)

Nilihamia kwenye nyumba moja nzuri nikiwa napambana na maisha. Nilipata chumba kizuri sana, cha kisasa, lakini bei ya kulipia ilikuwa ndogo mno. Jambo Hilo ndio lililonivutia na nilivutiwa zaidi na utulivu wa nyumba yenyewe na upatikanaji wa huduma pia. Wenye nyumba walikuwa ni mume na mke, wakikaa peke yao bila mtoto yeyote. Kwa miezi michache, niliishi pale kwa amani bila shida yoyote, tukiheshimiana na wenye nyumba.

Siku moja, mtoto wao wa kike, Doris, alirudi kutoka masomoni. Hakuwa akiishi nao hapo muda mrefu kwa sababu alikuwa akisoma chuo, lakini alikuwa kwenye likizo kipindi hicho. Kabla hajaja nilikuwa nimesikia wazazi wake wakimzungumzia mara kadhaa, lakini sikuzingatia sana.

Aliporudi, mara ya kwanza kumwona nilishtuka kidogo. Doris alikuwa anamwili mdogo kiasi alafu mzuri wa kuvutia. Nilijikuta nashindwa kutomwangalia kila tulipokua tukipishana hapo nyumbani. Siku za mwanzo tulikuwa tukisalimiana tu kwa kifupi sana alafu bila mazungumzo hasa pale wazazi wake walipokuwapo karibu. Kuna wakati tulikuwa tunapitana kama hatuonani kabisa, kila mmoja anakua na mambo yake.

Siku moja, nilikuwa sokoni nikinunua mahitaji yangu ya kila siku. Wakati narudi, mvua ndogo ilianza kunyesha taratibu, lakini haikuchukua muda mvua ikaanza kuongezeka. Niliona ni heri nikimbilie nyumbani kabla haijawa kubwa kabisa. Wakati nakimbia, nilimuona Doris mbele yangu akitembea taratibu, akiwa amejifunika na mwamvuli. Bila kufikiria sana, niliamua kumkimbilia ili nijiunge naye chini ya mwamvuli wake.

Aliniona nikimkaribia, akaniangalia kwa haraka kisha akaniwekea mwamvuli vizuri ili utukinge wote. Nikiwa hapo, niliamua kufungua mazungumzo nea kwa kusema “Bora ulikuja na mwamvuli! Ulijuaje kama mvua itanyesha?” huku tukitembea.

Alitabasamu kisha akasema, “Niliona mawingu yanakusanyika, nikaona ni bora nijipange mapema kwa kuja na mwamvuli.” Sauti yake ilikua ya kuvutia sana. Nilijikuta nikiendelea kuongea nae kwa kumwambia, “Dah asante kwa kuniokoa. Huenda hua unaongea na Mungu wewe.”
Tulicheka pamoja, na mazungumzo yaliendelea kuwa mazuri sana. Safari ya kurudi nyumbani, ilionekana kama hitaisha haraka hivi… Na hatukutaka ifike mwisho. Doris alikuwa na harufu nzuri, na jinsi alivyoongea, nilivutiwa naye sana siku hiyo. Baada ya maongezi mazuri, alinionyesha kuwa anaweza kuwa rafiki na akanipa mpaka namba yake ya simu ili tuendelee kuchati kuwasiliana nae.

Tulipofika nyumbani, tulitengana kama hatukua wote. Kila mtu aliendelea na shughuli zake, lakini ndani yangu, moyo uliacha kuzingatia kazi yake ya kusukuma Damu, ukaanza kumpenda sana Doris.

Kwanzia siku hiyo, urafiki wetu uliendelea kukua. Nilianza kuwa mjanja, kila niliposikia wazazi wake wamemtuma sehemu fulani, nilihakikisha na mimi natoka kwa wakati huo ili tutoke pamoja. Hali ilifika mahali nilishindwa kuvumilia, nilimwambia kuwa na mpenda na nahitaji awe wangu.

Hakunisita hata kidogo, alikubali maana na yeye alikua ananipenda, na hapo uhusiano wetu wa siri ukaanza rasmi. Tuliendelea kuonana kisirisiri kila tulipopata nafasi. Tulikua tukitumia muda mwingi nje ya nyumbani ili kuepuka macho ya wazazi wake. Lakini kama unavyojua, hakuna siri inayodumu ikionwa na majirani. Majirani walianza kutusema, kwa wazazi wake Doris alafu wazazi walianza kututazama kwa macho ya mashaka. Walijaribu kutuchunguza lakini hawakuwa na ushahidi wa moja kwa moja, hivyo wakawa wanafikiria tu.

Siku moja, Mchana, Doris aliniambia usiku niache mlango wangu wazi, kuna jambo la kuniambia. Sikutaka kumuuliza sana, lakini nilihisi alitaka kufanya ninachokitamani kufanya nae lakini nakosa mbinu. Usiku ulipofika na watu wakiwa wamelala, nilihisi mlango wangu ukisukumwa, kisha nikaona anaingia Doris.

Basi utulipiga stori humo ndani kwa visauti flani ya chini chini mwisho tukaanza kutamani kushikana. Ndani ya muda mchache tukawa tayari tunaucheza mziki humo ndani. Huo mziki Doris alikua anataka sana na Kila nikibandika alikua analalamika lakini hataki nibandue. Doris alionekana kuwa na kiu ya kucheza na nami mziki mpaka ananivuta kwake. Niliendelea kufurahia kuwa naye huku nikiwa na hofu ya wazazi wake kujua. Nilikua najitahidi sana mziki usisikike nje usiku mpaka tukamaliza kucheza, akarudi kwao.

Hiyo ilikua ni siku ya Doris kutoroka kwao na kuja kwangu lakini hakuishia hapo, alikua akipata nafasi usiku anakuja kila mara.

Baada ya kuja mara kadhaa, wazazi wake walijua wazi kuwa kuna kitu kinachoendelea kati yetu. Walichukia sana na wakanipandishia bei ya chumba ghafla ili nihame. Walifikiri ningeshindwa kumudu kodi mpya na kuondoka, lakini mimi niliendelea kuishi pale…

Doris, kwa upande wake penzi lilimchanganya mpaka alifikia hatua ya kukataa kurudi chuo. Alianza kuwajibu wazazi wake vibaya kila walipomwonya kuhusu mimi na nilikua nasikia kabisa. Kila mara walipojaribu kunizungumzia vibaya, Doris alikuwa anatetea sana. Aliwahi hata kuwatishia kujiua kama watajaribu kututenganisha. Kwa kweli, nilianza kuwa na hofu kwa jinsi uhusiano wetu ulivyokuwa unazidi matarajio yangu. Mimi nilijua yatakuwa mahusiano ya kawaida tu alafu tutakuja kuachana baadae kama mahusiano yangu mengine ya huko nyuma.

Wakati hayo yote yakiendelea, siku moja Doris aliniambia kwamba ana ujauzito. Hapo ndipo moyo wangu ulianza kudunda kwa kasi sasa. Sikutarajia habari kama hizo kwa wakati ule alafu yeye alikua anataka azae kabisa. Nilihisi kama maisha yangu yakuwa yenye majukumu makubwa. Niliona kabisa kwenye maisha nitateleza na kuanguka na huyu Doris ni utelezi utakaoniangusha.
Katika hayo Mawazo, wazo la kumkimbia lilinijia maana niliona ndio njia sahihi ya kujiokoa muda huo. Nilianza kupanga kimya kimya jinsi nitakavyohama na kuanza maisha mapya sehemu nyingine. Nikapata chumba mbali na hapo alafu nikaanza kuhamisha vitu kwa Siri Kila usiku unapoingia.

Baada ya kuhamisha baadhi ya vitu vyangu muhimu kwa siri, niliondoka ghafla bila kumwambia. Nilihamia mbali ila sio sana. Nilikua nikifikiria kwamba pengine nikiwa huko nitakua na nguvu ya kumkataa Doris na ujauzito wake alafu nitaanza upya maisha yangu. Lakini usiku huo huo wa kwanza baada ya kuhama, nilikosa usingizi. Nilijikuta nikiwaza sana kuhusu Doris na jinsi alivyokuwa tayari kufanya kila kitu kwa ajili ya upendo wetu. Moyoni mwangu nilihisi kama nilikuwa napanga kufanya kosa kubwa.

Nilikua nikikumbuka jinsi alivyokua anavimba kwa wazazi wake kwaajili yangu, jinsi alivyonipenda, alivyoacha upendo wake kwangu umuendeshe bila kujali chochote kiasi kwamba wazazi wake walifikiri nimemloga. Moyoni mwangu, nilihisi kumwacha Doris kwa sababu ya ujauzito ingekuwa dhambi kubwa sana. Maumivu ambayo niliona naenda kumpa nilihisi kabisa hata mungu awezi nisamehe. Hivyo niliamua kupuuza maamuzi yangu.

Usiku huo huo nilimwandikia ujumbe Doris atoroke kwao aje sehemu niliopo. Baada ya kuja nilimshawishi tuanzishe maisha yetu pamoja. Na kweli, Doris alikubali japo alikua anaogopa kidogo. Tulikio yafanya sio mzuri sana lakini ndio tulianzakuishi pamoja kama mke na mume, ingawa hatukuwa tumehalalisha uhusiano wetu.

Wakati tuliendelea na maisha yetu, wazazi wake walianza kuachana na chuki zao kwangu. Waliniona nikijitahidi na kumtunza binti yao mpaka wanakosa sababu ya kunichukia . Hatimaye walinipa baraka zao, na nikamfanya Doris kuwa mke wangu rasmi.

Sasa tunaishi kwa furaha kama familia. Maisha ya kuishi pamoja Kuna muda yakuwa ni magumu kama haujajipanga lakini namshukuru mke wangu Doris kwa kuwa na mimi mpaka sasa tunamaisha mazuri kidogo.

Mwisho

UTAMU WA JUMLA 01 (Simulizi ya maandishi)

Tulikua tunakaa na wazazi wangu Tabora na nilimaliza shule ya sekondari kule alafu nikaja kusoma mpaka chuo Dar es salama. Nilikua nasomea mambo ya biashara huko chuo na nilienda chuo baada tu ya kumaliza sekondari. Nilipokua chuo nilikua na rafiki yangu mmoja anaitwa Jimmy. Huyu jamaa tulikua marafiki sana kwasababu tulikua tumetokea sehemu moja. Na yeye alikua ametokea Tabora. Alikua ni muongo jamaa huyu ingawa mimi nilimzoea lakini alikua muongo sana. Pamoja na kwamba nilikua rafiki yake lakini alikua hawezi kuniambia vitu vya ukweli. Ilikua ni kawaida kwake kukwambia “Nisubiri nakuja” na hasije, “Niazime hela nitakurudishia” na asirudishe au “Nipo Sehemu flani” na asiwepo hiyo sehemu. Lakini alikua bado ni rafiki yangu na tulikua tunakaa chumba kimoja kilichokua pembezoni kidogo ya chuo. Uongo wa Jimmy ulikua kunamda unaniudhi mimi na hata watu wengine lakini kwake ulikua na faida. Alikua na anakamata sana madada wa pale chuoni. Alikua anapendeza kwa nguo za kuazima azima kwa watu na watu wengi hapo chuoni walikua wanahisi anatoka sehemu yenye hela sana lakini kiukweli alikua ananitegea sana kwenye swala la pesa maana kwao walikua hamampi hela sana kama ninavyopewa mimi. Kwakua alikua ni rafiki ilikua sio shida.

Wakati naanza chuo nilijikuta navutiwa kuwa na mahusiano ya kimapenzi na dada mmoja mzuri na alikua anafahamika sana kwa uzuri hapo chuo. Moyo wangu ulimpenda huyo dada na sikuwahi mwambia hata rafiki yangu Jimmy kuhusu huyo dada. Alikua anaitwa Zuwena na watu wanamuita “Zuu” badala ya kulitaja jina lake lote. Alikua ni dada flani hivi mweusi alafu anaumbo zuri sana. Alikua amebalikiwa sura nzuri na nyuma alikua amejaza sana kiasikwamba alikua akitembea unajikuta unavutiwa kumuangalia jinsi mizigo inavyojitikisa.

Nilitamani sana kumwambia hisia nilizo nazo juu yake lakini tulikua hatuna ukaribu nae kabisa na pia nilikua na uwoga. Zuu alikuana marafiki wengi warembo kama yeye wanaomzunguka mara kwa mara na mmoja ya marafiki zake alikua anaukaribu kidogo na mimi. Huyo rafiki yake alikua anaitwa Sara na alikua ni mpole kidogo kuliko marafiki wengine wa Zuu. Ukaribu wangu na Sara ulikua wakusalimiana na kuongea maneno mawili au matatu tu kutokana na kwamba tuliwahi kaa karibu kwenye mthihani wa kujipima akaniomba nimsaidie kidogo, nikamsaidia.

Basi mimi bila kuwaza mbali nikaona bora niongeze ukaribu na Sara ili nipate nafasi ya kuwa karibu na Zuu na kwakua zuu ni rafiki wa Sara basi nikaona huenda nitakua najua mambo mengi ya Zuu kupitia kwa Sara. Niliongeza ukaribu na Sara kasikwamba tulikua tunawasiliana kila siku na ananitafuta kila muda tukiwa chouni, kwenye simu au nje ya chuo. Ukaribu huo ulileta matokeo ambayo sikuyatarajia maana ilifikia kipindi nataka kumuuliza Sara mambo ya Zuu lakini kila nikijaribu kuingizia mada za Zuu au mwanamke mwengine, anazutupilia mbali alafu anakua kama anachukia hivi. Hali hiyo iliendelea mpaka kunasiku moja hivi nilikua nimekaa chuoni nimejitenga najisomea nikakuta Sara amekuja kukaa na mimi. Ni kawaida yake kufanya hivyo. Tulipiga stori hapo za uongo na ukweli ila katikati ya stori nikashangaa kumuona Sara kaganda tu ananiangalia usoni kwa macho ya kulegea bila kuongea kitu. Mimi kuona hivyo nikasema kwa kisauti cha chini “We Sara… Ndo nini hivyo?… wewe unaniangaliaje hivyo?… wewe” nikakuta bila kuyayumbisha macho yake anasema “Niangalie vizuri machoni’. Nilivyosikia hivyo nikaacha kumuangalia macho, nikaangalia kulia na kushoto kwanza kama kunamtu anatuangalia muda huo maana macho ya Sara yanaonesha ni mtu aliechoka kuzificha hisia zake juu yangu na yupo hapo kunionesha jinsi anavyo hisi. Niliona amna mtu anaetuangalia muda huo, nikayarudisha macho kwa Sara nikasema “Macho yako mbona kama… Mbona kama yako vizuri tu ila yanakua kama unausingizi hivi”. Akaniambia “Endelea kuniangalia tena alafu niambie umegudua nini”. Mimi nikimuuliza “Macho yanakuuma?” akakataa kwa kutikisa kichwa. Nikatulia kidogo nikamuuliza “Unanipenda?” nikakuta anakubali kwa kutikisa kichwa chake huku akiwa na vimacho kama anataka kudondosha vimachozi hivi. Nikamwambia “Ah sasa kumbe ndio hicho kinakufanya uniangalie hivyo… Na mimi nakupenda… nipe mkono wako nikwambie kitu”. Basi nikaona Sura yake inatabasamu kubwa sana baada ya mimi kusema hivyo. Tulishikana mikono tukaanza kuongea vitu vya upendo upendo pale tukiwa na kauwoga uwoga maana sehemu hiyo ilikua sio sehemu sahihi kwa watu kushikana shikana. Tulitaka kukutanisha midomo lakini sehemu hiyo haikua inaruhusu sisi kufanya jambo hilo. Kwanzia siku hiyio mimi na Sara tulikua wapenzi ila kiukweli mimi moyoni mwangu bado nilikua nampenda Zuu na sio Sara. Pamoja na kwamba nilikua kwenye mahusiano na Sara na ananipa raha kila nikizihitaji lakini bado nilikua naiwinda nafasi ya kuwa na Zuu.

Kunasiku nilipata nafasi ya kuongea na Zuu kidogo akiwa pekeyake na nikaitumia kumuomba namba ya simu tu. Siku hiyo hiyo nikamcheki kwenye simu mida ya jioni. Nilijitambulisha kuwa ndie niliemuomba namba akasema amenikumbuka ila hatukuongea sana akasema “Subiri kidogo nitakushtua, kunakitu nafanya”. Nilisubiri sana nikaona mpaka naingia kulala hajanitafuta. Sana sana nilikua nikisumbuliwa na Sara tu kwenye simu akidai nimebadilika nimekua kama simpendi hivi. Nilimpuuza Sara nikaona nijaribu kumtumia ujumbe Zuu ili kama amesahau akumbuke lakini nikakuta hajibu mpaka asubui inafika.

Siku iliofuata nikaenda chuo na nikatafuta sana nafasi ya kuongeanae na bahati nzuri niliipata tena. Nakumbuka nilimuona amekaa pekeake sehemu anaandika. Nilivyomuona nikaangalia kulia na kushoto kuhakikisha Sara hayupo maeneo yale alafu nikamfuata. Alikua amependeza alafu nguo ya juu aliokua ameiva ilikua imeacha kinafasi kinachoonesha tunda za kifua chake zikiwa zimebanana kiasikwamba nilikua kila nikizitupia macho mapigo yangu ya moyo yalikua yanaongezeka. Nipofika nikasema “Mambo vipi Zuu” akaacha kuandika akaniangalia akanijibu “Safi tu, Mzima?” mimi nikamwambia “Nimekuona toka kule upo bize sana kuandika, unaandika nini?” akasema “Mh kunavitu nahamisha toka kwenye daftari hili hapa” nikasema “Anha sawa, nimekuja kukusaidia kuandika”. Kusikia hivyo akasema “Hahaha, namaliza mwenyewe hizi usihofu banaa… Nimeanza kuandika tangu jana, leo namalizia tu” mimi nikasema “Haya” alafu nikasema tena “Alafu jana nimekutafuta ukasema utanitafuta lakini hukunitafuta” nikakuta ananijibu “ah hahaha hivi nilikwambia nitakutafuta? dah nilisahau kabisa alafu jana tulivyoongea tu, nikaweka simu kwenye chaji… nimekuja kugusa leo wakati nakuja huku na nimekuta SMS nyingi bado sijasoma ila tutaongea vizuri leo, nitakutafuta”. Alivyoniambia hivyo nikamwambia “Sawa” tukapiga stori kidogo sana alafu nikamuacha pale aendelee kuandika.

Kiukweli Zuu japokua ilikua tukikutana tunaongea lakini niligundua ni mtu anaenidharau sana na ananikwepa maana hata siku hiyo bado hakunitafuta na hata nilipomtafuta, nikawa sijibiwi chochote. Jambo hili lilinifanya mpaka niwaze “Huenda Zuu anajua ninachotaka kwake na anajua ninamahusiano na rafiki yake Sara au tu anaona simuwezi… kwanza kwa muonekano wake tu anaonekana anataka watu wakubwa wenye pesa za kutosha”. Nilivyoona ananisumbua sana akili yangu nikaona isiwe taabu, acha nitulie na Sara tu maana kipindi hicho Zuu alifanya nimpuuze sana Sara. Niliacha kumfuatilia Zuu, nikajikita zaidi kwa Sara lakini nilikua bado natamani niwe na Zuu kimapenzi kama ningepata nafasi.

Baada ya kama wiki moja hivi toka niache kumfuatilia Zuu nilikutana na kitu ambacho sikukitegemea kabisa. Ilikua ni jumamosi mida ya saa 9 mchana nilikua nipo kwenye chumba tunachokaa na rafiki yangu Jimmy. Muda huo Jimmy alikua hayupo, aliondoka toka asubui akiwa amependeza sana na hakuniambia anakoenda na wala sikumuuliza maana hata nikimuuliza huwa haongei ukweli. Kuliko kukaa tu humo nikaona bora nikusanye nguo zangu chafu zilizokua zimezagaa chini zimejichanganya na za jimmy nifue. Wakati nakusanya nguo ghafla mlango ukagongwa “Ngo ngo ngo” na sauti ya Jimmy akisema “Oi wewe”. Niligundua ni Jimmy nikasema “Oya… Umerudi sasa haha” akawa anasukuma malango huku anasema “Ahaha nimekuja na shemeji yako huyu” huku akimruhusu mtu aingie. Mimi nikatupa macho kuangalia mtu anaeingia ni nani, nikakuta ni Zuwena amevaa nguo nyeusi fupi alafu inaangaza kiasi ambacho baadhi ya sehemu zake za mwili zinaonekana na Jimmy alikua anamshika kiuno alipokua akiingia ndani. Nilipomuona Moyo wangu ulidunda kwa mshtuko “Nduh” na nikahisi kama kuishiwa nguvu hivi…

INAENDELEA…

Hii ni simulizi ya UTAMU WA JUMLA ilio katika maandishi. Ina uhusiano kidogo na Simulizi ya SUKARI YA DADA na MZIGO WA WAKUBWA. Inapatikana katika Sauti pia. Inavipande 11.

Tutumie ujumbe WhatsApp upate simulizi zote

Mpenzi anaekupenda sana anaweza kukuacha kwasababu hizi

Watu wengi huamini katika mapenzi ya kweli, ambayo mpenzi anakukubali na kukupenda jinsi ulivyo, pamoja na mapungufu yako. Yani kila mmoja anakua anajua kuwa hakuna aliye mkamilifu. Na haya mapenzi ya kweli yanahitaji uvumilivu, heshima, na kujitolea kwa pande zote mbili. Huu ni Upendo hadimu sana na pindi unapopata aina hii ya upendo, unapaswa kuthamini na kuulinda kwa juhudi zote.

Ni kweli, hakuna uhusiano wa mapenzi unaoweza kuwa na watu wakamilifu wa asilimia mia moja maana sisi sote ni binadamu wenye makosa. Unaweza kufanya jambo baya au kuwa na tabia fulani bila kujua ambazo, zinamkera au kumuumiza mwanamke wako au mwanaume wako. Wakati mwingine, hata kama mpenzi anakupenda kwa dhati, mambo haya yanaweza kufikia hatua ya kumfanya ajisikie kutaka kujiondoa kwenye Mahusiano.

Katika makala hii, tutaangalia mambo machache ambayo yanaweza kumfanya mpenzi wako aachane na wewe, hata kama bado anakupenda. Ni muhimu kuelewa kuwa maneno, au maamuzi fulani yanaweza kuathiri mapenzi na kupelekea kuvunjika kwa uhusiano. Kufahamu haya kutakusaidia kuboresha au kauyaokoa mahusiano yako pindi yatakapokua kwasababu hizi.

SMS za kumchekesha mpenzi wako BONYEZA HAPA>>>

Mpenzi anaekupenda anaweza kukuacha kwasababu hizi

Kutokujali kuhusu yeye au upendo wake

Awe ni mwanamke au mwanaume, usipoonesha kumjali, hatakama anakupenda anaweza kukuacha. Watu huonesha upendo lakini kama hautawajali wao na upendo wao, basi huondoka zao. Akiona anakutafuta, anakuzingatia na kukuoesha moyo wake unavyokupenda lakini wewe hauoneshi kuzingatia au kujali kwa chochote, kuna siku anaweza kuacha. Anaweza fanya hivyo hatakama moyo wake bado unakupenda.
Ni vema kutambua kuwa kila wanaotuonesha upendo huwa wanahitaji kuzingatiwa pia. Mioyo ya watu wanao tukumbuka na kutupenda hujisikia vizuri tunapo onesha kujali pia.

Dharau

Kwa mwanamke, dharau zinaweza fanya uachwe hatakama una uzuri wa hali ya juu. Kwa wanaume, dharau zinaweza fanya wanawake wajitoe kwenye mahusiano pia. Dharau ina athari kwenye mambo mengi sana hapa Duniani na ndio maana watu wote wanasisitizwa kuwa na heshima.

Kuonesha dharau kwenye mahusiano ya mapenzi, kunaweza mfanya mwanamke au mwanaume wako asiuone thamani yake. Kila mtu anatamani kuwa sehemu ambayo anathaminiwa au kuheshimiwa na sio sehemu anayodharauriwa. Kwaiyo, itafika wakati anaweza jitoa kwenye mahusiano hatakama bado anakupenda.

Kukosa uaminifu

Kama jinsi ilivyo ngumu kufanya kazi au biashara na mtu asie muaminifu, ndivyo ilivyo kwenye mahusiano. Watu wengi hujiingiza kwenye mahusiano wakiwa na matumiani ya kupata mtu ambae watamuamini kumkabidhi Moyo. Na hakuna mtu ambae anatamani kumpenda kwa moyo wote mtu ambae haaminiki kwenye mahusiano.


Endapo utakua na tabia nyingi za kukosa uaminifu kwa mpenzi wako, unaweza mpoteza hata kama anakupenda. Watu huweka mioyo yao sehemu iliotulia na wanayoiamini. Ni vema sehemu hiyo ikawa ni wewe.

Muelekeo wa maisha

Ukiwa kama Mwanamke au mwanaume, kuna umri ukifika ni vema unawa tayari unaelewa maisha yako, unajua muelekeo wa maisha yako na sehemu unahitaji kukifika au mambo unataka kupata. Ukiwa unaishi bila kuujali muelekeo wa maisha yako au unaelekea pabaya, unaweza poteza mpenzi wako hatakama anakupenda sana.

Kuepuka hili, tengeneza vizuri Maisha yako, kuwa mtu unaewaza mambo mazuri na kujiwekea mipango mizuri kuhusu maisha yako. Ukifanya hivyo, mpenzi wako atajiona mwenye bahati kuwa na mwanaume au mwanamke anaejielewa kama wewe. Na hata tamani kukupoteza maishani.

Uchafu au kutojipenda

Ni ngumu mpenzi wako kukuambia “Acha uchafu” au “Haujipendi, upo hovyohovyo” lakini wengi wanapenda usiwe hivyo. Kuwa mchafu na Haujipendi ni mambo ambayo yanaweza fanya mpenzi wako kukuacha na kuvutiwa kuwafuata wengine anaoamini wapo tofauti.


Kuzuia hilo ni vema wewe mwenyewe ukawa msafi wa mwili na mambo yako yote unayofanya. Hakikisha unaweka mwili katika hali nzuri, ondoa harufu na kujipenda kwa kujiweka katika muonekano mzuri kila mara. Kuzoeana na mpenzi wako kusifanye usahau kuwa msafi na kujipenda ni muhumu.

Ni hayo tu muhimu katika makala hii na natumaini yanaweza kuwa msaada kwako ukiwa kama mpenzi, mke au mume wa mtu. Lakini kabla haujaondoka katika ukurasa hii, fahamu kuwa kutomlidhisha mpenzi wako katika tendo, inaweza sababisha kuachwa pia. Kwaiyo hakikisha upo vizuri upande huu pia. Endelea kuwa karibu na The bestgalaxy.

USIKU SIUTAKI (Simulizi Fupi ya Kusoma)

Maisha yangu yamekuwa si rahisi. Nimekulia mtaani, na kila siku ilikuwa ni kupambana ili nipate chakula na mahitaji ya kila siku. Mara nyingi nilikuwa nafanya kazi za vibarua sehemu mbalimbali. Mtaa wetu ulikuwa na maisha ya kawaida sana, watu walijitahidi kupambana kila siku ili kuishi, wengine wakiwa na biashara zao ndogondogo. Ni kama shughuri za kuimaisha hapo mtaani nilikutana na Mama Cheupe, mama mtu mzima kidogo aliyekuwa akiuza chakula kwenye kibanda maalufu katika maeneno yetu. Alikua na mwilini mkubwa alafu anajipenda sana.

Kwanza, aliniweka kama mteja wa kawaida tu. Nilikuwa napita pale kibandani mara kwa mara baada ya kazi, nikiwa na njaa. Mama Cheupe alikuwa mkarimu sana kwangu. Kuna wakati alikukua akiniuzia chakula kwa bei ya chini au hata kunipa bure kabisa. Ilikuwa ni kama alinijali kwa namna fulani, na nami sikuchukua muda mrefu kuelewa kwamba alikuwa akinisogeza zaidi kwake maana kujali kwake kulipita kiasi.

Siku moja, aliniambia nikipata muda niende nyumbani kwake. Mume wake alikuwa safarini kwa siku mbili, na alikuwa anataka tu niwe karibu nae eti ili nimpunguzie upweke. Nikiwa kijana mdogo, nilivutiwa na nafasi hiyo, japo moyoni nilijua ni hatari lakini moyo ulikua unatamani tu bila sababu.
Kwanzia hapo, mahusiano yetu ya siri yalianza. Kila mume wake akisafiri alikua akinitafua na kuniambie niende kwake. Tulikua tukishiri mapenzi, na mara nyingine nilikua nalala mpaka asubuhi. Nilikua na hofu moyoni lakini hiyo hofu ilikua ndio kama unaongeza ladha ya penzi hivi kwa muda huo. Alikua ananisifia sana huku akimponda mme wake. Pamoja na mwili aliokua nao, vita vikianza nilikua nahakikisha yeye ndio anachoka balaa. Kwaiyo alikua haishi kunisifu na kunihitaji. Alikua anashawishi sana.

Nilijua kuwa hili jambo ni hatari sana, na haliwezi kuwa endelevu. Kuna siku ilikuwa ni usiku nipo nimelala na yule Mama. Mume wa Mama Cheupe alikuwa amesafiri tena, nami nikaenda nyumbani kwake nifurahi na Mama Cheupe na kulala huo. Tulikaa, tukala na baadaye nikalala pale kama kawaida.

Lakini usiku huo mambo yalibadilika ghafla. Nikiwa nimelala, tulisikia hatua za mtu nje ya nyumba. Mwili wangu ukakosa nguvu, moyo ukadunda kwa kasi. Tulikua tu Mume wa Mama Cheupe alikuwa amerudi ghafla. Na sisi mara moja tulihisi kuna kitu hakiko sawa nje. Aliposogea karibu na mlango, mimi nilichanganyikiwa mno lakini Mama Cheupe alikua makini sana hata kuliko mimi. Nakumbuka alionyesha mlango wa nyuma wa nyumba hiyo ambao ni mbali na ule anaotaka kuingilia Mume wake.
Basi na mimi niliamua kufanya jambo moja tu ambalo ni kukimbia. Kwa haraka niliinuka kitandani, nikavaa viatu vyangu na kwa kasi nikatoka nje kupitia mlango wa nyuma. Ile nimeisha uacha mlango nikakuta mwanga mkubwa wa tochi umenimulika ghafla. Mh nilishtuka sana nikaanza kukimbia lile eneo huku nikiukwepa ule mwanga. Wakati nikifanya hivyo nilisikia kelele za mwizi zikitoka kwa aliekua ananimulika. Nilichanganyikiwa maana ilikua ni sauti ya Mume wake Mama Cheupe na alikua akiita watu.

Nilipiga mbio nikielekea vichochoroni, bila hata kugeuka nyuma mara nyingi. Nilikuwa na hofu ya kufa, nilihisi kama ndio nakufa hivyo maana kwa usiku ule, watu wakiamka watadhani mimi ni mwizi kweli alafu wanaweza niua bila kunisikiliza. Sikuweza hata kupumua vizuri mpaka nilipokuwa mbali na nyumba ya Mama Cheupe.
Nilivyofika ninapolala, sikua nikiamini hata kama nimepona. Nilikaa chini na kufikiria vizuri jambo lililonitokea maana lilikua linaenda kuchukua uhai wangu kabisa na sikua na uwezo wa kubisha kuwa si mwizi kwa usiku ule. Ni bola hilo jambo lingenikuta mchana kuliko usiku.

Siku iliofuata niliongea na Mama Cheupe. Aliniambia Mume wake hakugundua kuwa kuna jambo lolote lilikua likiendelea kati ya mimi na yeye usiku ule. Yani alichojua yeye ni kuwa kulikua na mwizi pale nyumbani na mwizi huyo ndio mimi. Inamaana hata ningekufa usingejulikana ukweli wowote kuhusu mimi. Usiku ungeyafunika yote yaliokua yakiendelea.

Kwanzia siku hiyo niliona japokua usiku unaficha mambo mengi na kuyafanya Matamu, lakini Usiku ni hatari sana. Unawezaje kuwaelewesha watu kuwa wewe sio mwizi wakati wanakuona unakimbia maeneo yao Usiku?🤔

KASINGO MAMA 1 (Simulizi Fupi ya Kusoma)




Nilipokuwa mdogo, nilikuwa na ndoto kubwa ya kuondoka kijijini kwetu na kwenda kusoma chuo kikuu. Wazazi wangu walikuwa wakulima, na ingawa maisha yalikuwa magumu, walinipa moyo kila siku kwamba elimu yangu ingeweza kubadilisha hali ya familia yetu. Mwishowe, ndoto zangu zilianza kutimia nilipopata nafasi ya kusoma chuo kikuu. Niliondoka nyumbani nikiwa na imani kuwa kila kitu kitakuwa sawa. Nilipokua nikiwaaga wazazi wangu, walikuwa na furaha sana, lakini machozi ya huzuni yalinitiririka nilipo ona namwacha dada yangu Zena nyumbani pale nyumbani.

Zena alikuwa na mtoto mchanga ambaye alizaa mwaka uliopita baada ya kupitia kipindi kigumu kwenye maisha yake alipo safiri kwenda mbali kidogo na nyumbani. Alipewa ujauzito na mwanaume asiyemjua vizuri maisha yake. Mwanaume huyo alimtelekeza mara tu alipomwambia kuwa ana mimba. Na mbaya zaidi Zena alipata virusi vya Ukimwi (HIV) kutoka kwa huyo mwanaume. Pamoja na yote alikua ni mtu anae jipenda kuliko kawaida. Ila mimi ninaejua alioyapitia, nilipokuwa nikimwangalia Zena na kufikilia changamoto zake, nilihisi huruma sana kwa Dada yangu. Niliondoka nikiamini kuwa mafanikio yangu chuoni huenda yatakuwa muhimu kwa Dada na familia yetu kiujumla.

Nilipofika chuoni, maisha ya huko yalikuwa mapya kwangu. Nilijitahidi kwenye masomo, nikakutana na marafiki wapya, na hata nikapata mpenzi wangu wa kwanza aitwae Juma. Huyu Juma tulikuwa na urafiki mzuri na baadaye tukaanza uhusiano wa kimapenzi. Uhusiano wetu ulikuwa wa furaha na upendo. Lakini haikuchukua muda mrefu kabla ya maisha yangu kuelekea mwelekeo mwingine. Mwalimu mmoja mgeni chuoni alianza kuvutiwa na mimi na akaanza kunivutia kwa ahadi za pesa na maisha mazuri.

Mwalimu huyo alikuwa na pesa na alikuwa tayari kunipa zawadi nyingi ili nimpe nafasi ya kuwa mpenzi wangu. Kwa muda, nilijaribu kumpuuza na kumkataa, lakini alizidi kunitafuta na kunisumbua. Alianza kunisumbua kwa njia ya zawadi na pesa. Ingawa nilihisi vibaya kumpokea mwanzo lakini mwisho nilijikuta nikiwa katika uhusiano wa siri naye. Nilijihisi nikiwa nimechanganyikiwa katikati ya upendo wa Juma na tamaa za mwalimu. Mapenzi ya Juma yalikua yananipa Raha na amani lakini mapenzi ya Mwalimu yalikua yananifanya niishi vizuri hapo chuoni maana pesa alizokua akinipa zilikua zikinisaidia. Kuna muda Juma pia aliwahi saidiwa na pesa za huyu Mwalimu maana alikua na shida alafu nikampatia.



Yule Mwalimu kuna jinsi alirahisisha maisha yangu ya hapo chuoni mpaka nikawa naona aibu kumkatalia jambo lolote analohitaji. Kuna siku alinipelea sehemu tukale chakula cha mchana lakini tulivyoenda alizidisha mizunguko mpaka nikajikuta nipo nae nyumba ya wageni. Aliniomba nilale nae ili aone japo kidogo kitu ambacho nakificha Kila siku kwenye mwili wangu. Na mimi kwajinsi alivyokua ananihidumia, ilikua ngumu kutamka neno “Hapana” au “Staki” kwa jambo analoliomba muda huo. Sikua na jinsi, nilimruhusu angurume na kuguna “mmmh.. mmh” kwenye uwanja wangu huku nikiwa naisikia ile radha tamu isio na kifani.
Mbali na siku hiyo tuliendelea kufanya matukio kama hayo mengi sana huku nikiendelea kumfichia Juma asijue lolote maana nilikua nampenda alafu yupo vizuri. Niliishi chuoni nikiendelea kufurahia mapenzi kutoka kwa wanaume hao wawili, Juma na Mwalimu.



INAENDELEA…

Bonyeza kitufe kilichoandikwa “WhatsApp” hapa chini ili tukupatie simulizi hii usome mpaka mwisho BURE kabisa!

Jinsi ya kupata Mpenzi mtandaoni (Tafuta mchumba)

Kutafuta mpenzi au wachumba mtandaoni(Online) imekuwa njia maarufu sana katika Maisha ya sasa maana teknolojia imegusa hata kwenye upande huu pia na upande huu unaitwa “Online Dating”. Katika miaka ya hivi karibuni, kuna watu wengi ambao wamepata wake au waume wao wa maisha kupitia mitandao. Yani walianza uhusiano mtandaoni na wakafikia hatua ya kufunga ndoa kabisa.

Lakini pamoja na mafanikio yanayopatikana kwa baadhi ya watu, kuna changamoto nyingi zinazowakabili wale wanaotafuta wapenzi au wachumba mtandaoni. Watu wengi wanazama mtandaoni kutafuta wenza lakini wanajikuta katika mikono ya watu wabaya.

Si kila mtu unayekutana naye mtandaoni anakuwa na nia nzuri. Kuna wale ambao wanadanganya kuhusu utambulisho wao, huku wengine wakiwa na nia ya kujinufaisha tu. Hali hii inaweza kusababisha watu kuogopa kujihusisha na uhusiano wa mtandaoni kwa kuhofia kuvunjwa moyo au kudhulumiwa.

Mbali na changamoto za namna hiyo, Kuna watu ambao wanatamani kujua jinsi gani wanaweza fanya ili kutafuta au kupata Mpenzi mtandaoni lakini hawajui. Kutojua jambo hili vizuri, imekua ni changamoto kubwa kwao.


Hapa katika makala hii tunatoa mwanga juu ya mbo hilo ili kusaidia kila mtu kuelewa vizuri na kuanza kufurahia matunda ya Teknolojia Katika upande huu. Hii ni kwa Wanaume na Wanawake pia.

Namna ya kupata au kutafuta Mpenzi mtandaoni

Njia maalufu Duniani ya kupata au kutafuta wapenzi online ni mtandaoni wa Tinder. Tinder ni mtandao unaowakutanisha watu wanaotafuta wapenzi katika sehemu mbalimbali hapa ulimwenguni. Mtandao unamfanya mtumiaji awe karibu na watu wengine wanaotaka wapenzi uwaliopo karibu.

Kuna mitandao mingi sana hufanya hivi lakini Tinder ni mtandao maalufu sana katika ulimwengu wa kutafuta wapenzi. Tinder ina mamilioni ya watu wanao iamini na kuitumia.


Ukihitaji kutumia Tinder kirahisi, unaweza ipakua App ya Tinder kwenye simu yako kwanza.
Baada ya kuiweka app ya Tinder kwenye simu yako, fuata maelezo yafuatayo;

  • Ifungue na uanze kujisajili.
  • Katika kujisajili utatakiwa kuandika taalifa zako ikiwemo jina, picha zako zaidi ya moja na Namba yako ya simu.
  • Akaunti ikikamilika, utakua na uwezo wa kuanza kuitumia app hii kuona watu wanahitaji wapenzi. Lakini kwenye simu, yako app itakuhitaji uwashe “Location” ili upate kirahisi watu waliokaribu na wewe.
  • Utakua unaziona picha za watu alafu una-Like kwa kubonyeza alama ya moyo kama utampenda mwenye picha hizo. Ikiwa na yeye ata-Like zako, mnaweza anza mazungumzo.
App ya Tinder


Jambo la muhimu kujua hapa ni kwamba App hii inaonekana kama kuitumia ni Bure hivi ila sio bure. Ili kuifurahia bila vikwazo, unatakiwa kulipia na unaweza lipia hata kwa wiki tu. Ukilipia unapata uhuru zaidi katika kutafuta mpenzi na kuchati na watu. Na katika kuitumia Bado umakini unahitajika maana unaweza kutana na watu wabaya wakakuingiza mjini.

Njia nyingine rahisi za Bure za kutafuta wapenzi Online

Mbali na mitandao kama Tinder, unaweza itumia mitandao ya kijamii hii tulioizoea. Facebook au WhatsApp inaweza kuwa katika ya mitandao unayaweza kutana na watu lakini pia unaweza jipatia mwenza kupitia kwenye magroup ya mahusiano au mijadala mbalimbali. Kama ni mtumiaji wa WhatsApp, unaweza fuata hatua zifuatazo kutafuta mpenzi mtandaoni kirahisi;

  • Fuatilia magroup ya WhatsApp yanayokusanya watu wa mtaani kwako, mkoa wako, kazini, kanisani au shule yako alafu ujiunge nayo.
  • Ukijiunga, kwenye group hizo utakua karibu na watu wanaoweza kukujua au vutiwa na wewe. Kuwa mtu unae chati ili watambue uwepo wako kwenye group.
  • Jaribu kujenga mahusiano na watu unaovutiwa nao kwenye group hizo alafu kuzeni uhusiano huo mpaka muanze kuchati inbox alafu muwe wapenzi.

Mambo ya kujua unapotaka kumtongoza mwanamke Mtandaoni BONYEZA HAPA>>>

Njia hii ni njia nyepesi sana ya kupata Mpenzi mtandaoni. Na naweza kusema ni njia salama zaidi maana unakutana wa watu halisi waliokaribu na wewe. Hata kama hauwajui vizuri, Bado ni ninja rahisi kwakua mnaweza kukutana kirahisi kutokana na ukaribu. Lakini endapo utajiunga kwenye group za watu wasiokaribu na wewe na hamjuani kabisa, inaweza kuwa rahisi kuibiwa au kutapeliwa.

Pamoja na changamoto nyingi, bado kuna nafasi ya kupata mapenzi ya kweli mtandaoni(kwenye internet). Kufanikiwa kunategemea jinsi unawasiliana, uvumilivu, na uwezo wa kuchunguza vizuri kuhusu mtu unaemuhitaji. Endelea kuwa karibu na The bestgalaxy.

SIRI NA SHEMEJI (Simulizi fupi ya Kusoma)

Anisa alikuwa mwanamke mzuri, mwenye heshima na upendo kwa mume wake, Kevin. Ndoa yao ilikuwa changa, yenye matumaini makubwa na ndoto za baadaye. Hata hivyo, nyuma ya tabasamu zake za kila siku, Anisa alikuwa anabeba siri nzito.

Muda mrefu uliopita kabla ya kuolewa na Kevin, alikuwa na uhusiano wa kimapenzi na rafiki wa karibu sana wa mume wake aitwaye Marcus. Uhusiano huo ulivunjika kutokana Marcus kumuacha Anisa. Anisa alipoamua kuwa Kevin ndiye mwanaume wa maisha yake, Marcus alitambuliswa na Kelvin kuwa ameoa mwanamke aitwae “Anisa” na ndio atakua Shemeji yake. Marcus alikubari swala hilo na wala hakutaka kuuongelea uhusiano wake na Anisa kwa Kelvin. Lakini moyoni, Marcus hakuwa tayari kuachilia uhusiano wao wa zamani na Anisa. Alianza kumtafuta tena Anisa kwa njia za siri, akimtumia jumbe za kimapenzi kila mara, na kumfanya asiwe na amani.

Anisa hakutaka kumuumiza mume wake wala kuharibu urafiki wa Kevin na Marcus, hivyo aliamua kubeba mzigo huo kimya kimya. Kila wakati alipokea jumbe za Marcus, alifuta haraka, akijaribu kusahau na kuishi kama hakuna kilichokuwa kikiendelea. Lakini usumbufu huo ulianza kumkosesha amani na kumfanya kuwa na mawazo mengi.

Kevin aliona mabadiliko hayo kwa mke wake. Alianza kuhisi kuwa Anisa anaficha kitu. Tabasamu lake lilikuwa la bandia, na mara nyingi alikuwa kwenye mawazo. Moyo wa Kevin ulianza kumshuku mke wake. Alihisi kuwa huenda Anisa alikuwa anamficha jambo zito. Ili kupata ukweli, aliamua kuchunguza simu ya mke wake bila ridhaa yake.

Alishika simu ya Anisa wakati alipokuwa amelala, akafungua meseji. Ndani ya meseji hizo, aliona maneno ya kimapenzi kutoka kwa rafiki yake wa karibu, Marcus. Kevin alichanganyikiwa. Bila kujiuliza mara mbili, aliamini kuwa Anisa alikuwa amemsaliti kwakua na mahusiano ya mapenzi na rafiki yake wa karibu.

Hasira na huzuni zilimjaa Kevin na alimwambia mkewe kuhusu jambo alilolikuta kwenye simu yake. Hakutaka kusikiliza chochote maana mawazo ya kifo yalimwingia kichwani. Hakuwa na nguvu za kuongea na Anisa wala kwenda kukabiliana na rafiki yake.
Bila kumkabili Anisa au kujaribu kuelewa zaidi, aliondoka nyumbani akiwa amejaa maumivu, akitembea kwa hasira barabarani.

Alifika kwenye barabara yenye magari mengi, moyo wake ukiwa umevunjika kabisa. Alitamani maumivu hayo yaishie haraka, na hakuhisi tena thamani ya kuendelea kuishi. Ghafla, gari lilikuja kwa kasi na kumgonga Kevin, likamrusha pembeni.

Anisa, akiwa ndani ya nyumba, alihisi kuna jambo baya lililokuwa limetokea. Aliposhindwa kumtafuta Kevin kwa simu, moyo wake ulijawa na hofu. Baada ya muda, alipokea simu kutoka hospitali: “Mume wako amepata ajali mbaya, anahitaji matibabu ya haraka.”

Anisa alikimbilia hospitali, machozi yakimtiririka, moyo wake ukiwa umejaa wasiwasi. Alipofika, aliambiwa kwamba Kevin alikuwa hajafa, lakini alikuwa katika hali mbaya sana, hawezi kuzungumza, wala kuutikisa mwili wake. Ajali ile ilimwacha na majeraha ya ndani yaliyoathiri uwezo wake wa kufanya mambo.

Anisa alilia kwa uchungu, akijilaumu kwa kilichotokea. Alijua tu kuwa Kevin alikuwa kwenye hali hiyo kwa sababu ya tukio la kuona Jumbe za Marcus kwenye simu yake. Alijaribu kumjulisha hayo Marcus kuhusu ajali hiyo na kile kilichosababisha Kevin apate ajali. Marcus, aligopa sana jambo hilo, aliamua kukimbia mji haraka, akiacha kila kitu alichokua akifanya. Hakutaka kukabiliana na matokeo ya vitendo vyake.

Siku zilibadilika kuwa wiki, na wiki zikawa miezi. Anisa hakukata tamaa. Aliendelea kumtunza Kevin, akihakikisha anapata huduma bora zaidi hospitalini. Kila siku, alikuwa pale akimshika mkono, akimuombea apone na kurudi kuwa yule mume aliyempenda. Ingawa Kevin hakuweza kusema wala kutikisa mwili wake, macho yake yalimuonyesha mazuri yote aliokua anafanya Anisa kwa wakati huo.

Baada ya miezi mitatu ya mapambano ya kiafya ya muda mrefu, Kevin alianza kuonyesha dalili za kupona. Polepole, alianza kupata nguvu za kuzungumza na kutikisa mwili wake tena. Aliona upendo ambao hakuutarajia kutoka kwa Anisa, aliyeendelea kumhudumia licha ya hali ngumu waliyopitia. Kila siku, Anisa alimwomba msamaha kwa kile kilichosababisha maumivu yote hayo, akimweleza ukweli kuhusu Marcus na jinsi alivyojaribu kutaka awe nae bila mafanikio.

Kevin, akiwa sasa na akili iliyotulia na moyo uliopata nafuu, alitafakari upendo wa Anisa na kujitolea kwake. Ingawa aliumizwa na yaliyotokea, aliweza kuona kuwa Anisa hakumsaliti ila alikuamejaribu kumlinda kwa Siri tu. Aliamua kumsamehe mke wake, akifahamu kuwa mapenzi yao yalikuwa na nguvu ya kustahimili dhoruba hiyo nzito.

Mwisho, walirudi nyumbani pamoja wakiwa na upendo zaidi ya sana. Waliahidi kutokuwa na siri tena, wakifahamu kwamba kusikilizana na uaminifu ndiyo msingi wa ndoa yao.

Umejifunza nini kupitia simulizi hii? Endelea kuwa karibu na The bestgalaxy.

Mambo yasiofaa kuwaambia Rafiki zako kuhusu Mpenzi wako

Katika Urafiki na Mahusiano ya kimapenzi, ni muhimu sana kujua mipaka ya mazungumzo na jinsi ya kuhifadhi baadhi ya mambo. Kuna wakati urafiki unaweza kuwa na umuhimu mkubwa katika kupeana mawazo lakini si kila kitu kinachohusiana na mpenzi wako kinapaswa kuwa sehemu ya mazungumzo na marafiki. Urafiki na mahusiano ya mapenzi, yote ni mahusiano lakini katika baadhi ya mambo, unatakiwa kutenganisha kabisa.

Kuna baadhi ya watu hupuuza kutenganisha mahusiano haya na mwisho wa siku hujikuta wanagombana na rafiki zao au wapenzi wao. Usipoweka mipaka katikati ya mahusiano haya, kunakua na asilimia kubwa ya kuingia kwenye ugomvi na marafiki au mpenzi wako. Na hakuana anaetaka jambo hilo litokee katika Maisha yake. Wengi tunapenda tuwe na amani na wapenzi wetu, na vile vile kwa marafiki zetu.

Kujua ni nini cha kusema na nini cha kuhifadhi ni Jambo muhimu katika kudumisha uhusiano na Marafiki zako huku ukiwa na uhusiano mzuri wa kimapenzi na wenza wako. Kuna baadhi ya mambo ukiepuka kuwaambia marafiki zako kuhusu Mpenzi wako, utakuwa unalinda sio tu heshima ya mpenzi wako bali pia uhusiano wako na watu wa karibu.

Kuchepuka kuna faida lakini hizi ni hasara zake BONYEZA HAPA>>>

Mambo yasiofaa kuwaambia Rafiki zako kuhusu Mpenzi wako

Mipango yenu ya baadae

Kama mmeongea mipango mingi na mpenzi wako, hakikisha unakua makini katika mazungumzo yako na marafiki ili usitoe mambo yote muliopanga. Inaweza kuwa ngumu kuwaficha marafiki zako kuhusu mambo mazuri muliopanga na mpenzi wako lakini ni vema kuwa hivyo ili kulinda mahusiano yako.
Marafiki wengi sana wanaweza kukuzunguka lakini sio kila Rafiki anaweza kuwa anania njema na mahusiano yenu. Na mtu asie na nia njema akiambiwa mipango yenu, inaweza kuwa rahisi sana kuharibu mahusiano yenu.

Ubaya wa mpenzi wako kimwili au kitabia

Hapa Duniani, wote tuna mabaya yetu na mazuri yetu. Inaweza kuwa sio ajabu kuona mabaya ya mpenzi wako kimwili au kitabia. Lakini mambo hayo hayatakiwi kuwa katika maongezi na rafiki zako. Kama kuna jambo lolote baya kuhusu mwenza wako na umeweza kulivumilia, basi fanya kumfichia Siri.


Unapotoa mabaya ya mpenzi wako kwa rafiki zako, kuna namna wote mnaweza shushwa thamani na watu wengine pindi mambo hayo yakisambaa. Yani unakua umeandika sifa mbaya kwa mdomo wako mwenyewe. Na kama umeshindwa tunza Siri ya mpenzi wako mwenyewe, usije walaumu watu wakiendelea kupeana Siri hiyo.

Matukio yake mabaya

Katika Maisha ya mahusiano kunaweza kuwa na matuko mabaya au ya aibu kuhusu Mpenzi wako ambayo umeyajua kwa kusimuliwa nae au kuyashuhudia. Mambo hayo ukiyaongelea kwa mtu mwingine zaidi yenu, jua kabisa kuna asilimia kubwa ya kuendelea kusambaza na kuwachafua wote.
Liwe ni tukio la kitandani au Maishani mwake, epuka kuliweka kuwa sehemu ya mazungumzo na marafiki zako.

Hali ya mpenzi wako kipesa Pesa

Mambo ya Pesa katika mahusiano yenu ni mambo yanayowahusu nyie na sio marafiki. Mpenzi wako akiwa na Hela au hana Hela, isiwe ni jambo la kuzungumza na marafiki zako. Mambo ya pesa husukuma watu wenye tamaa kufanya vitu vingi sana katika Maisha. Hapa Duniani kuna hata ndugu ambao hugeukana kisa pesa. Nadhani hata wewe umewahi sikia simulizi nyingine mbaya kama hizi zilizohushisha pesa.


Swala Mpenzi wako na Pesa linaweza kuwa jambo zuri kuliongelea lakini si vema kuliweka katika mazungumzo yenu ili kulinda urafiki wenu na vile vile kulinda mahusiano yako.

Ni hayo tu lakini kabla haujafika katika kituo cha mwisho wa makala hii, fahamu kuwa mambo tuliozungumza hapa hayatakiwi kukuzuia kuomba ushauri. Unaweza kuomba ushauri kwa rafiki zako unaowaamini Pele unapoona masaada kama huo unahitajika. Lakini kuwa makini sana na unachokiongea.