Category Archives: Mahusiano

Jinsi ya kuingia katika Akili ya mwanamke umpendae

Je uko tayari kufahamu jinsi ya kuingia katika akili ya mwanamke na kufanya mapinduzi ya njia ya kawaida unayotumia kuapproach mwanamke? Kama jawabu lako ni ndio, basi zama nami kusoma hizi mbinu ambazo zimethibitishwa kufanya kazi.

1. Anza approach ya mbali

Kabla ya kumuapproach mwanamke, hakikisha ya kuwa unamsoma kwa umbali mambo anayofanya kwanza. Halafu ukiona kama umepata kile unachoweza kutumia kutoka kwake unaweza kumuaproach. Ukiwa unaongea nayeye mwambie kuwa una uwezo wa kusoma nyota yake. Wanawake wengi watakubaliana na hili ili kuona ucheshi wako. Halafu ukirudilia na vitu ambavyo ulimsoma awali, utakuwa umemfunga. Mwanzo kama umejaribu kumtabiria vitu ambavyo viko sawa kwake ama vinahusiana na yeye, una nafasi kuu ya kumfanya kukutaka kukufahamu zaidi. Pia ni vizuri kufahamu miondoko ya wanawake na mapema ili kuelewa kama anakubaliana na utabiri wako kwake. [soma; Jinsi ya kuapproach demu usiyemjua]

Gusa hapa>> USOME JAMBO ZURI ZAIDI KWAAJILI YAKO

Pia unaweza kuwambia unaweza kusoma nyota yake kupitia kwa maganja yake. Hii itakupa nafasi ya rahisi kuweza kupata kumgusa bila kukushuku ajenda yako nzima iliyo akilini mwako. Mbinu hii itamfanya yeye kuvutiwa na wewe kwa urahisi.

2. Leta shangwe

Wanawake wanapenda wanaume ambao hawayachukulii maisha serious vile, so hakikisha kuwa unajua jinsi ya kuchat na wanawake. Unaweza kutumia mbinu ya kutumia kuwa mcheshi na kutoa mizaha ukiwa kando yake. Kufanya hivi kutamfanya yeye kucheka na kutabasamu, jambo ambalo automatic litamfanya yeye kuvutiwa na wewe. Usitumie mbinu ya kumtesa sana na mizaha yako ama utaonekana kuwa na utoto mwingi ama anaweza kukasirishwa. Uzuri wa kutumia ucheshi ni kuwa kunamfanya mwanamke kujihisi bado ana ujana. [soma: Dalili za kuonyesha kama mwanamke anakutaka kimapenzi]

3. Ichokore akili yake

Hii ni mbinu ya sanaa ya kutongoza ambayo itamfanya mwanamke yeyote kuathirika kihisia na wewe. Itamfanya akutamani na kuifanya akili kukufikiria wewe tu.

Njia moja kama hii ni kumfanya mwanamke kuingiwa na furaha dakika moja na kukasirika dakika ya pili. Wanawake inaonekana mara nyingi hupenda vioja katika maisha yao, kama vile katika vipindi vya tamthilia ama soap opera. Hoja ya vioja ni nzuri pia kwa kuwa inatoa ile dhana ya kubandikwa jina kuwa unaboa.

Gusa hapa>> USOME JAMBO ZURI ZAIDI KWAAJILI YAKO

Kama unaweza kuyafanya maisha yako kuwa na vioja vya mara kwa mara wanawake watakupenda automatically bila wao kujifahamu. Ukishafanikiwa kuteka hisia zao, inakuwa rahisi kwako kuingia katika akili yao. Unafaa kuonywa ya kuwa kutumia mbinu hii sana inaweza kuwafanya baadhi ya wanawake kuchunguza maisha yako wakitaka kuwa karibu yako kila wakati.

Pia fahamu ya kuwa usimchangaye akili kihisia mwanamke yeyote kwa kutumia mbinu hii kwani mwishowe inaweza kukujeukia.

Hebu jifunze kummiss mpenzi wako ili kuongeza upendo

Ni lazima uipe pumzi penzi lenu kama mnafanya kazi ambayo inawafanya wewe na mke wako kuwa pamoja kila wakati, basi kila mmoja anahitaji muda wa peke yake awe na muda wa kummiss mwenzake.

Gusa hapa>> USOME JAMBO ZURI ZAIDI KWAAJILI YAKO

Huwezi kummiss mtu ambaye kila dakika unamuona, sana sana utaishia kuona mapungufu yake na kugombana tu. Utammiss vipi wakati kila wakati uko naye, kila mmoja anahitaji kummiss mwenza wake ili mapenzi yawe na raha.

Mume/mke wako anahitaji maisha mbali na wewe, anahitaji angalau nusu saa kwa siku ambayo hataona sura yako, atakuwa na watu wengine, atakuwa na marafiki au atakuwa anafanya kitu kingine bila wewe.

Kama uko kwenye ndoa au mahusiano ambayo kila kitu mnafanya pamoja, kila wakati mko pamoja, kila muda wa ziada mko pamoja basi suala la kugombana kwenu ni la muda tu.

Jifunze kuwa na furaha nje ya mwenza wako, si kuchepuka hapana, hata kucheza tu karata na majirani inatosha kukufanya ummiss mwenza wako.

Kama kila wakati mko pamoja, hata kama hamfanyi kazi pamoja lakini kama ule muda wa zaida kila siku mpo pamoja basi mtaanza kuboana, utaanza kuona mapungufu ya mwenza wako, utaanza kuona ubaya wake na mtagombana tu.

Gusa hapa>> USOME JAMBO ZURI ZAIDI KWAAJILI YAKO

Yes kuna watu wanalalamika kuwa waume zao wanawaganda hawatoki nyumbani, kuna wanaume hulalamika wake zao wanawaganda.

Kama mnagandana kama mapacha halisi jua tu mtaboana.

Mahusiano ya mapenzi huitaji vitu hivi

1. Ujasiri
Upendo unahitaji uwe jasiri katika hali zote ujasiri katika kunena ,ujasiri kutenda, ujasiri katika kuuzungumzia upendo kwa mwenzi wako upendo unamhitaji mtu jasiri sio kitu rahisi kama wengine wanavyozungumzia.

2. Uvumilivu
Upendo unahitaji uvumilivu kuvumiliana. Hakuna mwanadamu aliyekamilika katika mambo yote, unajua Waswahili wanasema “mvumilivu hula mbivu “ mvumilivu katika upendo maana yake hii ni shule ya kila siku, tunajifunza kutokana na makosa. Uvumilivu unatakiwa sana katika upendo – unajua kumfanya mwenzi wako kuwa kama wewe unavyotaka awe inahitaji uvumilivu. Hilo ni kweli, maana mmetoka mazingira tofauti na malezi tofauti; hivyo kumbadilisha inahitaji uvumilivu.

3. Kiasi
Kiasi ni kitu muhimu. Chochote kinachofinywa zaidi ni hatari, unatakiwa uwe na kiasi katika mambo yako ili uweze kudumu katika upendo maana upendo unahitaji kiasi. Usijifanye uko (busy) sana unakosa hata nafasi/muda wa kukaa na mwenzi wako, lakini wewe unarudi usiku, huo sio upendo. Nakuombea uwe na kiasi ili uenzi katika maisha yako.

4. Kutiwa moyo
Upendo unahitaji kutiwa moyo. Mtie moyo mwenzi wako ukimwambia pole asali wangu wa moyo, Unafanya vizuri sana, umefanya vizuri sana, unapoweza kumtia moyo mwenzi wako kwa yale anayofanya yanamuhamasisha kutenda zaidi na kukupenda zaidi. Kutiwa moyo ni kufarijiwa, moyo unahitaji kutiwa moyo, kuthaminiwa. Hivyo katika upendo unahitaji kumtia moyo mwenzi wako ili upendo huo udumu maishani mwako. Ikiwa hauna tabia ya kumtia moyo mwenzi wako ipo siku utampoteza, akipata watu wanaothamini mambo anayoyafanya na kumfariji. Atulie badilika uuteke upendo kwa kufuata masharti yake.

Gusa hapa>> USOME JAMBO ZURI ZAIDI KWAAJILI YAKO

5. Kutambuliwa
Upendo unahitaji kutambuliwa katika maisha yako na kujua umuhimu wake. Kutambuliwa ni kitu muhimu sana katika maisha, kumtambua mpenzi wako na umuhimu wake kwako. Atambulike toka moyoni mwako kuwa anafaa kuwa mumeo au mke wako, hivyo upendo unahitaji sana utambuliwe na wewe mwenyewe. Umfahamu na umuelewe kiundani.

6. Uaminifu
Upendo unahitaji uaminifu kwa mwenzio sio msaliti wenye kujitunza na kujiheshimu mtu asiye na hila ndani yake uaminifu ni dawa ya upendo katika maisha yetu tukikosa uaminifu sisi kwa sisi upendo hautaweza kukaa pamoja nasi.

Gusa Hapa>> USOME JAMBO ZURI ZAIDI KWAAJILI YAKO

7. Usawa
Upendo unahitaji usawa unajua mapenzi ni kusaidiana hakuna kiongozi wa mapenzi bali tunasaidiana hivyo huo ndio usawa katika mapenzi upendo unahitaji usawa huo wewe unawajibu kwa mwenzi wako na mwenzi wako anawajibu kwako.

8. Urafiki
Upendo unahitaji urafiki upendo hujenga urafiki mwenzi wako ni rafiki yako kuliko marafiki ulionao katika maisha yako- Mapenzi wako sio adui yako mficha siri wako usimuogope maana upendo hauna hofu unatakiwa kuzungumza na rafiki yako kirafiki ili upendo uwezo kudumu na kushamili.

9. Kukubalika
Upendo unahitaji kukubalika, kupokelewa toka moyoni mkubali mwenzi wako apate kibali moyoni na maishani mwako ukimkubali hautamuumiza hivyo upendo unataka kukubalika hapo utafurahia maisha yako.

10. Ukweli
Upendo unahitaji ukweli,upendo ni adui wa uongo unatakiwa uwe mkweli katika mapenzi yenu,ukweli hujenga upendo, ukweli huimarisha mahusiano,upendo unahitaji mtu ambaye ni mkweli kwa mwenzi wake,ukweli ndio upendo wenyewe unatakiwa uwe mkweli ili upendo uchukue nafasi moyoni mwako.

11. Imani
Upendo unahitaji imani na imani ni kuwa na uhakika wa mambo yatarajiwayo ,ni bayana ya mambo yasio onekana. Unatakiwa kuwa na imani na mwenzi wako, imani katika mahusiano ni muhimu sana kuaminiana ,toa wasiwasi kwa mwenzi wako, mwamini kuwa amekuchagua wewe na hakuna mwinginen wewe uko peke yako.

Gusa hapa>> USOME JAMBO ZURI ZAIDI KWAAJILI YAKO

12. Penzi
Upendo unahitaji penzi la kweli linalotoka moyoni ,penzi kwa mpenzi wako ni muhimu sana kama litatumika kwa utaratibu na kwa uaminifu kabisa maana penzi linahitaji muda hivyo hivyo unatakiwa uwe na muda wa kutosha ili uweze kupata pendo la kweli.

Jinsi ya kumsifia mwanamke mrembo unempenda kwa dhati

maana msingi ya neno ‘wewe ni mrembo’ imepotea. Hii ni kwa sababu baadhi ya wanaume wasiojua kutongoza wanaishia kulitumia neno hili vibaya kiasi cha kuwa neno hili limepoteza uhalisia.

Je ulikuwa wajua kuwa wanawake hupenda kusifiwa? Na ulikuwa ukijua kuwa kumsifia mwanamke mara kwa mara ni njia moja wapo ya kutongoza?  leo tumekuja na mambo tofauti ambayo unapaswa kutumia ili umshawishi mwanamke kuwa ni mrembo, na wala hataona kama ni maneno unalompakizia ama maneno ambayo ameyazoea kuyaskiliza awali.

Twende pamoja:
Jambo la kwanza 
Wakati unapotaka kumsifia mwanamke kuwa ni mrembo, usimwambia, “Wewe ni mrembo” mara kwa mara kwa sababu itafikia mahali flani neno hilo litaisha ladha. Badala yake tafuta sehemu muhimu kutoka kwa mwili wake ambayo utaitumia kama kigezo cha kumsifia. Kwa mfano kama umependezwa na pua yake mwambia, “Nimependezwa na pua yako, kila mara nikiiona najiskia na furaha.” Ama kama umependezwa na mashavu yake unaweza kumwambia, “Mashavu yako ndio nuru ya macho yangu, yanapendeza.” Kumwambia mwanamke maneno kama haya yatamfanya atamani kuwa kando yako. Pia ataona kuwa unamwona anapendeza, unamakinika kuuona urembo wake kupitia kwa viungo vyake vya mwili.

Jambo la pili 
Kumsifia mwanamke urembo wake hakuhusishi ngozi yake ya nje pekee, bali pia sehemu yake ya ndani, yaani nafsi yake. Wanaume wengi huwa wanamakinika kumsifia mwanamke umbo, sura na shepu yake huku wakisahau kuwa nafsi ya mwanamke ina umuhimu. Kumsifia mwanamke kwa ujasiri wake, ubunifu wake, hekma, na ujanja kutakupa mkono wa mbele zaidi wakati unapomtongoza ama unapomshawishi. Jambo hili tulishawahi kulizungumzia katika moja ya hatua ya kumtongoza mwanamke ambaye hayuko ligi sawa na wewe. Kumshawishi na kumsifia mwanamke nafsi yake kutamfanya ajiunganishe na wewe zaidi kuliko mwanamke yeyote yule, hivyo hatua iko kwako sasa.

Jambo la tatu
Wakati ambapo umeamua kumsifia mwanamke kama huyu, hakikisha kuwa unamwangalia machoni. Kama ni mwanamke ambaye ndio unaanza kumfukuzia basi jenga confidence ya kumwangalia machoni. Usimsifie huku ukiangalia pembeni ama kuangalia kando. Kumbuka wewe ni Mwanaume Alpha, na wanaume alpha huwa hawatatiziki kama wanatoa hisia zao kuhusu wanawake wanaowapenda.

Gusa hapa>> USOME JAMBO ZURI ZAIDI KWAAJILI YAKO

Jambo la nne
Unapomsifia mwanamke usitumie maneno hayo kwa hayo. Yaani wewe kila siku ukikutana na yeye unamwambia, “Nakupenda, leo umeangaza nafsi yangu.” Matumizi ya neno moja siku nenda siku rudi kutamfanya mwanamke atilie shaka iwapo unasema maneno hayo ndani ya moyo wako ama unasema kumridhisha tu. Well, mbona usije na misamiati mipya? Ama mbona usije na maneno ambayo angetamani kuyaskia? Ukitumia maneno kama ‘hurulaini’, ‘malkia, leo nimekuja kwa milki yako’, ‘ua langu la waridi’ nk kutamfanya mwanamke akupende zaidi na zaidi. So anza kutafuta maneno ambayo anayapenda. Usiingiwe na uvivu wa kutumia maneno hayo kwa hayo kila siku. Kumbuka hapa unataka kuwa bora zaidi kati ya wanaume wale wengine. Chukua hatua sasa.

SUKARI YA DADA 06 🔞


“Mh litoto hili yaani limeona shida mpaka kukaa na kaka yake hapa.. mhm” alafu nae akaanza kuelekea huko huko vyumbani na kuniacha pale nikiwa nawaza “kwanini Suzy mejiondoa haraka karibu yangu aliposikia mama yake anakuja wakati mama yake anataka ajisogeze kwa wanaume?” Nilijiuliza lakini sikuweza kupata jibu maana waswahili wanasema usilolijua ni sawa na usiku wa giza hivyo nilinyooka tu na ninayoyajua kuwa; Suzy hapatani na mama yake kwasababu ya utomboy alionao ingawa katika siku hiyo niliweza kujenga ukaribu flani wa kawaida na Suzy lakini iliaonekana kabisa kuwa hataki mama yake aone tunaukaribu wowote na sababu ya Suzy kufanya hivyo bado ilikua ni giza kwangu…

Basi siku hiyo ilikua ndefu sana kwangu kutokana na Mimi kuwa mgeni katika nyumba hiyo lakini siku iliisha na iliniishia nikiwa nimelala kwenye kitanda cha chumba changu nilichopewa kilichopo humo humo ndani. Niliteseka sana kupata usingizi siku hiyo kutokana na kuwa na hamu iliopitiliza ya kufanya Mapenzi maana mchana mzima nilikua nikipandishwa mihamu tu na mtoto mzuri Suzy yaani nilikua kila nikifumba macho ili nilale mapicha picha ya mwili wake yananijia mara mawazo yangu yananipeleka nahisi Kama tayari nimeisha mkamata, kaingia mchezoni namchezea analia… lakini mwisho usingizi ukanichukua.

Siku iliofuata niliamka asubui sana kabla ya wote kuamka maana siku hiyo ndio ilikua yakuanza kazi rasimi. Nilijiandaa kikazi nikaenda chumba cha store kuchukua mkasi wa maua na vifaa vingine alafu nikaanza kuishughulikia bustani kwa kuipunguza majani na kuisafisha kiujumla. Nilikua napunguza maua kama alivyo nielekeza Suzy siku ya kwanza ili nimfurahishe bosi wangu. Jasho zilikua zikinitililika kutokana na kuifanya kazi kwa haraka nikiwa na umakini mkubwa.

Wakati nikiendelea kufanya kazi nilianza kusikia kelele za mama mwenye nyumba zikiendelea ndani na hii ilikua ni ishara tosha kuwa Suzy na mama yake wameisha amka maana nilishaanza kuwazoea kuwa hawawezi kuwa pamoja bila kutupiana maneno. Wakati huo nilikua nimeshika ndoo ya kubebea takataka na napita kila chini ya ua nililolipunguza kisha naokota vipande nilivyovikata pamoja na takataka nyingine nitakazozikuta ili kuyafanya maua yawekatika hali ya usafi. Nilipita katika maua kadhaa nilifanya hivyo lakini wakati nikiendelea nilifika sehemu nikakiona kipisi cha sigara chini ya ua, niliinama ili nikiokote na wakati nakiokota niliangaza na macho yangu sehemu hiyo vizuri, nikakuta hakipo kimoja bali vipo vingi sana ila nilikiona hicho kimoja kwa urahisi kwasababu kilikua ni kipya kuliko vingine. Nilichukua kile kimoja na kunyanyuka nacho huku nikiiangalia kwa umakini; niligundua jivu lake si la muda mrefu yaani ilivutwa Kati ya siku moja au mbili zilizopita.


“Mh hii nyumba balaa… Sasa humu ndani anaetumia hivi vitu ni nani?… Kwamba ni Suzy au huyu mama mkalimkali?” nilijiuliza hivyo huku nikiwa nimesimama nakiangalia kipisi cha sigara, Ghafla nikasikia sauti kubwa “Gririririiiiii..!!!” Nikashtuka nakutupa haraka kile kipisi kisha nikaangalia sehemu ilikotokea sauti nikagundua kumbe lilikua ni geti likijifungua kulipisha gari la mama mwenye nyumba aliekua akienda kazini muda huo. Baada ya kugundua ni geti. Roho yangu ilianza kutulia kidogo maana nilishtuka sana kwakua ni sauti ambayo sikuitarajia kabisa kwa wakati ule yaani mpaka mapigo ya moyo yaliongezeka lakini baada ya hapo nikakumbuka kuwa humo ndani nimebaki na Suzy tu kisha nilitabasamu huku nikiwaza kuwa “Jana niliweza kumfurahisha na kuiona aibu ya Suzy nilipo msifu. Inaonesha anapenda kusifiwa sasa leo namsifu mpaka kwenye mwili wake… Akiniletea tena aibu namtongoza ikiwezekana na lamba asali kabisa maana kama ameweza nionea aibu basi hata Utomboy anaweza niwekea pembeni”



Basi niliviondoa vipande vya sigara na nikaendelea kupiga kazi lakini ilipofika saa4 asubui nilirudisha vifaa store kisha nikaingia ndani ili niende kwenye bafu la chumbani kwangu kuoga maana nilikua nimeloa jasho na nguo pia zilikua zimeloa jasho. Nilipokuanaingia ndani nilimuona Suzy amevaa kisketi kifupi kama cha watoto washule, paja zote nje kama kawaida yake na alikua amekaa kwenye sofa, amewasha Tv lakini yeye yupo busy kuchezea simu yake. Wakati nikitupa tu macho yangu kwenye miguu na pajazake, nilihisi mkono wangu wa chini ukijitutumua lakini kwa bahati nzuri nilivaa suluali ngumu hivyo haikua lahisi kuonekana kuwa mkono umeisha amka. Aliacha kuchezea simu na kunigeukia nilipokua naingia, aliniangalia akatabasam alafu akiniambia “Pole na kazi”
“Dah Asante Sana Suzy… Pole na wewe pia”
“Asante… Vipi lakini umeamkaje leo?”
“Salama kabisa sijui wewe”
“Mi nikio vizuri na chakula kipo tayari”
“Anh sawa.. ngoja nikatoe toe jasho hizi bafuni maana naona zimezidi mno”
“Haha Sawa, utanikuta hapa nakusubili maana hata mimi sijala”
“Mh hujala mpaka saizi wakati wewe ndie uliepika?.. ulikua unangoja nini Sasa?”
“Hahaha amna, nimeona tu nikusubiri rafiki yangu… Kwani kuna ubaya?”
“Duh hapana… Basi nikaoge chap alafu nije”
“Sawa” alinijibu huku nikielekea katika chumba changu na moyo ukiripuka kwa furaha baada ya kuona ukaribu wetu unaendelea kustawi na haniletei mikazo sanaa kama mwanzo…



Niliingia chumbani kwangu alfu nikavua Shati nilioivaa kisha nikamalizia suluali nilioivaa na nlipoivua niliona mkono wangu wa chini bado umesimama tu kwasababu mawazo yangu pia yalikua yanawaza kumkuna Suzy tu. Niliingia kuonga na nikatoka lakini bado muogo uliendelea kusimama maana mihamu niliokua akinipa mtoto Suzy, ilikua haina kipimo. Kutokana na kusimama kwa mkono wangu wa chii ilinilazimu kuvaa tena nguo ngumu ngumu ili niweze kuwa huru mbele ya Suzy. Nilichomoa jinsi langu moja gumu katika begi langu kisha nikaanza kulivaa lakini wakati namalizia tu kulivaa nikasikia mlango wa chumbani kwangu ukigongwa “Ngo ngo ngo” niliganda na kukaakimya nilijiuliza kichwani “Nani?” nikasika tena mlango ukigongwa “Ngo ngo ngo” pamoja na sauti ya Suzy ikisema “Hodi kaka!”…

INAENDELEA…

Unataka tukutumie simulizi nzima kwa njia ya WhatsApp? GUSA HAPA

SUKARI YA DADA 05 🔞



Dah wakati Suzy akiendelea kutukana mtu kwenye simu yake mimi nilikua nawaza kuwa “Suzy ni mwanamke mzuri sana ambae nampenda na kumtamani mno ingawa naficha lakini ipo siku nitashindwa kujizuia, sasa sijui itakuaje yakinitokea ya huyu jamaa dah” nilikua nikiwaza hivyo kwasababu nilikua mmoja wa watu wanaoogopa kukataliwa na wanaowapenda.
Baada ya suzi kumaliza kuongea na simu, alirudi kukaa na mimi kwaajili ya kumaliza chakula chake lakini wakati huo alikuja na simu yake kabisa na alianza kula huku akiwapigia watu mbalimbali nisio wajua na mazungumzo nilioyasikia yalikua yanahusu biashara tu maana niliskia akiongelea vitu kama kutumiwa mahesabu, kuagiza mizigo mipya ya nguo zakike na zakiume toka china na kutaja viasi vikubwa vya pesa ambavyo kila nilipokua nikimuangalia nilikua naona ni vikubwa kuliko hata yeye mwenyewe. Kuongea kwake na simu kulimfanya aweanakula taratibu mno yaani mimi nilimaliza chakula nikawa nimekaa tu namuangalia lakini yeye alikua bado kabisa kumaliza na ameiweka simu sikioni anaongena na mtu huku anachota vijiko vya chakula kwa vituo vituo ili apate nafasi ya kutoa maneno. Basi Mimi nilikua natumia wakati huo kumuangalia sura yake nzuri jinsi alivyo barikiwa lipsi na macho mazuri makubwa kiasi pia niliangaza nilikua nikitupa macho kifuani pake nilikua naviona vitunda kama msumari vimilivyojitokeza kwenye nguo lainii aliokuakaivaa.
Mwisho alimaliza kuongea na simu akaiweka mezani na aliona Mimi nipo tu mbele yake nimemaliza kula lakini soda ipo pembeni na sijaifungua mpaka muda huo. Aliniambia “Duh umemaliza kula chakula mimi bado tu”

“Hahaha lakini wewe si ulikua unaongea na simu”

“Haha,yaah biashara hizi zinasumbua kweli.. ila tekinolojia imenirahisishia kidogo mpaka naweza kuseti mambo nikiwa nyumbani tu ingawa siku mojamoja inabidi ukakague mambo yanaenda vipi”

“Mh alafu sijawahi kutana na mtu kama wewe tangu nizaliwe yani?”

“Kwanini?” Alijibu akiwa na wasiwasi kuwa nitazungumzia kuhusu kutojihusisha na wanaume

“Yaani sijawahi kutana na binti rika yako alafu anaongea vitu vikubwa kama unavyo ongea wewe”

“Hahahaha kawaida sana Bwana.. vipi mbona hunywi soda?”

“Mh sijisikii tu, hamu imekata ghafla eti”

“Duh au nikuletee juisi maana kuna juisi kwenye friji nilitengeneza leo asubuhi.. sjui utaipenda?”

“Hapana achananayo, nisikusumbue tu”

“Hunisumbi Bwana… Ngoja nikakuchukulie” Alinyanyuka na kuichukua soda yangu kisha akaelekea kwenye friji kuirudisha soda na kunichukua Juisi. Baada ya muda alirudi na Juisi ikiwa kwenye glasi kisha akanipa alafu akaendelea kula chakula chake..
Nilimwambia “Asante” akajibu “powa” kisha nikanyanyua glasi na kuinywa kidogo. Sijui upendo tu nilionao kwake, maana nilona Juisi ni Tamu sana mpaka nikijikuta namuuliza “Ivi hii Juisi ulisema umetengeneza wewe?”
“Ndio nimetengeneza mimi, kwani ni vipi?”
“Inaonekana unajua sana kutengeneza Juisi maana hii Juisi ni Tamu sana”
“Hahaha kawaida mbona” na kupitia uso wake niliona aibu zilimuingia kidogo kisha akatabasamu kutokana kumsifia kwangu yaani alikua kama ameanza kulainika kiasi tofauti kabisa na nilivyo tarajia. Niliongeza kwa kumwambia “Ukawaida unauona wewe… tena huwenda ni kwasababu umezoea kutengeneza vitu vizuri” alicheka “hahaha” lakini wakati alipokua akimaliza tu kucheka, ziliskika kelele za geti likijifungua na hii ilikua ni ishara kwamba kuna gari inaingia. Suzy alishtuka ghafla na kuropoka kwa kisauti cha chini cha hofu “Mama huyo amekuja!” alafu akabeba chakula chake,sahani yangu na soda yake haraka na kukipeleka jikoni kisha akatoka jikoni na kupitia simu yake iliokua mezani akielekea haraka haraka katika vyumba vya kulala kisha nikasikia akiubamiza mlango “Mbaah!!!”. Baada ya sekunde chache mama yake aliingia na kunikuta niko kwenye meza ya chakula nimekamata glasi ya Juisi akaniuliza “Vipi, dada yako amekupa chakula?
“Ndio amenipa.. Asante Sana”
“Anha usijali.. Kwaiyo yeye yuko wapi?”
“Yupo.. alielekea vyumbani huko”
“Mh litoto hili yaani limeona shida mpaka kukaa na kaka yake hapa.. mhm” alafu nae akaanza kuelekea huko huko vyumbani na kuniacha pale nikiwa nawaza “kwanini Suzy amejiondoa haraka karibu yangu aliposikia mama yake anakuja wakati mama yake anataka ajisogeze kwa wanaume?”…

INAENDELEA…

Unataka tukutumie simulizi nzima kwa njia ya WhatsApp? GUSA HAPA

SUKARI YA DADA 04 🔞

Nilijibu “Sawa” lakini kiukweli uongeaji wake ulikua ni wakujiamini kama mwanaume mpaka nikajiuliza kimoyo moyo “Mh Sawa amenichanganya lakini nitamuingiaje huyu?” lakini nilijipa moyo huwenda Penzi linaweza mbadilisha…
Kwa muda huo niliamua kumchukulia jinsi alivyo yaani ingawa alikua akiuvutia moyo wangu lakini nilikua naongeanae kama mwenzangu tu. Alinionesha sehemu nyingi za nyumba hiyo na alikua akinielekeza namna gani natakiwa kufanya ili kumfurahisha mama yake ambae ndio bosi wangu pia alinigusia kidogo kuhusu swala la ukali wa mama yake, alisema mama yake ni mkali mno na ukali wake huongezeka mara dufu pale mtu anapomjibu wakati amechukia hivyo niwe makini sana katika hilo. Katika maongezi nilijaribu kuanza kumchimba kuhusu ugomvi wao na mama yake kwa kumuuliza “Ivi kwanini mmekua kama hampatani na mama yako?”
Lakini cha ajabu aliyakatisha maongezi kwa kunijibu “Ndio hivyo bigi.. huwa hatupatani tu. Nafikili sehemu zote nimeisha kupitisha, twende ndani basi ukale chakula maana bi mkubwa ndio huyoo anaondoka na gari, na huwa hakawi kurudi tena akikukuta hujala ataongea sana”
Nilipoangaza nikaona gari getini ikisubiri geti la Automatic lijifungue ili liweze kutoka na ndani ya gari hilo alikuwemo mamaake Suzy ambae ndio mama mwenye nyumba mwenyewe lakini hiyo haikua sababu tosha ya kutonijibu kwa undani swali langu ila sababu ilikua ni kwamba hataki kabisa kuvizungumzia vitu vinavyo muhusu yeye.

Basii tuliingia ndani akaniacha kwenye sehemu ya kulia chakula kisha akaingia jikoni na kurudi na chakula sahani mbili, akanipatia moja kisha akavuta kiti na kukaa na mimi mezani ili na yeye ale chakula chake kilichokua kwenye sahani. Mimi na yeye tulianza kula tukiwa katika meza moja tena tumegeukiana huku macho yangu yakimtazama kila mara maana alikua ananivutia sana lakini yeye alikua hana hata dalili ya kuniwaza yaani alikua busy mno. Baada ya yeye kula vijiko kadhaa nilimuona akinyanyuka nakuelekea sehemu ambayo kulikua na friji, skujua alikua anaenda kufanya nini lakini nikakuta tu akirudi akiwa na soda mbili aina ya pepsi katika mikono yake huku ameining’iniza Opener katika kidole chake kwaajili ya kufungulia soda hizo… Alifika katika meza na kuniambia “Sorry hapa huwa tunatumia soda za pepsi tu hivyo kama utapenda unaweza ukawa unashushia hii” huku akiisogeza soda moja upande wangu pembeni kidogo na chakula nilichokua nakula kisha akatumia Opener kuifungua soda yake “Chisiii..!!!!!” Alafu akaiweka Opener hiyo kwenye uso wa meza na kuisukuma ili ije kwangu kwa kujibuluza kwenye meza lakini kwa bahati mbaya ilijibuluza kwa kasi mpaka mwisho wa meza wa upande wangu na nilishindwa kuizuia mpaka ikadondoka chini “Ndingiritiii..!!!!” Nikamsikia akisema “Ooh Sorry” nikamjibu “haha usiwaze Suzy” kisha nikainama chini ya meza ili kuiangalia na kuiokota. Niliona lakini wakati nikiwa nimeinama chini ya meza nikitaka kuichukua nilitupa macho kwabahati mbaya upande aliokaa Suzy, nilichokiona kiliniduwaza kidogo maana nilikua nikiona asilimia kubwa ya mwili wa Suzy ulivyo umbika. Niliona mguu pamoja na paja nene zilizokua ziking’ara kutokana na usafi wake yaani mazingira tu yalionesha kuwa yaliyomo yamo tena niliyatamani mno. Wakati nikiendelea kuyazubalia hayo ghafla niliskia ya Suzy sauti juu ya meza “Vipi hujaiona?” Mh nilishtuka nikanyanyua kichwa bila umakini nikajikuta nimejigonga chini ya meza “khuuuh!” nikasika sauti ya Suzy juu ya meza ikisema “Oh.. Oh.. pole” mungu akasaidia nijichomoa vizuri chini ya meza na kuja juu haraka kisha nikamjibu “Dah.. Asante” huku nikihema mno na kwa muda huo niliduwa pia Suzy alikua ananiangalia usoni lakini mimi nilikua nakwepesha macho kwa kuangalia pembeni, juu na chini kutokana na aibu za kujishtukia kitu nilichokua nikikifanya chini ya meza. “Fungua soda sasa.. mbona umeshikilia Opener alafu hufungui soda wala huendelei kula?.. umeumia au?” Nilimsikia Suzy akiniambia hivyo huku akiwa na sura ya wasiwasi kidogo baada yakuniona nimeganda tu mbele yake bila mimi mwenyewe kujitambua lakini niliposikia hivyo tu, akili ikarudi na nikamjibu kwa kumzuga “Nipo Sawa.. ila nilikua najiskia kizungu zungu kidogo” alitabasam kidogo kisha akasema “Anha sawa.. endelea kula basi”.


Basi nikaendelea kula na hamu yote ya soda ilikata pia yeye aliendelea kula lakini wakati tukiendelea kula iliskika simu ikiita kwenye meza ya TV. Basi nilimuona Suzy akinyanyuka kuifuata na Kama kawaida yangu, macho hayakuacha kulicheki zigo la Suzy lililokua likijitikisa vilivyo.

Niliendelea kushuhudia Suzy akiipokea simu aina ya iPhone ilikua ikiita kisha nikamsikia suzi akifoka “Sasa wewe mpumbavu baada ya kunitumia mimeseji yako ya Mapenzi usiku kucha umeamua munipigia mi mama ako?… Acha ujinga fuata yako mbwa wewe!!!”
Akuishia hapo, bado nilimsikia akiporomosha matusi makubwa makubwa ambayo yalikua yananitetemesha mpaka mimi maana pamoja na kwamba sikusikia na sauti ya aliekua akiongeanae lakini maneno ya Suzy yalionesha wazi kuwa anaongea na mwanaume mwenzangu aliekua akijaribu kutupa nanga kwa bibie Suzy.

Dah wakati Suzy akiendelea kutukana mtu kwenye simu yake mimi nilikua nawaza kuwa “Suzy ni mwanamke mzuri sana ambae nampenda na kumtamani mno ingawa naficha lakini ipo siku nitashindwa kujizuia, sasa sijui itakuaje yakinitokea ya huyu jamaa dah” nilikua nikiwaza hivyo kwasababu nilikua mmoja wa watu wanaoogopa kukataliwa na wanaowapenda…

INAENDELEA…

Unataka tukutumie simulizi nzima kwa njia ya WhatsApp? GUSA HAPA

SUKARI YA DADA 03 🔞

Baada tu ya kumaliza kugonga nikasika sauti ya mama ambae nilihisi kuwa ndie mama mwenye nyumba akimfokea biti yake ndani “ivi wewe inamaana, huo mlango unaogongwa huusikii au?!.. huo upumbavu wako ndiomaana kila siku nakwambia tafuta mume uniondokee we hutaki! na huo uzuri wako, utazeekea hapa hapa mbwa wee! kafungue mlango huko!” Alafu baada ya sekunde chache, mlango ukafunguliwa na dada mmoja mzuri sana mwenye asili ya kizungu akiwa kavaaa blauzi na kibukta cha maua kilichokua kifupi mno yaani uvaaji wake tu ulinionesha kuwa ni mtoto wakike alielelewa malezi ya kizungu na yenye kudekezwa ndani yake.
Aliniambia “Kariiiibu” akiwa anamaana niingie ndani nami nilimwambia “Asante sana” huku nikiingia na nilipoingia tu niliskia sauti ya kunichangamkia ya mama mwenye nyumba aliekua amekaa kwenye kiti huku amepakata Laptop “Anha karibu baba, we ndio yule kijana wa kazi ehee!?”
Nilimjibu”Ndio mama, shikamoo”
Akasema “Marahaba, karibu.. karibu ukae” kisha akamwambia kwa ukali yule binti yake wakike ambae muda huo alikua yupo karibu yangu “Unazubaa zubaa nini!?!. Hebu mpokee kaka ako begi, peleka ndani kwenye chumba chake!” Yule dada alinipokea begi langu na kuanza kutembea kidogo kidogo kuelekea katika vyumba kwa mwendo wa kulazimishwa lakini bado mamaake alimsindikiza kwa maneno “Yaani Suzy ukiona mimi nakutesa rudi kwa baba ako Uingereza ambae amekuruhusu kitoto kidogo uache shule kule, uje kufungua maduka ya nguo huku!! Ona sasa biashara zinavyokuchanganya… na nilisha kwambia, kwakua umekimbilia kumiliki vitu vikubwa basi malizia tu na kutolewa maana staki Utomboy wako hapa!!!”
Yaani ndani ya dakika chache nilipoingia kwenye nyumba hiyo nilianza kupata picha ya maisha ya familia hiyo kutokana na maneno aliokua akiyatoa mama mwenye nyumba na nilishtuka kidogo kusikia neno Tomboy maana wanawake ambao huitwa jina hilo huwa hawajihusishi sana na wanaume na ilikua ni ngumu kuamini kuwa pamoja na uzuri wote alionao Suzy alikua hana na haitaji mwanaume.


Baada ya mama kuongea maneno hayo tulianza kuongea mambo ambayo yalinileta pale… Aliniambia kulikua na mfanyakazi ambae alikuawa anafanya kazi kabla yangu lakini alimfukuza kutokana na kesi ya wizi hivyo asingependa kuniona nikirudia makosa na pia alinipa sheria kuwa nikiwa humo ndani sipaswi kutumia simu kabisa, nilikubaliana na yote alioniambia na tulipo malizia tu kuongea akawa anajitokeza Suzy toka alikokua ameenda. Mama alipomuona Suzy karudi alimwambia “Enhe Suzi hebu kabla hajapumzika mzungushe zingushe kaka ako sehemu ambazo alikua anafanya kazi yule mwizi. Mimi nataka kwenda kwenye kikao sasaivi maana naona wenzangu wananitumia ujumbe kwa njia ya email kuwa nahitajika haraka ila usisahau kumpa chakula” Suz Alijibu “Ok mamy” alafu akaniambia “Twende basi.. nifuate nikakuoneshe” huku akiufungua mlango na kuelekea nje mimi pia nilifanya kama alivyoniambia, nikatokannje na nikawa nikonyuma yake tukitembea kuelekea sehemu ambazo alikua ananipeleka. Kila hatua aliokua akiipiga Suzy ilikua ni mtihani mkubwa sana kwangu maana alikua akitembea, mzigo wake wa nyuma ulikua unajipiga piga kwa kupishana pishana ukiachilia mbali kibukta kifupi alicho kivaa ambacho kilikua kifupi kulikopaja zake na kufanya paja zote kua nje yaani kiukweli alinona mno na alikua anafanya akili yangu ihame lakini yeye alikua haelewi lolote na mbaya zaidi ni kwamba alijiachia mno kwakua huo ndio uvaaji wake wa mara kwa mara akiwa nyumbani pia mama yake inaonekana alikua hamuwaziii kabisa kuhusu mavazi.


Tukatembea mpaka tukafika katika bustani kubwa ya maua na tulipo fika nilishtuka kidogo kusikia Suzy aliniambia “Sasa bigi.. hii ndio bustani ambayo utakua unaishughulikia na kuhakikisha majani hayakui zaidi ya hapa maana bi mkubwa huwa hapendi majani yazidi hapa”
Nilijibu “Sawa” lakini kiukweli uongeaji wake ulikua ni wakujiamini kama mwanaume mpaka nikajiuliza kimoyo moyo “Mh Sawa amenichanganya lakini nitamuingiaje huyu?” lakini nilijipa moyo huwenda Penzi linaweza mbadilisha…

INAENDELEA…

Unataka tukutumie simulizi nzima kwa njia ya WhatsApp? GUSA HAPA

SUKARI YA DADA 02 🔞

Nilijiweka Sawa kisha nikasogelea chumba cha bafu ambacho kilikua kinasikika kelele za maji yakitiririka mwilini mwa Tausi lakini ghafla kabla sijaingia ndani yake niliskia kishindo kizito sana ndani ya bafu “Mbuuh!!” kikiambatana na “Mamaaaah!!!”. Nilishtuka sana na nikaamua kuufungua mlango kwa nguvu ilikujua nini kilichomtokea Tausi. Nilimkuta Tausi akiwa amelala chini tena kalalia Sura akiwa hana nguo yoyote katika mwili wake na maji yakiendelea kumwagika chini na kuchanganyikana na damu iliokua ikimwagika kutoka maeneo ya kichwa chake. Nilimfuata haraka kisha nikamnyanyua na kumpeleka moja kwa moja katika kitanda. Alikua amelegea mno kama mtu alielala usingizi mzito alafu alikua na mchubuko mdogo uliokua ukitoka damu nyingi kiasi katika sehemu ya paji la uso. Kutokana na mazingira, nilishindwa hata kuomba msaada maana ilikua ni usiku wa kama saa 8 ivii na pia nilikua na hofu kubwa ya binti huyo kupoteza maisha na mimi kuingia matatizoni.
Nilifungua begi langu na kuchomoa moja ya T-shirt zangu nyeupe pendwa na nikaitumia kuukandamiza mchubuko wake kwa sekunde kadhaa ili kufanya damu zisiendelee kutoka. Mungu alisaidia, damu ilikata kabisa lakini dalili za kuamka zilikua hakuna kabisa ingawa nilikua nikimshtua mara kwa mara kwa sauti ya chini “Tau.. Tausi.. amka basii.. amka rafiki yangu! Tau mama! nionee huruma.. amka basi” huku moyo wangu ukidunda mithiri ya mlio wa Generator na jasho likinishuka mno…

Nilikua nasikiaga tu kuwa Usiku ni mfupi sana kama mtu uko kwenye matatizo lakini siku hiyo niliamini kwakua nilikuta saa1 asubuhi imefika kwa haraka sana na bado Tausi hajaamka.. Niliendelea kujifungia kwenye chumba hicho huku nikiwa na hofu kama mtu aliekojoa ugenini lakini baada ya muda niliskia mlango ukigongwa “Ngo, ngo, ngo” nilishtuka na hofu iliongezeka mpaka nikaanza kutetemeka huku mlango ukiedelea kugongwa “Ngo,ngo,ngo”.

Dah nilifikilia jinsi ya kufanya nikaona kufungua mlango inaweza kuwa ni uamuzi mbaya kwangu kwasababu hata mtu asipoona kinachoendelea ndani, akiiona sura yangu tu atagundua ninamatatizo makubwa hivyo niliamua kumfokea kwa sauti kali na ya juu yule mtu aliekua anagonga mlango “Unagonga!.. Unagonga!… Unagongagonga milango asubuhi yote hii, watu tunakula raha zetu wewe unaleta usumbufu.. Tatizo NinI!?!??!? Ehee!?!??” Baada tu ya kufoka hivyo niliskia sauti ya kikohozi kidogo ikitoka karibu yangu “khooh!” nilipoangalia vizuri nilikuta ni Tausi ndie alikua akikohoa baada ya kurudishwa fahamu na makelele yangu. Baada ya kuona hivyo sikuwa na muda tena wa kusikiliza majibu ya mtu wa mlangoni mpaka akaondoka mwenyewe. Nilimchangamkia Tausi ili kujua anaendeleaje, anajiskia vipi na anahitaji nini na kwa wakati huo aliniambia anahisi njaa.. bila kupoteza muda nilitoka nje nakumtafutia chakula cha haraka kisha nikarudi kumpatia. Alikula na nikaendelea kuongea nae mambo mengi sana ili kuirudisha kumbukumbu yake na muda huo ndio niliutumia kumuazima simu yake kisha nikawasiliana na wenyeji wangu ili waje kunichukua kwenye Guest hiyo. Tausi alinishukuru kwa kuokoa maisha yake na alinipatia namba yake ya simu nikaiandika katika karatasi ili niweze kuonana nae kwa mara nyingine kisha akaondoka na kuniacha nikisubiri mwenyeji wangu kuja kunichukua.

Baada ya muda mfupi nilichukuliwa na deleva wa pikipiki alietumwa na wenyeji wangu kisha nikashushwa kwenye mjengo wa kifahari ambao ninaenda kufanya kazi ndani yake. Mjengo ulikua na wigo mkubwa sana na nilipoingia nilipita kwenye bustani kubwa sana ya maua kabla ya kuifikia nyumba yenyewe. Nilifika kwenye mlango na kuugonga mara kadha “Ngo ngo ngo” “Ngo ngo ngo” baada tu ya kumaliza kugonga nikasikia sauti ya mama ambae nilihisi kuwa ndie mama mwenye nyumba akimfokea biti yake ndani “Ivi wewe inamaana, huo mlango unaogongwa huusikii au?!.. huo upumbavu wako ndiomaana kila siku nakwambia tafuta mume uniondokee we hutaki! na huo uzuri wako, utazeekea hapa hapa mbwa wee! kafungue mlango huko!”

INAENDELEA…

Unataka tukutumie simulizi nzima kwa njia ya WhatsApp? GUSA HAPA

SUKARI YA DADA 01 🔞

Usiku uliotulia nilikua nipo kitandani nikiiwaza safari ambayo nilikua nimeisha jiandaa kuianza pindi kutakapo kucha. Safari hii ilikua ni yakwenda Dar es salaam kwaajili ya kufanya kazi katika Jumba moja la kifahari baada ya matokeo yangu kuwa mabaya na kushindwa kuingia kidato cha tano ili kuendelea na masomo. Pia binafsi sikupenda kuendelea maana nlikua sielewi kabisa vitu vinavyoendelea Darasani kutokana na kichwa kuwa na mambo mengi ikiwemo mambo ya ugomvi katika familia yetu. Baadae usingizi ulinichukua kisha nikashtushwa na Alam ya simu yangu nilioitega iniamshe ili niwahi gari kabla halijaondoka maana magari ya hapa iringa huwa yanajali sana muda kiasi ambacho ukichelewa dakika chache tu, unaweza achwa. Nilijiandaa, nikalibeba begi langu la nguo na wallet iliojaa pesa kwaajili ya matumizi yoyote yatakayojitokeza kisha nikaenda kupanda gari na safari ikaanza.

Wakati gari ikiendelea kwenda nilikua nikiliwaza jiji la Dar maana hiyo ilikua ni safari yangu ya kwanza na nilikua nikipewa Simulizi nyingi kuhusu jiji hilo ila sikua na hofu saaana maana namba ya simu ya wenyeji wangu nilipewa ili niwapigie nikifika kwaajili ya kunichukua na kunipeleka moja kwa moja katika nyumba yao.
Baada ya masaa mengi sana na vipindi vichache vya usingizi,gari iliingia Dar mida ya usiku sana. Nilitoka kwenye gari na begi langu mkononi nikiwa ninalishika kisawa sawa ili lisinyakuliwe na vibaka maana nilikua nikiskia kuwa wageni hukaribishwa Dar kwa namna ya pekee sana hahaha. Ulikua ni usiku lakini watu walikua wengi mno na kila mtu yuko busy na shughuli zake. kwa umakini mkubwa, nilinyooka katika sehemu ya duka ambayo nilihisi ni salama kisha nikachomoa simu yangu na kuipigia namba ya mwenyeji wangu.. lakini ghafla wakati nikiiweka simu sikioni kuna mtu aliipitia simu yangu kwa kasi ya ajabu na kwakua tukio lilikua la ghafla, nilibaki nimeduwa tu nikimuangalia aliechukua simu yangu akijichanganya katikati ya watu mpaka akatokomea.

Niliangalia kulia na kushoto nikaona hakuna mtu anaejishughulisha na tukio langu la kuibiwa simu. Nikaamua kukubaliana na uhalisia na wala sikua na hofu juu ya kukutana na wenyeji wangu kwakua namba zao nilikua nimezihifadhi pia katika kikaratasi kilichopo kwenye begi langu hivyo changamoto iliokuepo ilikua ni simu tu lakini muda huo ulikua si rahisi kupata simu ya kuwasiliana nao kwakua ulikua ni usiku sana na hatua pekee niliochukua ni kutafuta chumba katika nyumba za wageni maana pesa nilikua nazo za kutosha. Nilibahatika kupata chumba katika Guest moja bomba sana nikaamua kuingia humo ili nipate kupumzika.

Kutokana na uchovu wa safari, sikupoteza muda.. nilifunga mlango na kujitupa kitandani kama mzigo “Bwaah” lakini punde si punde nikasikia mlango wa chumba hicho ukigongwa “Ngo,ngo,ngo!!” “Ngo,ngo,ngo”. Niliamka kwa hasira mno maana nilona kama ni usumbufu vile lakini hasira zote ziliniisha nilipofungua mlango na kukutana na mrembo mweupee, mzuri, mwenye shepu la hatari na macho ya kulegea akisema “Samahani wangu.. naitwa Tausi, nlikua nataka kukufahamisha kuwa kama uko pekeako tunaweza kujumuika pamoja mpaka hasubui”
“Mh kujumuika? Kujumuika kivipi mbona sijakuelewa dada angu”

Duh… ilibidi niulize anamaana gani japo nilifahamu alichokua akizungumzia lakini ukweli ni kwamba nilipanga kutojihusisha nawanawake wamitindo hiyo lakini nilishindwa kujizuia aliponijibu…
“Yaani namaanisha kama utahitaji tulale wote.. nipo kwaajili yako na nitakupa kila kitu unacho hitaji” huku akivutia kwa juu kinguo chake kifupi ili nione paja zilizo nona.
“Sawa lakini..”
“Lakini nini wangu?”
“Okay.. okay.. ingia ndani.. ingia ndani.. karibu” nilijibu kwa kigugumizi sana maana muda huo nilikua ni kama nimetekwa na akili na nimetolewa kwenye msimamo wangu kwa uzuri wake..
“Asante.. mambo vipi lakini?”
“Safi tu, mzima?”
“Mi mzima tu wangu”
Nikamwambia jina akaingia ndani na katika chumba changu kulikua kumetawaliwa na kitanda pamoja na kiti kimoja tu ambacho alikitumia kuweka mkoba wake kisha akaanza kuvipunguza vitu katika mwili wake kwa kuanza hereni na mkufu wa gold ulikua ukiking’arisha kifua chake kilicho na vitunda vilivyosimama kama mshale. Nikiwa nimekaa kitandani niliendelea kumshuhudia Tausi akizidondosha nguo zake moja baada ya nyingine mpaka akabaki na nguo ya kwanza tena ilikua ni kama kikamba tu katika mwili wake… Alikua amejaza mzigo nyuma kuliko sehemu zake zote. Baada ya kupunguza vitu katika mwili wake, alinigeukia na kuniambia “Nahitaji kuoga kwanza wangu.. nafikiri tutaenda wotee”
“Mh nafikiri unge.. unge.. ungeeenda tu hat.. hata usijari” niliongea kwa kigugumizi kutokana na hamu ilionizidi kiasi kwamba hata mate yalikua magumu kuyameza.
“Hapana wangu.. twende bafuni, usiogape kwasababu Mimi nipo hapa kwasababu yako”
“Dah… Okay.. bas.. basi tangulia nakuja”
“Sawa”alijibu huku akielekea kwenye bafu ambalo lilikua ndani ya chumba hicho hicho. Alipoingia tu bafuni sikutaka kupoteza muda, nlichomoa nguo zote nikabaki na nguo ya ndani tu huku nikiwa tayari nimejitutumua mpaka mishipa ya kichwa imesimama tayari kwa kuilamba Sukari ya Tausi. Nilijiweka Sawa kisha nikasogelea chumba cha bafu ambacho kilikua kinasikika kelele za maji ya kitiririka mwilini mwa Tausi lakini ghafla kabla sijaingia ndani yake niliskia kishindo kizito sana ndani ya bafu “Mbuuh!!” kikiambatana na “Mamaaaah!!!”.

INAENDELEA…

Gusa kitufe hiki chini kusoma sehemu inayofuata.

Unataka tukutumie simulizi nzima kwa njia ya WhatsApp? GUSA HAPA