Category Archives: Mahusiano

Kwanini mwanaume anashindwa kusimamisha? Sababu hizi hapa

Kuna sababu nyingi zinazoweza pelekea kutokea kwa tatizo la mwanaume kushindwa kusimamisha yaani, kushindwa kuwa na uwezo wa kuamsha uume wake na kuwa imara na mgumu wakati wa tendo la ndoa . Kuna wanaume hukumbana na tatizo hili kwa muda mfupi au kuwa tatizo la kudumu. Hali hii anaweza kumbana nayo mwanaume wa umri wowote(Mzee au Kijana).

Fanya haya ili uchelewe kupiga bao BONYEZA HAPA>>>

Sababu za mwanaume kushindwa kusimamisha

Sababu zinazoweza sababisha mwanaume kushindwa kusimamisha zinaweza kuwa za kisaikolojia, afya ya mwili, mtindo wa maisha, magonjwa ya zinaa au umri. Hebu tuangaliae zaidi mambo au sababu hizi:

Saikolojia.

Mwanaume akiwa na mfadhaiko, wasiwasi, msongo wa mawazo, au hofu ya kutofanya vizuri wakati wa tendo, anaweza jikuta kashindwa kusimamisha. Yani kama mwanaume hajiamini au mawazo yapo mbali na tendo anaweza kumbana na tatizo hili.

Afya ya mwili.

Tatizo la kushindwa kusimamisha kwa wanaume wengine linaweza kusababishwa na masuala ya afya ya mwili. Mwanaume akiwa na mwili wenye ugonjwa wa kisukari, shinikizo la damu, matatizo ya moyo, unene uliopitiliza, au ugonjwa wa tezi dume, anaweza kumbana na tatatizo la kushindwa kusimamisha.

Mtindo wa maisha.

Mwanaume pia anaweza shindwa simamisha baada ya uwezo wake wa kusimamisha kuathiliwa na matumizi ya tumbaku, unywaji wa pombe kupindukia, na matumizi ya dawa za kulevya. Pia, kutofanya mazoezi ya kutosha na kula chakula au lishe duni kunaweza kusababisha mwanaume kupata matatizo ya nguvu za kiume.

Mazoezi ya mwili yatakayo kusaidia katika mapenzi BONYEZA HAPA>>>

Magonjwa ya zinaa.

Mwanaume kuwa na baadhi ya magonjwa ya zinaa kama vile kisonono na magonjwa mengine kunaweza muathiri uwezo wake na kupelekea matatizo ya nguvu za kiume.

Umri wake.

Kwa wanaume wengi, umri huathiri uwezo wa uwezo wa kusimamisha. Mwanaume mwenye umri mkubwa anaweza jikuta amepunguza uwezo wa kusimamisha kutokana na umri wake ingawa hali hii huwakuta pia wenye umri mdogo.

Ikiwa mwanaume anasumbuliwa na tatizo hili kwa muda mrefu au mara kwa mara ni vyema kumwona daktari au mtaalamu wa afya ili kupata ushauri na matibabu sahihi yanayoweza saidia kuweka hali sawa.

Asante kwa muda wako, endelea kufuatilia The bestgalaxy, endelea kuwa karibu na The bestgalaxy.

SMS nzuri kwa mpenzi aliembali(mapenzi ya mbali)

Ni kawaida sana kuona  wapenzi wanaopendana kukutana na sababu mbalimbali zinazopelekea wapenzi hao kuwa mbali. Sababu hizi zinaweza kuwa ni kazi, masomo na mambo mengine katika maisha. Wapenzi ambao wako mbali au  wanaoishi mbali ni vema wakazingatia sana mawasiliano na kuonyeshana upendo katika mawasiliano. 

Hapa The Bestgalaxy leo tunakupa orodha ya jumbe fupi za mapenzi ya mbali zinazoweza kutumika katika kuwasiliana. Kama mahusiano yapo kwenye hali hii basi unaweza tumia jumbe hizi:

Jinsi ya kuwa romantic kwa mpenzi wako BONYEZA HAPA>>>

sms za mapenzi ya mbali

1. Umbali wowote kati yetu hauwezi kuuzima upendo wangu kwako Mpenzi. Kila siku nakuwaza na nazidi kukupenda tu huku natamani sana uwekaribu yangu.

2. Kukaa mbali na wewe ni kazi ngumu sana mpenzi wangu. Kuna muda natamani nije huko uliko niwe na wewe ila nikikumbuka kuwa kuna siku tutaonana, napata amani kidogo, Nakupenda sana.

3. Hata kama tuko mbali kimwili, moyo wangu daima uko nawe huko uliko. Nakupenda sana.

4. Napenda tunanyowasiliana, unanifanya nijisikie karibu nawe japo tuko mbali. Kichwa changu na moyoni mwangu bado upo wewe mpaka tutakapokutana tena.

5. Kuna malaika wa upendo nimenitokea na kuniambia kuwa penzi letu linapendeza. Umbali hauwezi kututenganisha mpenzi wangu, tuendele kuwa pamoja milele.

6. Usiruhusu shetani atumie mwanya wa sisi kuwa mbal,i kuua penzi letu. Penzi letu ni kubwa kuliko umbali wetu. Siwezi kukuona au kukugusa huko uliko ila tambua moyo wangu wote upo kwako.

Jinsi ya kutunza mahusiano ya Mbali BONYEZA HAPA>>>

7. Sikuizi nakosa joto lako tamu unalonipa pindi nikigusa mwili wako. Lakini bado nakupenda kwa nguvu zote. Jina lako limeandikwa ndani ya moyo wangu na haliwezi futika milele. Unaeweza fanya niumie au niendelee kufurahi ni wewe.

8. Moyo angu hulipuka kwa furaha kila tunapowasiliana. Hii ni kwasababu nakupenda na siku zinavyozidi kwenda, nazidi kukupenda leo kulio jana. Sipati picha nitakavyokua tukikutana.

9. Moyo wangu uko nawe, hata kama mwili wangu uko mbali na wewe. Umbali hauwezi yumbisha penzi langu  kwako. Nikishindwa kuvuilia nipo tayari kukufuata na sio kukuacha kipenzi changu.

10. Jukumu la kulinda penzi letu ni langu mimi na wewe mpenzi. Tunapokua mbali au karibu ni vema tukakumbuka jukumu letu mpenzi. Tusije ruhusu walioharibu mapenzi yao waalibu na yetu. Nakupenda sana.

Jumbe au sms kama hizi zinaweza kusaidia kuimarisha uhusiano wenu wa mbali na kumfanya mpenzi wako ajisikie kuthaminiwa na kupendwa. Pia ni vema kukumbuka kuwa mawasiliano ya mara kwa mara na jitihada za kukutana zinaweza kuwa na mchango mkubwa kwenye uhusiano wa mbali.

Uzazi wa mpango ni nini?

Karibu The bestgalaxy. Hapa unaenda kupata maaelezo yatakayo kufungua kidogo ubongo juu ya “Uzazi wa mpango. Uzazi wa mpango ni mpango au uamuzi wa mtu au watu katika kuzaa watoto .Lengo kuu la uzazi wa mpango ni kuruhusu wazazi kuchagua ni lini na idadi gani ya watoto wanataka kuwa nayo, kwa kuzingatia rasilimali walizo nazo zao, hali ya maisha, na malengo yao katika maisha. Kuna njia au hatua zinazochukuliwa na watu au jamii ili kudhibiti idadi ya watoto wanazozaa au kuepuka mimba zisizo tarajiwa.

Kuna njia mbalimbali za uzazi wa mpango na hapa chini tunaenda kuangalia njia 6:

Njia za uzazi wa mpango

1. Dawa za Kuzuia Mimba(Njia ya kisasa): Hizi zinaweza kuwa dawa za kumeza au sindano ambazo zinaweza kuzuia ujauzito. Mwanamke anaweza kwenda kwenye kituo cha afya akachomwa sindano ya kuzuia mimba au akameza vidonge vya kuzuia mimba.

2. Kondomu(Njia ya kisasa): Kondomu ni mipira amayo huvaliwa katika tendo kuzuia mimba na kujikinga dhidi ya magonjwa ya zinaa. Mwanaume kuvaa kondomu katika tendo kunaweza fanya mwanamke asipate mimba. Lakini pia kuna kondomu za kike ambazo mwanamke anaweza vaa kumsaidia asipate mimba.

3. Vitanzi(Njia ya kisasa): Hivi ni vifaa vinavyowekwa ndani ya mfuko wa uzazi na huweza kuzuia mimba kwa muda mrefu.

4. Vipandikizi(Njia ya kisasa): Hivi ni vijiti vyenye ukumbwa kama njiti ya kiberiti ambavyo huwekwa katika mkono wa mwanamke kwa lengo la kuzuia mimba.

5. Upasuaji wa Kuzuia Mimba(Njia ya kisasa): Kwa wanaume, upasuaji wa kufunga mirija ya uzazi (vasectomy) unaweza kutumika kuzuia mimba. Kwa wanawake, upasuaji wa kufunga mirija ya fallopian (tubal ligation) ni njia nyingine.

6. Kufuatilia mzunguko wa hedhi au kutumia kalenda(Njia ya asili): Pia unaweza zuia mimba zisizotarajiwa kwa kufuatilia mzuguko wa hedhi kisha kuepuka kufanya tendo katika siku za hatari.

Uzazi wa mpango unaweza kusaidia kudhibiti idadi ya watoto na kuboresha afya na ustawi wa wazazi na familia kwa kutoa fursa ya kuchagua lini na jinsi ya kupata watoto. Lakini unapawa kutambua kuwa njia nyingi za uzazi wampango za kisasa zimekuwa zilieta madhara kwa watumiaji. Ni vema kufika katika kitua cha afya na kupewa muongozo zaidi juu ya njia za kisasa za uzazi wa mpango. Njia ya Kufuatilia mzunguko wa hedhi au kutumia kalenda ni njia ya asili isio na madhara kwa mtumiaji ila ina hitaji umakini sana.

UTAMU WA JUMLA 🔞 (Simulizi ya sauti)

Simulizi ya UTAMU WA JUMLA ni simulizi yenye uhusiano kidogo na simulizi ya SUKARI YA DADA. Unaweza sikiliza simulizi hii ukiwa ndani ya The Bestgalaxy Bure kabisa na pia unaweza ipakua na kufurahia kwenye simu au kifaa chako. Sikiliza simulizi hii katika mazingira tulivu yatakayo ruhusu kuielewa kirahisi.

Katika kuisikiliza ukiwa kama msikilizaji hakikisha unazingatia umri maana simulizi hii haitakiwi kusikilizwa na mtu mwenye umri chani ya miaka 18.

kama umebonyeza na inachelewa kuanza basi huenda ni tatizo la mtandao wako. Jaribu mara kadhaa kwa kusubiri.

Sehemu ya 1
Sehemu ya 2
Sehemu ya 3
Sehemu ya 4
Sehemu ya 5
Sehemu ya 6
Sehemu ya 7
Sehemu ya 8
Sehemu ya 9
Sehemu ya 10
Sehemu ya 11 (mwisho)

Kupata taharifa ya simulizi mpya na mambo mwengine, hakikisha unatembelea The bestaglaxy kila mara na pia unaweza jiunga kwenye group letu la Whatsapp Bure.

Maneno ya kumwambia Mpenzi wako usiku

Mukiwa katika mahusiano ya mapenzi mnaweza kuwa mnatumia muda mwingi kuongea au kuwasiliana kipindi cha usiku. Hii inaweza kuwa ni mmepigiana simu, mnatumiana sms(kuchati) au mupo sehemu moja mnaongea. Hapa chini kuna kuna orodha ya maneno ya kumwambia Mpenzi wako usiku pindi unapoishiwa maneno ya kuongea. Maneno haya yanaweza saidia kuanzisha mada nyingine usiku huo na kumfanya mpenzi wako afurahi au ajisikie vizuri kuwa na wewe usiku huo. Endelea kuwa karibu na The Bestgalaxy.

Jinsi ya kujua mtu mwingine anaona sms na unavyofanya WhatsApp kisiri SOMA HAPA>>>

Maneno ya kumwambia Mpenzi wako usiku (Mwanaume au Mwanamke)

Bebi ivi umeliona giza la usiku wa leo huko nje? Maisha yangu yanaweza kuwa zaidi ya hivyo bila wewe… sitamani utoke maishani mwanagu, nakupenda sana.

Yani natamani tungelala wote leo, natamani kuona macho yako mazuri ukiyafumba,natamani kusikia sauti za chini za ndoto zako za ucku huku nikiwa nimekukumbatia dear.

Ukiniambia nitaje vitu ninavyopenda toka kwako naweza anza kuvitaja usiku huu mapaka asubui na nisimalize.

Huku niliko ni baridi sana natamani nipate kumbato lako muda huu.

Ukihesabu nyota zote angani alafu idadi ya hizo nyota uizidishe mara milioni 100 ndio idadi ya sababu za moyo wangu kukupenda wewe.

Leo ukitaka kulala niambie mimi ntaendelea kuwa macho kukulinda mpenzi wangu.

Mazoezi ya mwili ambayo husaidia katika Mapenzi SOMA HAPA>>

Hapa sina usingzi, natamani nije nikukiss ndipo nilale.

Unaupa furaha moyo wangu usiku huu mpaka nashindwa kuelezea huraha hii.

Anaesoma ujumbe huu ni mtu ninaempenda sana na moyo wangu hudunda kwa furaha “Pah!” kila nikiona simu au sms toka kwake.

Sisi ni binadamu, Kuna muda huwa tunapatia na kuna muda tunakosea… Moja ya vitu vikubwa ambavyo nimepatia hapa duniani ni kukupenda wewe mpenzi.

Mtu anaesoma ujumbe huu ni mtu pekee ninaempenda katika maisha yangu. kunamuda nawaza nimwambie neno gani zaidi ya “Nakupenda” ili ajue nampenda sanaaa ila nakosa jibu, unaweza nisaidia kumwambia?

Nikiamka nikakuta hii ni ndoto nitafanya chochote ili nilale tena maana ninafuraha sana kuwa na wewe muda huu. Nahisi nipo ulimwengu mwingine.

Jinsi ya kuwa romantic kwa mpenzi wako BONYEZA HAPA>>>

Penzi lako kama pumzi, nalitaka kila muda… Ni zaidi ya Utamu wa asali au tunda.

Katika ulimwengu wa mapenzi ni bahati sana kupata mpenzi anaejua mapenzi siku hizi… Mimi bahati hii niliipata pale lipokupata wewe mpenzi wangu.

Najivunia kuwa na wewe usiku huu.

Mambo humfanya mwanaume akupende sana na kukuchagua maishani

Kumekuwa na mahusiano mengi ambayo huanzishwa lakini hayafiki mbali kama lilivyo lengo kuu la mahusiano yao. Hali hii inafanya wanawake wengi wawe na wasiwasi katika mahusiano. Wamekua wakifikilia “Je, atanifanya niwewake wa maisha?” Lakini wanasahau kujiweka tayari kwaajili ya kuwa wanawake wa maisha.
Kuna vitu vidogo vidogo ambavyo vinaweza mfanya mwanaume akuweke moyoni na akufikilie kuwa wewe ni wake wa maishani. Hebu tumia muda wako kuvisoma hapa chini.

Mazoezi ya mwili ambayo husaidia katika Mapenzi BONYEZA HAPA>>>

Mambo humfanya mwanaume akupende sana na kukuchagua maishani

Tabasamu.

Kama unahitaji mwanaume avutiwe na wewe basi tambua kitu muhimu kufanya unapokuanae ni kutabasamu na kucheka. Usionyeshe uso usio na urafiki. Kuwa kama mtu anayependeza, mwenye urafiki, na mchangamfu. Ukijitahidi kuwa mtu mwenye furaha kuliko maugomvi. Onensha sura ya tabasamu kuliko makasiliko. Mapenzi yenu yanaweza kuwa na furaha pia na hakuna mwanaume asiependa mapenzi yenye furaha.

Whatsapp yako inatatizo? Jifunze jinsi ya kutatua hapa BONYEZA HAPA>>>

Kuwa mcheshi.

Wanaume kwa ujumla wanapenda wasichana wenye ucheshi ambao wanaweza kuwafanya wajisikie vizuri. Kuna muda mwambie hadithi za kufurahisha na usiogope kucheka. Kumbuka usizidi kupita kiasi hadi uonekane kama mchekeshaji. Ni vizuri kuwa na mwenzi ambaye anafurahisha, lakini ni watu wachache sana wanamawazo ya kuishi na mchekeshaji.

Toa kuliko kuchukua.

Ili kuongeza nafasi zako za kukupenda lazima utoe kuliko kuchukua. Mwanaume anaweza kutofautisha kwa urahisi kati ya msichana ambaye anataka kitu kutoka kwake na yule anayemjali.
Nadhani unajua kuna wasichana wengi ambao wanafuata pesa na wameweka mbele pesa kuliko mahusiano. Wanaume wengi wanao wafuata wanawake wa mtindo huu huwa hawana mpango nao wa maisha maana huona kama wananunua upendo hivi… Jitofautishe na wauzaji na aone unavutiwa naye kwa upendo wake na sio pesa yake au kitu kingine chochote. Yani hata akitanguliza gari mbele usishoboke nalo sana kuliko kumpenda yeye maana baadae anaweza anza kulisifu gari kwa kukukamata wewe na mbaya zaidi inaweza kuwa ni wanawake wengi walinaswa na gari hilo hivyo, haunajipya.

Mpenafasi ya kufanya kazi, Mshauri na kumtia Moyo.

Unaweza sikiliza hii

Katika maisha Mwanaume maranyingi huzungukwa na vitu vinavyomkatisha tamaa na kumuumiza lakini anatakiwa ajikaze tu kwasababu ni “Mwanaume”. Hii inaweza kuwa kazini, kwenye familia na maeneo mengine. Endapo mwanaume anaejielewa atapata mwanamke ambae anamsikiliza mambo yake magumu, anamshauri, anamtia moyo na kumsukuma kufanya maamuzi mazuri na maendeleo hata kwenye mambo madogo kwenye maisha, hawezi kumuacha mwanamke huyo aondoke maishani mwake. Kuna familia huwa zinainuka na kuwa na mafanikio kwasababu ya jambo hili, hasa zikiwa na mambo ya kidini ndani yake.

Kama muko kwenye mahusiano na mwanaume na anaonekana kuwa busy sana na kazi mpaka anafikia kuwa mbali na wewe, Usimfikilie tofauti moja kwa moja na kuanza vurugu. Mruhusu mwanaume afanye kazi kidogo ili kufanya maendeleo kisha vumilia pindi anapokua mbali na wewe ila usijisahau kumuonesha upendo sana.

Hili ni jambo ambalo linaweza kuongeza sana nafasi zako za kushinda upendo wake. Wanawake wegi wanakata tamaa na kumuacha mwanaume wanapoona yupo busy Sana na maisha… huzani kuwa hawana nafasi tena lakini jua kuwa wakati huo ndio wakati mzuri wa wewe kuongeza upendo wake kwako.

Jinsi ya kuwa romantic kwa mpenzi wako BONYEZA HAPA>>>


Muoneshe kuwa bado yupo moyoni wako, muoneshe kuwa unajua anachokifanya na ukipata muda muulize maswali au kumshauri, muoneshe kuwa bado unamjali hii itamfanya akuweke katika fikila zake za kimaisha. Usijekosa maisha mazuri anayokupambania kwa kukata tamaa.

Lakini unapo mruhusu afanye kazi mbali na wewe hakikisha unafanya vitu vya upendo ambavyo vitamfanya aanze waza kukuweka karibu yake au kuja karibu yako(kama atakua na uwezo huo). Ukipata nafasi pia mtembelee au fanya mautundu akutembele.

#Muvumilie anaejali upendo na uvulilivu wako tu, Wanaume wengine hukimbia mazima.

Usimmiliki sana kuliko kumuonesha upendo.

Wanawake wengi hufanya makosa ya kumiliki sana mwanaume na wakati hata hawamuoneshi upendo. Unaweza kujaribu kumlinda sana asiende kwa wanawake wengine ili abaki kuwa na wewe pekee katika maisha yake lakini je anao wafuata wanamvuta kama jinsi unavyo fanya wewe?. Ni wazi kuwa wanamvuta kwa upendo na vitu vingine vizuri… hivyo na wewe kuwa mbunifu na kwenye kumuonesha upendo ambao utamvutia zaidi kisha mruhusu aamue kuchagua kinachomfaa. Ikiwa wewe ndiye wa kwake, hakika atakupenda.

”kwanini wanawake wazuri/warembo hawaolewi?” sababu zinaweza kuwa hizi BONYEZA HAPA>>>

Kuwa na maadili mema.

Maadili mazuri ni lazima katika kumshawishi mwanaume akupende zaidi na aweke moyo wote kwako maishani. Hakuna mtu anayetaka kujihusisha na mtu ambaye haeleweki,hasikii au hana nidhamu. Bila shaka kila mtu husita kumpa moyo mtu ambae hana maadili mazuri. Wanaume wanapenda wanawake ambao wana nidhamu. Hivyo basi muheshimu na pia uwevizuri nae ataona unafaa kuwa wake maishani. kuna mambo unawezasikia rafiki au mwanawake wa mitandaoni Eti “Ukinichiti nakuchiti” “Wanaume wote ni Mbwa” “Siwezi kuwa na mwanaume mwenye gari au pesa” “Siwezi olewa kwa sasa mimi ni mzuri” na mengine mengi kama hayo. Ukileta mambo hayo kwenye maisha yako unaweza angukia pua, ni vema kutula kuwa na maadili yatakayomkaribisha mtu kuwa na wewe maishani. Onesha heshima kwa Mwanaume hata wakikuita mshamba. Kuwa msafi, vaa vizuri na marafiki wastaarabu.

Maneno na maswali ya kurefusha maongezi na kumfurahisha mpenzi wako

Katika mahusiano wapenzi mnaweza ongea au kuwasiliana mpaka ikafika wakati mkakosa cha kuzungunzia, hasa kama hakuna mmoja kati yenu mwenye uwezo wa kuendesha mazungumzo. Ukiwa kwenye hali hii, unaweza ingizia maneno na vimaswali vilivyopo hapa chini kurefusha mazungumzo yenu, kumchekesha na hata kukusaidia kumjua vizuri mpenzi wako. Unaweza kuyatumia kama sms, au kuyaongea unapokua nae karibu au kwenye simu. Lakini unapotumia maneno na maswali haya hakikisha hamupo kwenye hali ambayo itamfanya mpenzi wako aone kero. Endelea kuwa karibu na The Bestgalaxy.

WhatsApp yako inatatizo? Jifunze jinsi ya kutatua hapa>>>>

Maneno na maswali ya kurefusha maongezi na mpenzi wako

  1. Kuna watu walikua wanamsifia dada flani hivi kuwa anamacho mazuri, nilivyomwangalia yule dada nikajiuliza “Mh hivi wanamjua mpenzi wangu hawa? hahaha” Unamacho mazuri sana alafu nayapenda.
  2. Hivi hilo kovu ulifanya nini?, au ulikua cha utundu utotoni?
  3. Kama kuna zawadi ambayo ulipanga kumpa mtu atakae kupenda kwa dhati maishani mwako nipe tu maana nakupenda sana mpenzi, sitamani utoke maishani mwangu unanipa furaha mwenzio. Stamani niamke kwenye hii ndoto.
  4. Kwa mfano umeshida Milioni 80 sasa hivi, utanipa shingapi au utafanyia nini?
  5. Kukupenda ndio kitu ninachoweza kukifanya bila kuchoka duniani mpenzi wangu. Sijui niwe nakuita jina gani ili usije sahau kuwa nakupenda na usinitende…
  6. Ulivyo kuwa mdogo ulitaka ukiwa mkubwa uwe nani?
  7. Hebu fumba macho tuone… Hahaha Unamacho mazuri… ivi unajua kwamba una macho mazuri hivyo?
  8. Kwaiyo umelala peke yako? huogopi?
  9. Wiki ijayo nikumbushe nikwambie kitu… Ntakwambia kitu kizuri
  10. Kitu gani unapenda utimize kabla siku zako za kuishi duniani hazijaisha?
  11. Bebi, ivi nikikwambia utaje vitu vitano tu unavyo penda duniani utataja vitu gani?
  12. Unapenda mbwa au paka?
  13. Ivi katika maisha yako unaogopa nini?
  14. Ulifikiria nini mara ya kwanza nulipokwambia nakupenda?
  15. Niambie vitu vitatu tu ambavyo hauvipendi?
  16. Ivi umenipendea nini? au unapenda nini toka kwangu mpenzi?
  17. Ninavyokugusa huwa najiskia vizuri sana ivi wewe unahisi vipi?
  18. Unafanya nini sasa hivi?
  19. Upo na nani hapo kipenzi?
  20. Natamani nije hapo japo kukubusu tu lips zako nzuri hizo
  21. Ukichukia unapenda kufanya nini ili kutuliza hasira zako?
  22. Alafu usiku nilikuota
  23. Ivi umeishawahi poteza hela? ilikua kiasi gani?
  24. Niambie maneno matatu mazuri toka moyoni mwako
  25. Unapenda kuangalia filamu? unapenda filamu gani?
  26. Hahaha… nitakwambia kesho… au nipe zawadi nikwambie leo
  27. kwenye familia yenu wewe ni mtoto wa ngapi kuzaliwa?
  28. Ivi bebi Unapendelea zaidi kula chakula gani?
  29. Ugali kwa kiluga chenu munauitaje?
  30. Ukipewa nafasi ya kutembelea nchi tatu duniani ambazo hauja wahi tembelea, utachaguza zipi?

Je, wajua haya kuhusu Kondomu na Ukimwi? soma hapa

Kondomu ni kifuko kinachotumiwa na wanaume tangu zamani kuzuia mimba na maambukizi ya maradhi ya zina. Siku hizi kuna kondomu ya kike pia.

Kondomu zinatengenezwa kwa ngozi ya mnyama, siku hizi hutengeneza kwa kutumia mpira.

Utengenezaji hufanyika katika mazingira ya baridi ili kuhifadhi uimara wa mpira.

Zinaunganishwa ngozi nyembamba mbili ili matundu ya ngozi ya kwanza yazibwe na ile ya pili na matundu ya ngozi ya pili yazibwe na ile ya kwanza.

Kisha kupimwa, kondomu huwekewa dawa ya kuzuia isiharibike: dawa hiyo ina madhara kwa afya.

Pamoja na kutumika kwa ajili ya kuzuia mimba kwa mafanikio makubwa (ingawa si 100%), mpira huo unatangazwa sana kama kinga imara dhidi ya virusi vya UKIMWI.

Lakini katika utafiti uliofanywa na shirika la Sexuality Information and Education Council la Marekani kwa majozi 122 ambapo mmojawao alikuwa mwathirika, wenzao 12 waliambukizwa (10%) ingawa walifanya ngono kwa kutumia kondomu kila mara na kwa usahihi.

Shirika la Human Life International lilifanya utafiti kwa aina mbalimbali za ngono. Kati ya waliotumia vizuri kondomu, mwaka wa kwanza waliambukizwa: 11% za waliofanya ngono ya kawaida, 30% za waliofanya ulawiti. Mwaka wa pili wakafikia 21% na 51%. Mwaka wa tatu wakawa 30% na 66%.

Kwa maneno mengine ni kwamba kondomu haizuii moja kwa moja, bali inaahirisha maambukizi: kama si leo, inaweza tokea kisababu kesho ukapata japo ni kwa uwezekano mdogo sana, hasa kama ukiwa muangalifu katika taratibu za utumiaji. Pamoja na yote hayo, huwezi kulinganisha hata kidogo kutumia kondomu na kutotumia kabisa. Bado kondomu ni kitu kinachozuia maambukizi ya virusi vya UKIMWI kwa asilimia kubwa sana ukilinganisha na kutoitumia. Ndio maana watu hushauriwa kutumia kondomu ili kuzuia maambukizi wanaposhirikiana kimwili bila kujua hali zao. Na endapo mtu akipata virusi vya ukimwi ni vema akajikubali, akeelewa kuwa sio mwisho wa maisha na pia kuwatu wengi katika Dunia au mazingira yake wanahali kama yake waishi kama kawaida.

SUKARI YA DADA 🔞 (Simulizi ya Sauti)

SUKARI YA DADA ni simulizi tamu iliotolewa na kijana wa miaka hii na mpaka sasa imefuatiliwa na maelfu ya watu na wameipenda. Sasa simulizi hii inapatikina kwa sauti na hii ni kumrahisishia mtu asietaka kupoteza muda kuisoma. Mbali na hivyo, kuna vitu vingi vya kufurahisha kwenye simulizi ya SUKARI YA DADA ya sauti kuliko ya maandishi japo ya maandishi pia ni nzuri sana kwa upande wake. Kama unahitaji simulizi hii unaweza anza kusikiliza sehemu za mwanzo Bure kabisa kwenye simu yako. Kitu cha kuzingatia ni kwamba hautakiwi kuwa na miaka chini ya 18 au kusikiliza sehemu zilizo na watu wa umri huo maana ndani ya simulizi kunavitu vilivyolenga watu wa umri wa miaka 18 na kuendelea.

Anza na simulizi hii kwa kusikiliza vipande vifuatavyo:

Sehemu ya 1:

Sehemu ya 2:

Sehemu ya 3:

Sehemu ya 4:

Sehemu ya 5:

Sehemu ya 6:

Kama utahitaji kupata simulizi nzima, ni Tsh 2000 tu(wahi OFA!)… Bofya kitufe kilichoandikwa “WhatsApp” hapa chini ili kuchati na sisi Whatsapp ili upewe nafasi ya kupata Simulizi full(vipande 17). Au piga simu 0715233405

Unaweza sikiliza maelezo haya

Isikilize simulizi ya SUKARI YA DADA katika mazingira ya utulivu

Kama utakua umeamua kuisikiliza ni vema ukazingatia mazingira ya utulivu ili ufurahie zaidi hii simulizi. mazingira tulivu yatakufanya umuelewe msimuliaji na kuielewa kirahisi simulizi hii nzuri. Ninaposema mazingira tulivu na maanisha mazingira yalio na makelele au vitu vingine vinvyoweza ondoa umakini unaouweka kwenye simulizi na kukufanya usisikie au kuelewa baadhi ya sehemu. Zingatia sana anachosema msimuliaji kuliko kuizingatia sauti yake.

Inaweza kusikilizwa na wanaume na wanawake

simulizi hii inaweza sikilizwa na jinsia zote. Nikisema jinsia zote basi nna maana inaweza sikilizwa na mwanaume na pia mwanaweke. Hivyo kama wewe na mwanaume, unaweza sikiliza simulizi hii… Ukiwa ni mwanaumke, unaweza pia sikiliza simulizi hii bila shida yeyote. cha kuzingatia hapo ni umri tu maana watu wasio na miaka 18 na kuendelea hawaruhusiwi kutega sikio za kwa msimuliaji.

Kuwa mjanja! Tufuate kwenye akaunti zetu mpya za kijamii ; Instagram na Facebook

SMS nzuri za kumtumia mpenzi wako asubuhi

Asubuhi ni mwanzo wa siku na kuianza siku vizuri kunaweza kuwa ni pamoja na kupokea sms ya maneno ya upendo toka kwa watu tunaowapenda. Kumpa maneno mazuri ya upendo mpenzi wako wa moyoni anaekupenda kunaweza kufanya aifurahie siku nzima na pengine kufanya aendele kukuamini kwamba unamjali, upo yupo kichwani mwako na unamuwaza huko uliko. Hivyo kama unataka kufanya jambo hili, tambua kuwa hizo ni kati ya faida zake katika mahusiano. Na kama unahitaji sms za maneno mazuri za asubuhi zitakazo mgusa roho mpenzi wako, unaweza ukoa muda kwa kuangalia sms fupi ziliopo hapa chini zitakazo endana na hali ya penzi lenu.

Mambo ya kuepuka katika mahusiano BONYEZA HAPA>>>

SMS za asubuhi njema kwa umpendae

Asubuhi njema… Natamani siku ya leo tungeamka kitanda kimoja na wewe. Tena sikufichi, huku niliko nakosa vitu vingi sana kwasababu niko mbali na wewe mpenzi wangu… Ila nikikumbuka kuwa unanipenda na pia nakupenda, moyo wangu unatulia kidogo na kusubilia siku tutakayoonana ingawa naona kama nachelewa kukutana na wewe malaika wangu, nakupenda sana.

Upendo ni zawadi ya pekee sana mungu aliyoiweka ndani ya mioyo yetu bure na mimi nimeitumia vema sasa zawadi hii kwa kukupenda wewe. Nakupenda sana na sijawahi jutia kukupenda mpenzi wangu. Asubuhi njema wangu.

Sms za kumfanya mpenzi wako afurahi BONYEZA HAPA>>>

Kuna mtu mmoja mzuri, anaakili sana, mkarimu na nampenda saaaana, yupo anaisoma sms hii niliomtumia pekeyake asubuhi hii. Ameuteka moyo wangu na sihitaji kuunasua maana anaupa raha kwa penzi lake, Asubuhi njema kwake.

Natumai ulikuwa na usingizi mzuri sana. Tafadhali amka sasa kwa sababu asubuhi yangu haiwezikamilika kujua hali yako wewe. Habari ya asubuhi mpenzi!

kila siku huwa nawaza kukusu wewe na mapenzi yetu kiujumla… nimegungua najifunza vitu vingi sana toka kwako, pia upendo wako unaboresha maisha yangu na kunifanya niishi kwa furaha sana. Asante kwa kuwa mimi, nimekuweka moyoni, nakupenda na nazidi kukupenda kila siku mpenzi wangu, Asubui njema kwako.

Natumai umelala kama malkia. Sasa tafadhali amka kama nyota na utawale ulimwengu wangu kwa siku ya leo tena. Habari za asubuhi!

Katika penzi letu kunamuda tunagombana alafu tunapatana. Hii isije kukufanya uamini kuwa sikupendi. Kama jinsi jua linavyo chomoza asubuhi hii na kuleta mwanga palipo na giza ndivyo uwepowako unaleta furaha kwenye maisha yangu. Nakupenda sana na najivunia kuwa na wewe…. Nakutakia asubuhi njema wangu.

Tunapitia vitu vingi katika penzi letu lakini sijawahi jutia kukupenda wala kuwa na wewe kwenye penzi. Mimi huwa naamini mimi ni Mfalme na wewe ni Malkia katika safari ya maisha na penzi letu, naamini unanipenda na nakupenda sana. Nakutakia asubuhi njema na siku yenye furaha.

Jinsi ya kufanya mpenzi wako akuwaze kila mara BONYEZA HAPA>>>

Leo nimeamka nikiwa na mawazo yako tu akilini mwangu. Huwezi amini nilivyo kumiss hapa. Siezi kufurahia asubuhi hii nzuri bila wewe mpenzi wangu. Amka!

Najisikia kubarikiwa sana kila asubuhi ya maisha yangu ninapojua hali yako ni salama. Umeamka poa?