Category Archives: Android games

CLASH ROYALE (mod)

Clash Royale Mod Apk (for Android) provides many features and some of them are exclusive for mods. The features are:

Unlimited resources (gold & gems)
No-root needed
Command feature & 100% free
Infinite chests
All emotes fully unlocked
Top Royale, News Royale & TV Royale also available
Push trophies and reach on higher leagues
Custom cards & commands are available
A stable and secure private server of Clash Royale
Weekly updates & new cards available

File type: Apk

Category:

Size: 90MB

SUBWAY SURFERS (mod)

Subway Surfers for Android

has been dressed in a Chibi 3D graphic style and is extremely suitable for children. With colourful images full of charisma, thanks to eye-catching graphics and full of interesting perhaps is also a factor that attracts the attention of a large number of players around the globe. With the context and gameplay is no stranger to the player. You will be placed in a train station, but depending on the event each different updates that the game will have different scenes according to the owner. The topics of countries around the world such as Japan, the US … all have a certain event and meaning that the manufacturer introduces. The player plays the naughty teen who is being chased by the police and his dog for painting graffiti on tramcars. Players are tasked with controlling those mischievous little boys dodging obstacles placed in front of them by swiping right, left to go right or left, swipe up to jump, swipe down to slide down.

File type: Apk

Category:

Size: 78MB

SMS MZURI ZA MAHABA KWAAJILI YA MPENZI WAKO

Mahaba unayonipa natamani niwe nawe mpaka
kufa,
kila siku zinavyozidi kupita
najuta kwanini nilichelewa penzi kukupa,
nakupenda na nitakupenda hadi kufa!
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•

Hivi ni lini penzi utanipa, nimechoka na ahadi
unazonipa kila kunapokucha,
tambua kwako nimefika na siku utakayonipa
zawadi nzuri nitakupa na hutanisahau
hadi kufa.
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·

GUSA HAPA>>> SOMA SIMULIZI YA UTAMU YA KIKUBWA YA MAPENZI (SUKARI YA DADA)

Nisamehe la azizi ukweli mbona uko wazi,
yule si wangu mpenzi ila ni rafiki yangu
kipenzi, yangu mapenzi ni wewe pekee nayekupa mpenzi,
katika hii dunia ni wewe
pekee penzi nayekupatia!
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•

Uko wapi wangu malkia, mwenzio hamu nasikia nawe
ndiye ujuwaye hamu kunitoa,
tafadhali dear upatapo msg hii tambua nyumbani
nakusubiria! Luv u
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
Hakika raha wajua kunipatia, fimbo wajua kuitumia sharti
mtoto wakike nabaki
nagugumia kwa raha unayonipatia ambayo wengi
wanaililia , plz utamu wangu
nitunzie!
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
Nashukuru kwa miguno uliyonipatia na kiuno kunikatia,
utamu niliousikia
nilitamani kulia hatima ilipowadia , nakupenda
dia usije utamu wangu mwingine
kumpatia! Luv u
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•

GUSA HAPA>>> SOMA SIMULIZI YA UTAMU YA KIKUBWA YA MAPENZI (SUKARI YA DADA)
Wikiendi ndiyo imeisha, majukumu hatunabudi kuyatimiza dear,
kuwa nawe muda mrefu
nimefurahia nakujihisi malkia katika hii dunia kuwa
nawe najivunia. Luv u
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
Wangu Malkia nashukuru kwa mahaba uliyonipatia,
nikikumbuka miguno na viuno ulivyonipatia na
raha niliyojisikia, nahisi kuna mwingine unampatia,
please dear penzi langu usije wengine kuwapatia! Nakupenda.
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•

GUSA HAPA>>> SOMA SIMULIZI YA UTAMU YA KIKUBWA YA MAPENZI (SUKARI YA DADA)

Nashukuru kwa ya

ko dozi hakika katika
mapenzi wewe ni mkufunzi,
wajua bakora kuitumia, mpenzi usije ukawa na
mwingine
unayempatia, hakika nikijua nitaumia kama
sikujiuam. Nnakupenda!
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
Nimeamini wewew ni mtalam wajua kunitoa hamu,
unipapasapo huhisi kupoteza fahamu, maneno yako
matamu hunizidisha hamu, hakika
wajua kunikamua, luv u.
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
Hakika nimepata tabibu, maradhi yangu wajua
kujyatibu,
napenda jinsi unavyonitibu,
huna papara yaani ni taratibu,
mpenzi usijemuonyesha mwingine hizo
zako zabibu,
maswahibu yakatayonisibu hakuna
atakayeweza kuyatibu, nakupenda.
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
Usiku wa jana ulikuwa wa aina yake, ulinipa mambo
matamu yasiyo ya kawaida,
ulinifurahisha sana mpenzi wangu,
ulidhihirisha kuwa wewe ni kidume
uliyeubwa kwa ajili yangu..
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
Nakumbuka siku utamu ulityonipa maneno
matamu kedekede hukusita kunipa na
ahadi kibao masikioni mwangu zilisikika,
hakika roho yangu haikusita kuamini
kwako nimefika, nashangaa
leo utamu hutaki nipa!
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
Wikiend ndiyo siku niliyokuwa nikiisubiria mimi
nawe mpenzi tupate tulia, mahaba na
maneno matamu ndio zawadi
niliyokuandalia. Kumbuka yetu
miadi na jali wakati!
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
.
unayempatia, hakika nikijua nitaumia
kama sikujiuam. Nnakupenda!
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
Nimeamini wewew ni mtalam wajua kunitoa hamu,
unipapasapo huhisi kupoteza fahamu,
maneno yako matamu hunizidisha
hamu, hakika wajua kunikamua,
luv u.
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
Kuwa nawe najivunia, mtoto mapenzi wayajua,
kiuno, sauti yako tamu mithili ya
chiriki wajua hasa kuitumia, mua wangu
wajua kuukamua, ukiniacha jua nitaumia,
nakupenda usije niacha nitajiua!
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
usiku unapoingia najawa na furaha unajua kwanini?
unaponigusa nahisi tumeumbwa wawili,
mchana nakumisi sana unapokuwa kazini,
wikiendi natamani isiishe kwani unanipa
raha ambazo siwezi kuzipata popote. . .
Naomba raha hizi usimpe mwingine. . .
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
kila ninapoona macho yako nafurahia uwepo
wako,nikiona tabasamu lako,nasikia homa ya
moyo,nikiona chozi lako la furaha
,moyo wangu unakuwa
huru kwako,nakupenda sana mpenzi
wangu na
wewe ndiye valentine wangu. . .
Pokea busu mwaaaah
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
pumzi yako kwangu ni burudani ya ajabu,
nakupenda sana busu lako maridhawa
shavuni mwangu.wewe ndiye furaha
katika maisha yangu.labda ulikuwa
hufahamu,nimekuficha moyoni
mwangu mpenzi!
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
darling jana umenikuna. . . .umenikuna c kdogo
. . . .nililia ukanibembela,niliponyamaza
ukaniliza tena,lkn fahamu kulia
kwangu c maumivu bali utamu wako.
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
Nashukuru wangu laaziz kwa uwepo wako,
naamin meng kunitimizia na kukata kiu la
penzi langu kwa wako uhodari.
Krbu mpz nikate kiu yangu.
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
hakiyanani mpz unanidatisha ukitembea unatingisha,
mwenzio unanipagawisha
kwako nimefika
na hii namaanisha
nakupenda
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
Mahaba unayonipa hakika nafarijika,
mpenzi niliyemtaka hakika nimekupata,
kiu yangu wajua kuikata, kuwa
nawe hakika
nimeukata kwani wajua kunipa
bata! Luv u, mwaah
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•

Gusa hapa>> USOME JAMBO ZURI ZAIDI KWAAJILI YAKO