All posts by Admin

20 ANDROID SECRET CODES

Android Secrete codes:

1. Phone Information, Usage and Battery – *#*#4636#*#*
2. IMEI Number – *#06#
3. Enter Service Menu On
Newer Phones – *#0*#
4. Detailed Camera
Information – *#*#34971539#*#*
5. Backup All Media Files –
*#*#273282*255*663282*#*#*
6. Wireless LAN Test – *#*#232339#*#*

7. Enable Test Mode for Service – *#*#197328640#*#*
8. Back-light Test – *#*#0842#*#*
9. Test the Touchscreen – *#*#2664#*#*
10. Vibration Test – *#*#0842#*#*
11. FTA Software Version – *#*#1111#*#*
12. Complete Software and Hardware Info – *#12580*369#
13. Diagnostic Configuration – *#9090#
14. USB Logging Control – *#872564#
15. System Dump Mode – *# 9900#

16. HSDPA/HSUPA Control Menu –*#301279#
17. View Phone Lock Status – *#7465625#
18. Reset the Data Partition to Factory State – *#*#7780#*#*
19. Format Your Device To Factory State(will delete everything on your phone) – *2767*3855#
20. Hidden Service Menu For Motorola Droid – ##7764726

Taking a Full-Screen Screenshot on Windows 8 and 10

1. Go to the screen that you want to screenshot.
Before you can take a screenshot, make sure that the screen which you want to screenshot is up with no distractions. e.g, open windows or program.

2. Find the “Print Screen” key on your keyboard.
The Print Screen key is most often found in the upper-right side of the main keyboard (not counting the number pad if your keyboard has one), and it usually has “SysReq” written below it. The Print Screen key will usually be abbreviated to “PrtSc” or something similar.

3. Press the Win key and the Print Screen key at the same time.
Doing so will take a screenshot of the current screen; in most cases, you’ll see the screen dim briefly. Your screen won’t dim if your computer has certain display settings disabled. This is most common on old computers on which you upgraded to Windows 10.And if your screenshot doesn’t appear when you look for it, try pressing Ctrl+ Win+ Print Screen or Fn+ Win+ Print Screen.

4. Find the screenshot.
You’ll find the screenshot inside of the “Screenshots” folder, which is inside of your computer’s pictures file.

THIS IS HOW TO DELETE FACEBOOK ACCOUNT

1. Go to https://www.facebook.com/help/delete_account by using your browser.If you are not automatically logged in, enter the email address or phone number and password for your account, then click Log In. It’s a blue button in the middle of the page.

2. ClickDelete My Account“. It’s below the warning message in the middle of the page.

3. Enter your password again. You’ll do so in the “Password” field at the top of the window.

4. Type in the captcha code. This code is the jumble of letters and numbers in the middle of the window; you’ll type your answer into the field below the code Then click ok

5. Finish by clicking Ok” to delete your account. It’s at the bottom of the pop-up window. Total account deletion can take more than 14 days, but your account will be gone from Facebook after that time frame.

HOW TO UNINSTALL YOUR DOWNLOADED APPS ON ANDROID PHONE

Open your device’s Settings app.

You cannot use this method to uninstall apps that came preloaded on your device. See the next section for details on removing preloaded apps

Scroll down and tap Apps. It’s in the “Device” section.

Scroll down and tap the app you want to deleted.

Tap UNINSTALL.

  • If there is no UNINSTALL button, the app is a default or system app that can’t be deleted without rooting your device. You can tap DISABLE to prevent it from functioning and hide it on your device. To permanently delete it, you’ll need to root your device and delete it from a desktop computer.
Tap OK to confirm. The app will be removed from your device

JINSI YA KUANGALIA KAMA LINE/SIMU YAKO IMEUNGANISHWA AU INACHUNGUZWA NA MTU MWINGINE

1. Nenda katika sehemu ya kupigia simu.

Hii ni sehemu ambayo wewe huadika namba na kuipiga (kwa wenye simu za batani wanaweza kuanza moja kwa moja na hatua ya pili ya bonyeza namba)

2. Bonyeza namba *#61#

Hakikisha mara mbili mbali hizi namba (*#61#) ili kuepuka kukosea na kukupelekea wewe upate majibu yasio sahihi.

3. Piga kisha subiri kwa muda.

Baada ya kuziandika vizuri kabisa hizo namba zipige na usubiri kwa muda kisha utapewa wajibu.

4. Angalia majibu.

Kama majibu yatakayokuja yatakua ni “No forwarded” basi jua simu yako haijaunganishwa na mtu yoyote nanaekuchunguza. kama majibu yatakayokuja yatakua ni “Forwarded” basi jua kuwa simu yako imeunganishwa na mtu naeweza pata taalifa zako (baadhi anajua watu wanaowailiana na wewe).

Na kama umekuta unachunguzwa piga ##21# kujiondoa.

Gusa hapa>> USOME JAMBO ZURI ZAIDI KWAAJILI YAKO

SMS TAMU ZA MAPENZI

upendo ni jibu kwamba kila mmoja anataka. . .
upendo ni lugha ,
kwamba kila mmoja anaongea,
upendo hauwez kununuliwa,
na isiyo kadirika na ya bure,upendo kama uchawi safi,ni
siri ya maisha matamu
nakupenda mpenzi
*°·.¸¸.° °·.¸¸.°*

Gusa hapa>> TAFUTA HAPA SMS ZA MAPENZI ZA MWEZI HUU (MPYA)

“Mimi sitaki kuwa kila kitu kwa kila mtu, lakini napenda
kuwa kitu kwa mtu.na mtu mwenyewe ni wewe”
nakupenda laazizi
“Kama mimi nilikuwa na maua kila wakati
mawazo yangu
yangekuwa juu yako,nisingefikiri wa kumpa mwingine kabla
yako je wewe ungekuwepo nayo
ungempa nani kwanza? ”
*°·.¸¸.° °·.¸¸.°*

ningependa nikuambie neno ambalo halina gharama na
likutumiwa vibaya halina maana wala thamani. neno hilo
haliandikiki kwenye karatasi wala hata halitamkiki ila tu
Linatokea Bila kujua na halina sababu.neno hilo mi
mwenyewe silijui ila ndo linatufanya tuwe pamoja Japo tupo
Kasi Na Kusi. Nakupenda sana Dear Figganigga
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•

Gusa hapa>> MPAGAWISHE MPENZI WAKO KWA SMS TAMU SANA ZA MAPENZI ZIPATIKANAZO HAPA

naukunjua moyo wangu huishi milele maishani ,nafungua
nafsi nikupende wewe pekee,nafunga milango ya moyo wangu
ili
kutokupokea ugeni wowote wa moyo zaidi yako
mpenzi.nakupenda sana laazizi
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
sipo tayari kuukabidhi moyo wangu kwa mwingine zaidi
yako,wewe ni wa pekee maishani mwangu mwenye kujua hisia
moyoni mwangu
mpenzi nipende daima pendo lako nitalienzi, nakupenda
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
mapenzi si pombe lkn yanalewesha, wala si kidonda lakini
yanatonesha,wala si maradhi lakini yanaumiza, wala si
njaa lakini yanakondesha ,mapenzi ni uvumilivu kwa
unaempenda
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
mapenzi ni safari=unifanye nauli ya moyo, mapenzi ni
maradhi=unifanye daktari ni kutibu maradhi yako,mapenzi ni
kiu=niwe maji jangwani,mapenzi ni chakula=nikulishe
maishani mwako na uwe asali moyoni mwangu
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
wengi hupenda fanta kwa ladha yake,wengine hupenda
pilipili kwa muwasho wake,wengine hupenda asali kwa utamu
wake ila mimi nakupenda wewe kwa upendo wako.
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
nimetuma ndege wangu auzunguke ”moyo” wako kwa ” upendo
” auguse ”uso” wako kwa ”faraja” na mwisho
akunong’oneze sikioni taratibu kuwa nakupenda.
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
mapenzi ni utoto,deka ulie nitakubembeleza,mapenzi ni
zawadi tabasamu nibusu niambie kiasi gani unanpenda,naweza
kusema asilimia kubwa jina lako limezunguka kuta wa moyo
wangu.kamwe jina lako haliwezi kufutika.nakupenda sana Figganigga
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
teke la kuku halimuumzi mwanaye sawa na dhati ya mapenzi
haiumzi moyo wa ampendaye,tugombane sasa hivi tupatane
badaye,najua hakuna wasiogombana ,kama wapo siku
wakigombana wataachana.
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•

Gusa hapa>> MAMBO YATAKAYOFANYA PENZI LENU LIDUMU, HAYA HAPA

Furaha yangu ni kuwa nawe kwani u zaid ya mboni
yangu,najisifu kuwa nawe maishani mwangu naamini itatokea
kutokuwa mbali nawe mpz wangu,unisahaulishe machungu na
karaha za huu ulimwengu .nakupenda dia
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•

>>———>>> Mshale huu unamtafuta mtu muhimu sana ktk
maisha yangu na kama umekutana nao
usiukwepe uache
uchome Moyo wako gharama
za matibabu juu yangu.
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
sioni zawadi ya kukupatia kwa mapenzi
unayonipatia,
moyoni nimekuridhia wewe pekee penzi langu daima
kukupatia nakupenda
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•

Gusa hapa>> WANAKUTUMIA SMS MPYA ZA MAPENZI KILA SIKU BURE, USIACHE KUIJUA HII

COMPUTER’S SHORTCUT KEYS SYSTEM

CTRL+A. . . . . . . . . . .. Select All
CTRL+C. . . . . . . . . . . . . . . . . Copy
CTRL+X. . . . . . . . . . . . . . . . . Cut
CTRL+V. . . . . . . . . . . . . . . . . Paste
CTRL+Z. . . . . . . . . . . . . . . Undo
CTRL+B. . . . . . . . . . . . . . . . . Bold
CTRL+U. . . . . . . . . . . . . . . . Underline
CTRL+I . . . . . . . . . . . . . . . . . Italic
F1 . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . Help
F2 . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . Rename selected object
F3 . . . . . . . . . . . . . . . Find all files
F4 . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . Opens file list drop-down in dialogs
F5 . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . Refresh current window
F6 . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . Shifts focus in Windows Explorer
F10 . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . Activates menu bar options
ALT+TAB . . . . . . . . . . . . . . . . Cycles between open applications
ALT+F4 . . . . . . . . . . . . . . . . . Quit program, close current window
ALT+F6 . . . . . . . . . . . . . . . . . Switch between current program windows

ALT+ENTER. . . . . . . . . . . . . . Opens properties dialog
ALT+SPACE . . . . . . . . . . . . . . System menu for current window
ALT+¢ . . . . . . . . . . . . . . . . . . opens drop-down lists in dialog boxes
BACKSPACE . . . . . . . . . . . . . Switch to parent folder
CTRL+ESC . . . . . . . . . . . . . . Opens Start menu
CTRL+ALT+DEL . . . . . . . . . . Opens task manager, reboots the computer
CTRL+TAB . . . . . . . . . . . . . . Move through property tabs
CTRL+SHIFT+DRAG . . . . . . . Create shortcut (also right-click, drag)
CTRL+DRAG . . . . . . . . . . . . . Copy File
ESC . . . . . . . . . . . . . . . . . . . Cancel last function
SHIFT . . . . . . . . . . . . . . . . . . Press/hold SHIFT, insert CD-ROM to bypass auto-play
SHIFT+DRAG . . . . . . . . . . . . Move file
SHIFT+F10. . . . . . . . . . . . . . . Opens context menu (same as right-click)
SHIFT+DELETE . . . . . . . . . . . Full wipe delete (bypasses Recycle Bin)
ALT+underlined letter . . . . Opens the corresponding menu
PC Keyboard Shortcuts
Document Cursor Controls
HOME . . . . . . . . . . . . . . to beginning of line or far left of field or screen
END . . . . . . . . . . . . . . . . to end of line, or far right of field or screen
CTRL+HOME . . . . . . . . to the top
CTRL+END . . . . . . . . . . to the bottom
PAGE UP . . . . . . . . . . . . moves document or dialog box up one page
PAGE DOWN . . . . . . . . moves document or dialog down one page
ARROW KEYS . . . . . . . move focus in documents, dialogs, etc.
CTRL+ > . . . . . . . . . . . . next word
CTRL+SHIFT+ > . . . . . . selects word
Windows Explorer Tree Control
Numeric Keypad * . . . Expand all under current selection
Numeric Keypad + . . . Expands current selection
Numeric Keypad – . . . Collapses current selection
¦ . . . . . . . . . . . . . . . . . . Expand current selection or go to first child
‰ . . . . . . . . . . . . . . . . . . Collapse current selection or go to parent.

SMS MZURI ZA MAHABA KWAAJILI YA MPENZI WAKO

Mahaba unayonipa natamani niwe nawe mpaka
kufa,
kila siku zinavyozidi kupita
najuta kwanini nilichelewa penzi kukupa,
nakupenda na nitakupenda hadi kufa!
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•

Hivi ni lini penzi utanipa, nimechoka na ahadi
unazonipa kila kunapokucha,
tambua kwako nimefika na siku utakayonipa
zawadi nzuri nitakupa na hutanisahau
hadi kufa.
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·

GUSA HAPA>>> SOMA SIMULIZI YA UTAMU YA KIKUBWA YA MAPENZI (SUKARI YA DADA)

Nisamehe la azizi ukweli mbona uko wazi,
yule si wangu mpenzi ila ni rafiki yangu
kipenzi, yangu mapenzi ni wewe pekee nayekupa mpenzi,
katika hii dunia ni wewe
pekee penzi nayekupatia!
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•

Uko wapi wangu malkia, mwenzio hamu nasikia nawe
ndiye ujuwaye hamu kunitoa,
tafadhali dear upatapo msg hii tambua nyumbani
nakusubiria! Luv u
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
Hakika raha wajua kunipatia, fimbo wajua kuitumia sharti
mtoto wakike nabaki
nagugumia kwa raha unayonipatia ambayo wengi
wanaililia , plz utamu wangu
nitunzie!
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
Nashukuru kwa miguno uliyonipatia na kiuno kunikatia,
utamu niliousikia
nilitamani kulia hatima ilipowadia , nakupenda
dia usije utamu wangu mwingine
kumpatia! Luv u
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•

GUSA HAPA>>> SOMA SIMULIZI YA UTAMU YA KIKUBWA YA MAPENZI (SUKARI YA DADA)
Wikiendi ndiyo imeisha, majukumu hatunabudi kuyatimiza dear,
kuwa nawe muda mrefu
nimefurahia nakujihisi malkia katika hii dunia kuwa
nawe najivunia. Luv u
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
Wangu Malkia nashukuru kwa mahaba uliyonipatia,
nikikumbuka miguno na viuno ulivyonipatia na
raha niliyojisikia, nahisi kuna mwingine unampatia,
please dear penzi langu usije wengine kuwapatia! Nakupenda.
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•

GUSA HAPA>>> SOMA SIMULIZI YA UTAMU YA KIKUBWA YA MAPENZI (SUKARI YA DADA)

Nashukuru kwa ya

ko dozi hakika katika
mapenzi wewe ni mkufunzi,
wajua bakora kuitumia, mpenzi usije ukawa na
mwingine
unayempatia, hakika nikijua nitaumia kama
sikujiuam. Nnakupenda!
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
Nimeamini wewew ni mtalam wajua kunitoa hamu,
unipapasapo huhisi kupoteza fahamu, maneno yako
matamu hunizidisha hamu, hakika
wajua kunikamua, luv u.
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
Hakika nimepata tabibu, maradhi yangu wajua
kujyatibu,
napenda jinsi unavyonitibu,
huna papara yaani ni taratibu,
mpenzi usijemuonyesha mwingine hizo
zako zabibu,
maswahibu yakatayonisibu hakuna
atakayeweza kuyatibu, nakupenda.
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
Usiku wa jana ulikuwa wa aina yake, ulinipa mambo
matamu yasiyo ya kawaida,
ulinifurahisha sana mpenzi wangu,
ulidhihirisha kuwa wewe ni kidume
uliyeubwa kwa ajili yangu..
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
Nakumbuka siku utamu ulityonipa maneno
matamu kedekede hukusita kunipa na
ahadi kibao masikioni mwangu zilisikika,
hakika roho yangu haikusita kuamini
kwako nimefika, nashangaa
leo utamu hutaki nipa!
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
Wikiend ndiyo siku niliyokuwa nikiisubiria mimi
nawe mpenzi tupate tulia, mahaba na
maneno matamu ndio zawadi
niliyokuandalia. Kumbuka yetu
miadi na jali wakati!
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
.
unayempatia, hakika nikijua nitaumia
kama sikujiuam. Nnakupenda!
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
Nimeamini wewew ni mtalam wajua kunitoa hamu,
unipapasapo huhisi kupoteza fahamu,
maneno yako matamu hunizidisha
hamu, hakika wajua kunikamua,
luv u.
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
Kuwa nawe najivunia, mtoto mapenzi wayajua,
kiuno, sauti yako tamu mithili ya
chiriki wajua hasa kuitumia, mua wangu
wajua kuukamua, ukiniacha jua nitaumia,
nakupenda usije niacha nitajiua!
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
usiku unapoingia najawa na furaha unajua kwanini?
unaponigusa nahisi tumeumbwa wawili,
mchana nakumisi sana unapokuwa kazini,
wikiendi natamani isiishe kwani unanipa
raha ambazo siwezi kuzipata popote. . .
Naomba raha hizi usimpe mwingine. . .
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
kila ninapoona macho yako nafurahia uwepo
wako,nikiona tabasamu lako,nasikia homa ya
moyo,nikiona chozi lako la furaha
,moyo wangu unakuwa
huru kwako,nakupenda sana mpenzi
wangu na
wewe ndiye valentine wangu. . .
Pokea busu mwaaaah
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
pumzi yako kwangu ni burudani ya ajabu,
nakupenda sana busu lako maridhawa
shavuni mwangu.wewe ndiye furaha
katika maisha yangu.labda ulikuwa
hufahamu,nimekuficha moyoni
mwangu mpenzi!
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
darling jana umenikuna. . . .umenikuna c kdogo
. . . .nililia ukanibembela,niliponyamaza
ukaniliza tena,lkn fahamu kulia
kwangu c maumivu bali utamu wako.
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
Nashukuru wangu laaziz kwa uwepo wako,
naamin meng kunitimizia na kukata kiu la
penzi langu kwa wako uhodari.
Krbu mpz nikate kiu yangu.
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
hakiyanani mpz unanidatisha ukitembea unatingisha,
mwenzio unanipagawisha
kwako nimefika
na hii namaanisha
nakupenda
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
Mahaba unayonipa hakika nafarijika,
mpenzi niliyemtaka hakika nimekupata,
kiu yangu wajua kuikata, kuwa
nawe hakika
nimeukata kwani wajua kunipa
bata! Luv u, mwaah
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•

Gusa hapa>> USOME JAMBO ZURI ZAIDI KWAAJILI YAKO

MAMBO YANAYOWEZA KUKUSAIDIA KUACHA PULI/PUNYETO/KUJICHUA

(i) Badilisha utaratibu wa kulala, lala kifudifudi, badala ya chali

(ii) Acha kuangalia mikanda ya kikubwa ukiwa peke yako.

(iii) Kaa mbali na simulizi zinazohamasisha mapenzi, mazungumzo ya aina hiyo na kampani za watu wanaopenda kusimulia mambo ya faragha.

Gusa hapa>> USOME JAMBO ZURI ZAIDI KWAAJILI YAKO

(iv) Acha mazoea ya kujishika sehemu zako za siri.

(v) Fanya mazoezi ya viungo angalau robo saa tu kwa siku.

(vi) Juu ya yote haya, FUTA kabisa mawazo ya jambo hilo. AMUA kwa dhati ya moyo wako, tambua na ogopa athari ambazo unaweza kuzipata, kisha ACHA KABISA mchezo huo ili kulinda heshima yako na kujipa furaha katika maisha

Gusa hapa>> USOME JAMBO ZURI ZAIDI KWAAJILI YAKO

JINSI YA KUFANYA MWANAUME AVUTIWE NA WEWE NA AKUAPROACH

1 Onyesha upande wako wa furaha.
Wakati umeenda sehemu ambayo umemwona mwanaume unayemzimia, ni bora uonyeshe ule upande wako wa furaha. Cheka na wenzako, furahia nk. Akikuona tu atakuappoach.

2 Fanya kujigongesha mbele ya umpendaye. Wakati mupopamoja tembea ule upande wake halafu ujigonganishe nayeye kisha sema “Oh, samahani. Pole – huwa najisahau mara nyingi ninapozungukwa na wanaume wakupendeza.” Halafu jitambulishe.

3. Mtese kidogo. Mfano: Wakati anakwambia jina lake kwa mara ya kwanza, jifanye hujaliskia sema, “Wasema?” ili apate kuegemea karibu yako aweze kujiridia kwa mara nyingine. Halafu sema, “Nini?” huku ukitabasamu. Utakuwa umeyaanzisha maongezi yenu na ucheshi.

Gusa hapa>> USOME JAMBO ZURI ZAIDI KWAAJILI YAKO

4. Fanya mazoezi ya kumchokoza na kumteka. Ingiza mbinu yako uliyobobea ya kusuka mara moja au nyingine, kama vile wahudumu wa kike hotelini. Amini usiamini hili litaongeza confidence yako wakati unapoongea na mtu unayempenda.

5. Mwache akuone unamchungulia.
Kama na yeye atakuangalia, tabasamu. Ukifanya ivyo utampa hamu ya kukuaproach.

6. Kuwa interested. Wakati anapoongea na wewe hakikisha kuwa unaonyesha interest yako kwa kumuuliza maswali ili na yeye apate nafasi ya kujibu na hii atahisi mupo pamoja.

7. Chunguza vitu anavyovipenda Angalia nguo zake. Muulize timu anayoipenda, mchezaji, gemu nk kutokana na mavazi yake. Bila shaka atagundua kuwa umemnotice.

8. Jipulize marashi kwa shingo yako.
Hii bila shaka mwanaume unayemzimia atagundua tu.

9. Tabirika wakati mwingine. Ule wakati ambao umejigongesha maksudi mbele ya mwanaume, hakikisha kuomba radhi kwako unakuzidisha kiasi cha kuwa atagundua unajaribu kufanya maksudi.

Gusa hapa>> USOME JAMBO ZURI ZAIDI KWAAJILI YAKO

10. Andika jumbe katika Instagram yake. “Hii picha inachekesha. Hivi ulikuwa unafanya nini hapa?” Wakijibu sema’ “Unapaswa kuniambia ana kwa ana. 🙂 Wataka hii wikendi tumeet ama?”
11. Usimjibu. Jaribu kuitumia hii mbinu. Wakati ambapo anakutext, usijibu kila swali ambalo atakuwa akikuuliza. Acha maswali mengine yakielea. Hapa utakuwa unampa wakati wa kukufukuzia zaidi kutaka kukuelewa.

12. Facebook sinema, vipindi ama gemu ambazo unataka kuziona. Kama yuko interested na moja wapo ya hizo basi atapata kisababu cha kutaka mkutane.

13. Pitisha karatasi iliyoandikwa kwa mkono katika party ambayo inasema, “Nilikuwa nakusalimia!” Ipitishe kwa mfuko wake – hii inafanya maajabu zaidi kuliko text za simu.

14. Msuke kabla hujamuona. Mtext umwaambie, “Unapaswa kuvalia ile tsheti ya blue leo usiku – inayafanya macho yako yapendeze.”

15. Mtie wasiwasi. Hivi ndivyo vya kufanya: Mara ya kwanza umpendaye anapokutext, mjibu, “Wewe ni nani?” Atakapojieleza,sema, “ntakosaje kukutambua? :)” Unamvutia.

16.Wakati anaonyesha dalili za kukutongoza usikubaliane na yeye hapo hapo. Msumbue na umpatie wakati mgumu mpaka ile siku utaona imefikia wakati wa kumkubali.

17. Wakati ambao unataka kumuwish gudbye, fanya kumsogelea kana kwamba unataka kumbusu lakini nenda hadi kwa sikio lake na umwamnie’ “Usiku mwema.”

Gusa hapa>> USOME JAMBO ZURI ZAIDI KWAAJILI YAKO