All posts by Admin

NJIA ZA KUMBADILISHA RAFIKI WAKIKE KUA MPENZI

1. Kuwa mwanaume bora
Katika dunia tunayoiishi kila mwanaume anatamani kuwa na mwanamke bora zaidi, hivyo kutaka kuwa na mwanamke unayempenda lazima uwe bora kuliko wengine, hii ni kuanzia tabia zako, vile unavyohusiana
na wengine, miondoko yako, unadhifu wako kuwa mwanaume bora hakuna njia ya mkato, lazima ufuate mkondo ambao wengi hawaufahamu.

Gusa hapa>> USOME JAMBO ZURI ZAIDI KWAAJILI YAKO

2. Msifie
Leo amekuwa tofauti kimuonekano? ama leo amebadilisha hairstyle yake? kama umependezwa na mwanamke mara nyingi utakuwa unavutiwa na
mabadiliko yeyote ambayo ameyafanya hivyo chukua nafasi yako kumsifia vile inavyotakiwa.

Kutumia maneno kama “ngozi yako laini, hivi wakati wote unakuwa hivi?” au “nimependa shati lako na vile jinsi limekubana katika mwili wako” hakufai. Kusifu kwa aina hii usithubutu kutumia kwa sasa kwani
unaweza kuharibu mpango mzima.

Gusa hapa>> USOME JAMBO ZURI ZAIDI KWAAJILI YAKO

3. Tafuta muda wa Falagha
Kumsuka mwanamke huwa ni bora zaidi wakati ambapo mko nyinyi wawili peke yenu, kumsuka mwanamke mbele ya marafiki zako kutamfanya kukuona wewe hautilii mkazo na mambo unayotamka hivyo ni bora wakati ambapo unachukua muda na kuwa na yeye peke yenu mnaongea, unaweza kumsuka kwa kutumia mizaha wakati ambapo mko na marafiki zenu.
Lakini wakati ambapo mko nyinyi wawili, tumia maneno ambayo hatayasahau kiurahisi. Mfano unaweza kumwambia“umenifanya nifurahie siku yangu”, “kukaa na wewe hapa najiskia niko huru”.
Ujanja hapa ni kutumia maneno ambayo yatamfanya yeye kujiona spesho kuliko yeyote na amini usiamini mwanamke kama huyu atakuwa akifikiria mazungumzo yenu kwa muda mrefu.

4. Wanawake wanapenda ucheshi
Hivi wewe ni mcheshi? kama jibu lako hapana basi usiendelee kusoma zaidi ya hapa mpaka uifahamu sanaa ya ucheshi, nadhani unafahamu ya kuwa njia ya kumvutia mwanamke lazima utumie lugha ya ucheshi mara kwa mara, uzuri ni kuwa si lazima uwe na ustadi
wa kuchekesha, unaweza kuelezea matukio yako ya awali ambayo uliona yalikuchekesha, kama mwanamke anaonyesha dalili za kukupenda, basi kila neno utakua unaongea litaku linamchekesha.

5. Msumbue mara kwa mara
Wakati mwingine kumsuka mwanamke kunaweza kuonekana kuwa ni kazi ngumu, lakini kitu muhimu ni yale mambo madogo madogo ambayo mnafanya.
Kumsuka mwanamke si kutumia maneno matamu ya kimapenzi pekee bali pia zile tabia ambazo mnafanya wakati mnapokuwa mnaongea. Hii ni kuanzia kucheka hadi migusano yenu ya mara kwa mara.
Kama wote wawili mnakuwa na furaha wakati mnapoongea, hiyo tayari ni njia moja rahisi ya kuashiria unamsuka. Kwa hiyo kuivuka mipaka ya urafiki, unafaa kuivuta miguu yake mara kwa mara upande wako wakati ambapo ameongea kitu cha kuchekesha ama mnapocheka

SUKARI YA DADA 01 🔞

Usiku uliotulia nilikua nipo kitandani nikiiwaza safari ambayo nilikua nimeisha jiandaa kuianza pindi kutakapo kucha. Safari hii ilikua ni yakwenda Dar es salaam kwaajili ya kufanya kazi katika Jumba moja la kifahari baada ya matokeo yangu kuwa mabaya na kushindwa kuingia kidato cha tano ili kuendelea na masomo. Pia binafsi sikupenda kuendelea maana nlikua sielewi kabisa vitu vinavyoendelea Darasani kutokana na kichwa kuwa na mambo mengi ikiwemo mambo ya ugomvi katika familia yetu. Baadae usingizi ulinichukua kisha nikashtushwa na Alam ya simu yangu nilioitega iniamshe ili niwahi gari kabla halijaondoka maana magari ya hapa iringa huwa yanajali sana muda kiasi ambacho ukichelewa dakika chache tu, unaweza achwa. Nilijiandaa, nikalibeba begi langu la nguo na wallet iliojaa pesa kwaajili ya matumizi yoyote yatakayojitokeza kisha nikaenda kupanda gari na safari ikaanza.

Wakati gari ikiendelea kwenda nilikua nikiliwaza jiji la Dar maana hiyo ilikua ni safari yangu ya kwanza na nilikua nikipewa Simulizi nyingi kuhusu jiji hilo ila sikua na hofu saaana maana namba ya simu ya wenyeji wangu nilipewa ili niwapigie nikifika kwaajili ya kunichukua na kunipeleka moja kwa moja katika nyumba yao.
Baada ya masaa mengi sana na vipindi vichache vya usingizi,gari iliingia Dar mida ya usiku sana. Nilitoka kwenye gari na begi langu mkononi nikiwa ninalishika kisawa sawa ili lisinyakuliwe na vibaka maana nilikua nikiskia kuwa wageni hukaribishwa Dar kwa namna ya pekee sana hahaha. Ulikua ni usiku lakini watu walikua wengi mno na kila mtu yuko busy na shughuli zake. kwa umakini mkubwa, nilinyooka katika sehemu ya duka ambayo nilihisi ni salama kisha nikachomoa simu yangu na kuipigia namba ya mwenyeji wangu.. lakini ghafla wakati nikiiweka simu sikioni kuna mtu aliipitia simu yangu kwa kasi ya ajabu na kwakua tukio lilikua la ghafla, nilibaki nimeduwa tu nikimuangalia aliechukua simu yangu akijichanganya katikati ya watu mpaka akatokomea.

Niliangalia kulia na kushoto nikaona hakuna mtu anaejishughulisha na tukio langu la kuibiwa simu. Nikaamua kukubaliana na uhalisia na wala sikua na hofu juu ya kukutana na wenyeji wangu kwakua namba zao nilikua nimezihifadhi pia katika kikaratasi kilichopo kwenye begi langu hivyo changamoto iliokuepo ilikua ni simu tu lakini muda huo ulikua si rahisi kupata simu ya kuwasiliana nao kwakua ulikua ni usiku sana na hatua pekee niliochukua ni kutafuta chumba katika nyumba za wageni maana pesa nilikua nazo za kutosha. Nilibahatika kupata chumba katika Guest moja bomba sana nikaamua kuingia humo ili nipate kupumzika.

Kutokana na uchovu wa safari, sikupoteza muda.. nilifunga mlango na kujitupa kitandani kama mzigo “Bwaah” lakini punde si punde nikasikia mlango wa chumba hicho ukigongwa “Ngo,ngo,ngo!!” “Ngo,ngo,ngo”. Niliamka kwa hasira mno maana nilona kama ni usumbufu vile lakini hasira zote ziliniisha nilipofungua mlango na kukutana na mrembo mweupee, mzuri, mwenye shepu la hatari na macho ya kulegea akisema “Samahani wangu.. naitwa Tausi, nlikua nataka kukufahamisha kuwa kama uko pekeako tunaweza kujumuika pamoja mpaka hasubui”
“Mh kujumuika? Kujumuika kivipi mbona sijakuelewa dada angu”

Duh… ilibidi niulize anamaana gani japo nilifahamu alichokua akizungumzia lakini ukweli ni kwamba nilipanga kutojihusisha nawanawake wamitindo hiyo lakini nilishindwa kujizuia aliponijibu…
“Yaani namaanisha kama utahitaji tulale wote.. nipo kwaajili yako na nitakupa kila kitu unacho hitaji” huku akivutia kwa juu kinguo chake kifupi ili nione paja zilizo nona.
“Sawa lakini..”
“Lakini nini wangu?”
“Okay.. okay.. ingia ndani.. ingia ndani.. karibu” nilijibu kwa kigugumizi sana maana muda huo nilikua ni kama nimetekwa na akili na nimetolewa kwenye msimamo wangu kwa uzuri wake..
“Asante.. mambo vipi lakini?”
“Safi tu, mzima?”
“Mi mzima tu wangu”
Nikamwambia jina akaingia ndani na katika chumba changu kulikua kumetawaliwa na kitanda pamoja na kiti kimoja tu ambacho alikitumia kuweka mkoba wake kisha akaanza kuvipunguza vitu katika mwili wake kwa kuanza hereni na mkufu wa gold ulikua ukiking’arisha kifua chake kilicho na vitunda vilivyosimama kama mshale. Nikiwa nimekaa kitandani niliendelea kumshuhudia Tausi akizidondosha nguo zake moja baada ya nyingine mpaka akabaki na nguo ya kwanza tena ilikua ni kama kikamba tu katika mwili wake… Alikua amejaza mzigo nyuma kuliko sehemu zake zote. Baada ya kupunguza vitu katika mwili wake, alinigeukia na kuniambia “Nahitaji kuoga kwanza wangu.. nafikiri tutaenda wotee”
“Mh nafikiri unge.. unge.. ungeeenda tu hat.. hata usijari” niliongea kwa kigugumizi kutokana na hamu ilionizidi kiasi kwamba hata mate yalikua magumu kuyameza.
“Hapana wangu.. twende bafuni, usiogape kwasababu Mimi nipo hapa kwasababu yako”
“Dah… Okay.. bas.. basi tangulia nakuja”
“Sawa”alijibu huku akielekea kwenye bafu ambalo lilikua ndani ya chumba hicho hicho. Alipoingia tu bafuni sikutaka kupoteza muda, nlichomoa nguo zote nikabaki na nguo ya ndani tu huku nikiwa tayari nimejitutumua mpaka mishipa ya kichwa imesimama tayari kwa kuilamba Sukari ya Tausi. Nilijiweka Sawa kisha nikasogelea chumba cha bafu ambacho kilikua kinasikika kelele za maji ya kitiririka mwilini mwa Tausi lakini ghafla kabla sijaingia ndani yake niliskia kishindo kizito sana ndani ya bafu “Mbuuh!!” kikiambatana na “Mamaaaah!!!”.

INAENDELEA…

Gusa kitufe hiki chini kusoma sehemu inayofuata.

Unataka tukutumie simulizi nzima kwa njia ya WhatsApp? GUSA HAPA

SMS ZA VICHEKESHO ZATAKAZOKUFANYA UCHEKE MPAKA UVUNJE MBAVU


🙊🙈✍️
JAMAA KATOKA CHURCH KAFIKA HOME KWAKE, AKAMKUMBATIA MKEWE NA KUMBEBA JUU JUU KWA HAMAKI… 😴😴

MKE; KWANI VP LEO MUMEWANGU MAPENZI YAMEONGEZEKA MPK UNAYAFANYA HAYA MPK NASHANGAA.. !!!!🙄🙄

MUME: AKAMJIBU MKEWE KUWA CHURCH WAMEAMBIWA WAYANYANYUE MATATIZO Yao JUU MUNGU AYAONE… 🙆🙆🙆🏃🏃🙆😭

Gusa hapa>> CHEKA NA UVUNJE MBAVU ZAKO KWA KUFUTA VICHEKESHO HAPA


SOMA UONGEZE SIKU ZA KUISHI..

Binti alipokea txt kwny cm yake “Hi,mremb una boyfriend?” BINTI:Ndio, ninae kwan we nan?? “Mimi ni baba yako naomb nkukute hapo nyumbn unielez vzuri” Baad ya mda kidog akapokea text nyingn “Hlw!,una boyfriend?” BINTI:Cna kabixaa! Bt u nan tena?? “Mi ni boyfriend wako nlitak kujua unavyojicfia kuw na mm, kwl nimegundua hunipend” BINTI:Oh,sorr bby nlijua baba ang mana ametok kuniulza swl iloilo! “Yes,ndio mm baba yako yan leo utantambua nkirud uko shenz ww

Mwelevu na Mjinga walienda ktk usaili, walipofika kabla hawajaingia wakakubaliana aanze Mwerevu kisha akitoka ampe majibu Mjinga ili wote wapate kazi.*
*Basi Mwerevu akaingia na maswali yakawa hivi:-*
*Msaili:- Tanzania ilipata Uhuru mwaka gani?*
*Mwerevu:- ilitakiwa iwe mwaka 1960 ila ikasogezwa mpaka 1961 kutokana na sababu mbalimbali..*
*Msaili:- Nani hasa alihusika na upatikanaji wa Uhuru huo?*
*Mwerevu:- Kuna watu wengi walihusika ila Mwl. J.K. Nyerere ndiye alikuja kumalizia.*
*Msaili:- Inasemekana katika sayari ya Mars kuna viumbe wanaishi, je ni Kweli?*
*Mwerevu:- Watu wengi wanasema hivyo lakini haijathibitishwa na wanasayansi.*
*Baada ya Mwerevu kutoka basi Mjinga akapewa majibu yote..*
*Kuingia ktk usaili maswali yakawa hivi:-*
*Msaili:- Tuambie ulizaliwa mwaka gani?*
*Mjinga:- Ilitakiwa iwe mwaka 1960 ila ikasogezwa mbele mpaka mwaka 1961 kutokana na sababu mbali mbali.*
*Msaili:- Mungu Wangu, BABA yako anaitwa nani?*
*Mjinga:- Kuna watu wengi walihusika ila Mwl. J. K. Nyerere ndiye alikuja kumalizia .*
*Msaili:- Hivi wewe ni chizi?*
*Mjinga:- watu wengi husema hivyo lakini haijathibitishwa na wanasayansi*😂😂😂😂😂😂

Gusa hapa>> USOME JAMBO ZURI ZAIDI KWAAJILI YAKO


majamaa watatu walikodi chumba katika hoteli moja hapa mjini, wakawa wamepata chumba cha mwisho kabixa ambacho kipo ghorofa ya hamsini (50), walipotoka walirudi wakakuta umeme umekatika, hvyo iliwabidi kupanda ngazi ili waeze kufika kwny chumba chao, hivyo walikubaliana wakwanza atapiga stori ya kuchekesha, wapili atapiga stori za kutisha na watatu atawapigia stori za kuhuzunisha, wa kwanza alpiga ctor za kuchekesa mpk walpo fika ghorofa ya 15, akafata yule wa pili akawapigia ctori za kutisha mpk walipofika ghorofa ya 30, akapokea yule watatu akawapigia story za kuhuzunisha. walipofika ghorofa ya 50 aliwageukia wenzake na kuwaambia na hii ndo yakuhuzunisha zaidi, TUMESAHAU KUCHUKUA UFUNGUO PALE MAPOKEZI…

Gusa hapa>> USOME JAMBO ZURI ZAIDI KWAAJILI YAKO