Siku moja nilikua nimefunga kiduka changu Usiku na kuanza safari ya kuelekea nyumbani. Ulikua ni usiku sana na nilikua natembea kidogo kidogo huku nikijiamini kwakua sio mara yangu ya kwanza.
Huko nyumbani nilikokua naelekea kilikua ni chumba changu nilichopanga hapo mjini. Palikua na umbali kidogo ambao ningeweza kuchukua usafiri kama ningekua nina haraka sana ya kufika lakini sikuchukua usafiri maana nilikua nina mpango wangu mwingine ambao nimepanga kufanya nikiwa njiani.
Mpango wangu ulikua ni kukutana na Madada wanaotembea usiku ili niende kulala nao. Tabia hii nilikua nimeanza miezi mwili iliopita. Ilikua ni tabia tamu sana kwangu maana niligundua kuna madada wazuri wanatembea barabarani ukiongea nao vizuri, wanakubari kulala nao.
Sasa siku hiyo nilikua natembea huku nikizingatia madada ninaopishana nao kama wanaingilika au vipi. Nakumbuka nilifika kwenye kibarabara kimoja kilichokua na giza nikaona Dada mmoja hivi mbele yangu anatembea kidogo. Alikua amevaa vinguo vifupi sana alafu nilipokua natembea nyuma yake, alipunguza mwendo kidogo.
Nilipo mwona amepunguza mwendo tu, nikajua huyo dada ndio moja ya Madada ninao watafuta maana nao hufanya hivyo. Basi sikupoteza muda, nilimsogelea tukaanza kutembea pamoja huku tukifanya maongezi. Alikua kashika Mkoba alafu anangozi nyeupe kiasi na mwili mkubwa kidogo kuliko mimi. Ila Mimi mwili wa hivyo ndio huwa nataka.
Nilimshawishi yule dada kwa pesa tukalale nae nyumbani kwangu na yeye alikubari. Nilimpeleka mpaka nyumbani, tukaingia ndani. Nilikua nimepanga chumba kimoja ila kizuri na kikubwa. Hivyo alipoingia hakukua na michakato mingi sana zaidi ya kulala nae kama tulivyokubaliana.
Mwili wake mkubwa mkubwa ulifanya nipagawe sana katika mchezo. Yani kwenye mchezo nilikua nikidondoka, yeye alikua anaenda juu na kurudi chini. Alifanya sekunde moja nahisi joto, sekunde nyingine nihisi baridi mpaka nikawa sielewi.
Nakumbuka tuliucheza ule mchezo mpaka nikachoka mimi. Yeye alikua haoneshi kachoka kabisa ila katika kunihudumia alikua yupo vizuri.
Baada ya mimi kuchoka, alidai anataka kwenda chooni mara moja. Mimi nilimueleza kuwa choo kipo nje na nikataka kumsindikiza maana huo ulikua ni usiku. Lakini yeye alikataa kusindikizwa.
Kabla ya kutoka njee kwenye chooni, alifungua Mkoba wake na kutoa chupa ilioonekana kama marashi kisha akawa kama anajipulizia hivi ingawa kwa asilimia kuwa ile kilichokua kwenye chupa kilikua inasambaa mule ndani.
Nikimuuliza “Unajipulizia nini?” Akaniambia “Natoa harufu kabla sjaenda chooni huko. Si unajua sisi wanawake tunatakiwa kuwa vizuri?” Mimi nakajibu “hahaha sawa” bila kuwaza mbali.
Baada ya kumaliza kujipulizia, akamuona anatoka njee kuelekea alilokua anasema anaenda. Baada ya dakika 2 za kumsubiri, nilikuta ghafla macho yanakua mazito sana. Kwa haraka haraka nikajua ni uchovu wa zoezi tulilolifanya na yule dada. Lakini baada ya dakika kuongezeka, nilichukuliwa na usingizi mzito sana bila kujitambua. Kiufupi sikuelewa chochote kilichoendelea.
Usingizi huo ulikata mida asubuhi jua likiwa limechomoza kabisa. Niliangalia mazingira niliopo baada ya kuamka nikachanganyikiwa maana vitu vyangu vingi sikuviona. Nilikua nipo kitandani, mlango upo wazi, vitu vingi vya muhimu havipo alafu vilivyopo vimevurugwa hovyo hovyo. Jambo hilo lilifanya kumbukumbu zirudi na kuwaza kuwa huweda yule dada niliemchukua usiku alinipulizia Dawa ya usingizi na kafanya yote hayo.
Sikua na lakufanya kumpta ila ndio hivyo tabia yangu iliniponza nikapoteza baadhi ya vitu vyangu. Muda mwingine kuchukua mtu usiemjua na kumpeleka kwako ni sawa na kukaribisha matatizo.
Hii ilinitokea kipindi cha nyuma sana na sijui kama madada wa mtindo huu wapo mpaka sasa.
Simulizi Bora za kusoma katika The bestgalaxy BONYEZA HAPA>>>