Jinsi ya kutengeneza pesa na Facebook Content Monetization Program


Facebook ni mtandao mkubwa wa kijamii unaomilikiwa na kampuni ya Meta na unaunganisha watu wengi Duniani. Watumiaji wa mtandao wa Facebook wanaweza furahia kuwasiliana na wepandwa wao, kuangalia picha, video na kusoma mambo mbalimbali.


Katika kufurahia mambo hayo, Facebook nimekua ni moja ya mitandao muhimu kwa watu wanaojiajiri. Ina vipengele vingi sana vinavyoweza msaidia mtu aliejiajiri, kukuza hudama yake. Mfano mzuri ni kile kipangele kutangaza biashara; mtu anaweza kutumia upande huo kutangaza biashara au huduma yake.


Mbali na upande huo, Facebook wana program iitwayo “Facebook Content monetization” ambayo inawawezesha watu kutengeneza pesa kwa content zao. Yani hapa unaweza lipwa kwa vitu unavyoandika na kupost, video na picha unazopost. Na unaweza fanya hivyo kupitia akaunti unayoitumia kila siku au Facebook page kama unayo. Ila kama unatumia akaunti ya kawaida utatakiwa kuweka kwenye “Professional mode” kwanza.

Jinsi ya kutengeneza video za katuni kwa simu ili kutengeneza pesa BONYEZA HAPA>>>

kuanza kulipwa katika Facebook Content monetization



Ili uanze kulipwa katika Facebook utatakiwa kuanza kujiunga na hiyo Facebook monetization. Na kabla haujajiunga, utatakiwa kutimiza vigezo vyao lakini vigezo vyao huwa vimetofautiana na hubadilika kutokana na kwamba mfumo wao kwa sasa upo kwenye maboresho.


Ukihitaji kuwavutia kwa kipindi hiki ili uingizwe kwenye program yao, ni vema ukawa na kuanzia followers 5000 na video zilizoangaliwa zikawa na jumla ya dakika 60000.

Pia ni vema ukatengeza video zako mwenyewe maana kuchukua video za watu bila maboresho yoyote ni kosa litakalokupunguzia nafasi ya kutengeneza Pesa.

Mambo ya kuepuka ili kutengeneza Pesa katika Facebook BONYEZA HAPA>>>

Jinsi ya Kuangalia kama upo tayari kulipwa na Facebook

Ukitaka kuangalia kama tayari umekidhi vigezo vya kuingia kwenye Facebook Monetization program, nenda kwenye Dashboard ya akaunti yako alafu ingia kwenye kipengele cha “Monetization”. Ikiwa utakutana na neno “eligible” au kipengele cha “Content monetization ” kimefunguka, basi fahamu kuwa akaunti yako inaweza ingizwa kwenye Facebook monetization program.


Baada ya kuwa vizuri sehemu hiyo, unaweza pokea ujumbe kwenye email yako kuwa wamekuarika kwenye program ya Content monetization program bila hata kufanya Chochote au ukakuta to vipengele vya kutengeneza pesa vimejifungua kwenye Dashboard. Unaweza pata hata notification kwenye Facebook ikikwambia umekua “eligible” hivyo set taalifa muhimu ili ulipewe.



Zingatia: kwasasa Facebook content monetization program ipo kwenye marekebisho hivyo kuna namna utaratibu wake haupo sawa. Hasa kwa nchi za huku Afrika mashiriki. Unaweza kuchati na sisi kwa kugusa HAPA.

Jinsi ya kutengeneza Pesa katika channel za WhatsApp BONYEZA HAPA>>>

3 thoughts on “Jinsi ya kutengeneza pesa na Facebook Content Monetization Program”

Leave a comment