Nilipokuwa mdogo, nilikuwa na ndoto kubwa ya kuondoka kijijini kwetu na kwenda kusoma chuo kikuu. Wazazi wangu walikuwa wakulima, na ingawa maisha yalikuwa magumu, walinipa moyo kila siku kwamba elimu yangu ingeweza kubadilisha hali ya familia yetu. Mwishowe, ndoto zangu zilianza kutimia nilipopata nafasi ya kusoma chuo kikuu. Niliondoka nyumbani nikiwa na imani kuwa kila kitu kitakuwa sawa. Nilipokua nikiwaaga wazazi wangu, walikuwa na furaha sana, lakini machozi ya huzuni yalinitiririka nilipo ona namwacha dada yangu Zena nyumbani pale nyumbani.
Zena alikuwa na mtoto mchanga ambaye alizaa mwaka uliopita baada ya kupitia kipindi kigumu kwenye maisha yake alipo safiri kwenda mbali kidogo na nyumbani. Alipewa ujauzito na mwanaume asiyemjua vizuri maisha yake. Mwanaume huyo alimtelekeza mara tu alipomwambia kuwa ana mimba. Na mbaya zaidi Zena alipata virusi vya Ukimwi (HIV) kutoka kwa huyo mwanaume. Pamoja na yote alikua ni mtu anae jipenda kuliko kawaida. Ila mimi ninaejua alioyapitia, nilipokuwa nikimwangalia Zena na kufikilia changamoto zake, nilihisi huruma sana kwa Dada yangu. Niliondoka nikiamini kuwa mafanikio yangu chuoni huenda yatakuwa muhimu kwa Dada na familia yetu kiujumla.
Nilipofika chuoni, maisha ya huko yalikuwa mapya kwangu. Nilijitahidi kwenye masomo, nikakutana na marafiki wapya, na hata nikapata mpenzi wangu wa kwanza aitwae Juma. Huyu Juma tulikuwa na urafiki mzuri na baadaye tukaanza uhusiano wa kimapenzi. Uhusiano wetu ulikuwa wa furaha na upendo. Lakini haikuchukua muda mrefu kabla ya maisha yangu kuelekea mwelekeo mwingine. Mwalimu mmoja mgeni chuoni alianza kuvutiwa na mimi na akaanza kunivutia kwa ahadi za pesa na maisha mazuri.
Mwalimu huyo alikuwa na pesa na alikuwa tayari kunipa zawadi nyingi ili nimpe nafasi ya kuwa mpenzi wangu. Kwa muda, nilijaribu kumpuuza na kumkataa, lakini alizidi kunitafuta na kunisumbua. Alianza kunisumbua kwa njia ya zawadi na pesa. Ingawa nilihisi vibaya kumpokea mwanzo lakini mwisho nilijikuta nikiwa katika uhusiano wa siri naye. Nilijihisi nikiwa nimechanganyikiwa katikati ya upendo wa Juma na tamaa za mwalimu. Mapenzi ya Juma yalikua yananipa Raha na amani lakini mapenzi ya Mwalimu yalikua yananifanya niishi vizuri hapo chuoni maana pesa alizokua akinipa zilikua zikinisaidia. Kuna muda Juma pia aliwahi saidiwa na pesa za huyu Mwalimu maana alikua na shida alafu nikampatia.

Yule Mwalimu kuna jinsi alirahisisha maisha yangu ya hapo chuoni mpaka nikawa naona aibu kumkatalia jambo lolote analohitaji. Kuna siku alinipelea sehemu tukale chakula cha mchana lakini tulivyoenda alizidisha mizunguko mpaka nikajikuta nipo nae nyumba ya wageni. Aliniomba nilale nae ili aone japo kidogo kitu ambacho nakificha Kila siku kwenye mwili wangu. Na mimi kwajinsi alivyokua ananihidumia, ilikua ngumu kutamka neno “Hapana” au “Staki” kwa jambo analoliomba muda huo. Sikua na jinsi, nilimruhusu angurume na kuguna “mmmh.. mmh” kwenye uwanja wangu huku nikiwa naisikia ile radha tamu isio na kifani.
Mbali na siku hiyo tuliendelea kufanya matukio kama hayo mengi sana huku nikiendelea kumfichia Juma asijue lolote maana nilikua nampenda alafu yupo vizuri. Niliishi chuoni nikiendelea kufurahia mapenzi kutoka kwa wanaume hao wawili, Juma na Mwalimu.
INAENDELEA…
Bonyeza kitufe kilichoandikwa “WhatsApp” hapa chini ili tukupatie simulizi hii usome mpaka mwisho BURE kabisa!
4 thoughts on “KASINGO MAMA 1 (Simulizi Fupi ya Kusoma)”