Jinsi ya kubet bure (bila kuweka pesa)

Kubet ni mchezo maharufu sana ulimwenguni wa kubahatisha. Kuna kama watu bilioni 1 au zaidi hujihusisha na maswala ya kubet. Yawezekana na wewe ni moja ya watu wanaojihusisha na kubet ndio maana upo hapa.

Ikiwa wewe ni mdau wa kubet au sio mdau was kubet basi ningepeda kukushukuru Kwa kusoma post za The Bestgalaxy na usiache kutembelea sehemu hii. Katika makala hii fupi nakujuza jinsi unavyoweza kubeti bure kabisa yaani bila kuiumiza pesa yako.

Wapi unapata Odds za bure au Mikeka ya uhakika? BONYEZA HAPA>>>

Njia 3 za kubet bure

Kutumia Ofa za kubeti Bure kwa Watumiaji

Kama unataka kubet bure kunanjia nyingi unaweza kufakisha hilo. Kuna makampuni mengi sana ya kubet kwa sasa huwa yana taratibu za kuwapa watu nafasi au ofa za kubet bure wakati wakiendelea kutumia huduma zao. Hizi ofa hutofautiana na kila kampuni hutoa kwa utaratibu wake ila kwakua ni bure inakua sio mbaya sana. Moja ya makampuni haya ni Gwalabet.

Hawa kwa taalifa tulizojichukua Tarehe 5 mwezi wa 10 mwaka 2024, wanasema kwamba “Kila akaunti ya mteja wa GwalaBet itapata bet ya bure ‘FREEBET’ ya Tsh 500 kila Ijumaa kama itakuwa imetumia kiasi cha kuanzia Tsh 2,000 ndani ya wiki husika.” Sijajua wewe unasoma makala hii kwa muda gani ila fahamu kuwa huwa wanatoa kweli japo utaratibu wa kupata, huwa unabadilishwa badilishwa baada ya muda. Pesa hii unaweza iona kwenye kipengele cha “FREE BET”. Kama utahitaji maelezo zaidi, unaweza kupata maelezo yote katika website yao.

Kupata zawadi ya kualika Marafiki

Njia nyingine ya kubeti bure ni kupata zawadi ya kualika Marafiki. Mitandao mingi ya kubeti huwa Ina kipengele ambacho kina kuruhusu kualika Marafiki na ukifanikiwa kualika, unapata pesa ya kubeti Bure. Katika kualika huwa wanaweka utaratibu ambao utaufuata kumualika rafiki au marafiki zako ili upate zawadi itayakuwezesha kubeti Bure.

Mfano mzuri ni kampuni ya Wasafi bet; inakupa nafasi ya kupata zaidi ya Tsh 2000 kwa kualika Marafiki. Unachotakiwa kufanya ni kwenda kwenye kipengele chao kiitwacho “Referral” au “Mchizi bonus” alafu tumia Link au Code utakazopewa kuwaalika marafiki katika Facebook, WhatsApp na sehemu nyingine. Katika kipengele hicho kuna maelezo mengine unayoweza kusoma ili kuelewa zaidi.

Kujiunga na Makampuni mapya

Makampuni mengi huwa yanahitaji watuaji wapya na hutoa bonus kwa Watumiaji huo wapya pindi wanapo deposit. Yani unapoingiza pesa kwa mara ya kwaza, unapata na pesa nyingine ya bure kwaajili ya kubetia. Pesa hii inafahamika kama “Welcome bonus”. Na kiasi cha pesa hutofautiana maana kila kampuni ina utaratibu wake.

Mfano, Kampuni ya Parimatch huwa inakupa hadi asilimia 100% ya pesa yako. Yani ukiingiza kiasi ya Tsh 2000 baada ya kujiunga, unapata Tsh 2000 nyingine kama zawadi. Mbali na kampuni hii, Kuna kampuni nyingine nyingi hutoa zaidi kwa mtindo huu japo hutofautiana kwenye kiasi.

Watu wengi hutumia njia hizi kupata nafasi za kubeti bila kumiza pesa zao moja kwa moja. Na njia rahisi hapa huwa ni ile ya kwanza na hii ya mwisho.

Katika matumizi yako ya simu usifanye vitu hivi (Unaweza juta!) GUSA HAPA>>>>

One thought on “Jinsi ya kubet bure (bila kuweka pesa)”

Leave a comment