The Bestgalaxy: Jinsi ya kuweka app yetu kwenye simu yako, tupate kirahisi!

Mahali hapa watu wajanja hujifunza vitu mbali mbali kuhusu teknolojia, mapezi na maisha kiujumla. Nikukumbushe tu kuwa unaweza swali, maoni au ujumbe wako kwenye WhatsApp Kwa kugusa HAPA>>>

Mbali hayo pia unaweza jiunga nasi kwenye WhatsApp tukawa tunataalifu kwa njia ya WhatsApp kuhusu vitu vitu vipya tunavyovitoa kwaajili yako. Ukitaka kujiunga na huduma hii, save Namba hii: 0622 586 399 Kwenye simu yako Kisha itumie ujumbe “Niunge na The Bestgalaxy kwenye Whatsapp”

Njia rahisi ya kuipata website hii ni kuiweka kama app kwenye simu yako. Unaiweka vipi? Fuata maelekezo yafuatayo:

Nenda kwenye Ukurasa wetu wa kwanza kabisa Kwa kugusa HAPA>>> Kisha kutakua kama picha inavyoonekana hapa chini👇

Gusa vidoti vitatu vilipo upande wa juu wa app yako. Kama jinsi inavyoonesha picha hii👇

Baada ya kugusa zitakuja chaguzi nyingiii. We gusa sehemu ilioandikwa “Add to home screen” kama inavyoonesha picha hii 👇

Baada ya kufanya hivyo, gusa Nemo “Add” kama picha inavyoonekana hapa chini 👇

Ukisha gusa add app yetu itakua katika simu yako kama unavyoona hapa chini 👇

Kwa kufanya hivyo utakua unauwezo wa kutembelea mahali hapa kirahisi kabisa. Usisahau kuwasiliana nasi na kutujuza mambo gani unahitaji zaidi toka kwetu.

Unaweza soma maelezo zaidi kuhusu the bestgalaxy hapa>>>>

21 thoughts on “The Bestgalaxy: Jinsi ya kuweka app yetu kwenye simu yako, tupate kirahisi!”

Comments are closed.