Kama unavyojua kuwa Kwa sasa vifurushi vya internet vimepanda sana ukilinganisha na kipindi cha nyuma. Lakini habari njema ni kwamba, unaweza kutumia internet BURE kabisa bila hata Bando. Hii ni kweli japo baadhi ya watu huwa hawaani kitu hiki… Lakini ukweli nikwamba kutumia internet BURE inawezekana.
Kunanjia nyingi sana ambazo mtu unaweza zitumia kupata internet BURE kwenye simu yako. Leo nataka kushea na wewe njia ambayo nimeitumia kupata internet BURE kabisa na inafanya kazi 100% kama unatumia laini ya Tigo… Lakini hii ni for education purpose… Hebu angalia picha hii inayokuja onesha nikiangalia YouTube bure bila bado..
Pata BAND0 kubwa la internet Kwa Bei rahisi GUSA HAPA>>>
Kwanini bando lako la wiki la internet huisha ndani ya siku Moja/mbili? GUSA HAPA>>

Sasa kama unahitaji app ni BURE kabisa. Unachotakiwa takiwa kufanya ni kuipakua(Download) kwenye simu yako Kisha install kwenye simu. Baada ya hapo utatakiwa kuifungua ukiwa na bando la internet alafu itaingiza data zake Kwa muda wa sekunde chache tu. Ikisha Ingiza data zake utatakiwa kuweka laini ya Tigo ambayo Haina Bando. Ukishafanya hivyo ifungue tena iyo app na uguse kitufe kichoandikwa “Connect”. Baada ya kuconnect utaanza kutumia internet bila bando. Jaribu kwenda YouTube au Google kucheki kama Iko sawa.
Kama uataka kujifuza mambo mengi kuhusu simu yako na mambo ya teknolojia, usiache kutembelea website hii… Tutakujuza vitu vingi kuhusu Technology.
Mtu akiku “Block” WhatsApp unaweza fanya hivi kuchati nae GUSA HAPA>>>
NJIA HII INAWEZA KUTOFANYA KAZI KWA SASA!
Movies za kutafsiliwa GUSA HAPA>>>>

26 thoughts on “Jinsi ya kutumia internet BURE kwenye simu yako”
Comments are closed.