Kumfurahisha mpenzi wako ni sanaa inayohitaji uelewa na umakini wa hali ya juu. Wanawake wengi hupenda mapenzi ya upole na yanayochochea hisia zao kwa namna ya kipekee. Mwanaume anayejua kucheza na hisia za mwanamke wake, huweza kumfanya ahisi kupendwa, kuthaminiwa na hata kupagawa kwa furaha isiyoelezeka. Hii hufanya uhusiano wao kuwa wa karibu zaidi na wenye mvuto wa kipekee.
Wanaume wengi hujikita zaidi kwenye sehemu kubwa za mwili wa mwanamke bila kujua kuwa kuna maeneo maalum yanayoweza kumfanya ajisikie vizuri zaidi. katika makala hii, tumeorodhesha sehemu ambazo ni maranyingi humfanya afurahi zaidi. Kama ulikua unahitaji kujua juu ya hili, basi twende pamoja hapa chini.
Sehemu ambazo humfurahisha zaidi mwanaumke
1. Kichwani; juu ya kichwa cha binadamu kuna mishipa mingi ya damu na ile ya fahamu hivyo maeneo haya yakishikwa homoni kama oxytocin na serotoinin huachiwa mwilini na kuleta msisimko mkubwa.
2. Sikio; sikio ni sehemu yenye mishipa ya fahamu inayoenda kwenye ubongo, mara nyingi sikio watu hua wanalipuuza sana na kuzani halihusiki lakini naomba nikwambie ni moja ya sehemu inayoweza kumfanya mtu achanganyikiwe.
Maneno matamu ya kumwambia mpenzi wako BONYEZA HAPA>>>
3. Ulimi ; ulimi ni sehemu ya mwili ambayo ina mishipa mingi mara mia moja zaidi kuliko ile mishipa ya fahamu ya viganja vyetu. msisimko wa ulimi unasababishwa kumwagika kwa homoni ambazo zinatuletea furaha ya mioyo yetu.
4. Shingo; hii ni sehemu ya mwili yenye ngozi laini sana ambayo inasisimka hata kwa kuipumulia tu na pua. ni moja ya sehemu nzuri sana kunyonya, kulamba na kubusu.
5. Chuchu; wanaume wengi wanatumia sehemu hii kama sehemu kuu kumsisimua mwanamke, ni kweli kabisa tafiti zinaonyesha kwamba sehemu ya ubongo ambayo husisimuka chuchu za mwanamke zikiguswa ni sehemu hiyohiyo ambayo inasisimka kinembe na uke vikiguswa. kwa hiyo ni moja ya sehemu muhimu sana.
6. Kiuno au mgongo wa chini; kama umechunguza ni kwamba wanawake wengi husisimka sana wakiguswa viuno vyao ghafla hata wakati wa kukumbatiwa tu. hii ni sababu ya mishipa ya fahamu inayoenda hadi kwenye sehemu zake nyeti hupita huko.
7. Tumbo; tumbo ni sehemu ambayo watu wengi hawaitilii manani sana lakini misuli ya tumbo imeungana na uke moja kwa moja ndio maana baadhi ya wanawake hufika kileleni kwa kufanya mazoezi ya tumbo kitaalamu kama core exercises..
Jinsi ya kupata mchumba mtandaoni BONYEZA HAPA>>>
8. Katikati ya mapaja; hii ni sehemu yenye msisimuko mkubwa kwenye mwili wa mwanamke, watu wanaondesha magari wanajua siri hii kwani wakimpakia mwanamke wanatumia njia hii kumsisimua kwa kuweka mkono mmoja kwenye mapaja yake.
9. Nyayo za miguu; nyayo za miguu zikiguswa hata kwa mtu ambaye sio wa kike zina msisimko sana kama wa kutekenywa hivi na sina msisimko mkubwa kuliko sehemu nyingi nilizotaja.
10. Kinembe [critoris]; hii ni sehemu ya mwanamke ambayo kazi yake ni kuleta msisimko tu na raha kwa mwanamke..eneo hili linazaidi ya mishipa ya fahamu 8000, ni eneo dogo sana lakini shughuli yake sio ndogo. naweza kusema ndio eneo lenye msisimko mkali kuliko yote niliyotaja hapo juu na likiguswa tu mwanamke analoana kabisa.
Gusa ujiunge hapa>> TAFUTA HAPA VITU VYA KUMPAGAWISHA MPAKA AWEANALIA AKIWAZA KUWA UTAMUACHA
